😄😄😄😄😄😄😄😄jaman mwaikali aoni ata haya jaman mwe ilo kanisa wanajisumbua tyu akina chochot anacho taka nihela tu anataka polen mlio mfuata uyo mbaba nakisembe icho analusha tu mate akiongea Pepo uyo lime mvaa mwakatobe pole na uzee wote uo jaman
YESU anapata faida kanisa linapopanuka Uamsho unazidi ,mala nyingi uamsho unakuja pindi watu wanakwenda kuanzisha kitu chao na haswa kama watazingatia utakatifu na utawa
Hongereni sana wapendwa wa Mungu kwa kutiwa nguvu na kuendelea kusimama kwa kazi ya Mungu, mali na vitu sio kitu. Haki bado itasimama hata km sio leo ikaonekana kwa macho ya watu ila bakini ktk kweli ya Mungu. Madhehebu na dini ni njia tu ya kumtafuta na kumfikia Mungu na kutiana moyo wa kwenda mbinguni, lakuna kujidai kua ipi ndo liko sahihi, yote yako sahihi ili mradi jina la Bwana Yesu linaitwa hapo katika roho na kweli. Ivyo isiwe kigezo cha kukwamisha watu kuona ukuu wa Mungu. Mwenyezi Mungu awabariki. Zaidi kaeni kwenye amri iliyo kuu "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na akili zako zote.....................
WinnerJudith litakalo hukumiwa siyo Kanisa ni wewe na moyo wako lakini amani ni kitu Cha muhimu sana kwa mtu anayemwabudu Mungu tumechoka kuonyeshwa mitutu ya bunduki kwa sababu ya tamaa ya Mali
Songa mbele usigeuke nyuka ukawa jiwe la chunvi chapachapa injili mavuno nimengi watenda kazi wachache kazi ya Mungu ni wito sio kuwekwa na binadamu chapa chapa injili twende na kkam tunakiu na neno
Kamsimika.nani uaskofu kwenye hilo kanisa jipya? Mbona hajasimikwa.Nguo kaamua.kwenda kujishonea mwenyewe kwa fundi cherehani huo utapeli wa mchana kweupe
@@andrewking6187 Hivi Hicho kiti kinakabidhiwa kwa madalali na Polisi hawakufuata taratibu au na wewe ni mamluki manake Mwaikali kawaachia Kila kitu lakini bado mnamfuatilia fikirieni vitu vya maendeleo Wacha sisi tupagawe na Injili ya kweli yenye pumzi siyo ya kinafki
@@chancemgaya8705 atasimikwa kwa nguvu bila uchaguzi? Wameru watatoka Arusha na kuja kumsimika kimabavu bila waumini kumpigia kura!! Wanafika na kumsimika kienyeji Kifupi hiko kanisa kwa Mbeya halina Askofu wala mchungaji sababu hakuna hata mmoja aliyesimikwa na viongozi juu wa hilo kanisa waliopo! Uchungaji na uaskofu huwezi hama nao kienyeji tu toka kanisa moja kwenda lingine tofauti.
@@sylyavalaeditha8660 siyo makasiriko wanasema wenzao wasihangaike na mali wakati wao usiku na mchana wanahangaika kubeba mali za wenzao hili tunaliitaje??
Kawaachia vyote bado mnahangaika nae wanyakyusa mnafeli wapi,mapango yenu kawaachia yote.Ila mna roho Mbaya kama nyie kwa nyie mnapinduana makabila mengine si mtawauwa kabisaaa.Ondoeni ukanda mtakua huru tena huru kweli bila hivyo KKKT itazalisha makanisa maelfu kwa maelfu.Makanisa unayoyaona yote haya unayoyaona leo Chanzo ni ukiritimba,ukanda,roho Mbaya,uchu wa madaraka,Watu kujihesabia haki kuliko wengine walioko ndani ya KKKT.Aibu kubwa sana
@@sylyavalaeditha8660 Mimi sipo kumwambia Mwaikali Wala Mwakihaba, na sema iliyokweli, kwani hata kama alipindulia, kulikuwa na haja Gani ya kung'ang'ania Uaskofu kias hicho? Kwan angebaki mchungaj wa kawaida Mungu asingeendelee kumtumia? Sasa hapo Kuna fundsho gan unapata wewe?
