Ntemi_ Harusi ya Anna Official video.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 340

  • @FinahGHans
    @FinahGHans 7 หลายเดือนก่อน +5

    Nyimbo nzur sana jaman kila mda nafanya tu kuirudia rudia japo imeimbwa kiluga sielew ila nimeipenda sana big up bro

  • @MarcoMaduhu-rs8ow
    @MarcoMaduhu-rs8ow 6 วันที่ผ่านมา +2

    Hongera sana namhala , nilicheza sana tarehe 19/10/2019 kwenye harusj yangu _ bariadi simiyu !keep upright

  • @Sosthenesndutu
    @Sosthenesndutu ปีที่แล้ว +3

    Saf Sana najivunia Sana kuwa msukuma raha❤❤❤

  • @YohanaLenga-l5z
    @YohanaLenga-l5z ปีที่แล้ว +2

    Safi. Sana kwakipaji Chako na mungu akubaliki. Nyimbo nzr sana

  • @KhadijaKhadija-uc2uw
    @KhadijaKhadija-uc2uw 3 ปีที่แล้ว +10

    Daah nakumbuka nyumba nikaja kusikiliza nyimbo za kwetu najivunia kuwa msukuma nipo Dubai

  • @charlesamon8873
    @charlesamon8873 5 ปีที่แล้ว +15

    Dah!! Nimekumbuka nyumban nikisikia hizi nyimbo Nikon gwanzuh china

  • @SurprisedBurrito-vn8qv
    @SurprisedBurrito-vn8qv 9 หลายเดือนก่อน

    kazi nzuri sana ntemi unaibuludisha sana hakili yangu nakuerewa ani

  • @LucyWanzila
    @LucyWanzila 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu abarki ndoa yao ❤❤❤❤

  • @bornyborny445
    @bornyborny445 6 หลายเดือนก่อน +2

    Much love from Kenya Nairobi Kenya

  • @YoelLufunga
    @YoelLufunga 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana. Nyimbo ina maneno mazuri bila maneno ya aibu. Najikumbusha nyimbo nikiwa hapa New Delhi - India.

  • @leahjoram4611
    @leahjoram4611 ปีที่แล้ว +1

    Napatikana dar es Salam bonge la song hahaha wasukuma yoooo naipenda

  • @FITINADIDACE
    @FITINADIDACE ปีที่แล้ว +2

    Bwana ntemi omabala shukurani kwako tena hongera xana i am amused by your music and pieces of advice from them. i am IN BUJUMBURA _BURUNDI Much congratulations to you ng'wana kang'wa

  • @EmmanuelKasambale
    @EmmanuelKasambale หลายเดือนก่อน

    Hongera ntemi umebarikiwa sana msukuma obeja gete

  • @SaidJuma-ww6vd
    @SaidJuma-ww6vd หลายเดือนก่อน

    Najivuni kubwa msukuma ngwaka nakupenda sana unapiga sho zuri sana

  • @zachariakitebi9247
    @zachariakitebi9247 11 หลายเดือนก่อน +1

    Osanjiiii na ubhukulu ikeyula ilelo ❤❤❤❤❤❤❤mpaga mmakingo😂

  • @valeriakishiwa6029
    @valeriakishiwa6029 2 ปีที่แล้ว +1

    Napenda kaz zako broo
    Huu wimbo huwa sichoki kuusikiliza at

  • @budodilufega8597
    @budodilufega8597 2 ปีที่แล้ว

    Owisee nikwambie usukumani rahaa sikuu yakuoa nikuchukue ujee uni dumbuize😁😁😂😂Niko dar salamu Ila sauti ikoo juu rahaa Ni yangu never give up

  • @zachariakitebi9247
    @zachariakitebi9247 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali sana ntemi omabala

  • @teddydotto7137
    @teddydotto7137 8 หลายเดือนก่อน +1

    Najivunia kuwa msukuma nyimbo za mafundisho sana kwenye harusi yangu lazima uje kuimba mungu atupe uzima2

  • @hassansaid-b4z
    @hassansaid-b4z 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kariba mpombwe tena

  • @rosemaryjoseph2346
    @rosemaryjoseph2346 2 ปีที่แล้ว +2

    Japo saida kaloli alituapia kuwa atazibiti nyimbo zoote za kinyamwezi na kisukuma amefeli tuko juu wasukuma

