Mm wang aliona sms kwa sim yagu ya mkaka bas kinifokea na kumpigia sm yule mkaka mpka saiv sm yang kaniuganisha na yake na saiv tupo kimya hatuongei je kuna upendo hpo
mhh mwanaume wa hv ni vigum sana kumpata kwa kwel unaweza kuishi na mwanaume lakini hujawah hata kuiona hela yake unajua kuna wanaume wa ajabu tena sio kidogo yaan yeye ndo atataka umuhudumie kwa kila kitu lakin hajawah kuweka Imani hata an kua unaupendo wa dhati kwake
Daah kweli nimependaaaa❤
Wahoo somo zuri,
Mm wang aliona sms kwa sim yagu ya mkaka bas kinifokea na kumpigia sm yule mkaka mpka saiv sm yang kaniuganisha na yake na saiv tupo kimya hatuongei je kuna upendo hpo
Nikweli mm mume wangu yupo kama hivyo❤
Mkono wabirika ndio wamejaa telee
🍷🍷🍷
fact
❤️❤️
Mm wangu alikuwa ivo ila gafla kakata mawasiliano
Yaan hii inaumiza san😢
@@HattaHatta-pk7hr sana tena mm ndio napitia hyo chagampto sjw nko upande up kupendwa au kupotezewa muda to
th-cam.com/video/7ffHM0T2pqU/w-d-xo.htmlsi=2h9pK6BIn3QC_8Ks
Kwamapenziya ss tunasubirikwanza miez frani ipite ndotujidhihirishe upendo wakwer, Utafanya hivo vyoote mwishowasiku utasikia dem analiwa najilani wanawake wa ss wazuri unapesa ukikosapesa 😢😢😢😢
mhh mwanaume wa hv ni vigum sana kumpata kwa kwel unaweza kuishi na mwanaume lakini hujawah hata kuiona hela yake unajua kuna wanaume wa ajabu tena sio kidogo yaan yeye ndo atataka umuhudumie kwa kila kitu lakin hajawah kuweka Imani hata an kua unaupendo wa dhati kwake
@@RukaiyaSeif-w9s ndio huyo wa kwangu mie mpaka najiuliza maswal meng mno na spat jib