UKWELI WA MUNGU NI NANI NA USHAHIDI USIOPINGIKA KUA ALIKUUMBA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 233

  • @BONGOFASTA
    @BONGOFASTA  ปีที่แล้ว +5

    NIMEJIBU MASWALI YALIYOTOKANA KWENYE VIDEO HII, TAZAMA HAPA th-cam.com/video/yAb7TwNu75U/w-d-xo.html

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 ปีที่แล้ว +29

    Tunaoamini katika Mungu atuhitaji maelezo mengi 🙏🏾

  • @DungaMbarak
    @DungaMbarak ปีที่แล้ว +9

    Hakuna kiumbe kinachoweza kumuelezea mwenyez mungu.. maelezo ya mwenyez mungu yako inje ya fikra ya mwanadamu.. yani ukianza kumuelezea utaelezea mpaka ufike mwisho wa upeo wako... Kuna maisha baada ya kifo. So mungu yupo na nimkubwa wa vyote..

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 ปีที่แล้ว +6

    Mungu haelezeki, namaanisha hakuna anayeweza kumweleza Mungu.

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 ปีที่แล้ว +5

    From UGANDA 🇺🇬 To Tanzania 🇹🇿 Justin Sheed 🔥🔥

  • @papaamkinga_
    @papaamkinga_ ปีที่แล้ว +74

    Tunao kubaliana mungu yupo shusha like

  • @alkamilalwafi3187
    @alkamilalwafi3187 ปีที่แล้ว +8

    Mungu ni umoja tu akuza wala aku zaliwa

    • @heriabudu3207
      @heriabudu3207 ปีที่แล้ว

      💯 na hana wa kulinganishwa naye

    • @hassan0256
      @hassan0256 ปีที่แล้ว +1

      Kwaio mwanzo wake ulikua ni nini ? Kwamba alijikuta tu yy tayari ni Mungu mwenye Uwezo huo mkubwa bila chanzo chochote ? How ?

  • @user-vf8qt8fn5p
    @user-vf8qt8fn5p 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu mkubwa...na hakuna awezae kumwelezea kwa kina..Asante kwa Elimu yako

  • @hawamambo769
    @hawamambo769 ปีที่แล้ว +21

    Mungu kamwe hawezi kafanana uwezo au hata kipunje ya uwezo na kiumbe alichokiumba au KIUMBE chochote kile, yeye ni MUUMBA wa kila kitu na ni mmoja pekee hafanani na yeyete wala chochote, ukitaka kuamini hilo hebu atokee binaadam aumbe walau inzi au mende achana na mbingu, ardhi, kifo na mengine makubwa ni matusi mazito na kukosa adabu kusema mungu anafanana uwezo na binaadam yani yeye amuumbe binaadam halafu afanane nae hivi inaingia akilini? Stories za Mungu hapana TUACHE we tueleze tu story za wasanii na watu maarufu basi... Muombe msamaha MOLA WAKO lol.

    • @heriabudu3207
      @heriabudu3207 ปีที่แล้ว +2

      💯👍

    • @Irenes_Kitchen
      @Irenes_Kitchen ปีที่แล้ว +1

      Umesemema kweli😢

    • @seiflugendo7141
      @seiflugendo7141 ปีที่แล้ว +1

      Uko sahihi dada👍👍👍

    • @peterkerry5654
      @peterkerry5654 ปีที่แล้ว +2

      Kuna watu engine waliumbwa na ufikilio mdogo wa ubongo ,kwahiyoo wew upo kwenye hilo kundi

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 ปีที่แล้ว

      @@peterkerry5654 umeongea kinyume bob sio?yani hapo umejiongelea wewe

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 ปีที่แล้ว +3

    Mungu yupo ,na ataendelea kuwepo,Kama unabishi ukifa ndo utajua hujui

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 ปีที่แล้ว +4

    Binadamu kaumbwa na mungu ivo utambue mungu yupo kwa ajili yako

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 ปีที่แล้ว +1

    Hii story lmenihingia vizuri sana mwamba jastin 🙏🇹🇿🇬🇷

  • @FahadKhamisi-vu8jk
    @FahadKhamisi-vu8jk ปีที่แล้ว +9

    Kaka jamani historia ya washirazi jamani nakuomba

  • @wilsonkaara4813
    @wilsonkaara4813 ปีที่แล้ว +3

    Umenifunza mengi kaka thank you

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 ปีที่แล้ว +8

    Mungu ni moja hana mwana wala mke wla hasinzii wala hana mshirika ndani anafanya atakavyo apendavyo katu hana makosa ametakasika na kila aina ya maovu

