Jamani huu wimbo ni mzuri sana aliyeutunga ana kipaji kweli kutoa maneno kwenye biblia kama yalivyo na kutengeneza wimbo, hongera sana sana. Na waimbaji sauti zote zinasikika mumenibariki sana sana. Mungu azidi kuwatumia kwa utukufu wake na awabariki ktk Jina la Yesu
Nyimbo hii niliisikia toka nikiwa mdogo wa shule ya msingi na mpaka sasa nimekuwa mbaba wa familia na watoto wa3 lakini bado masikioni mwangu nikiisikia nahisi kama imerekodiwa jana nawakati ni wimbo unaenda 20yrs. Hakika hii kwaya walitunga nyimbo kwa msaada wa roho mtakatifu maana nyimbo zote za KKKT Usharika wa Kimara zote ni za moto mubarikiwe sana
Huu wimbo ni mzuri sana hasa original version yake. Doa limetokana na mahubiri ya Askofu na mchungaji. Wimbo unatakiwa ubaki peke yake. Mahubiri yatafutiwe sehemu yake, sio ndani ya huu wimbo. Natumaini mta edit ili wimbo wetu uzidi kubaki mzuri. Asanteni
Nyimbo nzuri sanaa
Jamani huu wimbo ni mzuri sana aliyeutunga ana kipaji kweli kutoa maneno kwenye biblia kama yalivyo na kutengeneza wimbo, hongera sana sana. Na waimbaji sauti zote zinasikika mumenibariki sana sana. Mungu azidi kuwatumia kwa utukufu wake na awabariki ktk Jina la Yesu
Aya maneno yanapatikana kwenye kitabu Cha nan naomba nisaidie
@@kenedyfrank-wo8jk Mathayo 20
Amen watumishi wa Mungu 🙏🙏🙌🔥🔥🙌🙏
Mbarikiwe sana
Alieutunga ni mwalimu Timotheo Mwambashi
This never get old! I am blessed. " Nenda kaifanye kazi,usihesabu muda" .Glory to God
Asante mungu akubariki
Nyimbo hii niliisikia toka nikiwa mdogo wa shule ya msingi na mpaka sasa nimekuwa mbaba wa familia na watoto wa3 lakini bado masikioni mwangu nikiisikia nahisi kama imerekodiwa jana nawakati ni wimbo unaenda 20yrs.
Hakika hii kwaya walitunga nyimbo kwa msaada wa roho mtakatifu maana nyimbo zote za KKKT Usharika wa Kimara zote ni za moto mubarikiwe sana
Wimbo wa nyakati zote
Pamoja
Wow
Nice, mbarikiwe
Napenda kwaya kuu wanaimba vizuri sana mpaka nasikia damu inasisimuka
Hakika nyimbo zenu zimetungwa kwa utaalamu wa hali ya juu by Zakaria Mbise nikiwa safari Nairobi
The living message with great vocals from good old days
Wimbo mzuri unatukumbusha zamani hizo. Kila sauti unaisikia. Hauchuji
Muenende mkaifanye kaz ya bwana kwa moyo mungu awafungulie milango msonge mbele zaid🙋🙋🌹♥️
Songs i love to hear, songs that never die! Glory be to him aliyetutuma kuitenda kazi
Wimbo unanikumbusha kuwa karibu na Mungu..
Amina mm pia
❤❤❤❤❤😊
Hu wiimbo unanionyesha kuwa mungu hanaupendeleo
Naomba wimbo unaoitwa mwamba wangu
Mungu awabariki kwa ujumbe mzur❤❤❤
Wimbo mzuri sana. Mbarikiwe
2023 bado nausikiliza huu wimbo
Wimbo huu unaishi. Siuchoki tangu 2000s
Wimbo wangu pendwa❤
Huu wimbo ni mzuri sana hasa original version yake. Doa limetokana na mahubiri ya Askofu na mchungaji. Wimbo unatakiwa ubaki peke yake. Mahubiri yatafutiwe sehemu yake, sio ndani ya huu wimbo. Natumaini mta edit ili wimbo wetu uzidi kubaki mzuri. Asanteni
One of my favourite songs
Hii kwaya imebarikiwa
Glory to God
Mungu tuweshe tuweze kufanya kazi yako kwa uaminifu.
Mungu a wabariki
Sauti tamu
Still one of my favourite 😍😍 songs
God bless you My Shepherd & loving Pastor
❣️❣️❣️
❤❤❤❤❤
🙏🙏🙏🙏
Wimbo mzuri
👏👏👏👏👏🌲🫵