Hoja nzito hii na ni ya msingi kabisa. Serikali iliangalie hili suala kwa makini sana. Wananchi wasinyanyaswe ili wahame ni vibaya sana. Hongera sana mheshimiwa mbunge.
Jamanii tufike mahara tuone huruma na binadamu wenzetu nini maana ya ndani ya hifadhi watafutiwe eneo lingine ndani ya mkoa wao hata wale wa msomela wanateseka tu nyumba ndogo mira na desturi za tanga tofauti kabisa na za kwetu
Hivi Jamani Hii Ni Tanzania Yetu Tunayoijua? Mbona Wamasai Wanaishi Vizuri Tu Na Wanyama? Nyie Viongozi Mnaokula Dhuluma Na Kuwatesa Ndugu Zetu Wamasai Mungu Awaondoe Mfe Kifo Cha Aibu Kama Mbwa,😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mbunge wa Ngorongoro ni mwamba amekuwa akifikisha vilio vyetu kwa serikali yetu sikifu. Mhe Rais naomba usikilize vilio vyetu hata sisi tunaoishi ndani ya tarafa ya ngorongoro ni watanzania
atuiombi serekali ya Samia warudishe ngombe za wamasai na wakome kuwanyasa wanchi nakama ni. awa waarabu tumekataa kuporwa awakuja kutuangaisha waende kwao mswahili alisema mgeni aje mwenyeji afaidi sasa mwenyeji anafaidi ama anaumia wawekezaji waangaliwe sana watanganyika wasiumizwe nchni mwao kama wale wanawake wanaekwenda uwarabuni kufanya kazi ya nyumba wanauawa na kufanyiwa unyama wewe kama serekali umemleta mwekezaji ni jukumu lako kuangalia uyo mwekezaji matendo yake kwa raia wako ama wewe mmekubaliana yakwamba sisi raia wema tunyanyaswe na pamoja tuko nchini mwetu atutakubali Tena ujinga kama uwo iyo magufuli alikataa mikataba kama iyo watanganyika fungueni macho tunayajua yote mjue kuna mwisho
Mpumbavu mkubwa Sana Kwahiyo unataka asiseme changamoto za wananchi? Kuna watu hawajitambui Endelea kushadadia upumbavu unaofanywa wezi WA Rasilimali za Taifa Kuna siku mtanzania na mzalendo atakuwa Rais WA nchi
Hongera sana Mhe. Mbunge Wangu Oleshangai....unatusemea wananchi wako Kazi kwa Watawala.
Ni nini jamani kuwatesa wananchi ndugu zetu wamasai??
Huu ni ukatili wa serikali hii.
Asante sana Mh. Nimekaa ngorongoro, nimeyaona hayo . Natembea naulizwa kibali kila mahali .
Asandeee sana ole shangayi umefikisha ujumbe kwa viongozi wa ngazi ya juu tutaona kama amefanyia kazi
Hongera sana Mh umefikisha kama ilivyo
Hongera Sana mhe oleshangai kwa kusema kwa niaba ya wanangorongoro
Mungu akulinde daima mbunge wetu
hongera Sana bunge wetu
You right mh Hawa wa2 wanata kuuza izo land zetu by the way but with tunasema never never
Tayari ziko na mwingereza, mmarekani na mwarabu
strong leader keep fighting one day yes
Umeongea ukweli mungu akuweke ulinzi
Hongera sana! Mheshimiwa hakika tunajifunia kuwa na mbunge kama ww
Hapo ndiyo napoionaga ccm himeshindwa kutuongoza oja Ina mashiko lakini meza azigongwi wao uwambie kusifia TU mama anaupiga mwingie kama waseng
Serikali Wana kusudi lao kwenye land ya wamasai yaani mungu atusaidie na atulinde
Sio zetu tena ni wazungu, mmarekani mwingereza na mwarabu ndio wenye mbuga zetu turejee kwenye kauli ya job ndugai nchi imeuzwa vipande vipande
Ombi langu mungu akulinde tu unafikisha sms
Bunge la hovyo Sana Hawa Wana wangalia matumbo yao na watoto wao, mungu simama na watu wako,juu ya utawala wa mkoloni mweusi.
You said it all keep moving Mkuu 👏👏
Hongera xana mbunge wetu
Hoja nzito hii na ni ya msingi kabisa.
Serikali iliangalie hili suala kwa makini sana.
Wananchi wasinyanyaswe ili wahame ni vibaya sana.
Hongera sana mheshimiwa mbunge.