  • @JoyceSindibu
    @JoyceSindibu 4 หลายเดือนก่อน

    Kaz nzuli sana kaka mungu azidi kukupa malifa

  • @mabulayohana3811
    @mabulayohana3811 2 ปีที่แล้ว +1

    noma sana sukuma song,yani kama hujuwi hii kabila jifunze,good message ❤❤

  • @vestinaaisha4515
    @vestinaaisha4515 3 ปีที่แล้ว +1

    Big up xan waxukuma juuuuuuuuuuu

  • @MwanaidiJuma-g3z
    @MwanaidiJuma-g3z 11 หลายเดือนก่อน +1

    ❤ nakumbuka Sana kwetu 🎉 ng,wana Kang,wa

  • @zuhuraabdallah155
    @zuhuraabdallah155 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akuzidixhie Inxhaarlh. Endeleza Kudumixha Mila na desturi zetu. Wasukuma Oyeeee

  • @elizabethstephano6063
    @elizabethstephano6063 3 ปีที่แล้ว +1

    Navyokupenda wew mkaka hujui tuu

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ndiyo miziki sasa ina jumbe nzito zitadumu milele labda watu waache kuoana na kufunga harusi. Siyo kama za vijana eti kamatia chini kamatia chini😅😅😅

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwakweli ng'wanakang'wa unatutamgaza vzr wasukuma, tunajivunia uwepo wako! Be blessed by the almighty God! We enjoying.

  • @jescakitinga4393
    @jescakitinga4393 3 ปีที่แล้ว +1

    Baba nakukubali sana kaka angu MUNGU akuinue zaid

  • @hamismsafiri6042
    @hamismsafiri6042 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakumbuka nyumbn tu nikiskiliza hzi nymbo

  • @sarahamos8524
    @sarahamos8524 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwanangu hapo ndo hua unagusa nafsi yangu kwa kujituma kwa kazi nzuri

  • @felicianholle3010
    @felicianholle3010 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Ng'wanakang'wa unanyimbo nzuri za harus wabeja

  • @Zainp-o4o
    @Zainp-o4o 9 หลายเดือนก่อน

    Mim nikubari kwa nyimbo zako

  • @PaulinaDaudi-ox3oz
    @PaulinaDaudi-ox3oz 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kuwa msukuma ni raha❤

  • @agathamathias7195
    @agathamathias7195 3 ปีที่แล้ว +2

    Nyanda Acha Tudange Umepigilia Palepale! Unanikoshaga Saanaaaaaaaaaaa

  • @JacoboKanzaga
    @JacoboKanzaga 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ana,ujumbe,mzur❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @boazmganga8137
    @boazmganga8137 5 ปีที่แล้ว +8

    Akupandaga poli azwalile za gharama kweli big up

  • @SelinaTungu
    @SelinaTungu ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana kakanyimbo zetu za kisukuma nilizipoteza mda mlefu ila nimezipata na kubuka nyumbani usukumani

  • @tatuomary6624
    @tatuomary6624 2 ปีที่แล้ว +1

    Big up bro

  • @jacklinekansago1833
    @jacklinekansago1833 4 ปีที่แล้ว +4

    Najivumia kua msukuma I love it

  • @salummohdnyiga9760
    @salummohdnyiga9760 5 ปีที่แล้ว +11

    Za nyumbani ni bomba sana ,naipata nikiwa Zanzibar. Wasukuma juu!

    • @husnahasna7161
      @husnahasna7161 5 ปีที่แล้ว +1

      Salum Moh'd Nyiga mpaka oman tunazipata kwa raha zetu watuache wasukuma najihisi nipo nyumbani

    • @frankclemence7308
      @frankclemence7308 5 ปีที่แล้ว +1

      Ngwana kangwa ulepatikana hei nyanda

    • @michaelmanyilizu1393
      @michaelmanyilizu1393 5 ปีที่แล้ว +1

      Salum huku kwe2 ndokama hivyooo,SHINYNGA 1 mazeeeee

    • @sophiamtemi9734
      @sophiamtemi9734 3 ปีที่แล้ว

      Iko poa sana

  • @MussaMadunda
    @MussaMadunda ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali Sana mzee

