si kweli huo ni mtazamo wenu na mapokeo yenu ya akiri zisizo changamka.mwaijaku mgeni kwenu? hili swala yeye ndo kaanza? ok yule shabiki wenu amekatwa viungo vingapi anavyo ahidi serikali isiingilie? alikamwe alikamwe Aache kupenda wake za watu atakunurwa,,,alipewa Binti wa yule shabiki ambaye Binti Hadi analia sana kumpenda alikamwe,je alikamwe amemchukua? 🤣🤣🤣 tamaa na wake za watu wanatunzwa aiseee
@@aishaalbalushaishabalush8291 tabia za mtu binafsi zinahusiana vipi na dini. Mana dini imekataza maovu kwann usitaje makabila au vitu vingine mana hata makafiri wanafanya zaidi ya haya na ww sijui muisilamu gan unawaona makafiri kama rafiki shauri zako. Makafiri ni maadui na hiyo ni dhahiri mungu kashasema nawe endelea kumkaidi mungu mana nawe muisilamu umetudhalilisha kama hao wengine
Kisheria haipo da Maryam, ukitamka ndio imepita, hata kwa mfano talaka c lazima uandike madam mdomo ndio uliotamka basi ndio hvyo, ila hyu jamaa amejishusha thamani kubwa sanaaaaa na aibu ameitia familia yke
talaka zipo za aina 2 talaka acha na talaka rejea na inatoka katika sehemu kuu 2 kwa kutamka au kuandika ya kutoa kwa mdomo mfano kwanzia hivi sasa si mke wangu kama ulishawahi mpa 1 na uliyotoa ni ya pili na hakumaliza eda ukamrudia basi atakuwa mke wako na kama ulishampa 2 kisha ukamalizia ya tatu huyo sio mkeo na eda anamalizia kwao ama talaka ya maandishi ni ile unayoandika kwanzia leo sio mke wangu basi umeshamuacha na hii itakua kama ya mwanzo ila utofauti ni hii ni maandishi ile ya maneno ama kuhusu mwijaku bado ni mkewe ispokua aandae tu majibu sahihi kwa allah why mambo ya mke ambayo ndio dini uhusishe na mipira allah aalam
Nyie pia hamjui sheria kabisaaaa. Wala hamjui sheria ya kiislamu. Kama alisema hivyo anakuwa sio mkeo hata kama alishinda. Inakuwa huyo mke sio wa Mwijaku. Amrejee ama eda ikiisha amuowe tena.
Je, sheria ya maneno haya umetoa wapi dada Mwanaisha?.Je, dada Mwanaisha una kiwango gani ktk elimu ya sheria ya Uislamu?.Nakunasihi kumcha ALLAH na usiongee mambo ya Uislamu ikiwa hauna elimu.
Kwanza mshaulini kindoki yeye alisema atatupa sisi mashabiki wa simba mkewake kama simba itaifunga yanga simba ikaifunga yanga paka sasahivi hajatupa mke wake yule mke wa mwijaku hatomuwea kashazoweya maisha hali sana
Mke wa mwijaku ana UKIMWI unamchukua wa nini! Yule ni mfu! Kwanza mke wake hana uzuri wowote! Ukiona mtu anampa mtu mke wake huyo mke wake hana maana au thamani kwake
Uyu mwinjaku hana akili alafu kiukweli hakupendeza ktk redio kwaali kiba maana me namfananisha na chokoraa anakinywa kichafu sanaaa lione vile me ningekuwa mkewe kwakweli ningekubali kwenda kwa Ali kamwe limwanaume linabahati tu ya pesa lakini aliki halina misifa imemzidi uyu jamaa ha😂😂😂😂😂
Mwijaku atamuangusha Ali kiba mambo ya kijinga kweli eti na mfanyakazi wa Ali kiba anaetueshimisha Tanzania kiba mashabiki zako tutkuchoka Kama utafanya kazi na mhuni Kama huyo
