Mama samia kumteuwa makonda hukukosea ata kama hana elimu lakini kuongea anaweza kwa kazi anayoifanya ashawateka watanzania asilimia 60 mwaka 2025 kura utapata tu
Makonda akienda kwenye mikutano maneno huyazungumza mkutanoni sasa ni yapi hayo yatakayoleta madhara kwa nchi wacheni kutisha watu bhana embuwew toa CV yako watu wakujue yawezekana wew ni mmoja kati ya wasiotakiwa mbele ya jamii !
Kuna mtu aliteleza hivi karibuni akasema mahakimu wetu wanapigiwa simu na wateuzi wao kutoa maamuzi. Hivyo huko kwa Sabaya kuna uwezekano yamefanyika hayo hayo !!
mda wote unatoa hoja za kuipinga serikali LAKINI haujawai kukosoa makosa ya wapinzani Kama ungekua unakosoa pande zote yaani Wapinzani na serikali UNGEKUA MTU SAHIHI kwa hoja zako mzur KUTOKANA NA KUEGEMEA UPANDE MMOJA TAFSIRI yake wewe ni upinzani
Upinzani siyo uadui. Historia ya Tanzania, imefanya watu kufikiri kuwa upinzani ni kitu kibaya. Leo hii ukiona umeme unakatika ovyo, shule za sekondari zinasajiliwa na serikali bila maabara, umaskini wa mawazo na ukwasi, sababu ni moja: Utawala mrefu wa CCM bila upinzani. Kihistoria, Tannganyika, wakati inapata uhuru, kulikuwapo na vyama vingi vya siasa. TANU ya Nyerere ilishinda uchaguzi, ikaunda serikali. Na serikali ya TANU, ikapiga marufuku vyama vingine. Upinzani ukaonekana ni sawa na upinga maendeleo. Sivyo. Leo hii, katika uchaguzi wa huru na haki, chama kingine, XYZ, kishinde uchaguzi na kiunde serikali , na serikali hiyo ipige marufuku vyama vingine vyote ikiwemo CCM, hapo ndipo Watanzania watatoka usingizini, ndipo akili za kisiasa zitafufuka. Utawala wa Nyerere wote, na wa juzi wa Magufuli, ulikuwa wa ki-imla. Hakuna neno mbadala kueleza tawala hizi. Ndiyo maana, wewe, waona upinzani ni nongwa, ni jinai.
Hivi ninyi akina Ngurumo mbona mnapenda kuleta taharuki sana hapa Tanzania?Hivi unafikiri Watanzania wana hulka sawa na Waganda?Sisi Watanzania tumelelewa tofauti na hao unaowasema.Yani Paul Makonda anawaogopesha kiasi hiki?
MAKONDA NI KIJANA SAFI ACHENI KUMCHAFIA ATALETA MABADILIKO TUNAYOYATAKA TULIUMIA SANA ALIPOKUWA NJE YA MFUMO, TUKAMWOMBEA MUNGU AKATUSIKIA ACHENI KUMCHAFUA ATEYEE WANYONGE
Ushauri mzuri lakini siami hao watawala baadha watakuwelewa ila watawala walioshiba jeuri watachukulia poa Sana, lakini hiyo ni message send. umeleweka vizuri Sana mungu akubariki kwa maono ya mbali Kaka.
Wakianguka ndio vzr maana hua waambiliki tumedai katiba miaka Sasa tangu enzi za nyalali hakuna katiba mpya Ni danadana sizizoisha mara kikosi kazi mara mswada bungeni lakina katiba ya warioba imefungiwa makabatini yetu macho
Sasa kama kila mmoja ana upungufu unawezaje kutoelewa wanaomkosoa kiongozi ambaye ana upungufu unaodhuru maisha ya watu? 😆 😂 😆 Kwamba anao, ni sababu tosha ya sisi kusema haya. Ndiyo haki yake. Asingekuwa kiongozi, tusingesema. Simple!
