Waalaikum assalam, ingawa sipendezwi na mtindo wa Muhammad Bachu kuhusu masuala kadhaa, unakosa kuelewa ujumbe wake katika mazungumzo yake na Sheikh Mafuta. Sheikh Qassim Mafuta na timu yake wameendelea kusisitiza kuwa kupiga picha ni marufuku kabisa. Mara nyingi wamepuuzilia mbali maoni ya wanazuoni wengine kuhusu jambo hilo, kama ilivyo kwa ujumbe uliochezwa kutoka kwa Sheikh Uthaymin. Hivyo basi, ni unafiki kwa Sheikh Mafuta na kundi lake kuhubiri jambo jingine kisha kufanya tofauti kwa siri. Hilo ndilo ambalo Bachu analijali.
Sheikh Allah akulipe kwa Elimu na faida kubwa tulopata lakini unatufafanulia uharamu wa picha kitu ambacho sicho alichohoji Bachu maswali ya Bachu kwenu je ilipigwa bila muhusika kujua au ni pasport size iloeditiwa ? msitumie nguvu kubwa kumtakasa mtu ni bora kumnasihi Qassimu Mafuta MASWALI YA BACHU HAYAJAJIBIWA
Hayo maswali Yana faida gani kwa dini? Ustadh ameeleza hukumu ya picha ambayo ndio mambo ya dini. Ama utapata faida gani kujua picha imepigwa, ama imeiditiwa. Faidika na Yale muhimu kwa dini yako.
@@mustafaibrahim5200 Sasa cha maana alichouliza ni nini?? Ile picha yeye kaitoa wapi kwanini asiende kumnasihi kwa siri badala ya kumfeshehesha hadharani? Bachu ni mwalimu wa majaahil
Hapana mbona ata yy Kassim mafuta hamnasih mtu kwa siri, uliona alivomvaa Dr. Islam na wengine, je hakuana nafasi ya kunasihi siri iwe kwa Bachu tu. Hebu tuwena wa kweli wa hakki.@@AlmasAbdallah-r3g
Shekh; unachokisema khs shekh bachu, umemuelewa vibaya. makusudio ya bachu ni kutokana na misimamo ya shekh qasm khs kupiga picha ni kharaam kwake na aliwasema vibaya sn wale wt wenye kupiga picha kwa mlango wa dharula, Tena na kuwapa majina ya hovyo kbs. Kwaiyo bachu anakusudia ilo kwamba, ww qasm misimamo yk picha ni kharaam je imekuwaje Leo upigea picha? Hilo suali la shekh bachu. na akatolea mfano wa kule nyuma juu ya misimamo yk qasm juu ya taasisi kuwa ni harasm hatima yake nayy akasajili taasisi, haya ndo maneno ya shekh bachu Allah amhifadhi. na unasema khs nasaha, yaani nyie wafuasi wa shekh qasm ndo mnajuwa kutoka nasaha sahihi Ila wengine woote wakisema hata km ni jambo la sw hamkubali kbs, mwajifanya nyie ni maasum, wakati ndo mnamidomo michafu mno. acheni tabia mbaya hiyo hii ni dini ya Allah Wala siyo ya shekh qasm na wafuasi wake, fikieni mahala muikatae fitna na kujikweza, aneni ss daawa yanu jinsi Allah anavowazalilisha, na tambuweni kuwa mwisho wenu mtajisambalatisha wenyewe kwa wenyewe na hii imeshaanza tayar, Allah atawabainisha wt mmoja baada yamwingine mwisho khaq ataibainisha tu INSHAALLAH
Ndugu yangu je wewe waongea hayo maneno ukiwa katika hali ya kawaida au hasira tu? Ninayo mihadhara ya sheikh Qasim mafuta akizungumzia picha katika sehemu tofauti tofauti ila hakuna sehemu sheikh kamwita mtu hizby au khurafi kwasababu ya picha je wewe untoa wapi hilo? Nataka unitumie hizo audio akiwaita watu majina mbaya kwasababu ya picha Pili mihadhara ya sheikh Qasim mafuta kuhusu taasisi ninayo na hakuna mahali kahalalisha kisha kaharamisha bali msimamo wake wa zamani kabla ya kusajili ndio huo huo alio kua nao baada ya kusajili sasa kama unao ushahidi kuhusu madai yako lete na hakuna sehemu sheikh kamwita mtu hizby au khurafi kwasababu ya taasisi kama unao ushahidi lete
