Mbunge wa Ngorongoro Acharuka, "Kama Hamtaki Watu Ngorongoro Semeni Kuliko Kuwatesa"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 71

  • @dodiaisrael6916
    @dodiaisrael6916 6 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana Mhe. Mbunge Wangu Oleshangai....unatusemea wananchi wako Kazi kwa Watawala.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 6 หลายเดือนก่อน

      Ni nini jamani kuwatesa wananchi ndugu zetu wamasai??

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 6 หลายเดือนก่อน

      Huu ni ukatili wa serikali hii.

  • @Emma300b
    @Emma300b 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Mh. Nimekaa ngorongoro, nimeyaona hayo . Natembea naulizwa kibali kila mahali .

  • @SalimMakallah-e2r
    @SalimMakallah-e2r 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asandeee sana ole shangayi umefikisha ujumbe kwa viongozi wa ngazi ya juu tutaona kama amefanyia kazi

  • @ndootowilliam
    @ndootowilliam 6 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana Mh umefikisha kama ilivyo

  • @success-only
    @success-only 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera Sana mhe oleshangai kwa kusema kwa niaba ya wanangorongoro

  • @SalimMakallah-e2r
    @SalimMakallah-e2r 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde daima mbunge wetu

  • @Matayomollel-c4w
    @Matayomollel-c4w 5 หลายเดือนก่อน

    hongera Sana bunge wetu

  • @MossesiMosessilaizerlaizer
    @MossesiMosessilaizerlaizer 6 หลายเดือนก่อน +1

    You right mh Hawa wa2 wanata kuuza izo land zetu by the way but with tunasema never never

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน +1

      Tayari ziko na mwingereza, mmarekani na mwarabu

  • @MappyMollel-bm5zg
    @MappyMollel-bm5zg 6 หลายเดือนก่อน

    strong leader keep fighting one day yes

  • @RobertNdaskoy
    @RobertNdaskoy 6 หลายเดือนก่อน +1

    Umeongea ukweli mungu akuweke ulinzi

  • @lengishonsaborendimo.4560
    @lengishonsaborendimo.4560 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana! Mheshimiwa hakika tunajifunia kuwa na mbunge kama ww

  • @AllyFaraji-r4y
    @AllyFaraji-r4y 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo ndiyo napoionaga ccm himeshindwa kutuongoza oja Ina mashiko lakini meza azigongwi wao uwambie kusifia TU mama anaupiga mwingie kama waseng

  • @petermabula4492
    @petermabula4492 6 หลายเดือนก่อน +1

    Serikali Wana kusudi lao kwenye land ya wamasai yaani mungu atusaidie na atulinde

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน +1

      Sio zetu tena ni wazungu, mmarekani mwingereza na mwarabu ndio wenye mbuga zetu turejee kwenye kauli ya job ndugai nchi imeuzwa vipande vipande

  • @DanielOlosisi
    @DanielOlosisi 6 หลายเดือนก่อน

    Ombi langu mungu akulinde tu unafikisha sms

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 6 หลายเดือนก่อน +1

    Bunge la hovyo Sana Hawa Wana wangalia matumbo yao na watoto wao, mungu simama na watu wako,juu ya utawala wa mkoloni mweusi.

  • @kinyanjuisiraas6580
    @kinyanjuisiraas6580 6 หลายเดือนก่อน +1

    You said it all keep moving Mkuu 👏👏

  • @OrmumaiKewon
    @OrmumaiKewon 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera xana mbunge wetu

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 6 หลายเดือนก่อน

    Hoja nzito hii na ni ya msingi kabisa.
    Serikali iliangalie hili suala kwa makini sana.
    Wananchi wasinyanyaswe ili wahame ni vibaya sana.
    Hongera sana mheshimiwa mbunge.

