MANARA ASHANGAZWA NA UCHACHE WA WATU LUXEMBOURG,KISOKI AWAITA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZILIZOPO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- HAJI MANARA AWATAFUTIA WASANII WA BONGO SOKO JIPYA LA SANAA ULAYA
LUXEMBOURG SIO MAARUFU LAKINI INAIJUA TANZANIA
Nassor Kisoki ambaye ni Katibu wa Diaspora katika Nchi ya Luxembourg pamoja na Belgium amefanya mazungumzo Maalum na Mkurugenzi Mtendaji wa ManaraTv Haji Sunday Manara ambapo pamoja na mambo mengine amezunguzia jinsi ambavyo Nchi ya Luxembourg imekuwa ikizungumzia Tanzania kwa mazuri licha ya kuwa nchi hiyo sio maarufu kwa Watu waishio Tanzania.
Amesema licha ya Nchi hiyo kuwa na watu takribani laki tatu huku wageni wakifikia laki sita lakini nchi ya Luxembourg inaijua Tanzania kuliko hata Tanzania inavyoijua Luxembourg.
Mahojiano kamili Tembelea TH-cam channel ya ManaraTv.
#hajimanara #manaratv #manara
#ManaraHour
Brother Haji you are doing great💪
Hajji Leo umeenda sehemu ambayo natamani kuishi💪💪
Kaka Kisoki I am planning to visit Luxenberg mwezi August au September naomba invitation letter please
I will be more glad kaka Kisoki kama utanisaidia nipate contact yako
Nimesha kwenda hapa kama mara 8 kila nikiwa off nakwenda kuzurura huko ni masaa 2 tu kutoka Mannheim
Camera man au camera woman 😮😮
Nchi watu wachache tatizo ni ushoga waziri mkuu wa Luxembourg kaoelewa unategemea nini sasa watu watazaliana lini? Hata kama kila kitu ni bure hamna baraka kwenye ushetani....
mtihani sana
@@abdallahdataguy mtihani mkubwa sana
Ushoga ni ushetani,lakini baraka na maisha mazuri hao watu wanayo ndio maana kila kitu bure.
Ona sisi na makanisa ,misikiti yetu tulivyo na maisha magumu😂.
Yule waziri mkuu aliekua mume wa mwanaume mwenzake tulishampiga chini kwenye uchaguzi uliopita kwa sasa nchi haiongozwi na mashoga tena
@@kijitamfyomi5598 hapo safi sana maana ni upumbavu mkubwa nchi kuongozwa na shoga hongereni sana
Wapenda Dezo Jikazeni😂😂😂😂
Familia ya kisoki ni maarufu sana mbeya mjini babayao amewahi kuwa mkuu wa mkoa kipindi Cha Nyerere... Sijui kama ndiyo hao
Nikiwa nasoma shule ya msingi Muungano nilikua napita nyumba flani naambiwa ni ya Kisoky ..route from Magereza to Forest 😂😂
@@alexbondo2350 kweli kabisa... forest ya zamani 😀
Fuatilia hiyo interview mwishoni kasema ni mtu asili ya mbeya
wanao ubalozi Tanzania ?
Elimu bure then unafurahia. Vp school kama wanapromote ushoga akiwa schools
Nchii nzuri sana inaonyesha
Nice country
Iyo inchi yamashoga wazili mkuu wa iyo inchi kamuowa mwanaume mwanzake inalaana iyo 😢😢😢
Hajamuoa, yeye ndo kaolewa 😅
Nimoja ya nchi inayosapoti Agenda ya LGBT nusu ya wakazi ni mashoga 🌈 so guys ,ktkt Dunia ya Sasa whatCh out vya Bure Bure 🧐🧐🧐🧐🧐it's gonna coast ya People ,wazungu they're out of dey mind,they're sons and daughters of 👹👺👹👹👺
Vipi upatikanaji wa visa za kazi
Makelele meng
Tupo
Waziri mkuu shoga hayupo tena tulishampiga chini kwenye uchaguzi mwaka huu na waziri mkuu wa sasa co shoga tena
Kumbe eh, hii habari njema
Taifa dogo kwa size, matajiri. Eneo lake ni sawa na mbuga ya wanyama ya mikumi.
ni nchi gani nisaidieni
Inaitwa Luxembourg ipo kaskazini magharibi mwa Ulaya.