Babu mimi nina majina mawili moja ambalo ni la dini lingine la kurithi nataka kujua jina la uko linaanza R na jina hilo la dini ni M hapo naomba unieleweshe nyota yangu itakuwa ipi sababu nikiwa nyumbani wananiita la ukoo nikirudi kwangu la dini naomba unieleweshe
❤❤❤ somo nzuri
Asante babu
Tunakusoma Babu moja kwa moja from A town. Shukran
Nakubali. Una siri nyingi za kiulimwengu. Unayoyasema yanatimia kila wakati. Serikali ingeweza kukutumia ingefaidika sana.
kabisa yuko sahii
THE TRUTH@@SalmaKhmees
Kwasasa yaan Mimi sikurupuki katika maamuzi yangu kwasababu hii harakaharaka inaniumiza sana
Yani hatari
❤
🌿🍀🙏💚💗💗asnte sana kaka Allykk
Tuna shida nyingi😢😢😢😢😢😢😢
Kabisa yan
🙆🙆🙆🙆🙆🙆
Tuna uvivu wa kufikiria na wepesi kushadadia
Mi naitwa semu mbon namisuko msuko ming kwa sasa juz tu nimebambikiwa mtoto nijibu bx mbon hujanijibu
Hahahah
54 kumbe ni miaka ya changamoto
G na S
Apo saw
Babu mimi nina majina mawili moja ambalo ni la dini lingine la kurithi nataka kujua jina la uko linaanza R na jina hilo la dini ni M hapo naomba unieleweshe nyota yangu itakuwa ipi sababu nikiwa nyumbani wananiita la ukoo nikirudi kwangu la dini naomba unieleweshe
Pekua hapo majibu yako yapo
Asante Sana ❤❤❤❤
❤