  • @leyankoika1261
    @leyankoika1261 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Mh mbunge

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 6 หลายเดือนก่อน

    Hawa wadudu wanatamaa nanchi wamekuamiungu ccm muwapende wananchi msiwamishe kwajili ya masilai yenu mtakufa mtaviacha acheni tamaa mungu awaone

  • @davidalais6899
    @davidalais6899 6 หลายเดือนก่อน

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc 6 หลายเดือนก่อน

    Amechangia vzr sana tena Kwa utulivu kabisa

  • @juliusndaserwa
    @juliusndaserwa 6 หลายเดือนก่อน

    Asnte Sana mbunge wetu wa ngorox2

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 6 หลายเดือนก่อน

    Jamanii tufike mahara tuone huruma na binadamu wenzetu nini maana ya ndani ya hifadhi watafutiwe eneo lingine ndani ya mkoa wao hata wale wa msomela wanateseka tu nyumba ndogo mira na desturi za tanga tofauti kabisa na za kwetu

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 6 หลายเดือนก่อน

    inauma sana tanzania ccm ya nyerere

  • @Alexkilort
    @Alexkilort 6 หลายเดือนก่อน

    kwakweli kabisa kwanini taifa umoja la wamaasai wananyanyasa Sana 😭

  • @NeyesuMollel
    @NeyesuMollel 6 หลายเดือนก่อน

    Oji pole sana shaagai ila agalia wasikufanye kama olesendek

  • @salimumsoka9379
    @salimumsoka9379 6 หลายเดือนก่อน

    Duuuh 😭😭😭 my 🇹🇿

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 6 หลายเดือนก่อน

    Nimempenda naibu spika... wabunge wa bara hawapo na hangaya..ametoa ngorongoro kwa wajomba

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 6 หลายเดือนก่อน

    Hivi Jamani Hii Ni Tanzania Yetu Tunayoijua? Mbona Wamasai Wanaishi Vizuri Tu Na Wanyama? Nyie Viongozi Mnaokula Dhuluma Na Kuwatesa Ndugu Zetu Wamasai Mungu Awaondoe Mfe Kifo Cha Aibu Kama Mbwa,😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @jeremiahmsangi8215
    @jeremiahmsangi8215 6 หลายเดือนก่อน +1

    Meza haigongwi na ile mikofi zagao

  • @AlaiganyaApate
    @AlaiganyaApate 6 หลายเดือนก่อน

    Hasante Mwechimiwa mbunge wetu

  • @emmanuelndotela9412
    @emmanuelndotela9412 6 หลายเดือนก่อน

    Jamani nyie mbona inaskitisha😭😭😭

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 6 หลายเดือนก่อน

    Ya olesendeka yasijekukuta mh maana huyu mama ni hatari sana

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc 6 หลายเดือนก่อน

    Duuh jmn inatia huruma sana, mjitathimini sana aise.

  • @sharifubakari-e1s
    @sharifubakari-e1s 2 หลายเดือนก่อน

    Mhhh!!!!!

  • @MiliarySingira
    @MiliarySingira 6 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢
    Ukweli mtupu mhemiwa Shangai ameongea ukweli

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 6 หลายเดือนก่อน

    maswali yako mazuri sana kama ni hiari kwa mtu kwanini wawekewe vikwazo

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa ndio mmepata majibu

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 6 หลายเดือนก่อน

    Wamasai huwa wakweli sana

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa kuwakatia maji raia huo si ukatiri huo unaofanya na serikali

  • @masanjamahega3296
    @masanjamahega3296 2 หลายเดือนก่อน

    Tuki wapa kura sawa kutunyanyasa kwenu

  • @JohnKitamwasolemokotio
    @JohnKitamwasolemokotio 6 หลายเดือนก่อน

    Mbunge wa Ngorongoro ni mwamba amekuwa akifikisha vilio vyetu kwa serikali yetu sikifu. Mhe Rais naomba usikilize vilio vyetu hata sisi tunaoishi ndani ya tarafa ya ngorongoro ni watanzania

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 6 หลายเดือนก่อน

    Hi serekali ya ofvyo sana Yani tunatesa wanaichi wetu wenyewe

  • @KingiMakesen-ju9ot
    @KingiMakesen-ju9ot 6 หลายเดือนก่อน

    Inaumwa sana ila pole Mh mbunge tunaumiz san

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 6 หลายเดือนก่อน

    Mmbunge anaongea yake tu,hakuna anaegonga meza wala pongezi,
    Wote wanaogopa ni kimyaaaa

