MPAKA HOME: FEROOZ AKIRI KUVUTA BANGI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • Subscribe / uwazi1
    MBONGO Fleva wa kitambo, Ferooz Mrisho 'Ferooz' amekiri kujihusisha na uvutaji wa madawa ya kulevya aina ya bangi, huku akiipinga vikali umivi wa kujihusisha na ubwiaji wa unga.
    Katika mahojiano maaluj na Kipindi cha Mpaka Home nyumbani kwake Sinza jijini Dar baada bya kuvamiwa usiku mnene, Ferooz alisema: "Nilikonda kwan sababu ya mawazo ya kufulia na kushuka kimuziki, watun wakasema navuta madawa ya kulevya, ukweli ni kwamba....," unajua Ferooz alifunguka yapi mazito? twen'zetu...
    FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

ความคิดเห็น • 291

  • @sbizzowakunyumba4532
    @sbizzowakunyumba4532 3 ปีที่แล้ว +14

    Dahhh nimeumia sana kusikia huna mtoto huna mke wala Mpenzi jamani dahhh kama nawe umeumia gonga like

  • @sarafinasarafina3144
    @sarafinasarafina3144 4 ปีที่แล้ว +4

    Ferrouz We love you so much come back to the GAME ss umetusahau we love your music tunakukubali

  • @nikitadiamorelivingstone2831
    @nikitadiamorelivingstone2831 6 ปีที่แล้ว +4

    nakupenda sana ferooz hasa nyimbo zako za zamani, wewe. ulikuwa ni msanii bora sana na nyimbo zako zilikuwa na maana, sio hawa wauza sura na watafuta kiki wa siku hizi nyimbo siku moja imeisha chuja, huwezi amini nikisikiliza nyimbo yako ya starehe.yaani naiona mpya sichoki kuisikiliza, jipange rudi kwenye game Mungu atakusaidia, maishani kukosea ni jambo la kawaida na hasa ukitambua makosa yako bado muda unao wa kujipanga upya.

  • @shariffaabdalla2170
    @shariffaabdalla2170 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakumbuka tokea 2010 nahisi kuzisikia nyimbo zake kama ileee ya ukwimwi
    Yupo ivo ivooo hajabadilikaa
    Mashallah
    Hajazeka bado yuko fresh

  • @atukuzwemungudaimaariseand6156
    @atukuzwemungudaimaariseand6156 6 ปีที่แล้ว +12

    Madawa atumii anavyoonekana.wanamzushia kumuharibia maisha lakini ujachelewa nikutie moyo songa mbele usiogope mungu atakuinua tena kazana jipe moyo usikate tamaa mungu anaweza

  • @Amishjuma
    @Amishjuma 6 ปีที่แล้ว +7

    Ferooz big up bro you can still make it life is full of ups and down dnt give up chaĺlenges modify life ... ferooz binadamu nilazima mitihani na Mola hawezi kukupa mtihani ambao huwezani kwani yy nimkarimu...

  • @roselineojwang6176
    @roselineojwang6176 6 ปีที่แล้ว +1

    Farooze ujachelewa, people learn through mistakes, just focus like never before your voice is amazing. You will make it this time . Be blessed

  • @georgedinda7400
    @georgedinda7400 2 ปีที่แล้ว +1

    Huku kenya huyu bwana tunamkubali kwa kweli aisee, kazi yake yaoneka kwa hakika.