  • @Pratnumzsimba
    @Pratnumzsimba 5 ปีที่แล้ว +6

    najivunia kiskuma kua lunga yangu yakuzaliwa njoo na dar utupe burudan

  • @SurprisedBurrito-vn8qv
    @SurprisedBurrito-vn8qv 6 หลายเดือนก่อน +1

    ♥️♥️♥️♥️ sana kaka angu

  • @LovelyTz
    @LovelyTz 3 ปีที่แล้ว +1

    Woooh my brother ooh my God nimekupenda sana daaah

  • @nelsonwilliam7578
    @nelsonwilliam7578 4 ปีที่แล้ว

    Ndugu yangu mi nazani we ni mkali sana bnafsi mi msukuma zinanifriji kuona wasukuma wenzangu wanafura huku ngambo tunakufuatilia sana ww na yule budagara mungu akubariki sana kazi nzuri nikiludi tz nitakutafuta

  • @jamesjamesh.5822
    @jamesjamesh.5822 5 ปีที่แล้ว +3

    wanaodislike wimbo huu ni kwa sbb hawaijui lugha ya kisukuma lkn ni wimbo mmoja mzuri sana na ujumbe wake ni mzuri sana

  • @MariaHango-jn5xn
    @MariaHango-jn5xn ปีที่แล้ว

    Tagal mpwa

  • @budodilufega8597
    @budodilufega8597 2 ปีที่แล้ว

    Nakubali Sana brother

  • @fredrickmagingila3614
    @fredrickmagingila3614 ปีที่แล้ว +1

    Nyanda ndododo, hongera sana. Nasikiliza nyimbo hizi nikiwa 🇬🇧 UK, najikia kama nipo nyumbani kabisa

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  ปีที่แล้ว +1

      Pamoja sana , asante 🙏

  • @johnmatanda3834
    @johnmatanda3834 4 ปีที่แล้ว +7

    Kutoka Chicago, USA nakupata sana kijana wa home kahama,kama Niko nyumbani vile.

  • @rashidbakhari9656
    @rashidbakhari9656 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakumba bar sana ck unamuimbia mbinamu yangu huu wimbo

  • @SamiaLove-cw6nj
    @SamiaLove-cw6nj 4 หลายเดือนก่อน

    Hii nyimbo kali balaa❤

  • @mektridamichael4035
    @mektridamichael4035 5 ปีที่แล้ว +6

    Wew na nyanda masome nawakubali kinoma bigap ng'wana Kang'wa

  • @horaslugaya2261
    @horaslugaya2261 2 ปีที่แล้ว

    Horas lugaya nakuku bark xna from kigoma manyovu

  • @marthabinhu7183
    @marthabinhu7183 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakumbuka nyumbani mpka.nalia

  • @marrykanti841
    @marrykanti841 5 ปีที่แล้ว +8

    Umenikosha kaka, naipenda sana lugha yangu na tamaduni zake.

  • @petrojakcison118
    @petrojakcison118 5 ปีที่แล้ว +4

    Kutoka dar naenjoy mziki mzur kutoka kwa mw'anakang'wa🔥🔥🔥🔥🔥yan hatar

  • @mudynuru4036
    @mudynuru4036 3 ปีที่แล้ว +1

    Wasukuma safiiiiii

  • @jacklinebabuneliku1686
    @jacklinebabuneliku1686 5 ปีที่แล้ว +6

    Big up kwa ku2tangaza Wasukuma

  • @happinessdanstan8877
    @happinessdanstan8877 2 ปีที่แล้ว

    Nakubl sana nyimbo kaka ang

  • @neemamarine1769
    @neemamarine1769 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli mungu nimwema kwa kwa kipaji tu unacho

  • @samsonmaswi966
    @samsonmaswi966 3 ปีที่แล้ว

    Naomba ule wimbo ilbumbi lije kobhabyaji kaka

  • @johnsimba7230
    @johnsimba7230 5 ปีที่แล้ว +3

    uko vzuur sana m shabk namba1 kwako we n diamond wakwetu usukuman unajua sana jtahdi kutoa video tunakupenda sana

  • @shadidapikinini9230
    @shadidapikinini9230 5 ปีที่แล้ว +1

    Nipo mtwara yaani najisikia vizuri sana kama nipo nyumbani tuu!!! Jiandae zamu yangu kuimba kwenye harusi yangu. Najisikia vizuri sana, wasukuma tupo juu sana.

