"STEVE NYERERE AKUBALI YAISHE, NILEE WATOTO WANGU,ANAZIBA RIZIKI ZANGU"-SENGOMATRIDA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 244

  • @mercytoywa8518
    @mercytoywa8518 2 ปีที่แล้ว +6

    My favorite actor in Tanzania. Much love from Kenya. I love u more in mwamamziki

  • @rhodamiguma7336
    @rhodamiguma7336 2 ปีที่แล้ว +5

    Nakupenda sana Weru your so cute MUNGU akupe mume mwm

  • @trusilahonduso6090
    @trusilahonduso6090 2 ปีที่แล้ว +6

    From Kenya 🇰🇪 we love you especially my kids. I admire everything about you

  • @martinkinyua7650
    @martinkinyua7650 2 ปีที่แล้ว +12

    I like this lady. For sure she as talent. She is very active in pazia

  • @faharikhamis1042
    @faharikhamis1042 2 ปีที่แล้ว +2

    Yani we dada nakupenda hata uwe na watoto kumi bado nakupenda njoo nikupe really love forsure I need you mama

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 ปีที่แล้ว +5

    Her face😍🥰💟nampenda

  • @sakayonsakihunga3496
    @sakayonsakihunga3496 2 ปีที่แล้ว +4

    Nakupenda Sana we mdada achana na akina uwoya wanazeeka bila maadili

  • @twalib09
    @twalib09 2 ปีที่แล้ว +4

    Toto tamu mashallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @rehemajingu3909
    @rehemajingu3909 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja na uzur woote huo lkn sijawah kusikia skendo mbaya!! Mungu akutunze superwoman!!

  • @neemaegnatio7725
    @neemaegnatio7725 2 ปีที่แล้ว +2

    Uyu mdada nampenda sanaaa hata movi zake ziko vzr

  • @elinapouljensen9244
    @elinapouljensen9244 2 ปีที่แล้ว +10

    Kuna kuachana na mtu kwa kujutia kuwa nae kwenye maisha yako lakini yeye akawa bado anataka uwe nae, kinachofata apo ni chuki na roho mbaya ya kwanini anakua anatamani ukose ukome either ushindwe urejeshe ukaribu nae umuombe msaada ndo afurahi, yan kuna watu wkt mwingine adi unajuta kuwafahamu kwenye maisha yako

  • @prettypretty9745
    @prettypretty9745 2 ปีที่แล้ว +4

    Totooooooooo zuriiiiii mashallah

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 2 ปีที่แล้ว +17

    Wewe ni msomi mrembo.una lugha nzuri ya kuongea.achana na huyo stive hamuendani Wala hakufai

    • @vinnahjasson5546
      @vinnahjasson5546 2 ปีที่แล้ว

      Kabisaa

    • @frankngoloka2589
      @frankngoloka2589 ปีที่แล้ว

      Alinikimbia Mimi kaenda kwa Stive wake vumilia ndiyo maisha

    • @ashakufakunoga4904
      @ashakufakunoga4904 ปีที่แล้ว

      Unajua kila mtu anamazuri yake namabaya yake huyu Dada kipindi anakutana na Steve alikuwa namtoto mdogo sana katelekezwa namzazi mwenzie naalikuwa hajulikani kabisaaa kama sasa hivi hivyo asiongee maneno kupitiliza siyo kwamba Tivu hana yake yakumuongelea...sisi wanawake tukishika hela kunawengine hatukumbuki tuliko toka ..Heshima yamtu uliye zaa naesiyo sawa nayamtu ambae alikutoa kwenye mji wako kunasiku atakupa tukio na usiamini...