  • @nurloy510
    @nurloy510 6 ปีที่แล้ว +13

    I love you uuuu ferouz nitafute nita kubusti kipenzi

  • @atukuzwemungudaimaariseand6156
    @atukuzwemungudaimaariseand6156 6 ปีที่แล้ว +15

    Usiogope. Songa mbele maisha yanabadilika kuishi geto nimaisha tu omba mungu pambana bado ujachelewa usiogope kaka kunakupanda na.kushuka jipe moyo wa kusikiliza watu songa mbele

    • @edwardkasubi1495
      @edwardkasubi1495 6 ปีที่แล้ว +1

      Atukuzwe mungu daima arise and shine
      Yeap kuna kupanda na kushuka

  • @isaacopolot2027
    @isaacopolot2027 3 ปีที่แล้ว

    Pole sana Ferooz kwa hayo yote ulioyapitia. Lakini ni bora utafute bint moja atakaekusaidia kunyoosha maisha yako. Kinauma sana kutokuwa na watoto wala mke ukiwa na miaka hizo. Namkubali sana Ferooz. Ni msani kubwa sana yeye

  • @OctavianiRongino
    @OctavianiRongino 3 หลายเดือนก่อน

    Aojamaa dazi nunda tunawapenda sana wakizunguka nchi nzima watajaza kwenye shoo zao ila wafanye mazoezi ya viungo watapendeza afia zao hasa Daz baba ana mwonekano wabangi ila wakizunguka nchi nzima watatajilika watu Wana nia ya kuwaona

  • @mutumbamicheal1451
    @mutumbamicheal1451 3 ปีที่แล้ว +1

    Love u Ferooz, I pray u come back big

  • @hadija846
    @hadija846 6 ปีที่แล้ว +3

    Mwimbaji mzuri sana😘🎉🎊💖💝

  • @WandeMagembe-qs2fc
    @WandeMagembe-qs2fc 4 หลายเดือนก่อน

    Kaka ucjly kaza roho mke mwema utapewa n Mungu kaka nakupenda sana ingia ulingoni nakuaminia tuliza akili ipo cku utapata mke mwema wa kukuthamini jinsi ulivyo pia nakuombea mji ulio mwemaaa kwenye usanii nakuaminia kura zangu ziko kwako achia ngoma weweee

  • @mwanashazinga9538
    @mwanashazinga9538 6 ปีที่แล้ว +4

    zidisha elimu my bro feronz na mungu yupamoja nawe

  • @husnakisungu5095
    @husnakisungu5095 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda nakumbuka Sana nyimbo yako ya wema wangu umeniponza

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 6 ปีที่แล้ว +5

    Huyu Ferooz n stress tu znamsumbua ila jamaa anaongea kiutu uzima sana , Kipindi kizuri sana sema Presenter huyu n miyeyusho tu ...

  • @paschalfrancis7674
    @paschalfrancis7674 6 ปีที่แล้ว +6

    penda sana bro angu mungu awe nawe daima

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 6 ปีที่แล้ว +6

    Inasikitisha sana daaah maana huyu Ferooz aliutoa sana mziki wa bongo na nyimbo zake zilikuwa na mafunzo sana daah

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 6 ปีที่แล้ว +6

    Ferous songa mbele upo vizuri sana

  • @MufaridjitchirimwamiAugustin
    @MufaridjitchirimwamiAugustin 2 หลายเดือนก่อน

    Namupenda sana ferooz sana natamani kumuona

  • @mariamoman7593
    @mariamoman7593 6 ปีที่แล้ว +16

    hata ungea yake iko poa hatumii madawa jaman binadam tunajua kuzush ya MTU bila uhakika

  • @miriamngosha6856
    @miriamngosha6856 6 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atakusaidia tu mwaya usikate tamaa ni kweli umekonda sana

  • @hakikaoman5925
    @hakikaoman5925 6 ปีที่แล้ว +5

    uskate tamaa mungu yupo muombe mungu atakuitika tena .amiini

  • @fatumatunu2208
    @fatumatunu2208 6 ปีที่แล้ว

    Mungu hufukarisha tenahuenuwa omba mungu mm kutoka Kenya nakupenda frz

  • @levinakiluga3023
    @levinakiluga3023 ปีที่แล้ว

    Unaakili sana feroz

  • @duahamud1377
    @duahamud1377 6 ปีที่แล้ว

    wasanii wa bongo hawapendan na tabia yao wengi ukiwaona pamoja ujue wote wako vzr kiuchum na waweza sema ni marafiki.mabest zake wapo wa zaman na wako vzr tu kiuchum lkn wapo kima😏😏.Tabia mbaya hii tuwe wachamungu na tupendane ukweli wakupendana sio kinafiki.ferooz sio mtu wa kuhangaika kulingana na marafik zake wengi wako sawa tu tupendane jamanii❤️

