Shalom watoto wa MUNGU. Mimi nimerudia haya maombi juzi nilikua nasikia moyo wangu kama hauna amani.Aisee Mungu amenisaidia jambo moja gumu sana kazini kwangu kwakweli kama sio rehema zake leo yangekua mambo mengine kabisa.Mungu akubariki mama kwa kutii ukatupitisha kwenye maombi haya
Nirehemu Mungu wangu🙏🏿katikati ya Ghadhabu kumbuka Rehema.
Shalom watoto wa MUNGU. Mimi nimerudia haya maombi juzi nilikua nasikia moyo wangu kama hauna amani.Aisee Mungu amenisaidia jambo moja gumu sana kazini kwangu kwakweli kama sio rehema zake leo yangekua mambo mengine kabisa.Mungu akubariki mama kwa kutii ukatupitisha kwenye maombi haya
Yesu naomba rehema zako kwa mume wangu na familia yangu yote
Turehemu YESU, have mercy Ohoo LORD 😭🥹😭 Turehemu BABA tupite salama kwenye nusu mwaka huu tunaouendea 🙏🙏🙏🚪🪑🙌
Yesu Naomba Rehema itawale Maisha yangu
Mungu ninaomba unirehemu katika ghadhabahu mimi na Emmanuel lauriano mwenda kwenye mahusiano yetu Yesu ninaomba rehema
Namfunika Mama Yangu kwa Famu yako Yesu
Naamini hata yaliyobaki atayamaliza in Jesus Name
Amen
Yes kanihudumie kupitia madhabahu hii
Mungu naomba unirehemu Mimi na familia yangu🙏🏼
2024 and God still speaks through this word..hallelujah Jesus 🙏
Mungu ninaomba unirehemu katika ghadhabu mimi na AJM kwenda kwenye Mahusiano Yetu ninaomba rehema🙌🏻
Lord have Mercy on me and my family🙏🏿
Funua Rehema yako Yesu
Nikujue Mimi na familia yangu
Nirehemu Ee Bwana mimi na Familia yangu yote🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Ninaomba rehema Baba wmmajira na wakati wangu ni huu umeshawadia
Yesu nihudumie kupitia madhabahu hii
Lord have mercy on us🙏🏿
Mungu ninaomba Rehema
Turehemu na familia yangu Yesu!
Nirehemu mimi na familia yangu Baba wa mbinguni.
Roho Mtakatifu lainisha Moyo Wangu
Rehema kuu ikaishi ndani yangu
Eeh MUNGU nirehemu njia zangu,familia yangu ,uovu uliofanywa na wazazi wangu.ehh MUNGU nahitaji Rehema zako
🙏🙏🙏
Have mercy on me oooh Lord
AMMMMMMMEEEEEEEEEEEEEEEENNNNNNN 🙏
Naomba Rehema itawale Maisha yangu
Amen Amen Ahsante Mungu neema hii,Yesu naomba unirehemu mimi na famili yangu unapopita kwa wengine nami naomba usitupite!
Mama barikiwa sana!
Najiungamisha na madhabahu hii
Amen