    • @user-qn3gl1uy3i
      @user-qn3gl1uy3i 2 หลายเดือนก่อน

      Ameshamuacha ni kwamba kwanini bado steve anamfatilia

  • @zeddybass6672
    @zeddybass6672 2 ปีที่แล้ว +4

    Mm binafsi kwa nilivyomuangaria huyu mwanamke ana dharau sema labda hamjajua na ndio maana tiv ake anarukaruka Kama kitenesi .usihukum kesi Kama hujajua upande wa pili tiv anasemaje

  • @dapriccy3574
    @dapriccy3574 2 ปีที่แล้ว +1

    Sema nn Dada angu wellu stive hata hakuwa type yako ko achana nae mpk hapo ww ni mshindi,,😘

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 2 ปีที่แล้ว +8

    steve nyerere alikua ana kula mzigo mzuri hivi jamani daah asee kweli sio lazma mwanaume uwe na SIXPAKI

  • @bensonfrancis5599
    @bensonfrancis5599 2 ปีที่แล้ว +7

    Nampendaga wellu sengo

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya8384 2 ปีที่แล้ว +6

    Nakupenda matilda

  • @zainaburamadhani7495
    @zainaburamadhani7495 2 ปีที่แล้ว +6

    Nampenda sana Rebecca

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 2 ปีที่แล้ว +6

    Huyu dem alikua na Steve 😳 kwel hela noma. Afu ashakua staa saiv anamuona mshkaj choko

    • @neemakilingo8282
      @neemakilingo8282 2 ปีที่แล้ว +1

      Sasa mume wa mtu utaendelea kuwa nae Hadi lini kn wakat mtu ata km anapesa unabidi umuache

    • @sarahfuraha875
      @sarahfuraha875 2 ปีที่แล้ว +1

      Mi nahisi huyu nimemuona kabla sijamjua Steve. Nadhan sio Steve aliyemnyanyua huyu

    • @nyotawauniquem7462
      @nyotawauniquem7462 2 ปีที่แล้ว +1

      Welu ni. Star kabla ya stiv dear

    • @habibahabiba7128
      @habibahabiba7128 2 ปีที่แล้ว

      @@nyotawauniquem7462 steve kwanza

    • @getrudamartin2409
      @getrudamartin2409 2 ปีที่แล้ว

      Wellu ameanza kuigiza mda angalia movie ya matilda kipindi yuko mwembamba sema siyo mtu wa skendo huyu dada yani kujionyesha mitandaoni

  • @nancyjohn5261
    @nancyjohn5261 2 ปีที่แล้ว

    Jamani Mungu akupiganie welu

  • @priscamwangama9192
    @priscamwangama9192 2 ปีที่แล้ว +4

    Dada anaongea kistarabu mpaka raha Pole mwanya

  • @mariamakungwa5391
    @mariamakungwa5391 2 ปีที่แล้ว

    Pole kumbe

  • @mauemy4685
    @mauemy4685 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Steve ndio angekua kiongozi wa wasanii angewabania sio kwa nongwa hii asee hafai

  • @theblessedone7526
    @theblessedone7526 2 ปีที่แล้ว +14

    She's not comfortable with the Len's 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-uz5cu7cr9h
    @user-uz5cu7cr9h 11 หลายเดือนก่อน

    Nic

  • @laxmikhairah1503
    @laxmikhairah1503 2 ปีที่แล้ว +3

    Pole mwaya
    Mana uyo ni adui wako cyo Mzazi mwenzio

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 2 ปีที่แล้ว

    Mungu atusaidie banadamu

  • @mohammedabdala7526
    @mohammedabdala7526 2 ปีที่แล้ว

    Da wellu ilove you

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 2 ปีที่แล้ว +7

    Huyu dada ni mzuri Sana jamani.stive alikuroga ili umpenda maana na uzuri wako huwezi kuwa na stive

    • @bigjrmsita8854
      @bigjrmsita8854 2 ปีที่แล้ว

      Mh uzuri ndio huwa kigezo,hapo ndio mnafeli

    • @ChristinaSanga-ht7ig
      @ChristinaSanga-ht7ig 2 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisaaa naungana na wewe

  • @kulwamsigwa3325
    @kulwamsigwa3325 2 ปีที่แล้ว

    Tivu mshamba Sanaa bado upo madili akuleleee mtoto wkt hutoi hata 100 ila tuwaachie wenyewe maana mapenzi haya usikute wakarudiana tukabaki vinywa wazi wazazi hawa

  • @kaimasawe1919
    @kaimasawe1919 2 ปีที่แล้ว +3

    Yaan Nina Kaka atakufaa Sana napenda uwe wifi yangu achana na wangoni

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 2 ปีที่แล้ว +10

    Dah.. Asee kweli usanii mzuri , Yani Steve huyuhuyu na ufupi wake na midomo yake myeusi yenye sugu za fegi ndo alikuwa anamiliki mzigo huuu Dah !! Sema nini sio type yake ndo maana wakaachana uchawi ume expire dada kajielewa 😀
    Steve watu wake akina Tausi na Mama njerekela.