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni1887 2 ปีที่แล้ว

    kaka mungu alikupa kipaji tufanye nini uludi kama zamani tunapenda nyimbozako zazamani mimi siko mu tanzania lakini nakupenda sana natamani usimame de 🇾🇪🇨🇻🇰🇳

  • @evaristmandilindi6147
    @evaristmandilindi6147 6 ปีที่แล้ว +1

    safi sana ferooz kibabe ka mm

  • @kingoman7895
    @kingoman7895 6 ปีที่แล้ว +2

    Pigana my bro utafika kwa nguvu za ALLAH

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 6 ปีที่แล้ว +5

    Stareh mlizipenda Ila mwishowake mbaya na kweli ferooz wew jaman saivi ungekuta unamke na watoto maskin lkin for now kweli itakuwa ngumu Kwa Hali iyo na usawa wa magu huu sidhan

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 4 หลายเดือนก่อน

    Pamoja sana

  • @mushqafei6034
    @mushqafei6034 6 ปีที่แล้ว +2

    mbna uko juu unaweza baba

  • @halimaramadhani1135
    @halimaramadhani1135 6 ปีที่แล้ว +2

    songa mbe mungu yupo toa nywele izo kaka yangu pia andaa tamasha mpenzi tujilushe

  • @charlesrachier5444
    @charlesrachier5444 6 ปีที่แล้ว +7

    Kutoka ujerumani mkenya dogo rudia mahewa nakumbuka nilipokua bado naishi kenya ngoma poa

  • @prayzoodmaraboy796
    @prayzoodmaraboy796 6 ปีที่แล้ว +2

    Wewe ndo diamond wazamani

  • @leonardmtemi9125
    @leonardmtemi9125 4 ปีที่แล้ว +1

    Ulinatujaaaa sanaaa nyandebheeee hahahaaaa

    • @johnmuna7428
      @johnmuna7428 2 ปีที่แล้ว

      Nhana ghete o nyanda oyo we na tujaa

  • @prayzoodmaraboy796
    @prayzoodmaraboy796 6 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubari feruz

  • @habsammussa8176
    @habsammussa8176 ปีที่แล้ว

    Mtangazaj hana talent kabisaaaa

  • @fatumatunu2208
    @fatumatunu2208 6 ปีที่แล้ว +2

    Usikate tamaa tumaini lingaliko mungu anajibu lako mm mkenya twakupenda ferooziii

  • @aishaasumany561
    @aishaasumany561 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtangazaji amelewa

  • @zuhuraally171
    @zuhuraally171 6 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atakusaidia

  • @bajunihilali95
    @bajunihilali95 6 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki urudi kwa game

  • @mariamsuleiman7159
    @mariamsuleiman7159 6 ปีที่แล้ว +6

    penda sana fferozi

  • @bkm1048
    @bkm1048 6 ปีที่แล้ว +1

    ferooz songa mbele natarajia kazi kubwa kutoka kwako unaweza nakuamini

  • @hamiduissa6599
    @hamiduissa6599 6 ปีที่แล้ว +6

    pambana Broo ndo life hakuna kurudi nyumaa you are gentroman

  • @mussatendeli6909
    @mussatendeli6909 6 ปีที่แล้ว +3

    hata siamin kama huyu ndo yule ferooz Wa starehe

  • @silverrichard2975
    @silverrichard2975 6 ปีที่แล้ว +1

    Yeah

  • @mudrikilitoine9945
    @mudrikilitoine9945 6 ปีที่แล้ว +1

    Iko powaaaaaaaaaa sanaaaaaaa

  • @ramah16
    @ramah16 6 ปีที่แล้ว +1

    Ferooz nakutambua sana sauti yako iko sawa

  • @dullahmfaume3350
    @dullahmfaume3350 6 ปีที่แล้ว +2

    Ongea vzr mtangazaji

  • @سبحانالله-ح7د
    @سبحانالله-ح7د 6 ปีที่แล้ว

    Pole sanaa.