    • @royalpriestsmusic5685
      @royalpriestsmusic5685 ปีที่แล้ว +1

      Mungu alisema huyu ndiye mwanangu mpendwa ninaye pendezwa naye soma pia Yohana 3,16 Mungu alimtoa mwanaue wapekee ili kila amwaminiye asipoyee yachunguze MAANDIKO usije ukapotea wakati kweli IPO wazi

    • @hamicpina1151
      @hamicpina1151 ปีที่แล้ว +4

      ​@@royalpriestsmusic5685 mungu hakuzaa Wala kuzaliwa na hapana anaefanana nae

    • @gatekanene5753
      @gatekanene5753 ปีที่แล้ว +4

      Allah ndiye hakuzaa kwa sababu uwezo huwo hana ila MUNGU wa mbinguni amezaa kupitiya neno. ila Allah hawezi zaa lazima awe namke ndiyo azae bali MUNGU wa mbinguni yote ayatakaye yanawezekan kwa uwezo wake ndomana alizaa mwana mtakatifu ambaye ni YESU KRISTO mwana wa MUNGU aliye hai

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 ปีที่แล้ว +4

      @@gatekanene5753 kwani mbinguni kuna mungu wangapi wacha bangi kijina

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 ปีที่แล้ว +1

      ​@@azizayassin3623 mnamzungumzia Mungu au Allah?

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 ปีที่แล้ว +2

    Muumba/mungu ni uwepo uliopo nje ya kila kitu.. uwepo ulio nje ya mbingu, dunia na kila kitu..
    Hajawahi kuonekana kwa kiumbe chochote....
    Haoneka maana yy ni Super nature power... na ni Ni nguvu isiyo na chanzo wala mwisho

    • @hassan0256
      @hassan0256 ปีที่แล้ว

      Kivipi hebu fafanua, Ilikuaje kwanza yy akawa super nature power ? Yani mwanzo wa yy ulikua nini kama hakuzaa wala kuzaliwa Na wala kuumbwa ?

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 ปีที่แล้ว

      @@hassan0256 muumba ni uwepo uliopo pasipo kuwepo.
      Yaan ni hali inayofanya kila kitu kiwepo.. ila hali hiyo haina maali inapoanzia... maana maali zote na vyanzo vyote vinaanza kwake.

  • @dawayao2837
    @dawayao2837 ปีที่แล้ว +3

    Hakuna anayeijua hii siri kuhusu mungu, uumbaji nk tumejikuta duniani hatuna tujualo tutakufa pia bila ya kujua lolote! Tuishi kwa kupendana tu hatuna tulijualo!

    • @joachimmassimba3863
      @joachimmassimba3863 ปีที่แล้ว

      Ukisema hakuna TUJUALO unawajumlisha watu wengi,
      Kama wewe huna ujualo sema...
      HAKUNA NINALOJUA,
      ila ukitaka KUJUA sema ...Ee Mungu nijalie nikujue wewe uliyeniumba.

    • @dawayao2837
      @dawayao2837 ปีที่แล้ว

      @@joachimmassimba3863 😂😂😂haya nambie mwezangu unayejua siri kuhusu hii dunia uumbaji, pamoja na muumba mwenyewe pia usisahau kuniambia umejuaje! na umejihakikikishiaje kuwa ni kweli pasi na shaka

    • @dawayao2837
      @dawayao2837 ปีที่แล้ว

      Hakuna anayejua ndugu humu duniani tunadanganyana tu

    • @joachimmassimba3863
      @joachimmassimba3863 ปีที่แล้ว

      Nikupatie namba yangu tuzungumze?

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 ปีที่แล้ว

      ​@@joachimmassimba3863mm nataka hiyo no yako unipe evidence ya uhakika tofauti na imani

  • @user-jd1vk6us7z
    @user-jd1vk6us7z ปีที่แล้ว +2

    Mungu ni Mungu tuu

  • @queenWitynes
    @queenWitynes ปีที่แล้ว +2

    Mh hakuna ajuaye kuhusu hili mungu ni roho 😇tutaangaika sana tuombe sana na kumtafua

    • @davidiminjeje124
      @davidiminjeje124 7 หลายเดือนก่อน

      Huo upeo wa kumwelezea mungu umetoa wapi.. Na roho ni nini?