nikweli kabsa kwanza hajielewi mkurupukaji na mropokaji sana sio kiba tu hata serkal wanampenda na kumfanya kama mwema kwa viongozi sababu anawapamba wakat jitu hata akili zakuvalia chupi halina
Naomba watanzania wapewe elimu ya Mitandao wanitumia ndivyo sivyo Naninawaombeni Washabiki wa mpila wote Kama kukitokea Tukio la ulawiti majambazi Ema mtu kuzulumiwa Tunaishindoka Tasisi inayohusika itowe Majibu Hivyo yeyote Atakaesema nikifungwa nikatwe mkono Akatwe kweli Washabiki muwazibu ili heshima ya vyombo vya Habali ziendelee
NASEMAJE ,,ALIKAMWE AACHE KUPENDAPENDA WAKE ZA WATU,,,WANATUNZWA HAO,, KAMA KILA AHADI ANAIPOKEA ,,MBONA YULE BINTI ANAYE MLILIA MTANDAONI ,NA KAKA YAKE ALISEMA ANAMPA BULE SI AKAMCHUKUE? TUAMBIENI SASA KAMCHUKUA? UHUNI HUO KUTAKA WAKE ZA WATU MTALIWA NYUMA🤣🤣🤣
Jamani ivi huyo mke wa Mwijaku anakuwaga anashahuri mme wake ? Kweli mme wako atakuya kuingiya kwenye shida kubwa na uko unaona ju kila fasi ni Mwijaku Mwijaku du sio Sifa
Mzee una hekima sana ni hazina ya jamii hongera sana
Wazee mmekosea sana mngeacha Iwe fundisho kwa wapumbavu
Ongela sana mzee msumi kwa hekima zako, mimi rafikiyako bwana udaza nimekuelewa vizuri sana
Ovyo kabisa mwijaku unachezea ndoa ambayo ni maagano kati ya mungu na mwanadamu
si kweli huo ni mtazamo wenu na mapokeo yenu ya akiri zisizo changamka.mwaijaku mgeni kwenu?
hili swala yeye ndo kaanza? ok yule shabiki wenu amekatwa viungo vingapi anavyo ahidi serikali isiingilie?
alikamwe alikamwe Aache kupenda wake za watu atakunurwa,,,alipewa Binti wa yule shabiki ambaye Binti Hadi analia sana kumpenda alikamwe,je alikamwe amemchukua? 🤣🤣🤣 tamaa na wake za watu wanatunzwa aiseee
Muume mwenyewe mwehu na uyo mke pia mwehu vilevile, ujinga umepitiliza kwa wote wawili na kibaya zaidi kuwa walioyafanya haya ni waislamu
mie naposema sie waislam ndio chanzo cha laana nyingi watu wananitukana kiukweli waislam tumezidi kufanya mambo ya haram yanayo washinda maqaafir
@@aishaalbalushaishabalush8291 tabia za mtu binafsi zinahusiana vipi na dini. Mana dini imekataza maovu kwann usitaje makabila au vitu vingine mana hata makafiri wanafanya zaidi ya haya na ww sijui muisilamu gan unawaona makafiri kama rafiki shauri zako. Makafiri ni maadui na hiyo ni dhahiri mungu kashasema nawe endelea kumkaidi mungu mana nawe muisilamu umetudhalilisha kama hao wengine
Hii nchi ujinga mwingi sana
Kwani waislam sio watu ni mafisi si ndio 👆😢
@@aishaalbalushaishabalush8291Kafiri ni wewe na matako yako meusi 😢
Mwijaku hana adabu kabisa aibu inabakia kwa familia yake
Tena kubwa sana waallahi hyu jamaa sijui anatabia gani, amemdhalilisha mkewe na Familia yke
😂😂😂 Ally brooo tungechukua mke ili aelewe mipaka ya utani
😂😂😂😂😂semaji kwahiy ulikua unaenda kweli🤣🤣🤣🤣yanga sihami🍾🥂💃💃😜💚✨💚✨💚
Huwajui wanayanga 🤣🤣wangembeba
Patamu hapa
Li Ali kamwe lilikua serius 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Wala hakuwa seripus
😅
Mwijaku hana adabu, na hana akili kabisa, amemdhalilisha mkewe, na dini hairuhusu hivi.