Eti anasema leo ni ibada moja tu.Watu wachache hao ibada mbili zitoke wapi? Na wengine hapo wamekuja tu.ku beep.Jumapili ijayo wanarudi KKKT Ukitazama watu wa maana wenye hadhi zao wamebaki KKKT .Sura zenye hadhi wenye pesa zao na hadhi zao hazipo kwenye hiyo ibada
Hao watu waliomfuata Mwaikali kweli akili zimo? Askofu wao hilo kanisa jipya hawajamsimika wanamchukulia kuwa tayari Askofu na hao wachungaji akina Mwambola hata hawajasimikwa na uongozi wa hilo kanisa jipya wanawachukulia tayari kama wachungaji wa hilo kanisa jipya bila uongozi wa hilo kanisa jipya walikohamia kuwasimika rasmi Mbona wanatapeliwa mchana kweupe Namhurumia huyo Mwakalinga aliyetoa hicho kiwanja Angetoa tu kwa muda kuwa salieni hapa hadi hilo kanisa jipya lisimike viongozi ndipo akabidhi kiwanja officially kwa hilo kanisa jipya sio kwa mwaikali au kwa Mwambola
Wewe hujui wito wa Mungu na Mtu! Akuna wakumsimika kivipi! Mungu kasha msimika hakuna wa kumzuia! Mtumishi mwenye maono makubwa hupigwa vita! Mungu atamunua hamtaamini!
Hivi wewe unaumia nini si ubaki na mwakihaba wako hiyo huruma imeonekana baada ya kuhamia waliko, ulikuwa wapi na huruma zako Wakati wa mgogoro, mlisema Hana watu mmeanza kuhaha mtaona jumapili Mambo bado ni Moto MUNGU anawatumia watu wake
Nafikiri muda wa kulaumiana umeisha sasa ili mradi kila mmoja kabaki upande aliochagua yeye, hakuna aliye sahihi wala aliyekosea mbele ya macho na akili za wanadamu. Mungu peke yake ndiye ajuaye, acha injili iende mbele kwa namna yeyote ile iwe ya kumpendeza au kumuudhi binadamu yeyote, lakini anayestahili kuabudiwa ni Mungu tu kupitia mwanye Yesu kristo. Tuache malumbano ndugu zangu, hayataisha hata siku moja na muda fulani tukubali kutokubaliana.
Alitakiwa yeye na hao wachungaji wake wasimikwe kwanza na uongozi wa hilo kanisa jipya la Kiinjili la Afrika Mashariki ndipo waanze kufanya kazi kama wachungaji na Askofu Hawajasimikwa na yeyote kwenye kanisa la watu wameanza ku practice uchungaji na uaskofu kienyeji Huko nii kuanzisha mgogoro mwingine wa kikatiba kwenye hilo kanisa jipya
dah nimependa sana sijawahi ona askofu mwingine aneomba hivi jamani dah mungu awe nae milele haki huinua taifa bali dhambi ni aibu Mungu azidi kukupa nguvu mtu Wamungu
Mwaikali anavyopenda pesa.Hizo sadaka kwenye ungo tu lazima zitakuwa zimempandisha ugonjwa wa moyo Pesa za sadaka kiduchu alizoea kukusanya mamilioni leo hata huo ungo haujai atakuwa hakulala kwa Pressure
Huo ndio ukristo Yesu anapenda sana uamusho makanisa kuongezeka saaaaafi
Uamsho ndani ya Uasi Mchungaji
Mkiitisha alambee ntakuja kuwaunga mkono!mpo kwenye haki Sana
Bora wanzisha migogoro wamejitenga wenyewe,
😄😄😄😄😄😄😄😄jaman mwaikali aoni ata haya jaman mwe ilo kanisa wanajisumbua tyu akina chochot anacho taka nihela tu anataka polen mlio mfuata uyo mbaba nakisembe icho analusha tu mate akiongea Pepo uyo lime mvaa mwakatobe pole na uzee wote uo jaman
Hongereni watiumishi wa Mungu. Mtakuwa jeshi kubwa.
Andrew king una pepo kwani unakuwa na roho mbaya hivyo
Kazeni buti mtafanikiwa simameni kwenye haki ya kweli
Cha msingi sana ni kujiandaa ili bwana akija akute taa yako ipo na mafuta.