Wew ufaham wako ni mdgo kwanza kabisa unaweza kuleta sauti ya shaykh qassm akiwasema vibaya wanaopiga picha kwa mlango wa zarura Kisha ww soma dini kwanza
Maneno ya hekima bila uadilifu cjui utaiweka wapi ktk mizani. Maana ukimtaja Bachu nikama ndo mwenye makosa tu Bali muhusika Mkuu wa mtaja kwa heshima. Au ndo uslubu gani ktk hii dawa salafiyyah
Kwanza kabisa Shekh Muhammad Bachu haja kosea kwa alicho kifanya, pia hajaeneza maovu ya Shekh Qassim Mafuta. Nyinyi munao jiita masalafi mmeharibu sehemu kubwa mnooo ya maamiliano baina ya Waislamu, na mumepanda miche miovu kwenye nukta hii, ispokua wachache walio rehemewa na Allaah, hawaungi mkono hili kosa. Pia Shekh Qassim yeye mwenyewe kesha wadhalilisha wengi na kukhalifu haya maelekezo ya Usilamu, lkn pia anapofanya kosa Shekhe wenu ndio hizi Aya na Hadithi na maelezo ya Ulamaa nyinyi mnaziona!!! Sasa hii ni dalili ya wazi juu ya ufisadi wa manhaji yenu kwenye nukta hii. Pia mnachukiwa sana kwa sbb ya uchafu wa yale yanayo toka midomoni mwenu dhidi ya Waislamu wenzenu, tena Wana Sunnah khasa. Pia hamukutosheka, bali mnatafunana nyinyi kwa nyinyi. Shekh Muhammad Bachu Allaah amhifadhi, ameweka elimu wazi juu ya mwenendo wenu kiujumla, na Shekh Qassim khasa, kwamba yeye anasema hivi, khalafu anarudi na kufanya kinyume na vile alivyo sema! Lakini ndugu zetu nyinyi matendo yenu na maneno yenu yanaonesha kua mnapinga kukosea kwa mashekhe zenu. Sasa kama hapa tangu unaana Nasaha yako kama ulivyo sema, hujatamka kua Shekh Qassim kakosea kweli, au jambo lake ukweli wake nihuu. Bali umezungumza kwa mujmal, sasa tusiende hivi, mambo mmeyachafua nyinyi, na mume wadhulumu wengi pasi na haqqi ya kuwafanyia dhulma hizo, na munaona nisawa kwa wao kufanyiwa hivyo, ila kwa Mashekhe zenu ni hapana!!! Lamsingi acheni tabia ya kuwahukumia upotevu na uzushi Wana Sunnah, musipo acha hii tabia, mutaendelea kudhulumu watu, na mukikosea nyinyi mutatafuta njia ya kulifanya lile kosa ni kitu cha kawaida au Shekh hajakosea. Alicho fanya Shekh Muhammad Bachu ni kuonesha na kukuzindueni nyinyi juu ya mwenendo wenu mbaya dhidi ya Wana Sunnah........... Nasio kumdhalilisha Shekh Qassim. Nawe ndugu yangu unasema wazi Muhammad Bachu, yani ukimuita Shekhe tayari kushamnyanyua.............. Mhmhmh!!! Badilisheni tabia ndugu zangu ili tuende sawa, ingawa wewe sijaona ukidhulumu ndugu zako Wana Sunnah, ila wewe wafuata na kutii dhulma wanazo fanyiwa ndugu zako.
Ndgu OmarAlly Hatujiiti masalafi, bali sheria yetu inatuita hivyo na inakubali ssi kujinasibisha na usalafi Mmi nakuomba sana, uisome hii manhaj ya assalafiyyah kwa uadilifu Alafu bainisha ni sehemu gani wameiharibu mashekh na maulamaa wanaifuata manhajus salaf, kwa sabbu ya kulingania hii manhaj Kikubwa tumuogope Allaah
Alafu, ni yupi shekh anayeitwa na sheria kuwa ni Mwana sunnah? Taja kwa ushahidi ni yupi mwanasunnah alidhalilishwa na shekh Qaasimu kwa dhulma? Je Mtu anayejinasibu na sunnah, sheria inakubali madai yake kwa vigezo vipi?
Mimi nimekuwa nikimuunga mkono Muhammad Bachu,lakini kwa hili toka hapo mwanzo,si kuwa pamoja naye,kiungwana Bachu kwa hili na aombe radhi,na huo ndio uislamu.
@@MuqaddamBakri Halafu kaandika ujinga2 muulize Bachu kwaninivsaivi kaacha kuita majadida? Maana yake alikua jaahil na Allah amuongoze atoke katika ujaahil.