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 2 ปีที่แล้ว +2

    Steve na rebeca hata hawaendani sijui alimpata wapi mtoto mzuri kama pesa kama mkeo hachoki kumtazama kila saa

  • @Aikenya254
    @Aikenya254 2 ปีที่แล้ว +5

    Ndio mlikua mnataka kumpa usemaji wa wasanii. Familia inamshida Bure kabisa #stevenyerere2

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว

      Umesikia upande mmoja tu! Steve yy anasemaje?! Mambo ya familia ni very complicated, huwezi kujua ukweli!

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 2 ปีที่แล้ว

      mamb y mwenzio yanakuhus nn

    • @saumusalimuhassan2499
      @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว

      Mimi mwenyewe si msanii lakini sikumkubali Steve.

  • @SaudaShabani-zf3xx
    @SaudaShabani-zf3xx 3 หลายเดือนก่อน

    Yani steve hata ivo ulimstili tu manake kwanza hakuwa hadhi yako kabisaaaa! Huyo shotiii piga chini

  • @asinathmuhidini5083
    @asinathmuhidini5083 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmh ivy nikweli mtoto mkali kama uyu stivuu ndo kazaa nae

  • @sameerallykelly7852
    @sameerallykelly7852 2 ปีที่แล้ว

    Wellu

  • @IreneGeorge-t3s
    @IreneGeorge-t3s หลายเดือนก่อน

    mmh wadada wazuri wanatodate na watu ambao si typeyko

  • @telesiakaovera4381
    @telesiakaovera4381 2 ปีที่แล้ว +2

    Kumbe huyu mzuri alizaa nativu yake

  • @mwajabumalekela5563
    @mwajabumalekela5563 ปีที่แล้ว

    Yaani nilijua yananikuta mm tu na huyu mtu kumbe hadi hukooo!! Hlf ukiuliza anataka nn?? Yaani jibu halipatikana,,, ila wanataka tu tuchakae hlf waseme mmeona""" bila mm hawez

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 2 ปีที่แล้ว +1

    nasema iv apo welu mbaya jamani live ni mzuri welu kushinda mekup yn nimzr sana ao wengnie wte wana subil

  • @wilbertsanze285
    @wilbertsanze285 2 ปีที่แล้ว +1

    Je nampataje huyu dada maana huyu ninjaa aliyekuwa naye hawaendani kakivua nguwo kanakuaje?

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 2 ปีที่แล้ว +3

    Stive hata hawaendani na huyu dada

    • @praisesteven7774
      @praisesteven7774 2 ปีที่แล้ว

      ata uyu dada alikua mbaya zamn 🤣🤣iv saiz ndio anaonekaan trust me alikua level yake enz zile but now mashaaaah

  • @kajugaa4537
    @kajugaa4537 2 ปีที่แล้ว +10

    sasa hapo Steve alikuwa analipandaje hilo konteina

    • @innocentmbise5418
      @innocentmbise5418 2 ปีที่แล้ว +2

      😃😃😃😃😃manina aki kale kajamàa kalkua akaez hii mama

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 2 ปีที่แล้ว

      Jaman jamn hhhaaaaaaaaa wabongo cwawez mm mmenishinda tabia

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 2 ปีที่แล้ว

      Na ili uwa linajickiaaa Mara lijifanye halijui kiswahil vzur ety lizungu.hhhhhhhhhhaaaa mzungu bongoooo kiruuuuuuuu siham bongo mm

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 2 ปีที่แล้ว

      Kontena la dizeli kbsaaa ulijuaje jmn kunywa pesp nalipa

    • @zenaycechanzinho6702
      @zenaycechanzinho6702 2 ปีที่แล้ว

      Tuwaombe WCB watuulizie🤣🤣

  • @kasholakashola2775
    @kasholakashola2775 2 ปีที่แล้ว

    Beuty

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 2 ปีที่แล้ว

    Nakupendaga saaana tu Ila punguza mapozi my dear Ila ww ni kati yawasani ninao wapenda💋