Waallahi sana tena ht cjui jamii yke yamchukulia vp
Mzeeee❤❤❤ safisana hekima unayo dua miaka ming uishi
Kbs uyomuzeh kaongy ukwel kbs mwijak siyo mzm 😂😂😂
Kweli Mwijaku muhuni Hana adabu hata kidogo. Anapenda Sana kuwadhalilisha wanawake
kwa hiyo asingekuwa huyo mzee ungeenda kuoa duuuh 😁😁😁
Ndio maaanake
Mashekhe hmpitwi na kitu tunawaomba mje hapa mtuambie bado ndoa ipo ama hapo? Maana mwijaku hajielewi kabisa.
Kisheria haipo da Maryam, ukitamka ndio imepita, hata kwa mfano talaka c lazima uandike madam mdomo ndio uliotamka basi ndio hvyo, ila hyu jamaa amejishusha thamani kubwa sanaaaaa na aibu ameitia familia yke
ndoa ipo ila mwijaku amefanya makosa na dhambi
talaka zipo za aina 2 talaka acha na talaka rejea na inatoka katika sehemu kuu 2 kwa kutamka au kuandika ya kutoa kwa mdomo mfano kwanzia hivi sasa si mke wangu kama ulishawahi mpa 1 na uliyotoa ni ya pili na hakumaliza eda ukamrudia basi atakuwa mke wako na kama ulishampa 2 kisha ukamalizia ya tatu huyo sio mkeo na eda anamalizia kwao ama talaka ya maandishi ni ile unayoandika kwanzia leo sio mke wangu basi umeshamuacha na hii itakua kama ya mwanzo ila utofauti ni hii ni maandishi ile ya maneno ama kuhusu mwijaku bado ni mkewe ispokua aandae tu majibu sahihi kwa allah why mambo ya mke ambayo ndio dini uhusishe na mipira allah aalam
Mungu atamuona sana mwinaku
Mambo ya mpira mzivuke mipaka so vizuri iyo na zarauu kubwa mwinyi jaku
Bado.napata tabu kwa hiyo kamwe hivi ulivyokuwa unakazania kwenda kuoa inaonyesha unampenda uyo dada au😂😂😂😂
Asante Ally kamwe kwa kujua thamani ya mwanamke
Kwani mke mwenyewe anasemaje !!!!! Isikute alishajiandaa kwa harusi
huyu mwijak nilimuona ga wa mana kumbe zezeta namakka alienda kutalii 2 waovyo sana
Na ww uache kufana😢nisha utani wa andazi na kocha wa simba unaichukuliaje Hilo 😊
Ally Kamwe nakupenda sana kaka na uwe na maisha bora
Mwijaku umejidhalilisha.umemkosea mkeo pia umemkosea Alikamwe.Kwani Alikamwe hawezi kuoa mke amtakae mwenyewe mpaka umpe huyo wako???Mwijaku nilikuwa nakuheshimu.Kwa hili umejishushia hadhi...
Ali and Alice😅😂😂😂😂
Huyo mke awe mwangalifu sana
Mwijaku fala sana😢
Kwakweli Mwijaku hana heshima kabisa wala hana hekma
Huyo Jimy hakuwa muislamu. Uislamu kila kitu kina sheria na taratibu zake upo.
Mke na Mume wote Akili moja, wanaaibisha Familia zao et wao wanaongeza follows.
yaaani umekosa mwanamke wa kuoa mpaka utoke kweli ukaoe mke wa mwijaku
Kwenye dini yenyewe pia msitaniane sana mkachumpaka mipaka ni dhambi, ovyo kbs mwijaku.
Mwijaku ni chizi asie jitambua, mbona hajitoi yeye muhanga, mwehu huo sijui ni bangi
Mwinjaku ako na mke wetu wanayanga kunasiku tutamchukuabtyu😅😅😅
😂😂😂 msamee mwenzio wewe Acha uhuni umemvalia mmke wa mwenzio kibalagashia
Mzee heshima kwako
Kufanya kazi aaaaaaah
Iyo hekima mwambieni baba rabhiat tutamkata mikono
Mwijaku mwehuuuuu
Nyie pia hamjui sheria kabisaaaa. Wala hamjui sheria ya kiislamu. Kama alisema hivyo anakuwa sio mkeo hata kama alishinda. Inakuwa huyo mke sio wa Mwijaku. Amrejee ama eda ikiisha amuowe tena.
Je, sheria ya maneno haya umetoa wapi dada Mwanaisha?.Je, dada Mwanaisha una kiwango gani ktk elimu ya sheria ya Uislamu?.Nakunasihi kumcha ALLAH na usiongee mambo ya Uislamu ikiwa hauna elimu.