Ni haki ya kikatiba kutoa maoni, "Hayo ni maoni yako" Mimi naunga mkono uteuzi wa Makonda, Charamila na wengine wenye misimamo isiyo ya kinafiki. Kumbuka Rais aliwahi kusema nanukuu" Mimi na Magufuli tofauti yetu ni Jinsia tu!
Nyakati zimebadilika Sana Kuna Jambo Mungu analifanya ulimwenguni Mara baada yakuona ukatili na unyanyasaji vimeikumba dunia.Hivyo kila mwenye mamlaka ya uongozi ajiangalie sana,kwakuwa Mungu atalitenda Jambo ambalo kila mtu mwenye utimamu wa akili hata amini .Maonyo ,ushauri havilisaidii taifa viongozi wanafanya walio yapanga wao .Mungu hawezi kushindana na mwanadamu hata Mara moja.
Kwa kipindi kile ilikuwa ni vyepesi kufanya mapinduzi kwa Uganda na hivyo kwa Tanzania hiyo sahau kwamba wanaoteuliwa wanaweza fanya mapinduzi hata ndani ya JW hakuna uwezo huo,wateule wote wanafuatiliwa mpaka chooni
Brth bora uende jifunza mambo ya dini uwe muhubiri wa dini kulikoni kua mfitina mkubwa ktk Taifa aisee muogope mungu wako dogo kulikoni kuwa fatani mkubwa ktk taifa
Hapana hiyo dhana ya kufikiria tuwapinzani mnahofia nini Kwa makonda kua kiongozi.mama ameamua kufanya kazi na kundi zote ndani ya ccm.hasa nyinyi wapinzani kutomheshimu pamoja na kuonyesha njia zote za maridhiano
Gurumo wewe ni mzalendo halisi kaa huko ughaibuni ufanye utume muhimu kwa taifa letu Tz lisivurugike kisembe,Wavivu wa kufikiri hawatakuelewa,Wanye mamlaka watapuuza yakitokea utaitwa mchawi kumbe akiri KUBWA.
Tumbo joto!!!!! Makonda anakutoeni jasho. Kwa hiyo kuchaguliwa kwa Makonda kumeleta utulivu mkubwa kwa wale waliokua wakivuma mitandaoni sasa wameufyata tumepumzika na kelele zao. Mheshimiwa Paul Makonda Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Tatizo wasomi weng tunasoma kwa kublashiwa kwahy tunakua na elimu za kukaririshwa ambazo zinasababisha tunakosa maarifa.Ww huenda n msomi ila hujielew inchi imekuwa na hali ngumu lakin hamkumkutoka kusema chochote sahv amakuja mtu wa kutetea wanyonge ndo mnajifanya kukosoa kwa maslah yenu binafsi wasenge nyny .Mnatuchukulia wote na darasa saba acha makonda apige kaz, jembe la kaz hatutak viongoz wadhaifu ....hay mamb ya idd amin yenyew nd historia za mchongo tu hazina facts zozote tunakaririshwa tu madarasan.choko ww
Chakushangaza wapinzani wa nchi hii kweli mazwazwa hivi kweli unaweza poteza mudawako kumshauri adui yako ajirekebishe afanye vizuri? Ninachojua mimi adui yako anapozidi kukosea wewe ndio furaha kwako haumwambii ili akiingia kwenyetalo wewr ndio unawezakupita vizuri kwa kutumia fursa hioo sasa wanasiasa wa tanzania njaa njaa wanajikomba kwa kujidai wanawasaidia ishauri ccm hawajijui kuwa akilizao hazijijui kama hawana akili
Mm binafsi nampa pongezi mheshimiwa rais kumridisha makonda maana sisi wapenzi wa magufuri tumefurahi ,acha awanyooshee,mama hongera malizia kujenga miferejii daraja la mwinyi mburahati magomeni
Nguromo, big up!, wewe ni mchambuzi mahiri, ccm Ina makada wazuri tu wa kushika nafazi ya mwenezi ambao ni wabobevu ktk sayansi ya siasa inakuwaje wanamweka mwenezi anayefanya Sanaa ya siasa?. Hivi ni lini tumebadilika ya kuwa chama Sasa kimeshika hatamu ya uongozi kama kweli siyo tunafanya Sanaa ya siasa!, eti mwenezi wa chama naye amekuwa ana nguvu ya kuwaagiza watendaji wa serikali.