  • @shanijohn3988
    @shanijohn3988 4 ปีที่แล้ว +5

    Duh mimuha ilanapenda San nyimbo zakisukuma jamn

  • @jamesjamesh.5822
    @jamesjamesh.5822 5 ปีที่แล้ว +4

    Diamond wa Kisukuma,, Mungu akusimamie katika kazi zako

  • @KnowledgeClass.
    @KnowledgeClass. 5 ปีที่แล้ว +10

    Kulaga uhangame nyanda Ng'wana Kang'wa...mimbo gako masumba

  • @jamesmzalendo9199
    @jamesmzalendo9199 3 ปีที่แล้ว +1

    Iko vizuri

  • @sittaanatory2699
    @sittaanatory2699 3 ปีที่แล้ว

    Yaan Hap nahic Kam Niko nyumbn kbc

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 2 ปีที่แล้ว +1

    Yajayo yanafurahishaa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @ShamimuRajab
    @ShamimuRajab 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hii nyimbo haichoshi kwakweli

  • @b_kings96
    @b_kings96 3 ปีที่แล้ว +1

    Mimi sio msukuma ila napenda hu wimbo sana

  • @JuliusTanzania
    @JuliusTanzania 4 ปีที่แล้ว +7

    Nakipenda kile kipengele unaposema "Usungu wa mwana nkima waluma hangi lwakavili😂😂😂 hakika kisukuma kizuri sana.
    Kwa wale ambao hamuelewi kisukuma anamaanisha uchungu wa mwanamke unauma tena kwa mara ya pili😂😂😂🇹🇿

  • @KouameKoffi-u7n
    @KouameKoffi-u7n 3 หลายเดือนก่อน

    ❤ j'adore ce grand musicien merci

  • @ibrahimkynga3265
    @ibrahimkynga3265 4 ปีที่แล้ว +8

    I don’t hear the language but I’m enjoying the song! From Maine USA 🇺🇸

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  4 ปีที่แล้ว +2

      Thanks brother!

    • @ibrahimkynga3265
      @ibrahimkynga3265 4 ปีที่แล้ว +2

      How can i send money 💰 to this artist just to buy a drink? Hop i’m talking to the right person. Ibrahimkynga@gmail.com

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  4 ปีที่แล้ว +1

      @@ibrahimkynga3265 where are you?

    • @ibrahimkynga3265
      @ibrahimkynga3265 4 ปีที่แล้ว +1

      USA 🇺🇸

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  4 ปีที่แล้ว +2

      @@ibrahimkynga3265 +255744516663 whatsapp for more info!

  • @manenobuluba1037
    @manenobuluba1037 4 ปีที่แล้ว +1

    Ntemi nakupata kijana nafurahi sana nakusikiriza nyimbo zako piga kazi mafanikio nijuhudi yako

  • @magesejapheth8031
    @magesejapheth8031 4 ปีที่แล้ว +1

    Ulisawa du

  • @fancebtz1071
    @fancebtz1071 3 ปีที่แล้ว

    gude gude jigunze kwa huyo chari aisee

  • @boazmganga8137
    @boazmganga8137 5 ปีที่แล้ว +3

    Kiukweli japo kisukuma sikielew ila unajua utunzi wa nyimbo za asili nimekufuatilia nyimbo zako nimeona wewe unaweza kumvua bhudagala ufalme wa mziki wa asili cha mhimu ongeza ubunifu wa mziki ufanye uwe biashara isiwe burudani tu kwa nzengo pia pandisheni viingilio watu wankupenda 1000 kwa mtu mzima kiingilio kinawashusha chini ki mapato yenu wenyewe

  • @mtundaagnes5609
    @mtundaagnes5609 6 หลายเดือนก่อน +1

    bwana na bibi harusi yhehye imihayo, bhaleho bhaleho bhamajungu bhangholo jabhubhi😅

