ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
SAKATA LA VIJANA WANNE KUMBAKA BINTI, WAKILI AFUNGUKA "WATAFUNGWA MAISHA"Millard Ayo
มุมมอง 15K
MZEE MAGOMA AACHIWA POLISI, “YANGA TUKUTANE MAHAKAMANI” KWENDA FIFAMillard Ayo
มุมมอง 19K
UNACHOTAKIWA KUFANYA UKIPANDA NDEGEWasafi Media
มุมมอง 3.6K
Lego Stairs VS Chucky #funny #comedy #challenge #memesSpriteDer SPD
มุมมอง 3.6M
ได้ซะที! ชื่อBabyของเรา [cc] แดนแพทตี้ SS2 | EP.47 |DanPattie
มุมมอง 333K
สรุปดราม่า (PT.2) MrBeast ทีมงานแฉเพิ่ม กดดันทีมงานจนต้องบำบัด รับทีมงานที่มีประวัติอาญา?Bangkok Esports
มุมมอง 409K
ถ้าเกิดว่าคุณเจอผีหัวขาดที่เถียงนา อย่าคุยกับมันเด็ดขาด !!!YangKai
มุมมอง 122K
JIBU LA POSHY BAADA YA HARMONIZE KUSEMA AMEMMISS, UGANGA WA DADA WA NANDYMillard Ayo
มุมมอง 8K
The Explainer | Jimi Wanjigi explains why 'Ruto must go'Citizen TV Kenya
มุมมอง 14K
VIGEZO NA SIFA ZA MWOMBAJI WA PASIPOTI MPYA YA KIELEKTRONIKIUhamiaji Tv
มุมมอง 32K
SABABU ZA KUNYIMWA VIZA YA MATEMEBEZI YA USA NI HIZI HAPAEBM SWAHILI
มุมมอง 5K
Makonda Awasweka Ndani Waliouza Nyumba ya Mjane KimagumashiGlobal TV Online
มุมมอง 83K
爸爸這下虧大了,一個手機換了一盆火龍果! #funny #funnybaby #寶寶#搞笑#聰明寶寶苏馨呀
มุมมอง 4.4M
24 ชั่วโมง เอาชีวิตรอดที่พูลวิลล่าของผม ! ( พิสูจน์ผี )Ananped
มุมมอง 717K
Lego Stairs VS Chucky #funny #comedy #challenge #memesSpriteDer SPD
มุมมอง 3.6M
[TH] VALORANT Champions Seoul - Group Stage Day 10 - EDG vs PRXVALORANT Esports Thailand
มุมมอง 156K
ผจญภัยรถขัดห้างยักษ์ 4 ชั้น!! แบ่งชนชั้น..หาผู้นำสูงสุด ฮาๆ!?OAUJUN HI-END
มุมมอง 1.4M
Delivery!! Part3 #shorts #トイキッズToy Kids★トイキッズ
มุมมอง 9M
Tufanyieni izi za kiarabu na za kizungu tuingie bila vza. Mana paspot yetu wanaiona haina maana. Mungu ibariki tz. Idumu amani na Upendo wa watu wa tz amin
Safi sana serikal yetu sema kuna nchi sijawh sikia ndio kwnz kwa kamand
Saaafi sanaaa! Mchawi nauli tuuuu! Unakwea mwewe shaaaah!
Alhamdulillah asante MUNGU wetu
Naomba usalama pia wa watanzania uzingatiwe ktk nchi hizo na hao wageni watakapofika hapa,na tusije tukatoa mwanya kwa wageni kukiuka vibali vyao kama walivyoomba na kuja kufanya kazi nyingine,
Kalibia zote mbovu. 😠
Asantee mungu
That's good coz I chance to go everywhere without the visa
.asante
“Nchi yetu ikisha jijenga na kukua ki uchumi, hapo ndio mataifa makubwa yatakapo fungua milango yao bila visas, ila kwa sasa wana wasi wasi kuwa uki enda kwao ni kama ume kwenda kuomba omba na kuitia serikali yao mzigo”!
