ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

Ukiwa na Passport ya TZ, Unaweza kuingia nchi hizi bila Visa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 พ.ย. 2018

ความคิดเห็น • 70

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 4 ปีที่แล้ว +6

    Tufanyieni izi za kiarabu na za kizungu tuingie bila vza. Mana paspot yetu wanaiona haina maana. Mungu ibariki tz. Idumu amani na Upendo wa watu wa tz amin

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 4 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana serikal yetu sema kuna nchi sijawh sikia ndio kwnz kwa kamand

  • @lucaswilliams5761
    @lucaswilliams5761 5 ปีที่แล้ว +6

    Saaafi sanaaa! Mchawi nauli tuuuu! Unakwea mwewe shaaaah!

  • @kingoman7895
    @kingoman7895 5 ปีที่แล้ว +6

    Alhamdulillah asante MUNGU wetu

  • @diltondilunga9915
    @diltondilunga9915 5 ปีที่แล้ว +4

    Naomba usalama pia wa watanzania uzingatiwe ktk nchi hizo na hao wageni watakapofika hapa,na tusije tukatoa mwanya kwa wageni kukiuka vibali vyao kama walivyoomba na kuja kufanya kazi nyingine,

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 4 ปีที่แล้ว +7

    Kalibia zote mbovu. 😠

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 5 ปีที่แล้ว +4

    Asantee mungu

    • @jofreyedwardmolel1450
      @jofreyedwardmolel1450 5 ปีที่แล้ว

      That's good coz I chance to go everywhere without the visa

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 ปีที่แล้ว +1

    .asante

  • @africanchocolate4216
    @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว +7

    “Nchi yetu ikisha jijenga na kukua ki uchumi, hapo ndio mataifa makubwa yatakapo fungua milango yao bila visas, ila kwa sasa wana wasi wasi kuwa uki enda kwao ni kama ume kwenda kuomba omba na kuitia serikali yao mzigo”!

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 7 วันที่ผ่านมา

    Dah

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 7 วันที่ผ่านมา

    Watupambanie ncji km za gulf,ulaya watskua wetusaidia sana wasafirij

  • @jaypili7837
    @jaypili7837 5 ปีที่แล้ว +2

    well sir

  • @marsgenesis7200
    @marsgenesis7200 5 ปีที่แล้ว +1

    Afande mzuri huyoo. Shikamoo afande

  • @user-lo5gg8jk8g
    @user-lo5gg8jk8g 2 หลายเดือนก่อน

    Congo uvira

  • @shukuruilomo768
    @shukuruilomo768 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante Sana nimepata mawazo

  • @kipsjr3664
    @kipsjr3664 2 ปีที่แล้ว +2

    uyu jamaa aliniongelesha kipare siku nimeenda kuchukua passport 😂😂😂

  • @Ismailmahdawi
    @Ismailmahdawi 7 หลายเดือนก่อน

    Burunei hapo sawa

  • @user-lo5gg8jk8g
    @user-lo5gg8jk8g 2 หลายเดือนก่อน

    Congo ni uongo mkuu maeneo ya bukavu watanzania wanalipishwa visa dolla 50 fanyeni uchunguzi mkuu bukavu na ivola tunalipishwa viza mkuu wanatuonea wale

  • @mawazoselemani614
    @mawazoselemani614 4 ปีที่แล้ว +2

    macao..big deal

    • @vailethamin8439
      @vailethamin8439 2 ปีที่แล้ว

      Natamani kwenda lakini wanasema sometimes hua wanawarudisha

  • @mdyoung5163
    @mdyoung5163 ปีที่แล้ว

    Naitaji kwenda kenya🥺🥺🥺😱🎁

  • @racheldauson9471
    @racheldauson9471 5 ปีที่แล้ว +3

    Papua ata unipeleke bure aku siwez

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-rl5qu4zj9b
    @user-rl5qu4zj9b 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba kuuliza colombia vipi unaweza kuingia bila visa au naomba mnijuze

  • @seifomar1148
    @seifomar1148 3 ปีที่แล้ว +2

    Duhh mbn nchi za ulaya haxipo Apo tuekeeni japo Canada tu tukale Bata sio nchi ambazo hazina majina

    • @davidjohson8195
      @davidjohson8195 3 ปีที่แล้ว +1

      🤣😅😅🤣🤣🤣hahaha jamaa angu HV uko wapi Ata unywe soda yaani wanatuona sisis ni maboya Sana wanatuekea nchi za ajabu Sasa Ata ukienda hzo nchi unaenda kufanya😂😆 Nini mungu angu.ni kweli Wangetuekea tu Ata Canada jamaa angu🙏🧡💛

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      Singapore na macao ni nchi za ajabu 😭 aisee hatari sana

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 5 ปีที่แล้ว +2

    Jamen na unyamwezni wekeni hta kumi na ughaibuni.5.

