Lema ni Jembe Kabisa Anajua sana Kujenga Hoja na mchambuzi Makin Sana wa Uchumi,Kijamii,Kisiasa na muwaz sana. NAOMBA2 VIONGOZ WA CHADEMA KUWEKA NGUVU KUBWA KATIKA MAENEO YOTE Yaliyo nyuma na Upinzani MKALIAMSHE ZAID MIKUTANO MINGI Ngazi zote yaani kijiji,kata,mtaa, na Vitongoji MFANO Dodoma,Tanga,manyara,Tabora nakadhalika.
WENGINE WANAAMBIWA UKWELI LAKINI UTAONA WAKATI WA UCHAGUZI WANAPEWA CHUMVI NA KOFIA WANASAHAU YOTE WANAPIGA KURA BAADAE UTASIKIA USHINDI WA KISHINDO WANACHEKA NA KUSHANGILIA UKIANGALIA USHINDIA CHUNGWA TU KWAKWELI WATANZANIA TUMEROGWA NANANI JAMANI?
Lema ni Jembe Kabisa Anajua sana Kujenga Hoja na mchambuzi Makin Sana wa Uchumi,Kijamii,Kisiasa na muwaz sana. NAOMBA2 VIONGOZ WA CHADEMA KUWEKA NGUVU KUBWA KATIKA MAENEO YOTE Yaliyo nyuma na Upinzani MKALIAMSHE ZAID MIKUTANO MINGI Ngazi zote yaani kijiji,kata,mtaa, na Vitongoji MFANO Dodoma,Tanga,manyara,Tabora nakadhalika.
Kamanda
Shida ccm wote ni wachawi ,waganga ,wezi wa kura,na machawa kila mtu wanamloga tuombeni Mungu atuondolee huu mzimuCCM
Kuna watu wanakihujumu Chama kwenye matangazo jamani yanakatakata saan hasa viongoozi wanapo toa points zamaana
Tanganyika tuamke
WENGINE WANAAMBIWA UKWELI LAKINI UTAONA WAKATI WA UCHAGUZI WANAPEWA CHUMVI NA KOFIA WANASAHAU YOTE WANAPIGA KURA BAADAE UTASIKIA USHINDI WA KISHINDO WANACHEKA NA KUSHANGILIA UKIANGALIA USHINDIA CHUNGWA TU KWAKWELI WATANZANIA TUMEROGWA NANANI JAMANI?