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 ปีที่แล้ว +6

    Dida kwa umbea eti maskn🤣🤣🤣🤣

  • @jacquelinelekule426
    @jacquelinelekule426 ปีที่แล้ว

    Kwanza sijui uliingiaje kwa kijeba km hichi alafu amuendani ht kidogo

  • @alfredbuyamba8250
    @alfredbuyamba8250 2 ปีที่แล้ว

    My

  • @paulmaghembe143
    @paulmaghembe143 2 ปีที่แล้ว +6

    Steven Nyerere alikuwa anakojoa pazuri sana huyu jamaa
    Mali safi na salama kabisa hii

    • @buberwajohn1312
      @buberwajohn1312 2 ปีที่แล้ว

      Alooo!! Hata mie nawaza aliwezaje 🤔🤔🤔🤔

    • @mamamzazi3600
      @mamamzazi3600 2 ปีที่แล้ว

      Hahahahahahahaahahahahhaa

  • @mariammbelwa2487
    @mariammbelwa2487 2 ปีที่แล้ว

    Steve anamtaka uyu dada ndo shida hyoo na sisi tunasema akutakii kaa kwa kutulia sio lazima kuishi na mwanamke ulozaa nae..alafu kumbe watoto wote kazaa na stivu yaan ata ukute kwenye kuigiza alitishia kutoa ndo maan ukaona uzae tu 😅...maan amuendan jaman

  • @modetheo5182
    @modetheo5182 2 ปีที่แล้ว +2

    umeona steve kakuinua sasa hivi unamwona choko. ulizaa naye wa nini.

    • @catherinefelician2148
      @catherinefelician2148 2 ปีที่แล้ว

      Hpn nakataa

    • @robbynyamriba251
      @robbynyamriba251 2 ปีที่แล้ว +1

      Kamuinua kutoka wapi?wellu sengo mi namjua kabla hata ya huyo Steve,kipaji chake ndicho kilichomuinua bhn acheni story zenu

  • @elizabahenge4485
    @elizabahenge4485 2 ปีที่แล้ว

    Kimwanaume chenyewe jmn mhhh

  • @KelvinChana-bt4kz
    @KelvinChana-bt4kz 3 หลายเดือนก่อน

    ww nimwanake wa maana sn

  • @rehemamaduhu5642
    @rehemamaduhu5642 2 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe steve ni mpuuzi namna hii

  • @sadihashimu4664
    @sadihashimu4664 ปีที่แล้ว

    Yan hufanan n huyo stev hata kdg dadaangu we ni mzur,msomi una busara unaangalia la kuongea achana na huyo mbwabwaja hovyo

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว

    Kwanini ulimruhusu uyu mtu kuwa na Mahusiano nae, ila Pole sana kipenzi.

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 ปีที่แล้ว +1

    Sema Steve Nyerere akubali yaishe Ili ulee Mtoto wenu, sio Useme ulee Mtoto wako , Kwani hiyo mimba uliingiza na KIDOLE?
    maneno kama haya wanawake ndio unakuta wanaume wengi wanawaachia Watoto , msiwe wabinafsi mtoto sio wako peke Yako ,mtoto ni wenu..!

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa3997 2 ปีที่แล้ว +3

    Zigo La Steve,Uzuri Six Packs Sio Kigezo kwenye Mapenzi.😗🤔🤔🤔

  • @felisteredward3630
    @felisteredward3630 2 ปีที่แล้ว +1

    Jmn sijui kalimmdanganya nn haka Ka jamaaa huyu dada

  • @afualusigi923
    @afualusigi923 2 ปีที่แล้ว

    Steve huyuuu!

