Mashallah kaka Mungu awalinde na wawe na kheri kwako nawe uwe na kheri kao hadi mkutane tena peponi hapo kwa kufatilia sheikh othuman upo sahihi maana anafunza kweli Mambo mazuri Allah awe nanyi Amen ❤❤❤🎉🎉🎉🎉 mabrook ❤
Bujra umejiletea moto maishani. Mke wako wa kwanza hajakwambia yuataka likizo kwa hivyo usiifanye sababu. Jiandae na zaidi ya unayoyatarajia. Hakuna mapenzi ya watatu
For sure huyu mtangazaji anamaswali ya uchochezi hii ndoa ikivunjika kidole ntaanza kukiotesha kwa hyu mtangazaji. Adigo tuna taabu sana. Huyu mdada mke wa pili kwa kweli Mungu amjaalie na hekma na msimamo alionao.. Ila mtangazaji punguza hujaifanyia haki hii interview.
lkn sawa kumpea ruhusa mme wako kwenda kwa mke mkubwa..ule n moyo tu wa upendo ...mke mdogo ana moyo wa upendo hana choyo ..aliona yeye avmlie sku mbl lkn ule mwenzake awe sawa
😂😂😂😂😂😂Ata cjui nacheka nn meju mm najikuta naraha thuu na comment za uko chini.... Masha Allah mke wa pili mungu akujalie utuzalie mzee Mohammed na mke mkubwa popote ulipo mungu akupe subra na moyo huo huo wa kukubali mwenzako
Madikodiko ni mke wa kwanza Bujura maburuk mungu akujalie wake wakupendana
Mashallah kaka Mungu awalinde na wawe na kheri kwako nawe uwe na kheri kao hadi mkutane tena peponi hapo kwa kufatilia sheikh othuman upo sahihi maana anafunza kweli Mambo mazuri Allah awe nanyi Amen ❤❤❤🎉🎉🎉🎉 mabrook ❤
Waume wengine ni mahasidi nyoka wakuuma na hawatokula but bujra big up bro
Ma Sha Allah kherr inshallah....mabrouk
Bujra umejiletea moto maishani. Mke wako wa kwanza hajakwambia yuataka likizo kwa hivyo usiifanye sababu. Jiandae na zaidi ya unayoyatarajia. Hakuna mapenzi ya watatu
Usiombeye mabaya mwezio bali muombeye duwa sasa hayo maneno mayaba ya nini nenda zako huko
Hakuna Dua yoyote mbaya aliyoombewa, Bali huu ndio ukweli wa maneno. @@ZulfahMuhammad
weye choyo kinakuhangaisha tu roho mbaya
😂😂😂😂😂😂😊utanivunja . ..mbavu@@nahlahassan-fd6le
Sio kweli bana mm mime wangu aniona mpya kila siku😂😂😂sijui vile ni maskini akifanikiwa ndio ataniona wakawaida
Mabrouk alfu Mabrouk❤❤❤In Shaa Allah iwe ya kheir bro.
Mwanamke anatimiya kwakumuhishimu mume wake sio kwa ukewenza
Appreciate hata mm ni muhanga wa matal so uke wenza raha asikuambie mtu
For sure huyu mtangazaji anamaswali ya uchochezi hii ndoa ikivunjika kidole ntaanza kukiotesha kwa hyu mtangazaji. Adigo tuna taabu sana. Huyu mdada mke wa pili kwa kweli Mungu amjaalie na hekma na msimamo alionao.. Ila mtangazaji punguza hujaifanyia haki hii interview.