Mbarikiwe na bwana watumishi mungu azidi kuwatunza
Mungu atabaki kuwa mungu tu
YESU anapata faida kanisa linapopanuka
Uamsho unazidi ,mala nyingi uamsho unakuja pindi watu wanakwenda kuanzisha kitu chao na haswa kama watazingatia utakatifu na utawa
Kongole
Fanya kazi kwaujasili baba
Kweli hiz n cku za mwisho
amina huhukoko sisi kkt hatutaki migogoro
Mungu alitetee kanisa lake!!
MWAIKALI NI ASKOFU ALIYEPAKWA MAFUTA YA BWANA SIO WALE WAPAKWA MAFUTA YA MAWESE ..... WANATAKA MALI KULIKO KUHUBIRI INJILI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka kama mazuri hahaaaaaa mafuta ya mawese
Ana wivu na Madaraka
@@eldasylyavala9622 mafuta Ya Nguruwee Hahaha Hahahaha
Hakuna asiyetaka mali wewe mwenyewe unataka
Migogoro jazz Band
Wapo kwenye hema lao
Ili dhahabu ing'ae razima ipitishwe kwenye moto,hivyo Kila jaribu mlilopitia watumishi mungu alikua 'namakusudi.jina la bwana libarikiwe
amen amen
Yaaani Mwaikali bana unapenda sana Madaraka umeona Uanzishe kanisa jingine aiseeee
Ulitaka abaki nyumbani?
Kila mnachokifanya mtatolea heasabu
Hongereni sana wapendwa wa Mungu kwa kutiwa nguvu na kuendelea kusimama kwa kazi ya Mungu, mali na vitu sio kitu. Haki bado itasimama hata km sio leo ikaonekana kwa macho ya watu ila bakini ktk kweli ya Mungu. Madhehebu na dini ni njia tu ya kumtafuta na kumfikia Mungu na kutiana moyo wa kwenda mbinguni, lakuna kujidai kua ipi ndo liko sahihi, yote yako sahihi ili mradi jina la Bwana Yesu linaitwa hapo katika roho na kweli. Ivyo isiwe kigezo cha kukwamisha watu kuona ukuu wa Mungu. Mwenyezi Mungu awabariki. Zaidi kaeni kwenye amri iliyo kuu "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na akili zako zote.....................
amen amen
mungu akubariki .mwaikali songa mbele tuko pamoja
Mmm! Na mchungaji Mwakatobe naye!
Wanajaribu kutabasamu ila moyoni mnakataa. Wanajilazimisha ila nafsi zinawasuta
Sasa nimeamini hizi ni siku za mwisho tutahama makanisa mpaka tupishane na Yesu
Hahaha yaan YESU ipo cku tutapishana nae mlangon unapogeuka unakuta mlango umefungwa MUNGU aturehem
Atafute jina lake siyo KKKT NA AACHE KUZAA ZAA NJE YA NDOA ETI MCHUNGAJI. Tamaa zao za pesa za waumini
mi ata sielewi wepi ni sahihi wa kule au hawa, Mungu atusaidie
WAHUKU NDO SAHIHI.
Kanisa kinaendelea kukua isipokuwa kola mmoja akapanda basi,kila mmoja ana haki
WinnerJudith litakalo hukumiwa siyo Kanisa ni wewe na moyo wako lakini amani ni kitu Cha muhimu sana kwa mtu anayemwabudu Mungu tumechoka kuonyeshwa mitutu ya bunduki kwa sababu ya tamaa ya Mali
mbona kama haongei kitu huyu mwaikali anashindwa hata kuomba loooooh
Ila Mwaikali anawatesa jamani.Ila tumepata somo kubwa sana,tumejifunza aina za wanyakyusa tulikua tunawaona.Daaahhh mmetisha
Angekuwa wa hovyo wasingelimuandama hivi
Loh,ama kweli ukijihatibu nafsi huwezi kutofautisha kati ya chumvi na sukari.