Kwni Shekh lenu Mafuta ni maasuumy... Mbna inatengenezwa mazingira kama vile zile picha ilikua kama ni ajali ilhali inaonyesha kua amejaa tabasam wakati anapigwa picha... Hebu isemeni haqqi atakama ni mchungu...
MAFUTA kapiga selfy mwenyewe, na tatizo lenu nyinyi hamuoni kma mafuta anatabiabhiyo ya kuwatoa watu kwenye manhaj, mbona hamulijadili hili, alisema kama dr islam na abuu muawiya sio katika salafi, mbna hamujaja online mukapginga uyo mafuta wenu?
حفظك الله و كثّر الله أمثالك
بارك الله فيكم
هذا بيان مبين
Maashaallahu shekhe
Maashaallah jazakumu llahu khayran
Maashallahu
اللهم بارك شيخنا ابو عبيد
Mashaaallah allah amzidishieee shekh wetu
ما أجمل نصيحتك!!!!!
ما شاء الله
HAPA NDIO UJINGA WA MUHAMMAD BACHU UNAPODHIHIRI.
ALLAH AMUONGOZE KWENYE HAKI HUYU KIJANA
Ujinga wa bachu ni upi wakati kasim mafuta ndie alie sema kupiga picha ni kharam alafu amejipiga mwenyewe
Ikitokea umeona video za utupu za mtu,je utazisambaza kwasababu ni alifanya kwa kusudi? Jitambue Sheikh@@nzwibasaidi7953
بارك لله فيك يا اخي في لله
بفضلك يا أخي الكريم، قل أو ٱكتب؛- "…....بارك (الله) فيك يا في (الله)......"
Jazaakallahu khayraa kwa elmu uliyo tupa.lakini nasaha zako ulipaswa uzielekeze kwa qasim na mohamad mafuta
Akhy Allah akukipe radd mwanzo mpaka nwisho imejaa hoja ambazo hazina kejeli.
Allah akulipe kheri
Allahum Ameen
Naswaha yako ilkuwa na inswaf Allah Akuzidishie na wengine waige raddi kma yako haujatukana ila umebainisha hakii kwa anaetaka
Waalaikum assalam, ingawa sipendezwi na mtindo wa Muhammad Bachu kuhusu masuala kadhaa, unakosa kuelewa ujumbe wake katika mazungumzo yake na Sheikh Mafuta. Sheikh Qassim Mafuta na timu yake wameendelea kusisitiza kuwa kupiga picha ni marufuku kabisa. Mara nyingi wamepuuzilia mbali maoni ya wanazuoni wengine kuhusu jambo hilo, kama ilivyo kwa ujumbe uliochezwa kutoka kwa Sheikh Uthaymin. Hivyo basi, ni unafiki kwa Sheikh Mafuta na kundi lake kuhubiri jambo jingine kisha kufanya tofauti kwa siri. Hilo ndilo ambalo Bachu analijali.
Hivi ww ukimuita mtu mnafiki unaelewa maana yake au ww upo kweny kundi la wajinga
Kisha ww nakushaur usome dini kwanza utaelew mambo mengine
Ww sema kweli tu unamraddi kasim mafuta😂😂😂
Ndio shekhe wake hawez mrad
Sheikh Allah akulipe kwa Elimu na faida kubwa tulopata lakini unatufafanulia uharamu wa picha kitu ambacho sicho alichohoji Bachu maswali ya Bachu kwenu je ilipigwa bila muhusika kujua au ni pasport size iloeditiwa ?
msitumie nguvu kubwa kumtakasa mtu ni bora kumnasihi Qassimu Mafuta
MASWALI YA BACHU HAYAJAJIBIWA
Hayo maswali Yana faida gani kwa dini? Ustadh ameeleza hukumu ya picha ambayo ndio mambo ya dini. Ama utapata faida gani kujua picha imepigwa, ama imeiditiwa. Faidika na Yale muhimu kwa dini yako.