Ni maneno kuntu sana kutoka kwa musomi wetu huyu yaani aisee hizo ndizo njia za ovyo zinazotumiwa na hawa viongozi wetu haw wasakatonge bravo man umetoa somo muhimu sana kwa hawa akina zilongwa mbali na zitendwa mbali!!
Mwenye macho haambiwi tizama, wenye akili wote wameliona hilo huenda ikawa limechangia kujiuzulu kwa chongolo. Tumeona makonda alipoteuliwa tu kaenda kaburini kwa Magu maana yake ni kuwa bado ana mawazo yale yale ya kidikteta lakini subiri tuone ila kwa mtizamo mama amekosea
Naona mama baada ya kuona mambo ya kutenda haki yanamlemea, sasa ameanza siasa za mabavu. Iweje mtu kama Makonda arejeshwe kwenye madaraka? Yeye atajificha nyuma ya ubabe wa Makonda
Makonda. Ni wale wasiojulikana
Mungu aendelee kukuweka baba uwaone washupaza shingo jmn ata mm niic jambo hli jap siasa siijui
Habu ni share kabisa. Hongera sana bro
Ngurumo haipendi CCM hampendi kipenzi wetu makonda anapenda chadema tu basi asubiri sindano imuingie Viva makonda
LAIT UNGEMSIKILIZA VIZURI USINGETAMKA HAYO. KIFUPI ANAMAONO MAKUBWA. NA ANAMSHUTUA KIONGOZI WETU.ISIJE IKATOKEA KAMA ILIVYOTOKEA UGANDA
Nakupenda sana kiongozi hoja zako zmetulia
Honger Kaka kwaku sema ukweli mung akulinde
👏 👏 👏 👏
Mama samia kumteuwa makonda hukukosea ata kama hana elimu lakini kuongea anaweza kwa kazi anayoifanya ashawateka watanzania asilimia 60 mwaka 2025 kura utapata tu
Duuuuuu!Maombi ni lazima kwa Tz
Nimependa Soundtrack/Background 💕
Tumpe muda maana mawazo ya mwanadamu si ya Mungu.
Kwa mtu mwenye akili amakuelewa sana lakini kwa bahati mbaya uelewa wa Tanzania ni mdogo sana bado hawajaliona hilo bomu
Hasa nyuki wa SSH hataelewa kwani wanataka uteuzi.
Tumemuelewa ndg yeti huyu yuko vizuri
Mchambuzi anafanya kazi kwa kinyongo na watu
Makonda akienda kwenye mikutano maneno huyazungumza mkutanoni sasa ni yapi hayo yatakayoleta madhara kwa nchi wacheni kutisha watu bhana embuwew toa CV yako watu wakujue yawezekana wew ni mmoja kati ya wasiotakiwa mbele ya jamii !
Umeelewa ulichosikiliza?
Kuna mtu aliteleza hivi karibuni akasema mahakimu wetu wanapigiwa simu na wateuzi wao kutoa maamuzi. Hivyo huko kwa Sabaya kuna uwezekano yamefanyika hayo hayo !!
mda wote unatoa hoja za kuipinga serikali LAKINI haujawai kukosoa makosa ya wapinzani
Kama ungekua unakosoa pande zote yaani Wapinzani na serikali UNGEKUA MTU SAHIHI kwa hoja zako mzur
KUTOKANA NA KUEGEMEA UPANDE MMOJA
TAFSIRI yake wewe ni upinzani
Upinzani siyo uadui. Historia ya Tanzania, imefanya watu kufikiri kuwa upinzani ni kitu kibaya. Leo hii ukiona umeme unakatika ovyo, shule za sekondari zinasajiliwa na serikali bila maabara, umaskini wa mawazo na ukwasi, sababu ni moja: Utawala mrefu wa CCM bila upinzani.