Mbombo ngafu kwakweli looo
Waache wamuhubili Mungu wewe unaumia nini
Sasa mwamba wa kiburi na jeur mwambola analilia nn
Aonewe huruma
Saafi sana injili iendelee MUNGU awasimamie
Songa mbele usigeuke nyuka ukawa jiwe la chunvi chapachapa injili mavuno nimengi watenda kazi wachache kazi ya Mungu ni wito sio kuwekwa na binadamu chapa chapa injili twende na kkam tunakiu na neno
Huyo mpenda pesa tu. Najua na anaongea na wanyonge tu
Bado hela zetu za miti tulizokuwa tunatoa kila mkristo 1000 kwa mwezi
Songa mbele imani yenu idumu
Kamsimika.nani uaskofu kwenye hilo kanisa jipya? Mbona hajasimikwa.Nguo kaamua.kwenda kujishonea mwenyewe kwa fundi cherehani huo utapeli wa mchana kweupe
Alichokibariki Mungu hakuna aweza kulaani
Mlikuwa mnajilisha upepo😃😃 tulieni dawa iwaingie
Andrew king subiri tarehe 17.07ndio ujue kasimikwa au siyo uaskofu siyo nguo Wala kiti ni moyo
@@chancemgaya8705 sasa kiti cha uaskofu na mavazi na Pete za uaskofu alikatalia za nini hadi kulazimishwa kutoa kama uaskofu sio kofia,vazi wala kiti?
@@andrewking6187 Hivi Hicho kiti kinakabidhiwa kwa madalali na Polisi hawakufuata taratibu au na wewe ni mamluki manake Mwaikali kawaachia Kila kitu lakini bado mnamfuatilia fikirieni vitu vya maendeleo Wacha sisi tupagawe na Injili ya kweli yenye pumzi siyo ya kinafki
@@chancemgaya8705 atasimikwa kwa nguvu bila uchaguzi?
Wameru watatoka Arusha na kuja kumsimika kimabavu bila waumini kumpigia kura!!
Wanafika na kumsimika kienyeji
Kifupi hiko kanisa kwa Mbeya halina Askofu wala mchungaji sababu hakuna hata mmoja aliyesimikwa na viongozi juu wa hilo kanisa waliopo!
Uchungaji na uaskofu huwezi hama nao kienyeji tu toka kanisa moja kwenda lingine tofauti.
Kila kiburi na jeuri dhidi ya umoja wa Kanisa a Mungu ni teso kwa wanaofanya hivyo.
Askofu Mwaikale wewe ni mfano mzuri wa kuigwa Mungu akubariki akutunze wakikukataa Mungu hajakukataa fanya kazi ya bwana
Yeye ndio alianza kuwakataa wachungaji wake
Anayezaa ovyo nje ya ndoa
Kama mali za wenzenu sii kitu mmekwapua za nini??? rudisheni vyoote ..
Hahaha Hahahaha Hahaha 😆😂😆😂😂😂😂
Mbona kama unamakasiriko??😃😃
Tulia dawa ikuingie
@@sylyavalaeditha8660 siyo makasiriko wanasema wenzao wasihangaike na mali wakati wao usiku na mchana wanahangaika kubeba mali za wenzao hili tunaliitaje??
@@mwakaombi5085 Dawa gani unayoiona wewe ni dawa ya kukuingia??
Amekabidhi ghorofa
We mzee acha uroho wa malaka elimu yote ulio nayo unadanganywa na watu wa darasa la saba
Mwacheni??🤔🤔
Wanaume wachache sana naona wengi wanawake
Hata KKKT ukihesabu wanawake ni wengi kuliko wanaume
Wanawake ndo waombaji wakuu
Ni wepesi kudanganywa
UNATAKA WAWE SAWA KWA SAWA kwani umeambiwa
KUNA KAZI YA KUOANA HAPO🤣🤣🤣???
Hawezi kuwapeleka mbinguni huyo.
kwani Martine Lutha Kanisa aliitoa mbinguni.
Tuko pamoja mwaikali I'm tim mwaikali...
Wengine hata hawaelewi cha kufanya leo wamejaa kesho wanarudi K.K .K.T.Sasa mmehama nini wakati taratibu nizilezile za K.K.K.T?
@@solomonfibe7706 ndani yakanisa Kuna mamb mengi katika uongozi
MATHAYO 17 ; 10'13 LUKA 1:17.ELIYA KAJA BADO AMUMTAKI.HII VITA BADO SI YA MWILINI HII
Kwan ulikuwa unapigana mwilini.
Wenzio hatujawahi waliokuwa wanapigana mwilini ndo walituletea police
Songeni mbele wana Wa Mungu uamsho Wa Martin Luther umeingia Tanzania sasa.