@@Hussein-Abu-Fathiyyah kumtendea haki muulizaji ni kumjibu kile alichouliza sio kumzulia
@@mustafaibrahim5200 Sasa cha maana alichouliza ni nini?? Ile picha yeye kaitoa wapi kwanini asiende kumnasihi kwa siri badala ya kumfeshehesha hadharani? Bachu ni mwalimu wa majaahil
Hapana mbona ata yy Kassim mafuta hamnasih mtu kwa siri, uliona alivomvaa Dr. Islam na wengine, je hakuana nafasi ya kunasihi siri iwe kwa Bachu tu. Hebu tuwena wa kweli wa hakki.@@AlmasAbdallah-r3g
Mhamad bachu ni mwehu kwani hajui kusoma aje PONGWE afundishe
Shekh; unachokisema khs shekh bachu, umemuelewa vibaya. makusudio ya bachu ni kutokana na misimamo ya shekh qasm khs kupiga picha ni kharaam kwake na aliwasema vibaya sn wale wt wenye kupiga picha kwa mlango wa dharula, Tena na kuwapa majina ya hovyo kbs. Kwaiyo bachu anakusudia ilo kwamba, ww qasm misimamo yk picha ni kharaam je imekuwaje Leo upigea picha? Hilo suali la shekh bachu. na akatolea mfano wa kule nyuma juu ya misimamo yk qasm juu ya taasisi kuwa ni harasm hatima yake nayy akasajili taasisi, haya ndo maneno ya shekh bachu Allah amhifadhi. na unasema khs nasaha, yaani nyie wafuasi wa shekh qasm ndo mnajuwa kutoka nasaha sahihi Ila wengine woote wakisema hata km ni jambo la sw hamkubali kbs, mwajifanya nyie ni maasum, wakati ndo mnamidomo michafu mno. acheni tabia mbaya hiyo hii ni dini ya Allah Wala siyo ya shekh qasm na wafuasi wake, fikieni mahala muikatae fitna na kujikweza, aneni ss daawa yanu jinsi Allah anavowazalilisha, na tambuweni kuwa mwisho wenu mtajisambalatisha wenyewe kwa wenyewe na hii imeshaanza tayar, Allah atawabainisha wt mmoja baada yamwingine mwisho khaq ataibainisha tu INSHAALLAH
Ndugu yangu je wewe waongea hayo maneno ukiwa katika hali ya kawaida au hasira tu?
Ninayo mihadhara ya sheikh Qasim mafuta akizungumzia picha katika sehemu tofauti tofauti ila hakuna sehemu sheikh kamwita mtu hizby au khurafi kwasababu ya picha je wewe untoa wapi hilo? Nataka unitumie hizo audio akiwaita watu majina mbaya kwasababu ya picha
Pili mihadhara ya sheikh Qasim mafuta kuhusu taasisi ninayo na hakuna mahali kahalalisha kisha kaharamisha bali msimamo wake wa zamani kabla ya kusajili ndio huo huo alio kua nao baada ya kusajili sasa kama unao ushahidi kuhusu madai yako lete na hakuna sehemu sheikh kamwita mtu hizby au khurafi kwasababu ya taasisi kama unao ushahidi lete
Wew ufaham wako ni mdgo kwanza kabisa unaweza kuleta sauti ya shaykh qassm akiwasema vibaya wanaopiga picha kwa mlango wa zarura Kisha ww soma dini kwanza
Maneno ya hekima bila uadilifu cjui utaiweka wapi ktk mizani. Maana ukimtaja Bachu nikama ndo mwenye makosa tu Bali muhusika Mkuu wa mtaja kwa heshima. Au ndo uslubu gani ktk hii dawa salafiyyah
Tupishe
Kwanza kabisa Shekh Muhammad Bachu haja kosea kwa alicho kifanya, pia hajaeneza maovu ya Shekh Qassim Mafuta.
Nyinyi munao jiita masalafi mmeharibu sehemu kubwa mnooo ya maamiliano baina ya Waislamu, na mumepanda miche miovu kwenye nukta hii, ispokua wachache walio rehemewa na Allaah, hawaungi mkono hili kosa.
Pia Shekh Qassim yeye mwenyewe kesha wadhalilisha wengi na kukhalifu haya maelekezo ya Usilamu, lkn pia anapofanya kosa Shekhe wenu ndio hizi Aya na Hadithi na maelezo ya Ulamaa nyinyi mnaziona!!!
Sasa hii ni dalili ya wazi juu ya ufisadi wa manhaji yenu kwenye nukta hii.
Pia mnachukiwa sana kwa sbb ya uchafu wa yale yanayo toka midomoni mwenu dhidi ya Waislamu wenzenu, tena Wana Sunnah khasa.
Pia hamukutosheka, bali mnatafunana nyinyi kwa nyinyi.
Shekh Muhammad Bachu Allaah amhifadhi, ameweka elimu wazi juu ya mwenendo wenu kiujumla, na Shekh Qassim khasa, kwamba yeye anasema hivi, khalafu anarudi na kufanya kinyume na vile alivyo sema!