  • @KhadijaKipua-dw7yz
    @KhadijaKipua-dw7yz ปีที่แล้ว +1

    Mungu hafanani na chochote unachokijua sababu hakuna aliemuona Mungu mpk amfananishe na kitu na pia hakuna kiumbe chochote chenye uwezo km alipokuwa nap Mungu na hakuzaa nawala hakuzaliwa

  • @Mwalimu-wa-Math
    @Mwalimu-wa-Math ปีที่แล้ว +4

    Ningependa kukosaloa kidogo kuhusu watu hufanana na Mungu. Mungu huumba ameumba binadamu, wanyama na milima ndio sifa moja katika sifa(attributes) za Mungi ni muumbaji
    Binadamu huunda/hutengeza vitu. In fact binadamu huunda vitu wakiiga vile Mungu aliumba kwa mfano binadamu wameunda ndege(✈️)kwa mfano wa ndege 🐦 .
    Kitu nyingine Mungu huumba vitu from no where yaani raw materials za create mtu ama samaki mara kwanza before samaki waanze kuzaana it's God who created them first.
    Binadu huunda kutumia raw materials kuunda boat ama meli.

  • @chichiereyh
    @chichiereyh ปีที่แล้ว +2

    MUNGU 🙏🏾 NI MWEMA

  • @davidomar-un4op
    @davidomar-un4op ปีที่แล้ว +3

    Umekosa makala hadi unaanza kukufuru Nani kakwambiya tunafanana ki uwezo na mungu?

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 ปีที่แล้ว

    M'mungu yupo alikuwepo na ataendelea kuwepo kwa sisi waislam Alhamdulillah tunamuamini kwa kuona Qadari zake . Hafanani na yyte yule wala huwezi kumfananisha na popote wala chochote inatosha ukiviona alivyovikadia na alivyoviumba Basi.

  • @ambarnelly6071
    @ambarnelly6071 ปีที่แล้ว +7

    MUNGU HAWEZI KUFANANA NA BINADAMU KWA UWEZO KWANZA HAFANANI NA CHOCHOTE KILE KWANZA NI MAKOSA KUMFANANIZA MUNGU NA ALIVYO VIUMBA

    • @gatekanene5753
      @gatekanene5753 ปีที่แล้ว

      Pale MUNGU alipo sema na tumuumbe mtu kwa mfano wetu soma maandiko ndugu yangu tuliumbwa kwa upendo uliyo juu zaidi ndomana tukaumbwa kwa mfano wake

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 ปีที่แล้ว +1

      Hayo ni mafundisho ya Quran ambayo ilikuja kuandikwa kwaajili ya kupinga Ukristo ambayo yaliandikwa miaka mia 6 kabla hajazaliwa Muhammad leo mnakuja kupinga kila lililo ndani ya Biblia kwa kuongozwa na Majini. Kama ingetangulia Quran hata mimi ningekua Muislam

    • @ambarnelly6071
      @ambarnelly6071 ปีที่แล้ว +1

      @@charlesmapunda5905 kwanza ayo ni maoni yako ndugu istoshe nikueleweshe tu qurani ni kitabu alichopewa Mtume muhamad ,na kurani haijatangulia kama ulivyo sema na qurani haikuja kupinga bali kuja kubainisha yaliyo ya kweli na yaliyo haribiwa na ukiyataka yaliyo haribiwa nitakupatia hata ww hutoyakubali

    • @gatekanene5753
      @gatekanene5753 ปีที่แล้ว

      @@charlesmapunda5905 na mimi nakuunga mkono Quran ya juzi tu inakuja kupinga kila lililo tanguliya jamani Quran nikitabu kilico aminika na majini kwa sababu kwanza aliye teremsha iyo Quran ni aduwi wa Jibril alafu wanataka watwambiye nini?😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 ปีที่แล้ว

      @@gatekanene5753 Hawa jamaa kiukweli hawaishi bila kutegemea Majini. Huwezi kukuta kanisani wachungaji wanao fundisha eti Quran inasema hivi hakunaga ushiriki kati ya Qurani na Biblia ila wao ndio wanatafuta vipengele vya kuwarubuni watu na kuwaaminisha kuna Majini wazuri, hakuna Shetani mzuri wala mbaya Wote ni Shetani tu nashangaa hawa watu akili zao zikoje mpaka wanaamini huo upuuzi

  • @jolikili3104
    @jolikili3104 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni roho

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein ปีที่แล้ว +19

    Ohoooo😂🎉🎉 nimekua wakwanza tena kutazama video yetu hii pendwa ya MUNGU🤗 naombeni likes zangu wadau🔥👍

  • @ErickLenana
    @ErickLenana 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hakunaga mungu❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @robartifabiani
    @robartifabiani ปีที่แล้ว +3