Kihistoria, Tannganyika, wakati inapata uhuru, kulikuwapo na vyama vingi vya siasa. TANU ya Nyerere ilishinda uchaguzi, ikaunda serikali. Na serikali ya TANU, ikapiga marufuku vyama vingine. Upinzani ukaonekana ni sawa na upinga maendeleo. Sivyo. Leo hii, katika uchaguzi wa huru na haki, chama kingine, XYZ, kishinde uchaguzi na kiunde serikali , na serikali hiyo ipige marufuku vyama vingine vyote ikiwemo CCM, hapo ndipo Watanzania watatoka usingizini, ndipo akili za kisiasa zitafufuka. Utawala wa Nyerere wote, na wa juzi wa Magufuli, ulikuwa wa ki-imla. Hakuna neno mbadala kueleza tawala hizi.
Ndiyo maana, wewe, waona upinzani ni nongwa, ni jinai.
Kuwa na akili kijana,kwani wapinzani ndiyo wanakusanya Kodi na kutawala
Kwani tatizo ni nini ? Labda hajaona hoja ya kuwasema hao unaotaka wasemwe, pengine ungemsaidia kumpa hoja unayoona haiko sawa ili aseme.
Nadhani wewe so msomaji wa kila mara Ngurumo anakosoa na kushauri pande zote mara kwa mara
Nadhani yapo yanayokupita
UNABII WAKO, NI WA MASIRAHI. WANYONGE KUFUFULIWA MATUMAINI NI KOSA HATA KAMA NI KISIASA !!!!!
Hivi ninyi akina Ngurumo mbona mnapenda kuleta taharuki sana hapa Tanzania?Hivi unafikiri Watanzania wana hulka sawa na Waganda?Sisi Watanzania tumelelewa tofauti na hao unaowasema.Yani Paul Makonda anawaogopesha kiasi hiki?
Waganda hawakupenda lakini liliwakuta baada ya kupuuza.
Hiyo sio taharuki
Watutabilie na huyu anakufa lini, au mabosi hawajawapa info za mipango yao,
Mapinduzi ni mipango inayo tengenezwa hiyo ni muhimu kuchukua tahadhari usimwamini mtu au kumdharau mtu mwanadam hatabiriki anaweza kufanya chochote
Wewe muongo mapokezi ya makonda umeyaona acha unafiki wenu
Hata idd amini alikuwa anapokelewa na watu wengi
Hatujui kitakachotokea;
Munhu yupo. Tutapita.
We mwenyewe ni jambazi tu
MAKONDA NI KIJANA SAFI ACHENI KUMCHAFIA ATALETA MABADILIKO TUNAYOYATAKA TULIUMIA SANA ALIPOKUWA NJE YA MFUMO, TUKAMWOMBEA MUNGU AKATUSIKIA ACHENI KUMCHAFUA ATEYEE WANYONGE
Umeona mbali mkulu. Ipo shida na itakuja kweli kweli
Darasa lako ni 👍
Ushauri mzuri lakini siami hao watawala baadha watakuwelewa ila watawala walioshiba jeuri watachukulia poa Sana, lakini hiyo ni message send. umeleweka vizuri Sana mungu akubariki kwa maono ya mbali Kaka.
Nimesoma comment naona Watanzania wengi wanauelewa mkubwa Sana Kwa Sasa wachache Sana Bado ambao wanampinga uyo Jamaa ila analosema ukweli mtupu
Wanaompinga Wala jasho la wtz
AMETOA HISTORY MZURI ILA BADO NI MPUMBAVU NA JUNIOR KTK SIASA ZA NCHI
hakika joto la uchaguzi linamtesa mama amepanic
Mama anapenda madaraka ila hajui kuyalinda 😢
Makonda piga kazi mshaiba cna mnatetea wezi
Achana namakonda
Kweli nchi tusipoangalia nchi inaenda pabaya mungu atusaidie
MKUU HUYO NI MUONGO NA MNAFKI, ACHANA NAYE
@@mohammedimpemeuongo upi hapo unatuon sis mazombi kam ww
Tafadhali chambua huko uongo wake tujue@@mohammedimpeme
Wapuuzi lazima watakupinga mzee
Mpuuzi wa kwanza Mimi, Hawa mawakala wa vigogo wanaoona kitumbua kinaenda kuanguka, wanatumia watu kumtisha rais, muuweni na huyo basi.