  • @estermahenge5972
    @estermahenge5972 2 ปีที่แล้ว

    Yani dida😄😄😄etii ya nini mie😄

  • @Memphisblue22822
    @Memphisblue22822 2 ปีที่แล้ว

    Wanawake MNA uruma jamani .. Khaaa... Yaniiii mie na huyu dada 😤

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 ปีที่แล้ว +2

    Yan huyu Dada mzur lkn Sasa yupo kama diva mapoz meng 😂😂😂😂
    Ila kwa Steve Sijui kaingiaje🤣🤣🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ mnanini mie!!!!!! Mapenz niache mie kidogo 😄😄😄😲😲😲😲

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 2 ปีที่แล้ว

      Kweli kbs 🤣🤣🤣mapoz mengi atimai kangukia kwa Steve 🤣🤣

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 2 ปีที่แล้ว

      @@nasraabdallah850 🤣🤣🤣🤣

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 2 ปีที่แล้ว

      @@baimarrajahbuayan6237 tunacheka km mazur🤣🤣🤣🤣siwenyew atujui tutangukia wapi mung atunusur. Ila dada kazid mapoz uyu kutamaki mikononi kwa Steve mbaaa🤣🤣🤣🤣🤣

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 2 ปีที่แล้ว

      @@nasraabdallah850 🤣 🤣 🤣 🤣 atajua ajui

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 2 ปีที่แล้ว

      @@baimarrajahbuayan6237 🤣🤣simo🙌🙌

  • @msalabanireko1518
    @msalabanireko1518 2 ปีที่แล้ว

    Ivi ili contena tivu ake alikua annalipanda vzr kwel jmn

    • @victoriaanthony717
      @victoriaanthony717 2 ปีที่แล้ว

      Acha ujinga kwani huyu mdada kipindi anaanza usanii alikuwa hiv tuache ushamba alikuwa Ni wa kawaida sana Ila pesa sabini ya roho ndio imembadilisha

  • @gillimangi5522
    @gillimangi5522 2 ปีที่แล้ว

    .huyu dada.itakuwa alilogwa na steave ampende

  • @jasminshemsanga8727
    @jasminshemsanga8727 2 ปีที่แล้ว

    Chiz yule anaroho mbaya anataka mwenzie angaike ili awe anamlialia shida

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 ปีที่แล้ว

    Kwanza mi ningekutandika makofi 😏 hata mwili hakina hata hivyo ulimpa tu lifti hakuwa taip yako

  • @ashurahamis7163
    @ashurahamis7163 2 ปีที่แล้ว +1

    HIV hyu dada kwenye pazia kacheza

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว +2

    Yani watanzania mli kubali kiswahili kabsaa, na wapa hongera kuepukana na ukabila....

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว +1

      @@swaumdodoma7591 mimi mkenya, laiti wakenya wote wangelijua umuhimu wa kiswahili, mambo yangelikua rahisi, huku....

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว

      @@swaumdodoma7591 kitu cha kushangaza ni kwamba wakenya wanapenda Kiswahili kwa ujumla ila mafikra za kikoloni zime Tu adhiri.....hata nyinyi mnge kua vivyo hivyo kama si Julius Nyerere....

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว

      @@swaumdodoma7591 na dadangu ebu nikuulize ..unatoka sehemu ipi ya Dodoma....

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว

      @@swaumdodoma7591 bado sijaskia huko...Ila napenda dodoma, nimesha skia sifa nyingi....

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว

      @@swaumdodoma7591 naweza pata vipi no.zako ili tuwasiliane....

  • @jovanafidelis2802
    @jovanafidelis2802 2 ปีที่แล้ว

    Ana sauti ya kinaigeria🤭kama vile hajui kiswahili basi ataongea kinge Cha kinaija

  • @seifsungura6936
    @seifsungura6936 2 ปีที่แล้ว +2

    Mhh hatari Sana....wadada wa mjini....