    • @zayyatiyussuf9566
      @zayyatiyussuf9566 5 ปีที่แล้ว

      Uko vizuri sana ughaibuni ndio kunatabu sana🤔

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 ปีที่แล้ว

      Hamad Shein “Nchi yetu ikisha jijenga na kukua ki uchumi, hapo ndio mataifa makubwa yatakapo fungua milango yao bila visas, ila kwa sasa wana wasi wasi kuwa uki enda kwao ni kama ume kwenda kuomba omba na kuitia serikali yao mzigo”!

    • @zuhuramuhanga5400
      @zuhuramuhanga5400 2 ปีที่แล้ว

      waarabu wana roho mbaya hawatotaka

  • @user-yh6lm7hj7y
    @user-yh6lm7hj7y 11 หลายเดือนก่อน

    Drs congo vp

  • @EricsonNoah-uc7xn
    @EricsonNoah-uc7xn ปีที่แล้ว

    Ello

  • @asiasalim4634
    @asiasalim4634 4 ปีที่แล้ว

    A fande nchi mbovu hata kuzitaja unashindwa nawahoo

  • @fredrickmwegole7841
    @fredrickmwegole7841 2 ปีที่แล้ว

    Bila kuchanja et uwe na pasport tu

  • @FredChaki-jb8zj
    @FredChaki-jb8zj 11 หลายเดือนก่อน

    Cyprus hiyo nayo kumbe ipo

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 ปีที่แล้ว

    Labda za Afrika sio ukaya na asia

  • @mozaummy327
    @mozaummy327 2 ปีที่แล้ว

    Nchi mbovu 🤣🤣🤣🤣

  • @al.mansoor_baluch6647
    @al.mansoor_baluch6647 4 ปีที่แล้ว

    🇹🇿💪🏻😍😍😍😍😍😍😍

  • @sashaomary4982
    @sashaomary4982 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona UK wanalipa visa

  • @raniakhan5463
    @raniakhan5463 2 ปีที่แล้ว +3

    Nchi mbovu mbovu zote hizo za nini sasa?nchi hata hazijulikani 😆

  • @nawihadj6674
    @nawihadj6674 4 ปีที่แล้ว +1

    Mm npo singapore nakula bagia tyu hkuu

    • @mtindothedone4958
      @mtindothedone4958 3 ปีที่แล้ว

      Singapore Ni nch gn

    • @Mentorship_clips
      @Mentorship_clips 3 ปีที่แล้ว

      Ishu gani huko kaka

    • @vailethamin8439
      @vailethamin8439 2 ปีที่แล้ว

      Mambo nataka kuja Singapore je kunatetesi kwamba ukifika Airport wanakurudisha nikweli

  • @dollarjohn9292
    @dollarjohn9292 ปีที่แล้ว

    Tupange mipango

  • @saimonijonas1471
    @saimonijonas1471 ปีที่แล้ว

    Passport inagharimu sh.ngapi kuipata?

    • @akbaslismh9874
      @akbaslismh9874 9 หลายเดือนก่อน

      150,000

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@akbaslismh9874nenda nahio hela km utapat passport

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 ปีที่แล้ว

    Hizo nchi zinanuka shida na njaa unafanywa nini

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      Singapore inanuka shida 😭

    • @khamyzkingungo8968
      @khamyzkingungo8968 ปีที่แล้ว

      Nchi kama boswana sisi atuwafikii

  • @nemohos4885
    @nemohos4885 5 ปีที่แล้ว +2

    ataukienda www.visahq.com inakuambia

  • @robinajohanssen697
    @robinajohanssen697 5 ปีที่แล้ว

    Je unaweza kutumia kitambulisho cha Taifa bila passport kwa nchi za Africa Mashairiki?

  • @jacksonboma884
    @jacksonboma884 5 ปีที่แล้ว +5

    Sema nchi karibia nyingi zaajabu ambazo watu wengi hawana mzuka wakwenda tufanyieni uko ma uk, canada, denmak

    • @msafiriiddy3135
      @msafiriiddy3135 5 ปีที่แล้ว

      inchi zenyewe mbona fuckin countries

    • @racheldauson9471
      @racheldauson9471 5 ปีที่แล้ว

      Hahahahaaa niwajanja kweli watekee at sweeden napatamani balaa

    • @habibarnabas7782
      @habibarnabas7782 4 ปีที่แล้ว

      Yeah wangeweka hizo nchi za uk ,Canada hata ukiwa mfanyakazi wa ndani unakuwa na life nzur tyu

    • @enyasilaurent8487
      @enyasilaurent8487 4 ปีที่แล้ว

      @@racheldauson9471 vip mzee

    • @sandra-ir7so
      @sandra-ir7so 4 ปีที่แล้ว

      wataenda vitukuu vyako