Hongera sana Mh mbunge
Hawa wadudu wanatamaa nanchi wamekuamiungu ccm muwapende wananchi msiwamishe kwajili ya masilai yenu mtakufa mtaviacha acheni tamaa mungu awaone
❤
Amechangia vzr sana tena Kwa utulivu kabisa
Asnte Sana mbunge wetu wa ngorox2
Jamanii tufike mahara tuone huruma na binadamu wenzetu nini maana ya ndani ya hifadhi watafutiwe eneo lingine ndani ya mkoa wao hata wale wa msomela wanateseka tu nyumba ndogo mira na desturi za tanga tofauti kabisa na za kwetu
inauma sana tanzania ccm ya nyerere
kwakweli kabisa kwanini taifa umoja la wamaasai wananyanyasa Sana 😭
Oji pole sana shaagai ila agalia wasikufanye kama olesendek
Duuuh 😭😭😭 my 🇹🇿
Nimempenda naibu spika... wabunge wa bara hawapo na hangaya..ametoa ngorongoro kwa wajomba
Hivi Jamani Hii Ni Tanzania Yetu Tunayoijua? Mbona Wamasai Wanaishi Vizuri Tu Na Wanyama? Nyie Viongozi Mnaokula Dhuluma Na Kuwatesa Ndugu Zetu Wamasai Mungu Awaondoe Mfe Kifo Cha Aibu Kama Mbwa,😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Meza haigongwi na ile mikofi zagao
Hasante Mwechimiwa mbunge wetu
Jamani nyie mbona inaskitisha😭😭😭
Ya olesendeka yasijekukuta mh maana huyu mama ni hatari sana
Duuh jmn inatia huruma sana, mjitathimini sana aise.
Mhhh!!!!!
😢😢😢😢
Ukweli mtupu mhemiwa Shangai ameongea ukweli
maswali yako mazuri sana kama ni hiari kwa mtu kwanini wawekewe vikwazo
Sasa ndio mmepata majibu
Wamasai huwa wakweli sana
Sasa kuwakatia maji raia huo si ukatiri huo unaofanya na serikali
Tuki wapa kura sawa kutunyanyasa kwenu
Mbunge wa Ngorongoro ni mwamba amekuwa akifikisha vilio vyetu kwa serikali yetu sikifu. Mhe Rais naomba usikilize vilio vyetu hata sisi tunaoishi ndani ya tarafa ya ngorongoro ni watanzania
Hi serekali ya ofvyo sana Yani tunatesa wanaichi wetu wenyewe
Inaumwa sana ila pole Mh mbunge tunaumiz san
Mmbunge anaongea yake tu,hakuna anaegonga meza wala pongezi,
Wote wanaogopa ni kimyaaaa
Hilijambo linaonekana alieamlisha ni laisi ambae hao wabunge wanajua naakionekana mbunge anasapoti anainekana msaliti nahapo ndoujue wabunge wa kweli hawapo hapo kunawachumiatumbotu kwa hojahii yambunge ilitakiwa wabunge wote wachangie kutetea wamasai lakini wakokimiasana
atuiombi serekali ya Samia warudishe ngombe za wamasai na wakome kuwanyasa wanchi nakama ni. awa waarabu tumekataa kuporwa awakuja kutuangaisha waende kwao mswahili alisema mgeni aje mwenyeji afaidi sasa mwenyeji anafaidi ama anaumia wawekezaji waangaliwe sana watanganyika wasiumizwe nchni mwao kama wale wanawake wanaekwenda uwarabuni kufanya kazi ya nyumba wanauawa na kufanyiwa unyama wewe kama serekali umemleta mwekezaji ni jukumu lako kuangalia uyo mwekezaji matendo yake kwa raia wako ama wewe mmekubaliana yakwamba sisi raia wema tunyanyaswe na pamoja tuko nchini mwetu atutakubali Tena ujinga kama uwo iyo magufuli alikataa mikataba kama iyo watanganyika fungueni macho tunayajua yote mjue kuna mwisho
Wanatakiwa wahame
Toa sababu 5 za muhimu
Waambie kitaeleweka tu,wafunge masikio ujumbe umefika.
Mungu yupo tu ipo siku moja
Wewe mbunge muulize Olesendeka.
Duuu
Njoo.chadema.ccm.haina.uwezo.wa.kuongoza.tena.wamekata.pumzi
Mbona hakuna mtu anagonga meza mnakaaaa kimya
Hawataki hiyo maneno yake😢😢😢😢
hay0 nimanen0 tu pana0nekana kunashinda
Too late brother, nini huelewi?. hahahahaa!!!!!
Tulisha uzwa cku nyingi
We jifanye wazungumza sana na huku jifanye huelewi.
Mpumbavu mkubwa Sana
Kwahiyo unataka asiseme changamoto za wananchi?
Kuna watu hawajitambui
Endelea kushadadia upumbavu unaofanywa wezi WA Rasilimali za Taifa
Kuna siku mtanzania na mzalendo atakuwa Rais WA nchi
Kweli ww ni sungura
We Vipi Asee? Unadhani Anadanganya? Tuulize tuliyopo Ground.
😂😂😂
Kwa hiyo Wamasai siyo Raia
Ni haki yao kuishi ngorongoro
Wasinyanyaswe