PATO LA WAKAZI WA DAR ES SALAAM LAONGEZEKA KUFIKIA MILIONI TANO KWA MWAKA, KWA KILA MTU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ndiyo wakenya wanajisifia GDP yao kubwa ila kiuhalisia maisha yao yako chini sana hata unga,mafuta nk ni shida kwao
Wazingire mataani wajue takwimu za watu wanaishi je ndo watajua pato la kila mtu kwa mwaka ni kiasi gani. Wasiongopee dunia kwa upuuzi wao. Bado tuna hali mbaya mno tupo vizuri maybe kw matumbo yenu mnaona wote tupo vizuri shuwain sana.
Ingieni Mitaani msikae kwnye Viti halfu mseme pato limeengezeka linazdi kushuka kika siku acheni ujinga mtu kula ya siku inamshinda upuuzi tu
Punguzeni unafiki na kujipendekeza. Khali ni tete. Mnadanganya Pato limeongezeka. Data za uwongo. Waandishi wasio na mtazamo.
Wanajuw tunaingiza shingapia kwasiku
Kwani wapo mfano wangu wengi, wanaoshindwa kupata 14,000/= kwa siku?
Kama hamna take wimu, zina Sema kwelii' ila kama wengi ni kama mmi basi ndio ivoo 😂
Uongo huu dah
Wazunguke mitaani
Ni uwongo mtupu.