Umekosea bujra kusema umempa mapumziko nikama ulikua amekuchosha ama pengingie ukiwa una ridhika
Ina maana mlikua mkikwaruzana
Mtangazaji hana maswali ya maana
Kabis alafu anajijibu mwenyewe
Mashallah japo tuliona n movie🎉🎉🎉🎉waliodhan n movie mko wap
😂😂😂😂
Mashaallah 🎉mabrook mkaka nilidhani ni Kiki 😅😅😅😅
Shukuran dadangu hivo ndivyo inatakiwa tutenguwe kauli ya mkemdogo kivuruge
Masha Allah.. Allah awafanyie wepec nyote mko kwenye mtihani mgumu
Hongereni kkaa bujra Allah awaongoze❤
Alf mabrouk kwa maharusi, mungu awapatie masikilizano inshaallah. Amin 🤲🤲
MashaAllah MashaAllah MashaAllah Tabarakallah...ALLAH awalinde na awajaze maelewano ...mke mdogo na mkubwa muelewane ndio awe na furaha zaidi
Ma Sha Allah Mungu awape maelewano na subra in Sha Allah
Haya kaka hongera uwalee wakezo wawe na furaha uwe na uadhilifu in sha Allah mungu akuongoze katika jambo hili ni mtihani sana
lkn sawa kumpea ruhusa mme wako kwenda kwa mke mkubwa..ule n moyo tu wa upendo ...mke mdogo ana moyo wa upendo hana choyo ..aliona yeye avmlie sku mbl lkn ule mwenzake awe sawa
Kwakweli Allaah amzidishie moyo wa huruma
Mashallah tabarakah allah, kuwa muadilifu, uta weza
Maa shaa Allah kaka bujra
😂😂😂😂😂😂Ata cjui nacheka nn meju mm najikuta naraha thuu na comment za uko chini.... Masha Allah mke wa pili mungu akujalie utuzalie mzee Mohammed na mke mkubwa popote ulipo mungu akupe subra na moyo huo huo wa kukubali mwenzako
Mashaallah kheri in shaa Allah
Mashaa Allah tabaraka Allah ❤❤
Mmmm jamani kama yupo mke mwenza kama huyu namtakia mume wangu jamaniii
Woow mashaa Allah
Mm niko 😂😂😂
Mimi Niko sina Gugu wallai❤
Tupo sema mume wako ameridhika n weye😂😂😂
Napenda kazi zenubsanaa❤❤
Mashaallah
Hao ndio wanawake wa peponi Dunia y sai kuwapata wanawake km hao n moja Kwa mia Allah baarik ndio zenu
Mashallah bro awajalie khr
Nani anataka tuwe wake wenza❤❤
MashaAllah❤❤❤🎉🎉
Mbavi galigovya 😅kher inshaallah
Bado hajawa mume wamtu kwa sababu hajatimiza ziko nafasi pili
Muulizaji anaboa maswali mengi ht mtu hajielezi sana
Uke wenza mzito sio rahisi, Bujra unamoyo mmoja utapendaje wawili uyo mke wa pili anakaa anavishindo
Kama hausupport heri utulie coz ukizidi wakufuru kwa Allah
😂😂😂😂pwani hakun bikra
MashaAllah
Ww bujra huweleweki mara ilikua ni kiki mara umeona 😏
Mm ctaki mkeke mwenza
Mbona haina sauti
Mashaallah mke mdogo
Mbona sauti jamani
hakika Allah nimjuzi wayote oweni mukiwa mutakuwa waadilifu
Me ntakua wa tatu basi🤭
Wee bujra duh hatari Sana, Ivi ni kweli
Hatari inatokea wapi?
Wee uwoni maradhi y moyo hayo ashamuekea mkewe😢😢😢school mate wangu uyo bujra but duh ameachia bomu
@@AlhamSchfam Mke wake ndie alie kuambia kua alipewa maradhi ya moyo ama ni wewe ndie unamuekea? Inaonekana wewe ni mnafiki
@@yusufmwangichannel6692 sawa mm nafki kuwa wewe mtu wa peponi c mwenye ndio ametamka mke wake hayuko sawa
Ooh watafuta Kiki kupita n upepo wa mwenzako
😂😂😂😂🎉
Mm kusema ukweli siwezi uke weza Nina wivu vibaya sans
Muache achepuke huko kado
Yataka moyo kibinty hana baya
Sauti mkuu tafdhali
MashaAllah
Mbona haina sauti
Nadhani ni huku kwangu tu kumbe pia ww
❤❤❤❤