PAUL WALKER nyota alieacha MASWALI juu ya KIF0 chake,KASHFA KUBWA yafichwa kuhusu MAHUSIANO yake.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ม.ค. 2022
- For any copyright issues please contact us : jusheddy@gmail.com
produced and narrated by @JAYJAYFAMILYTZ - ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Mungu ailaze Roho yake Pahali Pema peponi
UKIWA UNALETA STORY ZA WATU MAARUFU NA WANAOPENDWA SANA JITAID KUONGEZA DAKIKA ILI STORY IWE IMEKAMILIKA NA WASIOMJUA WAMJUE NA TUNAO MPENDA TUFARIJIKE LAKIN SIO KM IVO KM MTU AMJUI UYO PAUL AWEZ MUELEWA JITAID KUITOSHELEZA STORY KAKA
Loooh leo umenipa wallah shukrani sana 💕💕❤
Nimependa history ya paul walker,ni mwigizaji ninayemkubali sana pamoja na rafiki yake van,apumzike kwa amani
My favourite actor my mentor
Twende kaziii' maelezo ya kiufasaha sana sipenda kumiss haya.
nilikuwa namkubali sana
Leo ndo nimejua kuwa walifariki wawili
Uko vizuri kwa kusoma wikipedia😂😂😂🤭
😢😢😢😢😢😢 i miss you paul Walker❤
Wau
Tuletee story ya natalia la rose 😭
Asante Justin shedy
Mungu amlaze mahali pema
Umetisha mzee
Kwa mara ya kwanza naangalia hii muvi nilikua cjui km amesha fariki nilivyo jua niliumia sn
Lit🔥✌️
Rest easy man
legend
Alitisha kinoma sema ndo hvyo tena aliyemuumba kamchua
JUICE WRLD history please. Why are u responding to our comment 💓
Sasq twende kazi 🙏
Yoo kumbe arifariki jomoni😪😪
Asante
Kifo chake kimeniuma sana amefariki mapema akiwa na miaka 40 tu
Wow uko poa kabisa tafathali unaeza tuletea story ya Dolph Lundgren
Acha uongo hakufa mwaka ulioutaja
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mimi naitwa Justin shed sasa twende kazi
R I p p nilikua nakupenda sana tena hasa hayo macho yako
Kaka bado naombaa video ya asili ya orthordox
Juicy wrld na shah rukh Khan bro
Napenda sana story zako kaka
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌🙏
Nilikua namkubali San jamaa
Tupe story ya mwezake tyrese
Billy dragon
Walker lost it on his last movie .
Ikibidi utuletee na ya jason statham
Hana kashfa
Kisa cha jack Norris
Zungumzia hologram ya 2pac
tupe ya Bruce Lee
Alikufa 2015 sio 2013
Mzee upo mbali sana ilikuwa 2013 sio 2015
Mwaka 2013 ulikuwa mwaka mbaya sana kwangu sitoweza kusahau maishani kwangu mwaka huo ndiyo nikajua mbaya wangu ni nani kwenye maisha yangu na tangu mwaka huo sijaongea na wala kuonana na huyo mbaya wangu katika familia
Pole happy wanaotuumiza s wa mbal wanatoka kwenye family kikubwa mung atupe moyo wa kusamehe
@@omegachawangula980 asante kwa kunipa moyo
@@omegachawangula980 ni mama yangu ndiyo kaniumiza tangu mwaka 2013 sijaongea nae yaani mama yangu alitaka mimi nisiwe na sehemu ya kuishi wala nisiwe na marafiki na wala nisiwasiliane na ndugu zangu bongo mpaka akafanya simu yangu mtu asinipate ni yeye tu ndiyo alikuwa ananipigia simu lakini sasa ni zamu yake yeye ndiyo hawezi kunipigia simu tangu mwaka 2013
@@happynelson1136 mmmhh...! I can see u have a very very "sad story" to share
Mam ako ni wa kutoka nje ya Bongo sio eeh?
@@chiefchacha2992 ndiyo mama yangu ni wa kutoka bongo