Lakini ndugu zetu nyinyi matendo yenu na maneno yenu yanaonesha kua mnapinga kukosea kwa mashekhe zenu.
Sasa kama hapa tangu unaana Nasaha yako kama ulivyo sema, hujatamka kua Shekh Qassim kakosea kweli, au jambo lake ukweli wake nihuu.
Bali umezungumza kwa mujmal, sasa tusiende hivi, mambo mmeyachafua nyinyi, na mume wadhulumu wengi pasi na haqqi ya kuwafanyia dhulma hizo, na munaona nisawa kwa wao kufanyiwa hivyo, ila kwa Mashekhe zenu ni hapana!!!
Lamsingi acheni tabia ya kuwahukumia upotevu na uzushi Wana Sunnah, musipo acha hii tabia, mutaendelea kudhulumu watu, na mukikosea nyinyi mutatafuta njia ya kulifanya lile kosa ni kitu cha kawaida au Shekh hajakosea.
Alicho fanya Shekh Muhammad Bachu ni kuonesha na kukuzindueni nyinyi juu ya mwenendo wenu mbaya dhidi ya Wana Sunnah...........
Nasio kumdhalilisha Shekh Qassim.
Nawe ndugu yangu unasema wazi Muhammad Bachu, yani ukimuita Shekhe tayari kushamnyanyua..............
Mhmhmh!!!
Badilisheni tabia ndugu zangu ili tuende sawa, ingawa wewe sijaona ukidhulumu ndugu zako Wana Sunnah, ila wewe wafuata na kutii dhulma wanazo fanyiwa ndugu zako.
Sasa mandishi yote yanini watarajia nani atasoma maneno yote ayo baba😂😂😂
Ndgu OmarAlly
Hatujiiti masalafi, bali sheria yetu inatuita hivyo na inakubali ssi kujinasibisha na usalafi
Mmi nakuomba sana, uisome hii manhaj ya assalafiyyah kwa uadilifu
Alafu bainisha ni sehemu gani wameiharibu mashekh na maulamaa wanaifuata manhajus salaf, kwa sabbu ya kulingania hii manhaj
Kikubwa tumuogope Allaah
Alafu, ni yupi shekh anayeitwa na sheria kuwa ni Mwana sunnah?
Taja kwa ushahidi ni yupi mwanasunnah alidhalilishwa na shekh Qaasimu kwa dhulma?
Je Mtu anayejinasibu na sunnah, sheria inakubali madai yake kwa vigezo vipi?
Mimi nimekuwa nikimuunga mkono Muhammad Bachu,lakini kwa hili toka hapo mwanzo,si kuwa pamoja naye,kiungwana Bachu kwa hili na aombe radhi,na huo ndio uislamu.
@@MuqaddamBakri Halafu kaandika ujinga2 muulize Bachu kwaninivsaivi kaacha kuita majadida? Maana yake alikua jaahil na Allah amuongoze atoke katika ujaahil.
Kila kitu sasa sheikh na kujitikodi
We kila profile kupiga mipicha tu
wengine ndio hawa nao wataka kujulikana kupitia muhammad bachu io mada ilikua na mnasaba gani na muhammad bachu kama sikutafuta umaarufu
Masalafy feki wenyewe kwa wenyewe wanagombana, Laana ndo kwanza zinaanza, iko siku tunasuburi ngumi live,
Kwni Shekh lenu Mafuta ni maasuumy... Mbna inatengenezwa mazingira kama vile zile picha ilikua kama ni ajali ilhali inaonyesha kua amejaa tabasam wakati anapigwa picha... Hebu isemeni haqqi atakama ni mchungu...
kwani kabigwa na bachu makhurafi ndio walitoa kabla ya muhammad bachu
Huyu al uthaymin ni nan ktk dini?,,mi nadhan ungetembea tu na dalili za qur an,na sunna.huyu uthaimin sio dalili.
MAFUTA kapiga selfy mwenyewe, na tatizo lenu nyinyi hamuoni kma mafuta anatabiabhiyo ya kuwatoa watu kwenye manhaj, mbona hamulijadili hili, alisema kama dr islam na abuu muawiya sio katika salafi, mbna hamujaja online mukapginga uyo mafuta wenu?
😂Utajua hujui
Na wewe pia sio katika masalafi kwani ukijitazama upo kwenye safu ya masalafi?
wahabi vs wahabi
Masufi sijui hua mna matatizo gani!!!
@@jamalijamali6820tukulizen nyinyi mnao shambuliana nyinyi kwa nyinyi mawahabi
Maashaallahu shekhe