🤣🤣🤣🤣sawa nimekubali mzee@@simionsteven5618
@@simionsteven5618 ACHA PUMBA ZAKO, PENDA NCHI YAKO
Wakianguka ndio vzr maana hua waambiliki tumedai katiba miaka Sasa tangu enzi za nyalali hakuna katiba mpya Ni danadana sizizoisha mara kikosi kazi mara mswada bungeni lakina katiba ya warioba imefungiwa makabatini yetu macho
Kila
Mwanadamu ana mapungufu yake muacheni Makonda apige kazi
Sasa kama kila mmoja ana upungufu unawezaje kutoelewa wanaomkosoa kiongozi ambaye ana upungufu unaodhuru maisha ya watu? 😆 😂 😆
Kwamba anao, ni sababu tosha ya sisi kusema haya. Ndiyo haki yake. Asingekuwa kiongozi, tusingesema. Simple!
Acha uchochezi wako haupo Tanzania
Amekuchochea nini
Uchambuzi wa kina wa siasa za African.
HAJAFANYA UCHAMBUZI NI MANENO YA CHUKI DHIDI YA CCM NA MAKONDA, HUYU KATUMWA
Mzee una upeo Mkubwa Sana!
Utawala ukubali usikubali huo ndo Ukweli!
Ni haki ya kikatiba kutoa maoni, "Hayo ni maoni yako" Mimi naunga mkono uteuzi wa Makonda, Charamila na wengine wenye misimamo isiyo ya kinafiki. Kumbuka Rais aliwahi kusema nanukuu" Mimi na Magufuli tofauti yetu ni Jinsia tu!
Hakika sijajua historia hii. Asante mchumbuzi wetu Ngurumo
Wewe ni mpiga domo kama wapiga domo wengine...alichokiamini hata hayati usikitie kasoro hata kama utaambiwa kina kasoro hadi uone mwenyewe.
We mchochezi
Mungu akulinde na akubariki
Ahsante kwa taarifa nzuri.
WIVU TU
Nyakati zimebadilika Sana Kuna Jambo Mungu analifanya ulimwenguni Mara baada yakuona ukatili na unyanyasaji vimeikumba dunia.Hivyo kila mwenye mamlaka ya uongozi ajiangalie sana,kwakuwa Mungu atalitenda Jambo ambalo kila mtu mwenye utimamu wa akili hata amini .Maonyo ,ushauri havilisaidii taifa viongozi wanafanya walio yapanga wao .Mungu hawezi kushindana na mwanadamu hata Mara moja.
Unakosea sana bro kumfananisha Makonda na Jambazi Nduli Iddi Amini.
Kuna watu Uganda wanasema Amin alikuwa shujaa wao! THINK!!
Malyamungu alikuwa Mungu pale Uganda. Lakini Leo Dunia imemsahau. Kifo ni Njia ya haki
Naona hekima yako mchambuzi , asante sana kufumbua macho wananchi.
Asante , wewe ni mtu muhimu sana kwenye nchi yetu
Mungu akupe maono makubwa kama hayo
Acha inyeshe tuone panapo vuja
Wazidi kubariwa katika kuabudu
Mbona UNATUTISHA Sasa!?
USIITABIRIE NCHI YAKO MAMBO MABAYA!???