    • @nightrobert6669
      @nightrobert6669 6 ปีที่แล้ว

      Mazwali gani hayo wemtangazani,uliza maswali yenye akili

  • @othumanmaulid7406
    @othumanmaulid7406 6 ปีที่แล้ว

    Pole kwa kuzushiwa

  • @lifestarkoech759
    @lifestarkoech759 6 ปีที่แล้ว

    Mtafute professor Jay bro akube kazi c lazima uimbe hadi useeni

  • @robertmaginga6132
    @robertmaginga6132 5 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji kama vile mlevi sijui nikutathimije yani we sio mtangazaji unaboa bro.

  • @mussayusuphu5436
    @mussayusuphu5436 6 ปีที่แล้ว

    Love ferooz

  • @JosephatSivirike
    @JosephatSivirike 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu bingwa yuko hai ama alitangulia mbele ya haki??? Nauliza kutoka Kenya

  • @billgatezebedayo2287
    @billgatezebedayo2287 6 ปีที่แล้ว +1

    Du powa sana

  • @mashadaudi8862
    @mashadaudi8862 5 ปีที่แล้ว

    kaka umetuangusha bado tu nakupenda sana buana ludi utupe ladha kaka maneno ya wat yasikuangushe 😢

  • @alibell5246
    @alibell5246 3 ปีที่แล้ว +1

    Feroooz nyimbo zako nzur zinaelimisha jamii nazpenda sana

  • @sakinandoile9439
    @sakinandoile9439 6 ปีที่แล้ว +1

    Brighton badilisha style ya kuzungumza unatia mbwembwe hadi unakera jaribu kufanya km Calvin Shayo...
    Ferooz kaza buti life lina mengi ww bado mkali na mashabiki zako still tupo na wewe

  • @levinakiluga3023
    @levinakiluga3023 ปีที่แล้ว

    😂 nyinyi niwambea sana muwe mnaomba namba za simu ili kuomba appointment khaaaaa! Mtapigwa siku moja

  • @fatmat6883
    @fatmat6883 6 ปีที่แล้ว +2

    Jamani brighton wacha kumuuliza ya undani.

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 6 ปีที่แล้ว +1

    Naomba Global muwe mnapitia hizi koment tunazoweka,Huyu mtangazaji masalu mwambieni atulizane na Mic,hatulii

  • @fatherjaytz
    @fatherjaytz 5 ปีที่แล้ว

    Unahoji vipi wew mbna hujui

  • @newkhamza1339
    @newkhamza1339 6 ปีที่แล้ว +2

    tunakupenda ferooz

  • @starvstargsoldear6388
    @starvstargsoldear6388 6 ปีที่แล้ว +1

    ila bro mkweli sana katika maisha yako

  • @barakasophereth4896
    @barakasophereth4896 6 ปีที่แล้ว +6

    Hatumii hiyo siyo sauti YA kutumia Dawa.