    Alafu unashangaa dawasco wanakata maji hovyo hovyo😢😢

  • @SaidLukindo-h8e
    @SaidLukindo-h8e หลายเดือนก่อน

    Umetisha

  • @Denicshoo
    @Denicshoo ปีที่แล้ว +3

    Hii n nzur nime ipenda

  • @MpembaHalisi
    @MpembaHalisi หลายเดือนก่อน

    Hahahaaa! Katafute chai unywe na wote wanaokusikiliza hawana akili

  • @Ngendakumana_
    @Ngendakumana_ 5 หลายเดือนก่อน

    Ukisema hivi watutunamaswari hadikichwakitapasuka uvumbuzi bado 😢 kwani unaposikia uriumbwakwamfano wake nautarudi kwake + udongo yaninikimanisha ardhi ushaiona inaisha inabakimirere haitakuwepo unaposema maji yenyeweyanakauka sehem tofautitofauti rakihii ambayo umesimamajuyake😢😢😢

  • @majirabonphace
    @majirabonphace ปีที่แล้ว +4

    Leo wakwanza anaombeni like zangu . Pia naomba video ya msafala

  • @WinifridaGregory
    @WinifridaGregory 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu haelezewi

  • @Churchofecclesia
    @Churchofecclesia ปีที่แล้ว +1

    Unavyotuona sisi wanadamu tulivyo, tumechukua sura na mfano wake, mikono, KICHWA, mikuu NDIVYO ambavyo MUUMBAJI WETU YESU KRISTO WA NAZARETHI ALIE HAI NDIVYO alivyo, PAMOJA na MALAIKA zake, hata huyo shetani na malaika walioasi ndvyo walivyo

    • @salimuismaily693
      @salimuismaily693 ปีที่แล้ว

      YESU NI KIUMBE SIO MUUMBAJI HAKUNA KIUMBE KISICHOUMBWA UKISEMA YESU NI MUNGU ALIJIUMBAJE MWILIWAKE MWENYEWE ALIUMBAJE AKILI YAKE ALIJIUMBAJE NDANI YA TUMBO LAMAMA YAKE HAIWEZEKANI MUNGU AWE KIUMBE AU MUNGU AWE ANAKUWA WALA MUNGU HAVAINGUO

  • @SaidLukindo-h8e
    @SaidLukindo-h8e หลายเดือนก่อน

    Binadamu tumegawanyika ktk body , mind na spiritual je mungu unaweza kumgawaje au unaweza tupa elimu juu ya nafasi yake ?

  • @majirabonphace
    @majirabonphace ปีที่แล้ว +3

    Kwann viongozi wanawekewa misafara

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k 6 หลายเดือนก่อน

    Maji nahewa ndio muungu.wakilakitu mengene nimazungumuzotuu

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว +1

    Firauni alianza hivyo hivyo akaja kula kichapo

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 ปีที่แล้ว

    Justin 🙏 story nzuri

  • @versacepilarkings5332
    @versacepilarkings5332 ปีที่แล้ว +3

    Vyema

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 ปีที่แล้ว

    Mungu ni maji na ndio maana hata Yesu kristu alibatizwa kwa kutumia maji sababu anajua nguvu ya Mungu ndani yake.

  • @yusuphkitainda9799
    @yusuphkitainda9799 ปีที่แล้ว +4

    Hii story ime nigusa,natumia muda mwingi kujiuliza mungu ni nani ,mungu anaishi wapi,alimuumbaji binadamu wa kwanza???

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia ปีที่แล้ว +1

      MUNGU(YESU KRISTO), NDIE chanzo(ABBAH) cha vitu VYOTE, ndie MWENYE ENZI MWENYEZI MUNGU, ANAUTAMBULISHO WAKE, anajina lake, ANAITWA YESU KRISTO WA NAZARETHI ALIE HAI

    • @martoo539
      @martoo539 ปีที่แล้ว

      @@Churchofecclesia ati yesu christo

    • @mohdali2408
      @mohdali2408 ปีที่แล้ว

      Sasa Ivi kweli kama Mungu ni Yesu ijakuaje Mungu anatahiriwa Na aliowaumba

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 ปีที่แล้ว

      ​@@mohdali2408 ALIYE TAHIRIWA SIYO MUNGU ILA TOHARA NI YA MWILI , HIVYO KILICHOTAHIRIWA NI MWILI , MUNGU YEYE NI ROHO.

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 ปีที่แล้ว

      ROHO.