  • @ibengweboaz4327
    @ibengweboaz4327 5 ปีที่แล้ว +3

    Ye, mamihayo buli ngh'ana, hangamaga nyanda! Amazing,

  • @busandaking5742
    @busandaking5742 5 ปีที่แล้ว +4

    Dah wimbo mzur xn xo big up mn

  • @gilbertwaswa131
    @gilbertwaswa131 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana nimeipenda

  • @gabrielshija7786
    @gabrielshija7786 4 ปีที่แล้ว +1

    kutoka israel wimbo mzuri kama nipo home nitafuteeeee that why make sure that you gonna find me

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  4 ปีที่แล้ว

      Hellow, check me 👉 masagamarco1@gmail.com

    • @gabrielshija7786
      @gabrielshija7786 4 ปีที่แล้ว

      Ntemi ok ok nice

  • @yusuphabdallah285
    @yusuphabdallah285 4 ปีที่แล้ว

    Nikiwa Dodoma nakupata vzr sana ng'wana kang'wa chapa kz bro

  • @sakijakhassim8818
    @sakijakhassim8818 5 ปีที่แล้ว +2

    Upo vizur mkuu,Endelea kuonesha maujuz na maubunifu every day mzee baba

  • @ramadhanmahano3498
    @ramadhanmahano3498 2 ปีที่แล้ว

    Ntemi wewe nomaaa

  • @stumay-wx9rp
    @stumay-wx9rp 5 ปีที่แล้ว +6

    ❤️❤️Umenikosh San na kisukuma mayo from Oman ipo sik nitafik usukumani✈️✈️

    • @rajabuhussein4652
      @rajabuhussein4652 5 ปีที่แล้ว +1

      Karibu sana mariam

    • @stumay-wx9rp
      @stumay-wx9rp 5 ปีที่แล้ว +1

      @@rajabuhussein4652 shukran ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

    • @rajabuhussein4652
      @rajabuhussein4652 5 ปีที่แล้ว

      @@stumay-wx9rp naomba number yako unayotumia wasap plz

    • @halimarashid5184
      @halimarashid5184 5 ปีที่แล้ว

      Maryam karbu

    • @halimarashid5184
      @halimarashid5184 5 ปีที่แล้ว

      Jaman Mpaka nime miss Nyumban 😭😭 I love you Nyumban

  • @kulwampela3890
    @kulwampela3890 3 ปีที่แล้ว +1

    Tujifunze vijana kupitia nyimbo hiz sio kucheza tuu kabla hatujaingia kwenye pingu za maisha

  • @HamisaRamadhani-z1r
    @HamisaRamadhani-z1r 3 หลายเดือนก่อน

    Najivinia kuwa msukuma napenda kuzisikiliza nimepamis hom niko Dubai

  • @sophiamichael644
    @sophiamichael644 5 ปีที่แล้ว +7

    Nyimbo nzuri, jitahidi utoe video ya shinje na mchoji.!

    • @anjellaezekiel1557
      @anjellaezekiel1557 4 ปีที่แล้ว

      Nikiwa dar nikiskiliza hizi nyimbo najiona Niko kwetu bala

  • @mahedasayi111
    @mahedasayi111 4 ปีที่แล้ว

    Mwana Kamwa anatoa ujumbe safi kwa jamii

  • @mariethamkulo1983
    @mariethamkulo1983 4 ปีที่แล้ว

    Musungu wa mwana nkima waluma nhangi lwa nkambheli

  • @annadotto2429
    @annadotto2429 4 ปีที่แล้ว +5

    🙆😭😗 bhusungu bho ngw, anankima

  • @ShijaMathias-sk1vt
    @ShijaMathias-sk1vt 3 หลายเดือนก่อน

    Nakubali.

  • @henrydonard3098
    @henrydonard3098 5 ปีที่แล้ว +1

    Wasukumu mlihoii bhehi

  • @emmakatemi4407
    @emmakatemi4407 5 ปีที่แล้ว +6

    nyanda uk vzr sana

    • @ndulujilala9643
      @ndulujilala9643 4 ปีที่แล้ว

      Niko Canada nainjoy kisukuma nyumbani mwamalasa kishapu ,nakumbuka nasoma kwa shida, nimekumbuka mboga ya nzuboo, mwabuzo, mwalata Masanga ndoleleji

  • @hansmasanja38
    @hansmasanja38 3 ปีที่แล้ว +1

    1 Wasukuma big up bro, Be blessed