Acha kuwadanganya watu
@@kicheko1252 Aingiaye kwa mshale atatolewa kwa mshale.
Heeee! makanisa ya Mbeya!!?
Ameeee
Ushauri na mazungumzo ni tofauti....kwamba mgogoro usihurubiwe lkn mazungumzo yanagusia mgogoro
Sawa,yote mema!!
Uaskofu unahama nao toka kanisa moja kwenda lingine bila kuchaguliwa kwa kura kwenye hilo.kanisa jipya?
Mwaikali tapeli
Kawaachia vyote bado mnahangaika nae wanyakyusa mnafeli wapi,mapango yenu kawaachia yote.Ila mna roho Mbaya kama nyie kwa nyie mnapinduana makabila mengine si mtawauwa kabisaaa.Ondoeni ukanda mtakua huru tena huru kweli bila hivyo KKKT itazalisha makanisa maelfu kwa maelfu.Makanisa unayoyaona yote haya unayoyaona leo Chanzo ni ukiritimba,ukanda,roho Mbaya,uchu wa madaraka,Watu kujihesabia haki kuliko wengine walioko ndani ya KKKT.Aibu kubwa sana
Unakasirika ukiwa wap.😃😃
Tafuta maarifa kwanza
Ndyo ujue shida ni madaraka, maana kama ni swala la kumtumikia Mungu unaweza kumtumikia hata bila kuwa askofu
@@stellamsuya1178 hayo maneno ulipaswa umwambie mwakihaba ambaye amemsaliti mwenzie na kumpindua
@@sylyavalaeditha8660 Mimi sipo kumwambia Mwaikali Wala Mwakihaba, na sema iliyokweli, kwani hata kama alipindulia, kulikuwa na haja Gani ya kung'ang'ania Uaskofu kias hicho? Kwan angebaki mchungaj wa kawaida Mungu asingeendelee kumtumia? Sasa hapo Kuna fundsho gan unapata wewe?
Mwaikali
Nasikia walikabidhi mali, hivi auditors walikagua hesabu za fedha?
Unahangaika
Unataka kusemaje😃😃
KKAM wamemsimika lini kuwa Askofu?
Alikwishasimikwa toka utoto wake ( Your future life is old to our God
Tulimsimika siku mliyomuhukumu,kama alivyohukumiwa Stephano.Kumbukeni kila kitu mlikua mnaanika mitandaoni mkafikiri sifa.Haya ndio matunda yake.
KKAM mweeee
Kilefu chake ni nini
HUYU MTUMISHI ANA WATU SANA
Ni mnyenyekevu sana
Alikuwa na hoja nzuri Sana sema sijui kwanini kkkt wameamua kufukuza
Hili neno lutheran mngeacha mtafute neno lenu huu unakua ni uasi tu
Hujui kama lilisajiliwa miaka Mungu Hili sio Kanisa jipya Mtumishi wa lipo muda mrefu, isipokuwa moja la ndani ya Tanzania tu.Jingine linavuka mipaka.
Hujui kama lilisajiliwa miaka Mungu Hili sio Kanisa jipya Mtumishi wa lipo muda mrefu, isipokuwa moja la ndani ya Tanzania tu.Jingine linavuka mipaka.
Nani kakwambia KKKT Ina hati milki ya neno "Lutheran"
KKKT mtajimilikisha Bible, na hata jina la Yusu Kristu.Acheni ubinafsi wana wa Mungu.
Ni kweli wajiite kwa jina lao mbona wanaing'ang'ania Luther wakt nao wanamajina tunalijua KKKT hilo kkam limetoka wap washindwe
Eti anasema leo ni ibada moja tu.Watu wachache hao ibada mbili zitoke wapi?