  • @HalfaSaid-vl6ki
    @HalfaSaid-vl6ki ปีที่แล้ว +2

    Wakumi cpo mbali sana 😅

  • @hassan0256
    @hassan0256 ปีที่แล้ว

    Mkuu Kama Mungu Hakuumbwa wala kuzaliwa ... Mwanzo wake Ulikua ni Nini ? Kwamba alijikuta tu tayari yeye ni Mungu mwenye Uwezo huo mkubwa !! How yani

    • @salimuismaily693
      @salimuismaily693 ปีที่แล้ว

      Yeye Ndio humwanzo Al- Awali pia ndio wa mwisho. Al - Alakhr

    • @hassan0256
      @hassan0256 ปีที่แล้ว

      @@salimuismaily693 Achana na Aya za Qur'an, nataka hapa tutumie logic zaidi unajua shida moja ya dini ni kukuwekea mipaka ya kufikiri ... Kwanza naamini kabisa wanadamu wanajua asilimia ndogo sana kuhusu mungu Pamoja na manabii wote na mitume ... Haiwezekani Mungu akaweka wazi kila kitu kuhusu yeye maana hata wazazi wako tu hujui kila kitu kuhusu wao...Kwa maana tunachoambiwa kuhusu Mungu nikua yy Ndio muumba wa kila kitu na hakuzaliwa wala kuumbwa ila hatujui ilikuaje kuaje historia yake hadi akafanya alivyofanya ... Mfano jichukulie wewe ungekua Mungu na Uwezo wake wote alionao ungeamini kua Hakuna nguvu nyingine iliyokuweka ww Na je upo peke yako au kuna wenzako ? Au ww unajua nje ya mbingu 7 zinazotajwa kuna nini huko... What if huu ulimwengu nikama tu kiwanja unachomiliki na majirani zako wanamiliki vyakwao

    • @yahyamtinangi6921
      @yahyamtinangi6921 ปีที่แล้ว

      Ni Elimu kiduchu sana Mwenyezimungu ametumegea, kiasi Cha kuwa sisi wenyewe hatujijui tukajimaliza. Sasa Habari zake ni kubwa sana sisi kujaribu kumjua bila mafundisho ya hao Wateule wake.
      Dini zote hata za Mababu wetu waafrika unakuta zinafanana fanana Kwa mengi. Hii ni ishara kuwa Chimbuko lake ni Moja kama lilivyo Chimbuko letu Binadam wote. Deviations zilizopo ni kutokana na wakati na mazingira ya Jamii husika tu.

    • @rahimfaraji6916
      @rahimfaraji6916 ปีที่แล้ว

      UTAMBUZI WA MUNGU KIELIMU ( mwanzo, mwisho, uumbaji, kuzaliwa hivyi ni kwa ajili yetu sisi viumbe, ni lugha iliyowekwa na MWENYENZI MUNGU ili viumbe tuweze kuwasiliana na kuelewana. PIA KUELEWA.
      KWA UWEPO WA MWENYENZI MUNGU NI NJE YA MWANZO NA MWISHO.
      HIVYO BASI MWANZO NA MWISHO INATUHUSU NI KWA AJILI YETU SISI VIUMBE NA WALA SI MWENYENZI MUNGU.

  • @matokeojuma-gm2bm
    @matokeojuma-gm2bm ปีที่แล้ว +1

    Tuliumbwa kwa mfano wa Mungu sio sura bali ni aina ya malfa tulionayo sisi binadamu kuliko wa wanyama yani akili za binadamu nifano wa Mungu au sura ya Mungu!.

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 ปีที่แล้ว

      Hujatafsiri vyema, hili ANDIKO la 'nimemuumba mwanadam Kwa mfano wangu' , halimaanishi mfanano wa akili au umbo lake....Bali tafsiri yake ni kwamba Amemuumba mwanadam Kwa mfano aliotaka yeye, Kwa lugha ya kiingereza Ameumba Kwa design aliyoibuni mwenyewe na si ya kukopi kwingine..!
      Kiukweli Hatufanani na MUNGU Kwa lolote..!

  • @oredidunia120
    @oredidunia120 ปีที่แล้ว +4

    MAJI YALIUMBWA NA MUNGU ,
    UKITAKA KUJUA MAJI YALITOKA WAPI BASI NIFATE NIKUFUNDISHE MAJI

    • @salimuismaily693
      @salimuismaily693 ปีที่แล้ว

      HUNA ELIMU HIYO KIJANA TUAMBIE HIZO INGRIDIENT ZA KUTENGENEZA HYDROGEN NA INGREDIENT ZA KUTENGENEZA OXYGEN ZIMETIKEA WAPI KABLA HATA HUJAJA KUTENGENEZA MAJI INGREDIENT ZISINGEKUWEPO UNGETENGENEZEA WAP

