Tabia za nje kabisa ambazo mtu yeyote anaweza kuijua kwa watu wa kabila la wasukuma ni imani na ukarimu bila kubagua wala kinyongo.. KAMBI POPOTE - MtembeziUsukumani
Wasukuma ni watu wazuri na wenye kuheshimu watu sana ndio maana siku zote napata mashaka kuhusu tabia za Magufuli. Hana tabia kabisa za Kisukuma. Tanzania tumchunguzeni Magufuli. Hafananii na Kabila la Kisukuma.
Very true mama wangu mzazi nimsukuma with all those qualities.
Hata kama umeishiwa unga unaweza kuazima ukapewa wakupika hata mala tatu bila kudaiwa ni ukalim kwa sana.
Hongereni sana wote haswa wausika kutupa habari
Ukikosana na msukuma jiulize unanini kwanza thats why am sukuma
Wasukuma ni watu wazuri na wenye kuheshimu watu sana ndio maana siku zote napata mashaka kuhusu tabia za Magufuli. Hana tabia kabisa za Kisukuma. Tanzania tumchunguzeni Magufuli. Hafananii na Kabila la Kisukuma.
Wasukuma oyee
Eti sio wachoyo bali wasukuma ni wanafiki sana
saf
Nasikia wasukuma wapigaj? Je ni kweli
Wasukuma juuuu sanaaaaaaa,iyo nkoi mwabheja go mbolela gete
obheja nkoi#
Pia ni washamba
Ni kweli washamba wengi ila sina imani kama unajua maana ya mshamba. Fuatilia maana yake uondoe ujinga.
Bibi yko mshamba
🤣🤣🤣🤣🙌🏻
Washamba🙄🤣🤣🙌🏻
saf
saf
Exactly!!!
Juma Shalla matoboki