Point kubwa
Dah
Watupambanie ncji km za gulf,ulaya watskua wetusaidia sana wasafirij
well sir
Afande mzuri huyoo. Shikamoo afande
Congo uvira
Ahsante Sana nimepata mawazo
uyu jamaa aliniongelesha kipare siku nimeenda kuchukua passport 😂😂😂
Vigezo vya passport
Burunei hapo sawa
Congo ni uongo mkuu maeneo ya bukavu watanzania wanalipishwa visa dolla 50 fanyeni uchunguzi mkuu bukavu na ivola tunalipishwa viza mkuu wanatuonea wale
macao..big deal
Natamani kwenda lakini wanasema sometimes hua wanawarudisha
Naitaji kwenda kenya🥺🥺🥺😱🎁
Papua ata unipeleke bure aku siwez
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naomba kuuliza colombia vipi unaweza kuingia bila visa au naomba mnijuze
Duhh mbn nchi za ulaya haxipo Apo tuekeeni japo Canada tu tukale Bata sio nchi ambazo hazina majina
🤣😅😅🤣🤣🤣hahaha jamaa angu HV uko wapi Ata unywe soda yaani wanatuona sisis ni maboya Sana wanatuekea nchi za ajabu Sasa Ata ukienda hzo nchi unaenda kufanya😂😆 Nini mungu angu.ni kweli Wangetuekea tu Ata Canada jamaa angu🙏🧡💛
Singapore na macao ni nchi za ajabu 😭 aisee hatari sana
Jamen na unyamwezni wekeni hta kumi na ughaibuni.5.
Uko vizuri sana ughaibuni ndio kunatabu sana🤔
Hamad Shein “Nchi yetu ikisha jijenga na kukua ki uchumi, hapo ndio mataifa makubwa yatakapo fungua milango yao bila visas, ila kwa sasa wana wasi wasi kuwa uki enda kwao ni kama ume kwenda kuomba omba na kuitia serikali yao mzigo”!
waarabu wana roho mbaya hawatotaka
Drs congo vp
Ello
A fande nchi mbovu hata kuzitaja unashindwa nawahoo
Bila kuchanja et uwe na pasport tu
Cyprus hiyo nayo kumbe ipo
Labda za Afrika sio ukaya na asia
Nchi mbovu 🤣🤣🤣🤣
🇹🇿💪🏻😍😍😍😍😍😍😍
Mbona UK wanalipa visa
Nchi mbovu mbovu zote hizo za nini sasa?nchi hata hazijulikani 😆
😆😆😆😆
Mm npo singapore nakula bagia tyu hkuu
Singapore Ni nch gn
Ishu gani huko kaka
Mambo nataka kuja Singapore je kunatetesi kwamba ukifika Airport wanakurudisha nikweli
Tupange mipango
Passport inagharimu sh.ngapi kuipata?
150,000
@@akbaslismh9874nenda nahio hela km utapat passport
Hizo nchi zinanuka shida na njaa unafanywa nini
Singapore inanuka shida 😭
Nchi kama boswana sisi atuwafikii
ataukienda www.visahq.com inakuambia
Je unaweza kutumia kitambulisho cha Taifa bila passport kwa nchi za Africa Mashairiki?
HAPANA
Haiwezekan Ni Kenya tu
Sema nchi karibia nyingi zaajabu ambazo watu wengi hawana mzuka wakwenda tufanyieni uko ma uk, canada, denmak
inchi zenyewe mbona fuckin countries
Hahahahaaa niwajanja kweli watekee at sweeden napatamani balaa
Yeah wangeweka hizo nchi za uk ,Canada hata ukiwa mfanyakazi wa ndani unakuwa na life nzur tyu
@@racheldauson9471 vip mzee
wataenda vitukuu vyako