  • @nizigiyimanabaruani4590
    @nizigiyimanabaruani4590 ปีที่แล้ว

    Ndugu ningependa uendelee kutafuta ukweli wa Mungu, usiishie hapo,
    Maana Mungu ni uwepo usiokuwa na mfano wa chochote kilichopo katika uwepo wa viumbe, Mungu ni pekee, aliko Mungu hana ushirika na kiumbe chochote,
    Tatizo ni vitabu tulivyo letewa vya mapokeo vilivyo tuchanganya na kushindwa kumujuwa Mungu muumba wa vyote, leo hii tunaabudu visivyo takiwa kuabudiwa ambavyo ni viumbe tukivinasibishwa na Mungu,
    Tusiishi kwa kuabudu viumbe.
    Mungu si kiumbe
    Mungu hafanani na viumbe
    Mungu hana rangi
    Mungu hana mshirika
    Hakuzaa wala hakuzaliwa
    Ni pekee kwa yake milele.
    Pitia mafundisho ya wazee ili upate nini walilolijuwa hapo kabla ya mapokeo kuhusu Mungu Kisha ulinganishe na ya vitabu hivyo vya mapokeo,
    Ndipo utakapojuwa ukweli wa Mungu na uumbaji wake.
    Soma kwenye jadi yetu. Upate ya wazee. Asante 😊😊

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 ปีที่แล้ว

    Mim naamin katik Mungu

  • @asentertainmenttz3128
    @asentertainmenttz3128 4 หลายเดือนก่อน

    usidanganye watu kwamba maji hayaelezeki kisayansi

  • @joshuayounam
    @joshuayounam ปีที่แล้ว

    Yupo MUNGU

  • @MeraniaNichoraus
    @MeraniaNichoraus 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mkuu sana hata umchunguzaje hazichunguziki

  • @abduldjay3034
    @abduldjay3034 8 หลายเดือนก่อน

    baba upo vizuri sana 👏👏👏

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 ปีที่แล้ว +1

    Kiufupi MUNGU NI UWEZO USIO WEZWA

  • @beatricengari5891
    @beatricengari5891 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa brother mungu yupo

  • @BenMula36925
    @BenMula36925 ปีที่แล้ว +3

    Dah halo. hii ni neema sana ningekosa video na mada hii ningekua nimepoteza jambo kubwa sana ubarikiwe sana Brother nimefarijika sana maana Mimi mpaka leo nilikua najua Mungu yupo ame chili paala flani ivi kumbe ndio maana watu wanasema ulipo yupo

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia ปีที่แล้ว

      ANAITWA ALFA NA OMEGA(YESU KRISTO), MWANZO NA MWISHO, WAKWANZA NA WAMWISHO, ANAITWA YESU KRISTO, CHANZO CHA VIUMBE VYOTE

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      ​@@Churchofecclesia tupe andiko yesu mungu

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      ​@@Churchofecclesia Matendo Ya Mitume 19
      27 Si kwamba kazi hii yetu ina hatari
      ya kudharauliwa tu; bali na hekalu
      la mungu mke aliye mkuu, Artemi,
      kuhesabiwa si kitu, na kuondolewa
      utukufu wake, ambaye Asia yote pia
      na walimwengu wote humwabudu.
      Na huyo si ndio mungu mwanamke wa kwenye biblia mnaye muabudu

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia ปีที่แล้ว

      @@alzawahirabdallah2299 Acha ushamba wewe soma ISAYA 9:6 ISAYA alimtabiri kabla ya kuja kwake, soma na kitabu cha YOHANA MSTARI WA Kwanza WOTE, YUDA 1:4, 2 WAKORINTHO 4:5, 2 TIMOTHEO 4:1, WARUMI 16:27, TITO 2:13, 1 YOHANA 4:2-3, YUDA 1:25, soma hayo maandiko unipe majibu, miungu iko mingi kijana, na kila mungu kwenye dunia hii anautambulisho WA JINA lake mungu NI CHEO, kama baba, LAKINI huyo baba anajina kama wewe WATOTO wako wanavyokuita baba, kwahyo hata shetani JINA lake sio shetani HUO UTAMBULISHO kutokana na maovu anayoyafanya ILA anajina lake ANAITWA Lucifer na yeye NI mungu WA dunia hii, ILA MUNGU alieketi mahali PA JUU SANA MUUMBA WA MBINGU NCHI bahari na VILIVYOMO NDANI yake ANAITWA YESU KRISTO WA NAZARETHI ALIE HAI, USIDANGANYIKE NA NENO mungu mungu lazma uujue UTAMBULISHO WA mungu huyo unaemtaja maana usije UKAWA unahost pepo watu wanakosa maarifa

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      @Hassan Mshana Mathayo 4
      10 Ndipo Yesu alipomwambia
      Nenda zako, Shetani; kwa maana
      imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu
      wako, umwabudu yeye peke yake.
      Yesu anasema imeandikwa umuabduu mungu peke yake sasa km wewe unasema yesu mungu swali kwa nini yesu hajasema uniabudu mimi
      Na mungu gani anaye sema yesu aabudiwe naye ndie mungu

