Mi Watu Wakisha kudai like na Kila mmoja kusema mimi wa kwanza leo.. Kabla Sijaangalia fumbua macho napitia Comments Halafu unaangalia Raha na Asili za Kwetu.. PBA Na wasilisha Kisiwa Panza..
Hahahaha leo dongo kanichekesha sana mau hongera sana movie zenye mafunzo na maadili kama hizi zahitajika sana boss mau Allah awabariki kwa kweli jamii sahii zimeharibika hata mtu Akiwa na channel sahii hukimbilia kupost hanasa lakini hii yako tunaifatilia na tunajifunza kaka Asili zetu ni tunu yetu 💪🎉
Hiii team kubwa mau mbona wengne hatuwaoni yaan kila kinachotok kipo vzr ila ata actors some time wakiwa wanabadilik italeta picha mzur .. ila n mawazo tu wapemba wenzangu 🙏
Dah.. hii imenifanya niweke comment, Yaan mamkwe kachukuwa lawama za makosa ya mtoto wake tu instead ya kumlaumu mkwe wake.. Hongereni mumeupiga mwingi hapa
Yaleo motoo🔥🔥🔥🔥Dongo umejua kunifraisha😂😂😂😂...
Ujumbe mzuri mashallah haya ni mafunzo tunatakiwa kuyazingatia
Usifumbe macho kweli fumbueni MACHOO' kodoo🇹🇿🇴🇲
Hongera sana Mau mpemba na team yako Said Majumba nawewe tunakukubalinsana ila tunaomba hizi habari utuekee na muendelezo
Jamii dongoo kitongoze weee
Sio film za kucheka tu wanafikisha ujumbe kwenye jamiii ilopotea na haya yapo hususan sisi wanaume Kila mtu tunamtaman
Ati akiamka shuka kashalichana kwa mikea😂😂😂😂😂
Bila Warda hakuna fumbua macho, maashaalwah Warda mzuri.
Hongereni eti yy hasa anawapenda wanawake wanaovaa nikabu
Warda maandazi hujayatia upepo ayo naona yanevimba 😘😘
Mpemba mwenzenu nawakilisha kutoka brasili
hongereni munajua mpk munajua tena nakukubali dongo
Mi Watu Wakisha kudai like na Kila mmoja kusema mimi wa kwanza leo.. Kabla Sijaangalia fumbua macho napitia Comments Halafu unaangalia Raha na Asili za Kwetu.. PBA
Na wasilisha Kisiwa Panza..
Ndani ya mda namba 1 from Oman🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Kuna watu hawalali
@@muhamadmasoud4936 Acha nilale mie
😅😅😅😅😅
🌹🌹🌹maua yanakuhusuu😊
😂
Duh wat mnawah mdagn jmn
Alop mpaka kisiwani kwa Bint Abeid kwetu mmafurahi kupaskia
Daah kijana anampiga kamba mamkwe wake😂😂😂
Hatupoi
Mbavu zangu mieeee😂😂😂😂😂😂 dogo leo umefikwa
Hahahaha leo dongo kanichekesha sana mau hongera sana movie zenye mafunzo na maadili kama hizi zahitajika sana boss mau Allah awabariki kwa kweli jamii sahii zimeharibika hata mtu Akiwa na channel sahii hukimbilia kupost hanasa lakini hii yako tunaifatilia na tunajifunza kaka Asili zetu ni tunu yetu 💪🎉
😂😂 mbavu zangu hongereni mchuzi na tomato mkewe kankumbana na zoazoa🇴🇲🇹🇿
😂😂😂 mankwe nweye
Hatupow
Hongera mau na dogoo
😂😂😂😂😂😂😂😂mankweeeee ni weeeeeeee
Naomba yukowapi?
P1 4rm 🇰🇪 🇧🇭 ❤❤❤
Ndo ukome kutongoza kupitiliza😂😂
Naomb kibendera hatumuoni yupo wapi?
Tunataka muje kama uvi mutume kila siku sio muje kwa msimu
Kwa makea😂😂😂 maji ya pilipili manga
Mankwenweye😅 so poa mzee. Speed kama zote. 120 na nusu.😂
Nampenda warda hata sizingatiwi Kila siku nasema
Mmmhhh Kuna watu hawapimziki
Hiii team kubwa mau mbona wengne hatuwaoni yaan kila kinachotok kipo vzr ila ata actors some time wakiwa wanabadilik italeta picha mzur .. ila n mawazo tu wapemba wenzangu 🙏
Choba yumo had atangoza mkwewe
Pamoja sana
😂😂😂😂Jmn MashaAllah tabarakallah ❤❤❤
Dongoo umezid tenaa 😍 eeeh ww
❤ 🇹🇿🇴🇲
Inaabwaa nimbichiii 😅😅😅😅😅😅 mau naomba namba yako nnashida na wewe
Dah.. hii imenifanya niweke comment, Yaan mamkwe kachukuwa lawama za makosa ya mtoto wake tu instead ya kumlaumu mkwe wake.. Hongereni mumeupiga mwingi hapa
Usije angusha mgombangwa
🥰
Ya Leo n moto
Kipindi chá ujahilia kina Mau tuacheni kwanza hbr zenu tunazo
Naishia kuanhalia lkn hii natia neno Dongo hodari sana ni umasikini na upemba umetufny kuwepo hapa mpk leo.
Mleteni naomba jamaniii twawaombaaaa
napenda michezo yunu 🤣🤣🤣🤣🤣
Ila ndogo anajuwa😂😂😂 Sn waallah Ila jameni tume miss naomba ❤❤
Wakwanza
😅
Dongo utatongoza jini wacha tabia hio nikiwa Qatar
Nishalavyukaaa 😂😂😂
😂
Dongo nakukubali Ile mbaya
much love
Hhhhh.ety mamkwe ni weye😂
Safi sana
❤❤❤❤❤
❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂
Inaambwa imbichi 😂
Lol😂😂😂😂
Jamani mwinyi mpeku yuwapiiii?????
😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪💜💜
😂😂😂😂😂😂😂
Watu ikitoka.tu washadaka
Nakwambia
Hatulali😂
Kuna huyo Dada wa Oman utadhan yy ndie anaupload
@@allymbarouk5362 ww upo wapi
@@allymbarouk5362huyo itakuwa sio mfanyakazi
😂😂😂
😂