Na wengine hapo wamekuja tu.ku beep.Jumapili ijayo wanarudi KKKT
Ukitazama watu wa maana wenye hadhi zao wamebaki KKKT .Sura zenye hadhi wenye pesa zao na hadhi zao hazipo kwenye hiyo ibada
Roho ya utengano haiishi, na haiachi mtu salama
Hao watu waliomfuata Mwaikali kweli akili zimo? Askofu wao hilo kanisa jipya hawajamsimika wanamchukulia kuwa tayari Askofu na hao wachungaji akina Mwambola hata hawajasimikwa na uongozi wa hilo kanisa jipya wanawachukulia tayari kama wachungaji wa hilo kanisa jipya bila uongozi wa hilo kanisa jipya walikohamia kuwasimika rasmi
Mbona wanatapeliwa mchana kweupe
Namhurumia huyo Mwakalinga aliyetoa hicho kiwanja Angetoa tu kwa muda kuwa salieni hapa hadi hilo kanisa jipya lisimike viongozi ndipo akabidhi kiwanja officially kwa hilo kanisa jipya sio kwa mwaikali au kwa Mwambola
Wewe hujui wito wa Mungu na Mtu! Akuna wakumsimika kivipi! Mungu kasha msimika hakuna wa kumzuia! Mtumishi mwenye maono makubwa hupigwa vita! Mungu atamunua hamtaamini!
Hivi wewe unaumia nini si ubaki na mwakihaba wako hiyo huruma imeonekana baada ya kuhamia waliko, ulikuwa wapi na huruma zako Wakati wa mgogoro, mlisema Hana watu mmeanza kuhaha mtaona jumapili Mambo bado ni Moto MUNGU anawatumia watu wake
Kwanza nikuulize wewe ni Mlutheri? Kama ni Mlutheri basi katafute historia ya Martine luther
@@lucasmwijage2357 hata HUJUI unachosema
Nafikiri muda wa kulaumiana umeisha sasa ili mradi kila mmoja kabaki upande aliochagua yeye, hakuna aliye sahihi wala aliyekosea mbele ya macho na akili za wanadamu. Mungu peke yake ndiye ajuaye, acha injili iende mbele kwa namna yeyote ile iwe ya kumpendeza au kumuudhi binadamu yeyote, lakini anayestahili kuabudiwa ni Mungu tu kupitia mwanye Yesu kristo. Tuache malumbano ndugu zangu, hayataisha hata siku moja na muda fulani tukubali kutokubaliana.
Alitakiwa yeye na hao wachungaji wake wasimikwe kwanza na uongozi wa hilo kanisa jipya la Kiinjili la Afrika Mashariki ndipo waanze kufanya kazi kama wachungaji na Askofu
Hawajasimikwa na yeyote kwenye kanisa la watu wameanza ku practice uchungaji na uaskofu kienyeji
Huko nii kuanzisha mgogoro mwingine wa kikatiba kwenye hilo kanisa jipya
Mungu ndoo atatuhukumu siku ya mwisho duuu!
Chokochoko.hata Kanisa unalolitaja silo walilohamia.kwa ujumla una hasira.wasema usichokifahamu
@@philbertcelestin7057 subiri kesho utaratibu wote utauona
AMANI NDIO Kila kitu hapa dunia hii...
dah nimependa sana sijawahi ona askofu mwingine aneomba hivi jamani dah mungu awe nae milele
haki huinua taifa bali dhambi ni aibu
Mungu azidi kukupa nguvu mtu Wamungu
Uchu wa madaraka huo hadi sala inakuwa ni uovu tupu
Hahahah Hahahaha 😆😂😆🤣😆😂 Ndio Shida Ya Mwaikali
Mlijua mmemmaliza au😃😃
Tulieni dawa iwaingie
Mnahangaika,uchu wa madaraka snap aliyempindua boss wake aibu sana
Mwaikali anavyopenda pesa.Hizo sadaka kwenye ungo tu lazima zitakuwa zimempandisha ugonjwa wa moyo
Pesa za sadaka kiduchu alizoea kukusanya mamilioni leo hata huo ungo haujai atakuwa hakulala kwa Pressure
Kkam 💒🌍
Rudisheni lilakitu mpk vitabu vyote vya Tumwabudu Mungu wetu,. Mtunge na muanzishe vipya kwa Imani yenu
Aliyekwambia nyimbo zote za tumwabudu Mungu wetu zilitungwa na Walutheri nani? Acha ujinga wewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo hamjaleta police nacheka kama mazuri mimi
@@fabbyjames5525 police nao wamewachoka hahaaaaaaaaa acheni tu neno lihubiriwe
Mwaikali ana Uchu na Madaraka ni Mtu Wa Ajabu Sana
Vitabu si vinanunuuliwa tu madukani wapi wamewaandikia ni kitabu chenu wenyewe kitabu kitatumika na kila mmoja so kaa kimya