    • @mdunungumbaa635
      @mdunungumbaa635 6 ปีที่แล้ว

      Nina namba ya ferouz anaetaka anicheki 0762580922 nimpe

    • @mdunungumbaa635
      @mdunungumbaa635 6 ปีที่แล้ว +1

      mtangazaji uko poa,achana na maneno ya watu,watu wanao sema haujui kazi wala sio wana habari,cjui mtu unawezaje kujua ubovu wa gari na spea inayotakiwa wakati hata garage haukujui.watanzania tupunguze ujuaji tuwaachie wenye taaluma zao wafanye kazi,mtu ni mpika maandazi ila anakosoa kama amesomea habari

    • @cestlaviecestlavie4073
      @cestlaviecestlavie4073 4 ปีที่แล้ว

      @@mdunungumbaa635 , iandike hapa hiyo namba yake, uku ulaya wana mmisi

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 3 ปีที่แล้ว

    Ungekuwa ungefuga vidread

  • @elizabethcharles4902
    @elizabethcharles4902 2 ปีที่แล้ว

    Mi namtaka jaman

  • @aishaasumany561
    @aishaasumany561 3 ปีที่แล้ว

    Feruz njoo unioe Mimi basi tuyajenge

  • @Rahmamatengo6114
    @Rahmamatengo6114 6 ปีที่แล้ว +1

    Sauti yako inalipa bana tunakupenda bado rudi ufanye kazi na miss nyimbo zako zaukweli

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 6 ปีที่แล้ว

    Safi sana bro mràdi ujitambue .lakini we omba mungu

  • @fatmat6883
    @fatmat6883 6 ปีที่แล้ว +4

    Ya usijidharau ulivyo kaa simple tu dunia ni mapito.

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni1887 2 ปีที่แล้ว

    Uwimbo hauwezi kushindanidhwa ata sisi majilani tunatamani kumu ona Aki imba tena tuna muomba de utupe namba ya simu yako tu sa idiyane 🇨🇷🇨🇷🇨🇻

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi8243 2 ปีที่แล้ว

    mtangazaji miyeyusho

  • @basagabernad4253
    @basagabernad4253 6 ปีที่แล้ว +17

    Huyu Mtangazaji hafai na hajui kufanya interview...
    Yaani kipindi hakivutii,hajui kuuliza maswali,Anaropoka ropoka tu....
    GLOBAL TAFUTENI MTU MWINGINE

    • @sakinandoile9439
      @sakinandoile9439 6 ปีที่แล้ว

      Basaga Bernad wamrudishe Calvin Shayo huyu dogo hawezi

    • @basagabernad4253
      @basagabernad4253 6 ปีที่แล้ว

      +Sakina Ndoile
      Na pale Global Nzima Calvin Shayo ndio baba yao.
      Yule anajua anachokifanya ndiyo maana wanamtumia saana ktk matukio ya live 'Kuripoti habari za Live'
      Halafu sijuwi kwanini Global hawasikilizi wala kufanyia kazi maoni ya wafuatiliaji wao...ambao ni sisi...
      Ili kipindi kivutie ni lazima Watangazaji wawe ni wenye kujiongeza na kujua nini kifanyike.

    • @swagazerotv9320
      @swagazerotv9320 6 ปีที่แล้ว

      Ddda huyu mtangazaji anaboa

    • @basagabernad4253
      @basagabernad4253 6 ปีที่แล้ว

      +swaga Zero tv
      Saaaaaaaana

    • @zondomkali2205
      @zondomkali2205 6 ปีที่แล้ว

      Basaga Bernad.mimi ni mtangazaji nadhani ntawasaidia wana globo.wanitafute 0752454400

  • @nurumasunga6079
    @nurumasunga6079 6 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji bado sana

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus8770 6 ปีที่แล้ว +13

    Wema wangu umeniponza bonge la nyimbo

  • @lusekelomwasanga2815
    @lusekelomwasanga2815 6 ปีที่แล้ว +5

    mtangazaji mlevi balaaaa aisee maswali hayana ata mukshe mukshe ulevi mbaya chek chekin uyu jamaaa dah hapa global hamna hahaha ebwana eeeh

  • @kennethsamwely1810
    @kennethsamwely1810 6 ปีที่แล้ว

    nimefurahi sana kumsikia feroon live

  • @makukamakaveli6581
    @makukamakaveli6581 3 ปีที่แล้ว

    Huyu mtangazaji buree kabisa😂😂😂😂

  • @mariamsuleiman7159
    @mariamsuleiman7159 6 ปีที่แล้ว +2

    nakaza roho

  • @nicholausmbilinyi3587
    @nicholausmbilinyi3587 6 ปีที่แล้ว +6

    Usiombe mambo yawe magumu halafu asili yako ni dsm..huna kijiji cha kukimbilia ukalime.mmmmh!