@@abdulshakuurmwenda7519 nenda kasome tuelewe Kaka. Hio si mke Tena kwa mwijaku Kaka. Huo ndo kweli Tena kweli mtupu
Mbuzi alianguka kwa muuza supu😂😂
Ndio ilo fundisho kwa jamii nzima
mm naonahuyomwijaku nirofa2 yanga yasasa hatauweke Mavi 2nabeba je meze chungakaur 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Ww ali kamwe kachukue mkeo mwijaku mweu uyo
Ana hekima gani huyo mzee msenge mchawi tu
Utajir unawasumbua mpaka wanamchezea mungu shaur yao.
Yaani kumuweka mke wako Bondi ni dharau kubwa sana, yaan unambetia mkeo aisee aliemfunda mwijaku wote ni MISUNGO
Kislam kwa kwel ameachika kama wataendelea kuishi shirika wakifanya mapenz itakuwa nizinaaa t
Acheni kua serious sana. Mwijaku anatia
Niwapuuzi tu hawa wazee,,,wanabwabwaja tu hamna Cha maana ,,, kweli yanga wengi ni sa mbovu wanakusanyika Kwa mambo ya kijinga,,,
Mwijako hampendi mkewe uwezi kumuweka mke Bondi.. angeweka hata Nyumba
Ninge kuwa mm ninge muowa kwa wiki moja au mbir kisha nikamrudishia uy mke wake😂
Wazee tuacheni tukamchukue mke wa Mwijaku.Huyo sasa ni mke wa Ally Kamwe.
Akome au azidi mbwa yule
Kwanza mshaulini kindoki yeye alisema atatupa sisi mashabiki wa simba mkewake kama simba itaifunga yanga simba ikaifunga yanga paka sasahivi hajatupa mke wake yule mke wa mwijaku hatomuwea kashazoweya maisha hali sana
Basi mwijaku hatoiyo hiyo hekima iyofanika kwa misifa yake atajitapa tena voo
Kwa ss waislam. Apo mke kashaachika kisheria. Hakuna mapenzi isipokua zinaa
Swadakta
Mke wa mwijaku ana UKIMWI unamchukua wa nini! Yule ni mfu! Kwanza mke wake hana uzuri wowote! Ukiona mtu anampa mtu mke wake huyo mke wake hana maana au thamani kwake
Kidini sio ,,,,,MKE WAKE TENA,,MKIFOSI NI DHAMBI TU ANAJIPATIA
Uyu mwinjaku hana akili alafu kiukweli hakupendeza ktk redio kwaali kiba maana me namfananisha na chokoraa anakinywa kichafu sanaaa lione vile me ningekuwa mkewe kwakweli ningekubali kwenda kwa Ali kamwe limwanaume linabahati tu ya pesa lakini aliki halina misifa imemzidi uyu jamaa ha😂😂😂😂😂
Mwijaku awe makini saana na mambo ya ujinga, siyo kutaniana kwa kila kitu
Mwijaku amekosea sana
nyinyi hamujuwe ushabiki mimi nafurahiya mwinjaku kwasasa kila mutu anamuongeleya mwinjaku. mzee acha mbwembwe. mwinjaku nishabiki wamupira
Mgongo waz mama ako
Ally nko mke apa njoo
Mwehu huyo mwijaku hajui dini wala hajui thamani ya mke,.mngese mkubwa huyo.