  • @dnx_Gr
    @dnx_Gr ปีที่แล้ว +2

    God is nature mengine conspiracy tu

  • @EmanuelDmakunga-xf6mk
    @EmanuelDmakunga-xf6mk ปีที่แล้ว

    Je? Mungu aliumba maji. Nanukuu.
    "Nayo nchi ilikuwa ukiwa tena utupu na roho wa bwana alikuwa juu ya vilindi vya maji"
    Mwanzo 1:2

  • @zamaksharngoroka4428
    @zamaksharngoroka4428 ปีที่แล้ว +1

    Kila kitu kimetokana na maji...

  • @jolikili3104
    @jolikili3104 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @williamgideme2689
    @williamgideme2689 ปีที่แล้ว

    Acha ubabaishi wako Mungu ni mtu mkamilifu, a perfect man, kama vile Yesu kuwa mtu mkamilifu. Soma zaburi 82:5-6; They know not, neither will they understand; they walk on in darkness: all the foundations of the earth are out of course. 6 I have said, Ye are gods; and all of you are children of the most High. 7 But ye shall die like men, and fall like one of the princes.
    Huyu mtoa mada ni mbabaishi wala hana hoja.

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

    Matendo Ya Mitume 19
    27 Si kwamba kazi hii yetu ina hatari
    ya kudharauliwa tu; bali na hekalu
    la mungu mke aliye mkuu, Artemi,
    kuhesabiwa si kitu, na kuondolewa
    utukufu wake, ambaye Asia yote pia
    na walimwengu wote humwabudu.
    Hawa makafir wanaume mpaka mungu mwanamke

  • @danielkasamya2923
    @danielkasamya2923 ปีที่แล้ว

    Good story

  • @nurufidel-lp6wj
    @nurufidel-lp6wj ปีที่แล้ว +2

    Kam unasema hewa inatokana na maji mbona ulimwengu mars hakuna maji na piko hewa

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 ปีที่แล้ว

      Kamaanisha oxygen

    • @unitedkingdomsofafrica1889
      @unitedkingdomsofafrica1889 ปีที่แล้ว +1

      Is their temperature???😂

    • @masanja9256
      @masanja9256 ปีที่แล้ว

      Weee kiumbe gani anaishi kule!

    • @shirrangimedia4570
      @shirrangimedia4570 ปีที่แล้ว

      We we na unakua kama hukusoma dunia ndio sayari pekee inayozalisha hewa safi kulikozote ndio maana mungu alituweka humu anajua jinsi alivuo tuumba ndio maana huko Mars hewa iko lakini haijitosherez kumuhudumia mwanadamu nausipovaaa kifaaa chahewa hutachukua muda utadhurika lakin dunian mambo bull bull hewayakutosha

  • @haroubhbm5728
    @haroubhbm5728 ปีที่แล้ว

    Hakuna hata mtu mmoja anaejua mungu anaishi wapi ila kwa upande wetu tunasema mungu yupo katika Arshi yake hayupo mbinguni wala ardhini hayupo kulia kushoto mbele nyuma juu au chini yakini hivo

  • @khatijakhatija9518
    @khatijakhatija9518 ปีที่แล้ว

    Subhanallah

  • @yaledpeter6584
    @yaledpeter6584 ปีที่แล้ว

    Maneno ulioandika ayaendani namaelezo yako mala maji mala udogo

  • @agustinejeremiah6
    @agustinejeremiah6 ปีที่แล้ว

    Vp kuhusu dini ni nini wap na kwel ni ipi

  • @j-boyimperial9236
    @j-boyimperial9236 ปีที่แล้ว

    Naomba makala kuhusu swala la mbingu 7

  • @bobdylan2470
    @bobdylan2470 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @pascalerick3525
    @pascalerick3525 ปีที่แล้ว +1