    • @davidmalogo7100
      @davidmalogo7100 6 หลายเดือนก่อน

      Hilijambo linaonekana alieamlisha ni laisi ambae hao wabunge wanajua naakionekana mbunge anasapoti anainekana msaliti nahapo ndoujue wabunge wa kweli hawapo hapo kunawachumiatumbotu kwa hojahii yambunge ilitakiwa wabunge wote wachangie kutetea wamasai lakini wakokimiasana

  • @Felix-e6t4m
    @Felix-e6t4m 6 หลายเดือนก่อน

    atuiombi serekali ya Samia warudishe ngombe za wamasai na wakome kuwanyasa wanchi nakama ni. awa waarabu tumekataa kuporwa awakuja kutuangaisha waende kwao mswahili alisema mgeni aje mwenyeji afaidi sasa mwenyeji anafaidi ama anaumia wawekezaji waangaliwe sana watanganyika wasiumizwe nchni mwao kama wale wanawake wanaekwenda uwarabuni kufanya kazi ya nyumba wanauawa na kufanyiwa unyama wewe kama serekali umemleta mwekezaji ni jukumu lako kuangalia uyo mwekezaji matendo yake kwa raia wako ama wewe mmekubaliana yakwamba sisi raia wema tunyanyaswe na pamoja tuko nchini mwetu atutakubali Tena ujinga kama uwo iyo magufuli alikataa mikataba kama iyo watanganyika fungueni macho tunayajua yote mjue kuna mwisho

  • @NDEWARA
    @NDEWARA 6 หลายเดือนก่อน

    Wanatakiwa wahame

    • @FlavianoMkawe
      @FlavianoMkawe 6 หลายเดือนก่อน

      Toa sababu 5 za muhimu

  • @LemayanOlesenet-mq2yl
    @LemayanOlesenet-mq2yl 6 หลายเดือนก่อน

    Waambie kitaeleweka tu,wafunge masikio ujumbe umefika.

  • @Joshuamollel-yz8qf
    @Joshuamollel-yz8qf 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu yupo tu ipo siku moja

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 6 หลายเดือนก่อน

    Wewe mbunge muulize Olesendeka.

  • @LameckAkyoo
    @LameckAkyoo 6 หลายเดือนก่อน

    Duuu

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 6 หลายเดือนก่อน

    Njoo.chadema.ccm.haina.uwezo.wa.kuongoza.tena.wamekata.pumzi

  • @KiriaKipara
    @KiriaKipara 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona hakuna mtu anagonga meza mnakaaaa kimya

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hawataki hiyo maneno yake😢😢😢😢

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 6 หลายเดือนก่อน

    hay0 nimanen0 tu pana0nekana kunashinda

  • @onesmomalifedha4709
    @onesmomalifedha4709 6 หลายเดือนก่อน

    Too late brother, nini huelewi?. hahahahaa!!!!!

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน

      Tulisha uzwa cku nyingi

  • @ProsperMwakasungura
    @ProsperMwakasungura 6 หลายเดือนก่อน +2

    We jifanye wazungumza sana na huku jifanye huelewi.

    • @success-only
      @success-only 6 หลายเดือนก่อน

      Mpumbavu mkubwa Sana
      Kwahiyo unataka asiseme changamoto za wananchi?
      Kuna watu hawajitambui
      Endelea kushadadia upumbavu unaofanywa wezi WA Rasilimali za Taifa
      Kuna siku mtanzania na mzalendo atakuwa Rais WA nchi

    • @gaspermoko171
      @gaspermoko171 6 หลายเดือนก่อน

      Kweli ww ni sungura

    • @dodiaisrael6916
      @dodiaisrael6916 6 หลายเดือนก่อน

      We Vipi Asee? Unadhani Anadanganya? Tuulize tuliyopo Ground.

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 6 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo Wamasai siyo Raia
      Ni haki yao kuishi ngorongoro
      Wasinyanyaswe