Kaka watu wanancho ya kuona,wewe ambaye huoni hatari jifunze kitu
Jinugutie mwenyewe makonda piga kazi
Kwa kipindi kile ilikuwa ni vyepesi kufanya mapinduzi kwa Uganda na hivyo kwa Tanzania hiyo sahau kwamba wanaoteuliwa wanaweza fanya mapinduzi hata ndani ya JW hakuna uwezo huo,wateule wote wanafuatiliwa mpaka chooni
Brth bora uende jifunza mambo ya dini uwe muhubiri wa dini kulikoni kua mfitina mkubwa ktk Taifa aisee muogope mungu wako dogo kulikoni kuwa fatani mkubwa ktk taifa
Unaelalamika ni wewe na mbowe Watanzania tunafuraha sana ndo maana anapokelewa kwa shangwe
Hapana hiyo dhana ya kufikiria tuwapinzani mnahofia nini Kwa makonda kua kiongozi.mama ameamua kufanya kazi na kundi zote ndani ya ccm.hasa nyinyi wapinzani kutomheshimu pamoja na kuonyesha njia zote za maridhiano
Comment za wasio na mwelekeo zinaonekana wazi.Ni matusi tu na kashifa.
Mungu azidi kutuangaza tuujue ukweli.
Ubarikiwe kaka.
Njoo ukayasemee huku tanzania kweli wewe hlie mbali unamjua makonda kuliko sisi tunaeishi nae huku tanzania?
Gurumo wewe ni mzalendo halisi kaa huko ughaibuni ufanye utume muhimu kwa taifa letu Tz lisivurugike kisembe,Wavivu wa kufikiri hawatakuelewa,Wanye mamlaka watapuuza yakitokea utaitwa mchawi kumbe akiri KUBWA.
Ulitaka ateuliwe nani?
Sasa sii urudi basi mbona uko mbali mjinga kabisa wewe
Hii channel ni kwaajili ya watu walio pevuka kiakili 😁 Hongera Ndg. Ansbert kazi nzuri ✅
Wewe ni mtu muhimu sana, ulipaswa kuwa mshauri wa serikali , au raisi.
Tumbo joto!!!!! Makonda anakutoeni jasho. Kwa hiyo kuchaguliwa kwa Makonda kumeleta utulivu mkubwa kwa wale waliokua wakivuma mitandaoni sasa wameufyata tumepumzika na kelele zao. Mheshimiwa Paul Makonda Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
MMEZOEA KUIBA BILA KUSEMWA AKITOKEA MTU MSEMAJI ANAKUA MBAYA NENDAZAKO UMEISHIWA MZEE
Acha makonda awanyooshe waki mwigulu na January wezi sana
Tatizo wasomi weng tunasoma kwa kublashiwa kwahy tunakua na elimu za kukaririshwa ambazo zinasababisha tunakosa maarifa.Ww huenda n msomi ila hujielew inchi imekuwa na hali ngumu lakin hamkumkutoka kusema chochote sahv amakuja mtu wa kutetea wanyonge ndo mnajifanya kukosoa kwa maslah yenu binafsi wasenge nyny .Mnatuchukulia wote na darasa saba acha makonda apige kaz, jembe la kaz hatutak viongoz wadhaifu ....hay mamb ya idd amin yenyew nd historia za mchongo tu hazina facts zozote tunakaririshwa tu madarasan.choko ww
Nakuelewa
Hii makala naitazama mara ya 10 Sasa, Hongera sana mzee wangu kwa uchambuzi mzuri. 🏆
Ni uchambuzi wa kina na kweli umetukumbusha mbali ni Watu wazima wanaoweza kukuelewa
Ndugu acha ngonjera na chuki, chuki hazijengi unayoyazungumza uganda na tz ni tofaut kabsa
Chakushangaza wapinzani wa nchi hii kweli mazwazwa hivi kweli unaweza poteza mudawako kumshauri adui yako ajirekebishe afanye vizuri? Ninachojua mimi adui yako anapozidi kukosea wewe ndio furaha kwako haumwambii ili akiingia kwenyetalo wewr ndio unawezakupita vizuri kwa kutumia fursa hioo sasa wanasiasa wa tanzania njaa njaa wanajikomba kwa kujidai wanawasaidia ishauri ccm hawajijui kuwa akilizao hazijijui kama hawana akili
Nifunzo umewapa sawh
Katika watu niliona wanaweza kuwa na akili nilihisi ni wewe mtoa mjadala kumbe ni wa hovyo sana hujui chochote ni porojo tuu za istoloa?