    Hizi ni story za kutungwa

  • @kevinndayisenga1998
    @kevinndayisenga1998 ปีที่แล้ว

    Hili ndiyo neno la mungu la kweli

  • @wilsonwidudupfikiwilson1723
    @wilsonwidudupfikiwilson1723 ปีที่แล้ว

    Hapo mimi siingii naishia kwa kusikiliza tu

  • @Shadow-zf9js
    @Shadow-zf9js ปีที่แล้ว

    ❤ swafi

  • @rizikirimoy9485
    @rizikirimoy9485 ปีที่แล้ว

    naomba story kuhusu kuanguka kwa utawala wa roman empire na sababu kubwa ni ipi

  • @hansboy1443
    @hansboy1443 ปีที่แล้ว

    Mmmh mambo ya mungu sio yakumjaji

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 ปีที่แล้ว +1

      Magumu sana maana kila unavyofikiria ndo unaongeza maswali

    • @JosephIssa-eh3wm
      @JosephIssa-eh3wm 10 หลายเดือนก่อน +1

      mungu hafananishwi nachochote

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 ปีที่แล้ว

    Asanteeee sanaaa kaka ake miee kwa kutujuza zaidi, but uaga najiuliza na sipati majibu hivi watu amabo nasemaga wakiwa wanaomba au wanasali unakuta wanakuambia Mungu ananiambia nikuambie hivi maisha yako yapo hiv na hiv au jmn hivi niykweli au!??? please naombeni kujua zaidi maana mimi imani yangu hus nasema Mungu huzungumza na mtu kwenye ndoto au pale unapo ona mambo tofauti tu ila yale yakuambiwa Mungu anasema hivi huwa sikubali naombeni kujua ukweli plz

  • @rahimfaraji6916
    @rahimfaraji6916 ปีที่แล้ว

    UKWELI NI KWAMBA HII MADA ULIYOIHADITHIA INA MAPUNGUFU MENGI SANA TENA SANA.
    kwa msaada kidogo wa kumtambua MWENYEENZI MUNGU,
    hili ni swala la KIIMANI,
    TAMBUA IMANI NI ELIMU, IMANI NI ELIMU, IMANI NI ELIMU.
    HIVYO KUMTAMBUA MUNGU KWA USAHIHI UNAHITAJI IMANI SAHIHI, aka ELIMU ITOKANAYO NA IMANI SAHIHI ISIYO YA KUBUNI BUNI.
    NB: hii inahitaji tafsiri zaidi (nakosa namna ya kueleza hii mada. cha msingi na muhimu tambua - KUMJUA MUNGU KWA USAHIHI KUNATOKANA NA ELIMU ILIYO SAHIHI ITOKAYA KWA MWENYENZI MUNGU MWENYEWE.

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 ปีที่แล้ว

    Mungu ni maji nakubaliana na wewe...India kuna temple yenye maji moto yanayochemka wahindi humia kama moto kupika chakula na kinaiva.Wali unaiva kabisa na hata utafikiri walijengaje hiyo temple kwenye huo mto wenye maji yanayochemka.ndipo utaamini Mungu ni maji.

  • @MulazsaideSaide-my9vj
    @MulazsaideSaide-my9vj ปีที่แล้ว

    Good

    • @joachimmassimba3863
      @joachimmassimba3863 ปีที่แล้ว

      Ukisema hakuna TUJUALO unawajumlisha watu wengi,
      Kama wewe huna ujualo sema... HAKUNA NINALOJUA

  • @frankkinyaiya.8217
    @frankkinyaiya.8217 ปีที่แล้ว +1

    Imani si kuwa na mashaka wewe acha kuharibu, imani ni kuamini 100% ya kile ulichokikusudia

  • @salimabdallah6405
    @salimabdallah6405 10 หลายเดือนก่อน

    𝙝𝙖𝙠𝙞𝙠𝙖 𝙢𝙠𝙪𝙪

  • @user-sn1od6jg5y
    @user-sn1od6jg5y ปีที่แล้ว

    mungu yupo 😂❤

  • @faisalyahya7186
    @faisalyahya7186 ปีที่แล้ว

    Sasa twende kazii

  • @salimuismaily693
    @salimuismaily693 ปีที่แล้ว

    KIUHALISIA HAKUNA BINADAMU AMBAYE ATAFIKIA UWEZO WA KUJUA UMBILE LA MUNGU AU KULIONA AU KUSIKIA SAUTI BALI TUNAMJUA MUNGU KWA KAZI ZAKE ANAZOFANYA NA MAMBO YAKE ALIYOYAFANYA

  • @raston4gkalonda821
    @raston4gkalonda821 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ni wewe hapo
    Binadamu tumetengenezwa na vitu vinne
    Maji
    Hewa
    Moto
    Udongo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍👊.

  • @peterkerry5654
    @peterkerry5654 ปีที่แล้ว

    Nahitajii kufahamu yesu ni nani ? Maana mpka sasa sijapata jibu sahihi

  • @twahamdoe5730
    @twahamdoe5730 ปีที่แล้ว

    Og

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 ปีที่แล้ว

    Ukafiri mtupu

  • @BONGOFASTA
    @BONGOFASTA  ปีที่แล้ว

    NIMEJIBU MASWALI YALIYOTOKANA KWENYE VIDEO HII, TAZAMA HAPA th-cam.com/video/yAb7TwNu75U/w-d-xo.html