Hakika katika haya maisha yanahitaji uthubutu na subira. Dogo alikuwa tayar amejichagulia maisha yake ya uvuvi lakini angalia kilichotokea ameinuliwa juu zaidi. Hivyo ni vyema kuto kukata tamaa katika haya maisha cha umuhimu ni kuipenda kazi yako(Halali) na kujikubali hakika Milango itafunguka. Tukumbuke Kumuomba Mungu na kumshukuru kwa chochote anacho tujalia.
Ndo mana kila nikilala na kuamka nakuwa na matumain makubwa kuwa ipo siku mungu atanifungulia milango yangu yotee ya riziq dogo kama utani utani tu tayari amen'gara😊
@@Bigfmedia hilo ndo la muhim kikubwa subra tu huo ni mfano hai kabisa ukiangalia maisha ya dogo hajawahi hata kufikiria kama kuna siku atakuwa nani lakin mungu kamuonesha sehem yake ya kukaa kwa njia ya huzuni 👏
Shujaa Majaliwa and others Congratulations. Washing the best in your life focusing on working hard on your daily activities may God bless you abundantly
hakika wakat wa Mungu ukifika hakuna mwanadamu wa kuzuia kuna watu waliongoa baada tu mama usema upelekwe kwny jeshi la uokoaji lkn Mungu amesimama na ww Mungu akupe mwisho mwema upate ajila uje uwasaidie wazazi wako
Maisha bana mungu ameweka Siri kubwa kati yetu unalala unaamka ujui mungu kakupangia nn mwisho was siku nisku Moja2 mungu anakuonesha njia Yako ya mafanikio ongera kijana mwenzetu mungu alikupangia njia hyo ya mafanikio
Hakika katika haya maisha yanahitaji uthubutu na subira. Dogo alikuwa tayar amejichagulia maisha yake ya uvuvi lakini angalia kilichotokea ameinuliwa juu zaidi. Hivyo ni vyema kuto kukata tamaa katika haya maisha cha umuhimu ni kuipenda kazi yako(Halali) na kujikubali hakika Milango itafunguka. Tukumbuke Kumuomba Mungu na kumshukuru kwa chochote anacho tujalia.
th-cam.com/video/2nrBKw5EZjc/w-d-xo.htmlsi=LCelmLC5zqpQWz0R
Wallahi tena. Na Mwenyezi Mungu hukupa dakika za mwisho pale ambapo umeanza kukata tamaa na huna chakutegemea.
Kufaa kufaana
@@brother_majestyuna roho mbaya tena una husuda ushindwe kwa jina la allah
Bahati huja wakati unatafuta
Safi sana Dogo,,, Nimefurai kukuskia tena. Allah akujaalie kheir InshaAllah!! 🙏
th-cam.com/video/D_m7pLHUIHU/w-d-xo.htmlsi=UtQTlyB9_8d0SneF
th-cam.com/video/2nrBKw5EZjc/w-d-xo.htmlsi=LCelmLC5zqpQWz0R
Kama nilivyofurahi Mimi!
Amin ya rabi Amin
Mungu akisema atakubariki hakuna wakuzuia🙏🙏🙏🙏ubarikiwe majaliwa 🙏
Hongera Majaliwa na wenzako Mungu azidi kuwafungulia
Ndo mana kila nikilala na kuamka nakuwa na matumain makubwa kuwa ipo siku mungu atanifungulia milango yangu yotee ya riziq dogo kama utani utani tu tayari amen'gara😊
Hakika haya maisha hayahitaji kukata tamaa. Ni subira tu
Hakika
th-cam.com/video/2nrBKw5EZjc/w-d-xo.htmlsi=LCelmLC5zqpQWz0R
@@Bigfmedia hilo ndo la muhim kikubwa subra tu huo ni mfano hai kabisa ukiangalia maisha ya dogo hajawahi hata kufikiria kama kuna siku atakuwa nani lakin mungu kamuonesha sehem yake ya kukaa kwa njia ya huzuni 👏
Mashaalah ama hakika maisha yana maswali magumu sana. Yahni maisha yanawezaka kukupa jibu sahihi kwenye swali lilikosewa
Mungu nakupenda sana,ukiamua kufanya jambo unafanya kwa ukubwa.
Hongera majaliwa
Jamani like zenu Leo mi wakwanza ayo tv
Mashaa Allah kila la kher
Hongereni sanaa serikali inapaswa kufundisha mamia ya vijana hao wachache sanaa kwa taifa nzima kila mkoa ni lazima wawepo wengi .
