Wadau Wacharuka Mauaji, Utekaji wa Watoto: 'Haturidhishwi na Kasi ya Ufuatiliaji wa Matukio Haya'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Wadau na watetezi wa haki za watoto nchini wamejitokeza na kulaani vikali vitendo vya kutekwa, kupotea, kuibiwa na mauaji ya watoto vinavyoripotiwa katika maeneo mbalimbali nchini.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Asanteni kwakupaza saut, uuwaji wawatoto upo Sana mm mwanangu walitaka kuniulia namshukuru mungu akatokea msabaria mwema akamuokoa mwanangu 🙏🙏 nimefurahi Sana kwakusikia munapaza saut Hee mungu wetu utulindie watoto wetu🤲🤲 nakwakira anae jiusisha na uuwaji wawatoto mpe adhabu Kari mnoo mpaka afe🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏
Sijui wanataka watoto wafike wangapi??
haya mambo yana tia doa sana nchi yetu
😢
Kuna mijitu uku mtaaani aina kazi
Ivi tumepatwa na nini