Mwijaku kampenda sana mkewake ndomana katoa ahadi
Saf Sana Ali
Mbona magari majumba hakuweka bondi😂😂😂
Mwijaku atamuangusha Ali kiba mambo ya kijinga kweli eti na mfanyakazi wa Ali kiba anaetueshimisha Tanzania kiba mashabiki zako tutkuchoka Kama utafanya kazi na mhuni Kama huyo
nikweli kabsa kwanza hajielewi mkurupukaji na mropokaji sana sio kiba tu hata serkal wanampenda na kumfanya kama mwema kwa viongozi sababu anawapamba wakat jitu hata akili zakuvalia chupi halina
Mwijaku hafai kwaboga wala kurumagia. Mwachilienibali huko akakojoe akalale
We n mweu pamoja nahuyo aliy komwe mbona yule shetani wenu kilasiku akihaidi vitu mbona ss hatuna habali nae
@@aishaalbalushaishabalush8291😂😂😂
@@husenimocka3077hta yule ifike siku apigwe tu ili akili imkae sawa sababu ushabiki ukipitiliza unakuwa chizi
Kaka kaulihiyo unaisema unatoa kwaniabaya wazee wayanga sisawa au kama alivyosema ndugu yangu manara kama hapoyanga wenyeakili wawilitu utasemaje ungeenda kumchukua mke wa mwinjamu kwani kijiko huyomtu anautashiwake na maamziyake acheni uzwazwa nyinyi nyumamwiko
Utu wa kocha mgunda mliurudishaje
Naomba watanzania wapewe elimu ya Mitandao wanitumia ndivyo sivyo Naninawaombeni Washabiki wa mpila wote Kama kukitokea Tukio la ulawiti majambazi Ema mtu kuzulumiwa Tunaishindoka Tasisi inayohusika itowe Majibu Hivyo yeyote Atakaesema nikifungwa nikatwe mkono Akatwe kweli Washabiki muwazibu ili heshima ya vyombo vya Habali ziendelee
Wazee Gani bhana! Wote ndio wale wale! Watanzsnia Gani walioguswa na jambo hilo? Labda hao waliovunja shughuli zao kufuata upuuzi huo
na kweli umemdhalilisha sana mkr wako
tatizo hujui thamani ya ndoa....pungunza kusema ovyo
Hata sisi mbona tulishawahi kumsamehe jimmy kindoki
Mtoto kautaka 🤣
Hapo kapotea mwijaku
Huyu mwijaku shezi sana halina akili. Jamani si ameerudi juzitu kuhiji maka huyu? Hili jitu Halifai hata kidogo
Shaban😢
hivi nn maana ya utani?
Ww mwenyew MWEHU ,×100%
Mwijaku kamuoa mke kwa masilahi yake
Mhmh kbxa na huyo mke akubali upuzi awap
Laana anaipata kwa uchawa sababu hupindisha haki ya mtu na kumpa mwingine.
Mwinjaku hana akili eti
Kwann mamkujitokeza kipindi kile shabiki wa uto alipotoa ahad ya kukatwa makalio ila la mwinjaku ndio mmeliona achen ujinga niny wazee
Mimi kama shabiki wa Simba ila sijamuunga mkono mwijaku kama kuna mwana simba anamuunga mkono mwijaku basi huyo ni mwehu kama wehu wengine
Na kwa nn hujenda kuchukua ukamonyesha jeuri mdomo wk ukamwisha
Lakini sijajua ally kamwe ni msemaji au ninani mana juzi hatukumuona? Nimeumia hawakumpa thamani ndugu yetu
Apana akupe mke tu
Kama ni mimi huyo mke ndoa inaisha simtaki tena huyo bobo😭
Mmmmh
Hana mke tena atavipi
Kwanza kidini sio mkewake mpaka sasa
Kimsingi huyo mwanamke ameachika.
Kuropoka kubaya sanaa
NASEMAJE ,,ALIKAMWE AACHE KUPENDAPENDA WAKE ZA WATU,,,WANATUNZWA HAO,,
KAMA KILA AHADI ANAIPOKEA ,,MBONA YULE BINTI ANAYE MLILIA MTANDAONI ,NA KAKA YAKE ALISEMA ANAMPA BULE SI AKAMCHUKUE? TUAMBIENI SASA KAMCHUKUA?
UHUNI HUO KUTAKA WAKE ZA WATU MTALIWA NYUMA🤣🤣🤣
Jamani ivi huyo mke wa Mwijaku anakuwaga anashahuri mme wake ? Kweli mme wako atakuya kuingiya kwenye shida kubwa na uko unaona ju kila fasi ni Mwijaku Mwijaku du sio Sifa
Na huyu mzee kwani hajui kuwa huo ni utani tu! Unaongea kama vile hujui kuwa hao ni watani wa jadi!
Kuna siku nilimtumia meseji mwijaku nikamwambia uchawa ukizidi ni ujinga arejee meseji yangu
Ndio apo alikua ajitowe mwenyewe so mke
Kwenda zako Mzee tunaemjua ni magoma2