Mashaallah Mashaallah uislam raha sana jmn.... nyie mliozaliwa ktk familia za kislamu mna haki ya kumshukuru Allah kwa hiyo neema .... mmependelewa sanaaaa
Nawewe kama haujapata bahatia na neema hii ya kuwa muislamu tunakukalibisha sana kalibu ktk uislamu na ukiingia kwanza isome dini hii vizur uijue ndipo utakapo ona ladha, thamani na faida ya kua muislamu
Nawewe kama haujapata bahatia na neema hii ya kuwa muislamu tunakukalibisha sana kalibu ktk uislamu na ukiingia kwanza isome dini hii vizur uijue ndipo utakapo ona ladha, thamani na faida ya kua muislamu
🤣🤭🙄 musimshambulie, yeye ameelewa hivyo, sasa nanyinyi mpeni dalili kwamba filimbi inafaa iliyaishe, na yeye atoe dalili kama filimbi haifai ni haramu kabisa ili mjadala uishe, sasa munabisana Nini ? ila Sister zuwena naona ulikua unaisikiliza sio hiyo filimbi ambayo unasema kua haifai ni haramu sasa sijuwi inakuaje hapo kwamsikilizaji kama wewe ambae unasikiliza kitu cha haramu huku unajua
mm niko salama ila ndugu zangu iyo sio dini aliokuja nao rasulu llah nimambo ya kuzushwa na kila chenye kuzushwa nibidaa na kila bidaa ni zwalala na kila zwalala finnari jahannam ndugu zangu hio sio dini mkifa ktk mambo hayo ni motoni
Habari yako mm ni msanii chipukizi naomba support yako kutazama video yangu ya pineapple na Ku subscribe kwa kugusa picha yangu hapo juu Ahsanteni sana🙏
Hawa ndugu zetu katika imani nimekubali wanapiga mpini hizi ndio dufu ninazozipenda Mashallah 😊😊😊
Mashaallah Mashaallah uislam raha sana jmn.... nyie mliozaliwa ktk familia za kislamu mna haki ya kumshukuru Allah kwa hiyo neema .... mmependelewa sanaaaa
Kama mkristo njoo kwenye uislamu ndugu
alhamdulillah ❤❤
Nawewe kama haujapata bahatia na neema hii ya kuwa muislamu tunakukalibisha sana kalibu ktk uislamu na ukiingia kwanza isome dini hii vizur uijue ndipo utakapo ona ladha, thamani na faida ya kua muislamu
Nawewe kama haujapata bahatia na neema hii ya kuwa muislamu tunakukalibisha sana kalibu ktk uislamu na ukiingia kwanza isome dini hii vizur uijue ndipo utakapo ona ladha, thamani na faida ya kua muislamu
Hakika islam Dini ya Haki
Vitta, vitta.
Asaliwe mtukufu wa darja Bwana mtume Muhammad .
Allahuma salli wasalim alaih
Allaaahumma swalli wasallimu alaih
Hizi ndo dufu nazozijua mm sio uk zinapigwa dufu kama ngoma za akina mama vulugu tu kha mungu aendelee kuwapa nguvu tuendelee kupata ladha ya moyo
Ni Ngoma kabisa maana wamama wanazicheza huku wamevaa vijora na mtandio kiunoni na ndara kwapani
Jaman natamani ningekuwa karibu yeni 11:46 yalaa❤ jazakalau khaira mashehe mungu awape mwisho mwema jaman.muko semungan
Allah Allah Allah, hii kazi kubwa
😫😫khabbari kubwa hawa kweli mabingwaa wa dufu kubwaa🙌🏾tunaomba mtuwekee na lyrics jamanii qaswidaa ni tamuu hizii tuzijueee na sisiii❤️
Jamaa hawa kiboko
YAA'SAYDA SAQALAIIIN❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ KAZI KUBWA SANA hiii..aysee
Hizi ndiyo Qaswida Na Si Ngoma zinazo pigwa baadhi ya maeneo hapa kisiwani na hapo Dsm
Nnuri ndio mabingwa wa rast imeisha hiyo🖐🖐🖐
Allah awape umri mrefu ili tuzidi kumuenzi na kumsifu Nabii Muhammad
Uislam lah sana tumependerewa neema ya uislam atuma budi yakumshukur allah
Inshaalah mungu awazidishie maostadhi wetu
Mashaallah hiii sasa ndo dufu
Yalaaaah mpo vizuli mabingwa kwelkwel
Mashanllah mashaanllah Allah awape umri mrefu mzidi kutoa mazuri
Munapatikana kwa no.
Mashaalah mmenikosha
Mashallah,,Raha tupu vipaji haswa
Allakh Akbar all you nany daima
huyo kaka masha allah ana kipaji kizur. laiti hio saut ingekua ya quran angeshikana na minshaar. ushaur wangu aache firmbi . haraaam . mtume kakataza.
Mbna mzushi ww
Tupe dalili na hadithi inayosema hivyo
Labda uharamu unautia wewe huo
🤣🤭🙄 musimshambulie, yeye ameelewa hivyo, sasa nanyinyi mpeni dalili kwamba filimbi inafaa iliyaishe, na yeye atoe dalili kama filimbi haifai ni haramu kabisa ili mjadala uishe, sasa munabisana Nini ? ila Sister zuwena naona ulikua unaisikiliza sio hiyo filimbi ambayo unasema kua haifai ni haramu sasa sijuwi inakuaje hapo kwamsikilizaji kama wewe ambae unasikiliza kitu cha haramu huku unajua
Maa shaa Allah jambo limetulia sana
MASHAALLAH Allah awazidishie 💓💓💓
Allah Akbar,Mash Allah,Jazaqallah 🙏 vittaaa
Haya mambo yana wenyewe jazaakumu khaira
Mashallah
alhamdu llah❤
Mashaallah 🎉🎉
Mashaallah ...
Hiyoooo khabari kubwa tuachie wenyewe weeewe uhusiki
Tabaarakallah
Mashaalah
Hiki chuo kiko wapi napmbeni mawasiliano pls dah hli ndo dufu
Maasshaaallah
MashaAlla....
Mashaalaah mungu a2barikiii
Wapo wapi awa 😊
Alah mohamad
Kweri dufu zipo vizuri lakin charanga dufu za kiun kwanza Allah awajarie
Mashaallah
Qaswad saf n nai moj iliyotulia
Kaswida
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nondo hatareee!
MashaAllah!
❤
Kalale huko kama umeshiba
Acha wa2 wajipatie raha zao
Duu vita
Duu
مبروق
mm niko salama ila ndugu zangu iyo sio dini aliokuja nao rasulu llah nimambo ya kuzushwa na kila chenye kuzushwa nibidaa na kila bidaa ni zwalala na kila zwalala finnari jahannam ndugu zangu hio sio dini mkifa ktk mambo hayo ni motoni
We umetumwa huku
Kaa pembeni hujui kitu wewe wewe mwenyewe una shubuha kibao
😂😂 away mabingwa kelii ,,mana apo dufu linapoanza tu jamaa anapiga uhakikaa 😂😂
Habari yako mm ni msanii chipukizi naomba support yako kutazama video yangu ya pineapple na Ku subscribe kwa kugusa picha yangu hapo juu Ahsanteni sana🙏
Hukuona sehemu za kuomba support ya nyimbo mpaka humu? Nyambafu sana
@@hajiha6507 support yako muhimu ndugu yangu
Mjinga wewe
Ahsante 😂
Rast ya kibaba kabisa
Mashaaalllaaah
Mashaallah
Maashaallah
Mashaallah ....
Mashallah
Mashaallah
Mashallah
Mashaallah