    • @calvinpaul9141
      @calvinpaul9141 6 ปีที่แล้ว

      NICHOLAUS MBILINYI
      Atar sana unaeza jnyonga

    • @المهلهلالحراصي
      @المهلهلالحراصي 5 ปีที่แล้ว

      Kher yangu nimezaliwa kijijn aisee jiji likinishinda tu nafungasha mzigo yangu narudi kijijini

  • @mohamedtabir7713
    @mohamedtabir7713 6 ปีที่แล้ว +2

    nampenda sana ferooz

  • @gracbboykazangagracbboykaz5205
    @gracbboykazangagracbboykaz5205 2 ปีที่แล้ว

    Feruzi

  • @Lahyzeecrucial
    @Lahyzeecrucial 6 ปีที่แล้ว +4

    Mtangazaji uko poa sana big up to you bro✌✌✌

  • @peterngaramila8218
    @peterngaramila8218 5 ปีที่แล้ว

    Global TV mtangazaji wenu hajui kuhoji

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 6 ปีที่แล้ว

    Pole sana bro usijali utachanganya tu

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 4 หลายเดือนก่อน

    We mwandishi angalia vitu vya kuhoji

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni1887 2 ปีที่แล้ว

    hujachelewa kaka tunaomba namba za Simu

  • @mawesebaby5560
    @mawesebaby5560 6 ปีที่แล้ว

    Tumekumis brooo Rudi kwenye game

  • @jumahalifa1898
    @jumahalifa1898 3 ปีที่แล้ว

    Kipindi kina elim vijana tutumieni ujana vizuri mana siku hazigandi mwamba nimfano mzuri

  • @nyambopastory7661
    @nyambopastory7661 3 ปีที่แล้ว

    Acheni kumuhalibi bana bangi anayovuta ikowapi sasa mnaandika ili watu waendelee kumjadili vibaya

  • @mustafakijuso2356
    @mustafakijuso2356 6 ปีที่แล้ว

    Safi ferooz unaweza

  • @mbarakfarid331
    @mbarakfarid331 6 ปีที่แล้ว +1

    Umekonda Brait......................on nini mbaya wasukuma wanakunyima sima ngumu na unapewa sima ya zanzibar nini

    • @pennystang6065
      @pennystang6065 6 ปีที่แล้ว

      Mbarak Farid unono ni ugojwa

  • @bonnysure1082
    @bonnysure1082 6 ปีที่แล้ว

    wew Jama unazinguwa ujue mbona Maswali ya madem2 pengine hata ww ujaoaacha hizo😂😂😂

  • @D-mox
    @D-mox 4 ปีที่แล้ว +2

    Kma umeipenda nyimbo hiii bonyeza hapa kusikiliza tena 10:21

    • @sylviemugeni1887
      @sylviemugeni1887 2 ปีที่แล้ว

      tu natamani uludi kaka

    • @sylviemugeni1887
      @sylviemugeni1887 2 ปีที่แล้ว

      tunaomba ata uludi tena kaka utupe namba ya simu yako tusa idiyane 🇨🇻🇨🇼🇾🇪🇺🇲

    • @sylviemugeni1887
      @sylviemugeni1887 2 ปีที่แล้ว

      Wimbo wako mpaka lewo watufunza usi katetama utapita

  • @francismjatatv5483
    @francismjatatv5483 6 ปีที่แล้ว

    noma xana