ZIARA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI MKOANI KATAVI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli anafanya ziara ya siku tatu Mkoani Katavi ambapo anafungua na kukagua miradi ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali ya Katavi na Wilaya zake
mungu naomba umpe afya na nguvu azidi kutuongozaa aisseee mm nakukubalisana mh raisi nauhakika utatupelekaa kwenye uchumi wakati hiloo naihakikaa umetufanya tulikua wavivu wakazi sasa nikazii tu kwa slogan yako imetufanya watanzania tuipende kazi tuwe wazalendo baba salute kwaako i love uuuuuu my president this is comming deeply in my heart we support u huku mitaani tunakupigania kilamtu sasa anaona mambo unayofanya
Mungu aendeleee kukuteteea baba kipenzi cha wengi ktk kutekeleza majukumu yakoooo mhe Raisi JPM
hongera RAISA kwa kuwaelekeza Tanapa WAWAPE WANYAMA MATUNZO wenyewe hawajiongezi na iwe nchi nzima
Mungu azidi kukujalia afya njema na kutuongoza vyema kama ufanyavyo. Asante sana Magufuli,hakika wewe ni kiongozi mzalendo kwa Taifa letu.
Mungu aendeleee kukuongoza daima
Mungu jalia Mh Pombe Magufuli afya tele
Asante Mungu kwa kutupatia JPM!!
baba ww unahuruma sana nashangaa wasiokuelewa umefanya busara eneo kubaki kwa wanachi wengi na huyo mmoja ukampa sehemu nyengine hakika hii ni hekima kama ya nabii suleiymani wote wawili watapata wanachi wataendelea na huyo mwekezaji atapata eneo lengine awekeze jamani watnazania tunataka kiongozi gani kama magufuli tusije kufanya makosa kama ya walibya wanalaana ya gadafi mpk kesho maagufuli oyeeeee daresalam oyee kariakoo oyeee makonda oyee tanzaania hooyee
Mpanda tunahitaji sana ndege baba magufuli
Naungana na raisi magufuli ,wakulima walipwe hela zao
Viongozi wasiotatua kero waondoe mapema'watakupunguzia kura
Nawapenda jamani mama zangu
Hongera sana Baba kwa wazo la Bucha la nyama pori
Nakuombea udumu milele baba kwa uongozi uliotukuka
hakuna ki umbe kitacho dum milele hapa duniani
bali tumuombee uongozi mwema kipidi cha uhai wake