  • @catherinecharles932
    @catherinecharles932 2 ปีที่แล้ว

    JUMA UMBEA UMEKUISHA LEO😁

  • @youngmeekmilly3511
    @youngmeekmilly3511 2 ปีที่แล้ว +3

    Mke mzuri huyo c awe jimama langu 😁😂😂

  • @filberthabashi2870
    @filberthabashi2870 2 ปีที่แล้ว +1

    Dada mzuri huyo

  • @mtegemeemungusiomwanadamu6618
    @mtegemeemungusiomwanadamu6618 2 ปีที่แล้ว +4

    Macho kama ya jini

    • @ubongosahihi
      @ubongosahihi 3 หลายเดือนก่อน

      😮😢😂😂😂😂 amevaa lensi kwenye macho yake 😂😂😂😂 😅😅😅😅😅

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 2 ปีที่แล้ว

    Halafu mwambie na huyo mtangazi wakiume aache kujichubua sasa

  • @praisesteven7774
    @praisesteven7774 2 ปีที่แล้ว

    sema kipnd yupo na tivu ake alikua mbaya 🤣🤣saiz kajua thamn yake anahs sio level ya tivu ila vituko jmn haendan hata na tivu jmn 😆😆😆😆

  • @khadijakheir9323
    @khadijakheir9323 2 ปีที่แล้ว +1

    Ya nini mie🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 3 หลายเดือนก่อน

    Na nyie mlivyo wam bea Sasa

  • @kimcash3079
    @kimcash3079 2 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yanini mie

  • @rhodamiguma7336
    @rhodamiguma7336 2 ปีที่แล้ว +1

    Weru ulshawishika nn kwa huyo shotiii, nachukia sana wanaume wafup

  • @dayanakassanga944
    @dayanakassanga944 2 ปีที่แล้ว

    Masikini masikini wanafiki nyiye

  • @wilbertsanze285
    @wilbertsanze285 2 ปีที่แล้ว

    Steve achakuloga upate mwanamke au ulimbaka binti wawatu duuuhh tupo watu napesa na mvuto ila hatuna mahusiano wewe umempataje huyo?

  • @baruabarua1569
    @baruabarua1569 2 ปีที่แล้ว +1

    Tivuu akee

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwel hela haijawah kushindwa looh teve wa kumvua chupi mdada mzur hyu jaman duh

    • @sixbertmwakaluwa5665
      @sixbertmwakaluwa5665 2 ปีที่แล้ว

      Ww mkinga ww cha ajabu nn

    • @beckasalum2620
      @beckasalum2620 2 ปีที่แล้ว

      Sasa yeye nan alikua andagrond stevu kamuinua leo anamuona afai

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @hawamwalami8248
    @hawamwalami8248 2 ปีที่แล้ว +3

    Dida nyie et maskini

  • @tabasamtv6728
    @tabasamtv6728 2 ปีที่แล้ว

    Vijana tutafute Pesa.

  • @ashangohi450
    @ashangohi450 ปีที่แล้ว

    Unahekma sana welu

  • @mohammedabdala7526
    @mohammedabdala7526 2 ปีที่แล้ว

    Da dida bi hindu yupo wapi ?

  • @praisesteven7774
    @praisesteven7774 2 ปีที่แล้ว

    dida icho kichekoo 🤣🤣🤣lool

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji9115 2 ปีที่แล้ว

    Hivi anakunya mavi magumu kweli huyu

  • @farhadimranmoodyimran5119
    @farhadimranmoodyimran5119 2 ปีที่แล้ว +4

    Yaan hii pisi Steave ake alivua chupi dah 🤣🤣🤣🤣

    • @andrewjulius6796
      @andrewjulius6796 2 ปีที่แล้ว +2

      Hata Bado siamini yaan tivu Ake Alikua anakojolea ndani kabisa 🙆🙆

    • @enjoomaliya1399
      @enjoomaliya1399 2 ปีที่แล้ว +1

      Mm mwenyew siamini , kama kweli

    • @lucylucy3678
      @lucylucy3678 2 ปีที่แล้ว +1

      @@andrewjulius6796 sas jaman kwn yeye haisimami au

    • @lucylucy3678
      @lucylucy3678 2 ปีที่แล้ว

      Mbk nakuchomeka bila shid cheze steave yak

    • @andrewjulius6796
      @andrewjulius6796 2 ปีที่แล้ว +3

      @@lucylucy3678 hata kama inasimama ndio mpka stivu Ake jamaniiiii🙄🙄

  • @firstnakoko6605
    @firstnakoko6605 2 ปีที่แล้ว

    Steve katomba huyu

  • @naija6679
    @naija6679 2 ปีที่แล้ว

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
    *#*#.
    th-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/w-d-xo.html