Mwenye akili timamu ashaelewa umemaanisha nn yanaweza kutokea tz tuombe uhai tuone tunaelekea wp
Kiongozi wa africa ukweli alikua sankara..qadafi.
Poles sana ndo maana ulikimbilia ughaibuni kumbe ni fatani mkubwa wee aisee poles sana fatani mkubwa wee
Wewe jamaa leo nakuchana kila utawala unatoa kasoro wewe njaa inakusumbua kuwa. Rais wewe basi
WATU WENYE MAWAZO FINYU UTAWAJUA TU, UTEUZI WA MAKONDA UNA SHIDA GANI? UNASUKUMWA NA SIASA ZA CHUKI.
Shida yenu mnataka nchi bila kutumia akili udini na uchadema umewatawala katka fikra zenu
Mm binafsi nampa pongezi mheshimiwa rais kumridisha makonda maana sisi wapenzi wa magufuri tumefurahi ,acha awanyooshee,mama hongera malizia kujenga miferejii daraja la mwinyi mburahati magomeni
Nguromo, big up!, wewe ni mchambuzi mahiri, ccm Ina makada wazuri tu wa kushika nafazi ya mwenezi ambao ni wabobevu ktk sayansi ya siasa inakuwaje wanamweka mwenezi anayefanya Sanaa ya siasa?. Hivi ni lini tumebadilika ya kuwa chama Sasa kimeshika hatamu ya uongozi kama kweli siyo tunafanya Sanaa ya siasa!, eti mwenezi wa chama naye amekuwa ana nguvu ya kuwaagiza watendaji wa serikali.
Asante
Kila aliekuwa hampendi Magu kamwe hatompenda Makonda,, dunia iko hivi, Hautawafurahisha wote wala kuwachukiza wote
Tell him
Sehemu ya kumbe wa sauti ni wapi
Bahati mbaya watu hawana upeo wa kutumia vipaji vya watu kama huyu
Kwahiyo ww unatakaje uwe ww au????
Sikiliza tena. Jibu la swali lako limejibiwa kwenye clip.
Hamna lolote ww mzee unaongea nn, basi ungepewa ww mwenyewe basi
Acha ujinga wewe . Unalalamika wewe na chama chako
Hizo ni chuki binafsi kuwachukia Makonda & Sabaya. Kwa sababu wanapigana na mafsadi
Ubarikiwe! Karibu!
@@AnsbertNgurumo:- unateseka ukiwa wapi kibaraka? Tulia sindano ikuingie vizuri.
acha wivu
Wewe unachuki zako tu ambazo hazitusaudiu
Ni maneno kuntu sana kutoka kwa musomi wetu huyu yaani aisee hizo ndizo njia za ovyo zinazotumiwa na hawa viongozi wetu haw wasakatonge bravo man umetoa somo muhimu sana kwa hawa akina zilongwa mbali na zitendwa mbali!!
Upinzani nchini Tanzania wote ni vbaraka
Yan wewe ndo krus cha taifa letu unatumia karam yako vibaya kuchonganisha viongiz wetu
Ndugu, tusigimbane. Tunatofautiana upeo. Tujifunze. Tutafakari.
Mwenye macho haambiwi tizama, wenye akili wote wameliona hilo huenda ikawa limechangia kujiuzulu kwa chongolo. Tumeona makonda alipoteuliwa tu kaenda kaburini kwa Magu maana yake ni kuwa bado ana mawazo yale yale ya kidikteta lakini subiri tuone ila kwa mtizamo mama amekosea
True!
Eti wewe unaipa ushauri CCM?
Hiyo background sound inakera ungewaza namna nyingine
Ni kweli
Naona mama baada ya kuona mambo ya kutenda haki yanamlemea, sasa ameanza siasa za mabavu. Iweje mtu kama Makonda arejeshwe kwenye madaraka? Yeye atajificha nyuma ya ubabe wa Makonda
True
Asante. Sana kwa maono
Ubarikiwe!
Wimbi rakimbizi ni kwerii wewe unahonaje Kuna kwerii Dani yake uteuzi wamuku wa uhamiyaji nikwerii au ni Maboo ya siyasa