Simu ni sumu kweli kabisa katika ndoa, unakuta ukonamwenza wako usiku yeye yukobize kuchezea simu akimaliza analala yani ata ajali uwepo wako, na iyo simu ina password kila kona kama anaweka usalama nisawa lakini mkeo ni vyema kufahamu jmn.
Dhana haifai lkn na ww haipaswi kumfanya mwenzio mpaka aeke dhanna kwako. Ndoa ni ya kusgeshimiwa kuliko kazi yako. Kuna masheikh tunawapigia simu na wanapokea wake zao ss ww ulokua hutaki mkeo apokeo simu kwa kua tu unaeza unasaidia watu na wanaeza kutuma msg una nn unachokificha ikiwa huyo anaekutumia msg anajua dhahir km una mke???
Mimi pia nakataa kama ufichi mambo mahovu kwa mwenza wako basi nivyema mkawa huru wote kama wenza. Maswala yakuweka password kilakona kunavitu unaficha na nivihovu.
Hakuna Siri kwenye cm ya Mke na mume , na wala kuchunguzana huko alikosema M/Mungu sio ndani ya Ndoa usipokuwa makini na Ndoa YAKO kumbe mwenzako anakwenda kinyume. Mwishoe ni kuleteana maradhi
Good work. May God Bless you my people. Ni ukweli yapo
Yaan hapa Allah atustiri, maana hapa Allah ndo anaejua
Mawaidha mazuri sheikh mungu akuzidishie umri uzidi kutufundisha mambo mbalimbali
Wallahi tena
Mawaidha mazuri Ila sheikh sio wote wako hvyo tunapaswa tuwe kitu kimoja na wewe pia umemkosea kunifanya mkeo akudhanie vibaya
Na enjoy na pia napata mafunzo💓 nzuri jomba changani🌹
Mashallah sanaa yenu nakupend Sana Iko n mafunzo kw Allah🙏🙏
Akwambia naangalia bet hadi saa nane za usiku......shukran sana sheikh
Walai nawakubali tuu Sanaa kazi nzuri mashallah....nami naomba kolabo
Shukran Kwa mawaidha mufti sheikh🙏
Tuheshimuni ndoa waislamu
Mtihani yarabi tusaidiye wanawake wote maana tunapitiya changa moto
Aaaaaaaamina ya rabby
Ofwiii Alhamdullillah nimefika ❤️
8:41
Mtihani kweli wallahi
Simu ni sumu kweli kabisa katika ndoa, unakuta ukonamwenza wako usiku yeye yukobize kuchezea simu akimaliza analala yani ata ajali uwepo wako, na iyo simu ina password kila kona kama anaweka usalama nisawa lakini mkeo ni vyema kufahamu jmn.
Kabisa hapo kwa password kila mahali na mtu hata hana time nawe then usiulize
Good job my people
Shukurani kwa ajili ya Allah
Funzo🔥🔥🙌
Ustadh nimependa maelezo umepeana.
Swadakta mashaallah
Wacha janja janja mlamu ongea n dada vizuri 🤣🤣🤣
Nishamweleza mlamu dadako ni aelewe😂😂😂
Nkusalimia babuu 😂😂
Mashaallah
Good job,mwendelezo plz
Niambie zaitun wamuona mwalim wako
Dhana haifai lkn na ww haipaswi kumfanya mwenzio mpaka aeke dhanna kwako. Ndoa ni ya kusgeshimiwa kuliko kazi yako. Kuna masheikh tunawapigia simu na wanapokea wake zao ss ww ulokua hutaki mkeo apokeo simu kwa kua tu unaeza unasaidia watu na wanaeza kutuma msg una nn unachokificha ikiwa huyo anaekutumia msg anajua dhahir km una mke???
sio kweli huwexi kuweka lock 🔐kila sehem hapo hauna mume una malaya ndani
Napinga hilo sheikh...lazima kila mtu awe muwazi kwa mwenzie...mwisho wasiku mtaleteana maradhi...
Mimi pia nakataa kama ufichi mambo mahovu kwa mwenza wako basi nivyema mkawa huru wote kama wenza. Maswala yakuweka password kilakona kunavitu unaficha na nivihovu.
Nakataa pia maana wengi wafanya ni cm Kama vichaka,,waweza mkuta achati uchafu tu na hawala zake,hivyo utakuwa wa kwanza kumuusia
Kukagua Sim muhimu wanandoa
Wewe nae ongea pointi usilichukulie kirahisi hivo wengine mpaka Sasa tumehathirika nafsi sababu ya kuamini mwanaume
Kbsaa umenena dadangu
ukiona jitu halitaki sim mkeo ashike malaya mbwa na locked kila pahala hapo huna mume dada subiri maukimwa makansa uletewe
Hakuna Siri kwenye cm ya Mke na mume , na wala kuchunguzana huko alikosema M/Mungu sio ndani ya Ndoa usipokuwa makini na Ndoa YAKO kumbe mwenzako anakwenda kinyume. Mwishoe ni kuleteana maradhi
@@aishaomar9621 kbs
Swadakta
Naitj usidizi wenu kkuza channel yangu
Ni mimi wko mamajey naminia apo babake rukia wow 🤣🤣🤣
kwanza kwa nn uweke locked 🔒kma c umalaya ni nn kma huwezi tumia sim bila locked ww ni cha wooote
Yaan tuwe makini ,,jmn baadhi simu wamefanya Kama Allah haoni wanayofanya