Baba Nabii Magufuli, ulimsamehe alikini hakusameheka maana aliendelea kufanya upuuzi ktk nchi na kufanya ubadhilifu wa mali ya umma. Tunamshukuru Mungu Mama Samia kamtimulia mbali, yeye na Nape Nauye
Daa unaovyo ongea nikama hii kitu imenitokea mimi yaan nahisi huzuni yako na inaonekana ilikuumiza kweli kweli. Lakini hii Dunia ina mafundisho yake na Mungu ndiyo atakaye tufunua kwa mazuri au mabaya siku hizi watu tunaweka usomi juu kuliko utu na maranyingi tunthamini maisha na maisha yetu binafsi na kusahau wengine na inamuathiri kivipi Mwingine.Usomi siyo kisu kuuwa maono ya watu bali tutumie katika kutoa maamuzi yaliyo sahihi na si kwa kuangalia ni nani kakuagiza . Mungu aturehemu katika haya
Sasa baba yake amesema nyie mliokufa mlikuwa na madhambi makubwa wewe mwalimu nyerere na mkapa mbele ya wake zenu waliokaribishwa mungu amlaani sana yusuf makamba afe na yeye tena kwa kugongws na gari
Dah huzuni yangu hao walipata muda wa kuomba msamaha ila walio mpiga risasi lisu hawakupata muda na hadi leo hakuna alieomuomba msamaha Lisu au Beni saanane na wote waliotekwa
Mungu ampumzishe mzee wetu tutakumbuka sanaaaa
Nakupenda sanaa maguful mungu akutunze
Mungu mwema,,, hadhina yako imaandaliwa, hongera sana kwa uvumilivu
Mungu akubariki sana na akuongezee miaka yakuishi kwa maana Maria wengine mno wangewapa adhabu kweri kweri
Uliwasamehe ila hao hawakuwa na upendo na wewe uliwasamehe pumzika kwa amani mahali pema peponi jemedari wetu Magufuli
Safi Sana Baba yetu lkn ambao hawajakuomba musamaha uwawajibishe nakuomba usikilize hata neno hili
Baba Nabii Magufuli, ulimsamehe alikini hakusameheka maana aliendelea kufanya upuuzi ktk nchi na kufanya ubadhilifu wa mali ya umma. Tunamshukuru Mungu Mama Samia kamtimulia mbali, yeye na Nape Nauye
Daah! Daaah! Daaah! Ebu nikae kimya tuuu.
Tanzania Tulikuwa na Rais
2024 watching nipeni like 👍
Bora uwasamehe tu mh rais safi sana
Daa unaovyo ongea nikama hii kitu imenitokea mimi yaan nahisi huzuni yako na inaonekana ilikuumiza kweli kweli. Lakini hii Dunia ina mafundisho yake na Mungu ndiyo atakaye tufunua kwa mazuri au mabaya siku hizi watu tunaweka usomi juu kuliko utu na maranyingi tunthamini maisha na maisha yetu binafsi na kusahau wengine na inamuathiri kivipi Mwingine.Usomi siyo kisu kuuwa maono ya watu bali tutumie katika kutoa maamuzi yaliyo sahihi na si kwa kuangalia ni nani kakuagiza .
Mungu aturehemu katika haya
katika siku zote umenigusa ila leo umenigusa zaidi
Sasa baba yake amesema nyie mliokufa mlikuwa na madhambi makubwa wewe mwalimu nyerere na mkapa mbele ya wake zenu waliokaribishwa mungu amlaani sana yusuf makamba afe na yeye tena kwa kugongws na gari
Ndiyo Baba hapo ulinena R.I.P
MUNGU AWÈ NAWE BABA
Ngeleja anajianda vzr safari ya kwenda mbinguni kwaani amewahi kurudisha Yale mahela waliyo gawana kifisadi au nimekosea?
Ulikosea ilibdi uwe Kama kagame ukihisi hatali inabidi umalize kabla hawjakumaliza
Dah huzuni yangu hao walipata muda wa kuomba msamaha ila walio mpiga risasi lisu hawakupata muda na hadi leo hakuna alieomuomba msamaha Lisu au Beni saanane na wote waliotekwa
JANUARY MPOLE SANA. MSTAARABU.
You are a true leader,God bless you forever
Mwenyezi Mungu akujalie hekima na busara
Mungu ampumzishe mzee wetu tutakumbuka sanaaaa