Wow congratulations to you majaliwa nimefurahi kuona habari zako tena😍
Nice
Shujaa Majaliwa and others Congratulations. Washing the best in your life focusing on working hard on your daily activities may God bless you abundantly
Maa shaa Allaah
😢😢MUNGU WA MAMBO YASIYOWEZEKANA 😢😢😢HONGERA SANA
th-cam.com/video/2nrBKw5EZjc/w-d-xo.htmlsi=LCelmLC5zqpQWz0R
Hakika , Mwacheni Mungu aitwe Mungu tu 🙏
Mashallah mungunimwema
Kweli kabisa 🙏
Mungu wetu ni mwema siku zote,hakika majaliwa ulijitoa na Mungu hakukuacha
Hakika wakati wa mungu ndio wakati sahihi hakika majaliwa mungu akubaliki sana
th-cam.com/video/2nrBKw5EZjc/w-d-xo.htmlsi=LCelmLC5zqpQWz0R
th-cam.com/video/2nrBKw5EZjc/w-d-xo.htmlsi=LCelmLC5zqpQWz0R
Mungu akubariki kwa kila jambo Majaaliwa wetu
MashaaAllah
Safi sana kijana Allah akusimamie
Nice
Ameen. Sote inshaAllah
Be blessed, hongera sana , kikubwa tanguliza MUNGU , jali watu wote Kila mtu kwahadhi yake , usijikweze kama wengine ,
Ma sha allah
Blessss❤❤❤❤brooo🎉🎉
Maaaashaaallah malijaliwa❤
Hongera Majaliwa,alopanga Mungu hakuna wa kulipinga,Ubarikiwe
Mashaalla
mungu azidi kukubaliki
hongera sana majariwa mungu aendelee kukutetea
Mashaallah
Hongera sana bro , Ubarikiwe
ALLAH akuongoze majaliwa
God is Good.Keep faith always
Yaah,Same like the Story of King David from being a shepherd to a King.
Mashallah
hakika wakat wa Mungu ukifika hakuna mwanadamu wa kuzuia kuna watu waliongoa baada tu mama usema upelekwe kwny jeshi la uokoaji lkn Mungu amesimama na ww Mungu akupe mwisho mwema upate ajila uje uwasaidie wazazi wako
Ameen
Wwooooh safi sana majaliwa Mungu ni mkubwa sana Ahsante pia kwa viongozi wetu kumjali huyu kijana
Congratulations 👏👏👏🎉
th-cam.com/video/2nrBKw5EZjc/w-d-xo.htmlsi=LCelmLC5zqpQWz0R
Hongera sana kaka
Hongera sana Kijana Majaliwa🎉🎉
Masha Allah majaliwa hongereni wote mlie maliza mafunzo
TANZANIA bara au tanganyika
Hongeara sana❤❤❤
Hongera Sana Majaliwa
Hongela xana majaliwa
Maisha bana mungu ameweka Siri kubwa kati yetu unalala unaamka ujui mungu kakupangia nn mwisho was siku nisku Moja2 mungu anakuonesha njia Yako ya mafanikio ongera kijana mwenzetu mungu alikupangia njia hyo ya mafanikio
Wale waliosema majaliwa hakutuokoa tulifungua mlango wenyewe wako wapi 😂😂
Amazing
Hongera shujaa majaliwa,mungu akupe ujasiri ufike mbali
Hongereni sana...
Nilikuwa nasubir habar zake ❤
Hongereni sn.
Hongeren vjana wetu
Hongera majaaliwa
Hongera
Mungu awatunze sana
Kaz nzur Sana imefanyika
Yap yap safi sana
Hongera sana brother
Amen
MUNGU wetu ni WA kweli hongera majaliwa na mashujaa wengine
Wakati wa Mungu ukifika mazingira si kitu yapinge hongera dogo
Hongera sana Majaliwa.
👏👏👏👏👏👏🙏🙏
❤❤❤❤
Kila jambo mtangulize mungu hongera sn
Nilikuwa nasubiria huu mrejesho kitambo sanaaaa😊
Mungu nimwema
Tunangojea video
👏👏
Mungu ni mwema kila wakati
Mashallah 😢kipaji hiko
Safi Sana
Kila. Mja. Ana rizk. Yake. Mungu. Aliomjalia
Yani Mungu huyu. Hapo ange apply hiyo nafasi Ange ambiwa hana vigezo. Lakini wamekuja kumkubali tu
🙏
Congratulations
Safi dogo
Mzee umeongea point " amani na utulivu ndio key point ya maendeleo"
Wako vizur
Safi sana majaliwa
❤❤
Ahsnt Mungu
Mbona wako wachache sana au ndio uhitaji wa taifa
Mwmba huyoo achia video
Good
Safi
Safi sanaaa
Miezi mungu awa jalie hawo wote
Waambie baba
Hongera Sana Majariwa mungu ni mwema siku zote!
safi
GOZBERT ☑️🎼Mungu hapokei rushwa🎚️
Hongera yao wanafunzi wote walio fuzuu
😍😍😍😍😍
💪🙏
Kila. Kher
Ngole sana hii taarifa inatia moyo
Huyu jamaa aloalikwa kuongea inaonekana hayupo sawa kichwani huyo alo vaa suti na tai
🤣😃🤣😂 shida iko wapi boss?
Mungu na wajawake
Kuna mda tukio UTOKEA ili kuokoa family yenye maitaji
Kwaiy ikitokea ajari lorya hawa wataenda uko pia?
Waaaaa mi hapana kwakweli 😂😂😂😂 nilivyomuoga na maji kuna sk nilikalia boya vibaya kidogo mufiii 😂😂😂 kwa maji we
Duniani hakuna Muoga ni vile tu. Huja thubutu
@@Bigfmedia labda nwe na Mtu kwa maji wali pekeeangu siwezi ntafanya vingine viko na uwezo wangu lkn si baharin
Saf sana
Majaliwa mungu akuzidishie kila lakheri nakazi yako
th-cam.com/video/2nrBKw5EZjc/w-d-xo.htmlsi=LCelmLC5zqpQWz0R
kumbe bado yupoo😂