Mashallah hii kasida Ina ujumbe mkubwa sana Allah akubariki sana ust. Juma faki katika kazi zako na maisha yako yote amiin kasida tamu sana Hadi rahaaaaa wallahi Yani roho inapenda kabisa 🤲🥰
😢😢hii qaswida inagusa familia yangu watu wamewekeana chuki ndugu wa baba mmoja na mmoja awaongei 😭😭natamani niwakalishe chini wote waisikilize hii qaswida
❤❤❤❤ love this,
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hii nitamu kusikiliza,
Big up brothers.😂😂😂😂😂😂😂
Zanzibar ni 1 tu. Najivunia kisiwa changu kutoa burdani za kuiasa imani dhidi ya umoja kwa wanadugu. QASDA NZR SSAANNNA. Mashallaah ❤
Maashaallah tabaraaq arhaman qasdaa inaujumbe mzurii 🤝🤝🤝💐💐💐💐
Yani Mimi nikisikiliza kasida zenu nafarajika sana mana Zina ujumbe mzuri sana mungu awaweke zadidi
Mashaallah we kaka juma hongera mungu akueke pamoja na mbwana mtume pepo ya firdaus inshaallah piya mungu akulinde na hassad za watu wabaya
Ameen
Mashaall jmn endeleeni ivo ivo mmependeza sanaa
Katika kaswida zote hii mashaallah inaujumbe wa Kila nchi na jamii Kwa ujumla Allah awakingingeni na hasad
Maashaallah allah awalinde akhii zang
Mashaallah ujumbe umefika Allah awalipe kila lenye kher
Mashaallah❤❤❤ mnachez vizur sana nimepend san Qaswid yenye mafunz mazur 💓🤲🤲
Mashaallah kaswida nzuri mpaka najisikia furah
Nikweli kabisa ,
Mimi hapa mama angu na mdogo wake hawasemi asaaaa, inahuzunisha kwa kweli 😢😢😢
Pole ila ni mtihani mkubwa sana
Nimeipenda san ostadhi juma nakupend 🥰🥰
Mashallah hii kasida Ina ujumbe mkubwa sana Allah akubariki sana ust. Juma faki katika kazi zako na maisha yako yote amiin kasida tamu sana Hadi rahaaaaa wallahi Yani roho inapenda kabisa 🤲🥰
Mashaallah❤❤❤❤ mh allh akuzidishieni 😊
Axeee unajua kaka mm nip Huku bara lakini nawakubal Mno natamamn Nije niixhi huko aixee nawakubal Sana w2 wahuko mnajua dini
Mashaalaah Alla awape kila la kheri
Ni burdani Safi.
Mungu ampe Maisha marefu muimbaji.
Yenye kheri
Mashallah ustadh juma faky mola akujaalie Kila lenye kheri na akupe nguvu,uzima,maarifa uzidi kuelimisha jamii,kazi mnzur
Nakukubali sana ustadhi allah akubariki sana
Oooh Mashaallah!!!
Taqbiiiiiiiiir
Allah Aqbarrrrrrrrrrr
Mashaallah mashaallah eilim nzuri
Alhabibi hii Kali ya mwakaaaa❤❤❤❤❤❤❤
Juma faki nakukubali sana
ALLAH awape maskizano
Hiya madarasatul ipo sehamu gani namim nilete kijana wangu
MashaAllah ❤❤❤❤❤
Masha Allah anashid nzuri Sana.
SAFII SANAA❤❤❤❤❤❤
Mashallah qaswida yenye mafunzo Allah ibarik fikum
Touched ❤ in my heart 💓
Mashaaallah.. katika qaswida zenye akili na hii imooo
Hiiii qaswida imenena vyema kwakweli
Mashaallah Allah wabariki sana
Moja kati ya qaswida bora kuwahi kutokea,
Ujumbe uliotukuka kwa zama hizi zilizojaa husda,chuki na choyo kwa ndugu.
Nzuri.sana
Hii ni Kali kuliko
Nimeipenda
Mashaallah
Wafakanallah
Mashaaalah
Alihamndulilah
Mashaallah shekhe juma hiikaswaida wallah dah ainiishi hamu kabsa Allah akuzidishie wepes katika kazi yako
Ostadhi menaweza kuwa mwanafunzi wako lakin
maaashaallah
Maashallah
Hii kaswida ninzuri atari, Masha aalha🤲
Mashaallah mashaallah
Mashaallh ❤
Masha Allah awalipe Allah
Imengusa family yingi Sana 😢😢
Mashallah
Masha Allah awalip Allah
Mashaallah 🥰🥰🥰
🙏🙏🙏 4:42
Mashallah Mashallah
❤ muster
😢😢hii qaswida inagusa familia yangu watu wamewekeana chuki ndugu wa baba mmoja na mmoja awaongei 😭😭natamani niwakalishe chini wote waisikilize hii qaswida
Hata yang
Mungu akutie nguvu ufanikishe
Nb lol❤😊 yup cvvhhggf trying
Family nyingi zipo hivo sasa sijui shida nn
@@fifo262 nashukuru Mungu nimeweza kupitia hii qaswida na mawaidha mengine familia imepatana 🤲Alihamduliah huu mwaka kwangu umekuwa wa kipekee
Mashaallah.
20.08.2024 nikiwa congo kamoto mgodin
Kweli kabisa
❤❤❤❤❤
Mashaalla.ostathiminipo
Mke.wapilivp
Hi
😭❤
😢😢😢
❤
Aqza
manshallah Allah awaongoze katika kaz yenu nzur sana
Mashaallah
3:12
🫡🫡💯👌👌👌
Mashallah
Nimeipenda
Mashaallaha
Mashaallah
Mashaallah
Mashaallah
Mashaallah