MSIOJUA YA MAKONDA WA SAMIA, FIKIRIA YA IDI AMIN WA OBOTE NA MALIYAMUNGU WA IDI AMIN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
  • Makonda aweza kuwa chanzo cha anguko la Samia na utawala wa CCM. Tafakari.

ความคิดเห็น • 447

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 10 หลายเดือนก่อน +11

    Makonda. Ni wale wasiojulikana

  • @JusterIssaya
    @JusterIssaya 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu aendelee kukuweka baba uwaone washupaza shingo jmn ata mm niic jambo hli jap siasa siijui

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 10 หลายเดือนก่อน +3

    Habu ni share kabisa. Hongera sana bro

  • @aminiyasini7271
    @aminiyasini7271 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ngurumo haipendi CCM hampendi kipenzi wetu makonda anapenda chadema tu basi asubiri sindano imuingie Viva makonda

    • @agnessangawe3844
      @agnessangawe3844 5 หลายเดือนก่อน

      LAIT UNGEMSIKILIZA VIZURI USINGETAMKA HAYO. KIFUPI ANAMAONO MAKUBWA. NA ANAMSHUTUA KIONGOZI WETU.ISIJE IKATOKEA KAMA ILIVYOTOKEA UGANDA

  • @CANARYMASENGULA
    @CANARYMASENGULA 10 หลายเดือนก่อน +6

    Nakupenda sana kiongozi hoja zako zmetulia

  • @ChristinaWengae-ps5jr
    @ChristinaWengae-ps5jr 9 หลายเดือนก่อน +1

    Honger Kaka kwaku sema ukweli mung akulinde

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mama samia kumteuwa makonda hukukosea ata kama hana elimu lakini kuongea anaweza kwa kazi anayoifanya ashawateka watanzania asilimia 60 mwaka 2025 kura utapata tu

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 10 หลายเดือนก่อน +3

    Duuuuuu!Maombi ni lazima kwa Tz

  • @pricillapaulo4012
    @pricillapaulo4012 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nimependa Soundtrack/Background 💕

  • @progensia9852
    @progensia9852 10 หลายเดือนก่อน +5

    Tumpe muda maana mawazo ya mwanadamu si ya Mungu.

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 10 หลายเดือนก่อน +13

    Kwa mtu mwenye akili amakuelewa sana lakini kwa bahati mbaya uelewa wa Tanzania ni mdogo sana bado hawajaliona hilo bomu

    • @csato9415
      @csato9415 10 หลายเดือนก่อน +2

      Hasa nyuki wa SSH hataelewa kwani wanataka uteuzi.

    • @fabby1181
      @fabby1181 10 หลายเดือนก่อน

      Tumemuelewa ndg yeti huyu yuko vizuri

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mchambuzi anafanya kazi kwa kinyongo na watu

  • @FrancisBena
    @FrancisBena 9 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda akienda kwenye mikutano maneno huyazungumza mkutanoni sasa ni yapi hayo yatakayoleta madhara kwa nchi wacheni kutisha watu bhana embuwew toa CV yako watu wakujue yawezekana wew ni mmoja kati ya wasiotakiwa mbele ya jamii !

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  9 หลายเดือนก่อน

      Umeelewa ulichosikiliza?

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna mtu aliteleza hivi karibuni akasema mahakimu wetu wanapigiwa simu na wateuzi wao kutoa maamuzi. Hivyo huko kwa Sabaya kuna uwezekano yamefanyika hayo hayo !!

  • @HELENABONIFANCE
    @HELENABONIFANCE 10 หลายเดือนก่อน +3

    mda wote unatoa hoja za kuipinga serikali LAKINI haujawai kukosoa makosa ya wapinzani
    Kama ungekua unakosoa pande zote yaani Wapinzani na serikali UNGEKUA MTU SAHIHI kwa hoja zako mzur
    KUTOKANA NA KUEGEMEA UPANDE MMOJA
    TAFSIRI yake wewe ni upinzani

    • @nyankondoichweka9079
      @nyankondoichweka9079 10 หลายเดือนก่อน +1

      Upinzani siyo uadui. Historia ya Tanzania, imefanya watu kufikiri kuwa upinzani ni kitu kibaya. Leo hii ukiona umeme unakatika ovyo, shule za sekondari zinasajiliwa na serikali bila maabara, umaskini wa mawazo na ukwasi, sababu ni moja: Utawala mrefu wa CCM bila upinzani.
      Kihistoria, Tannganyika, wakati inapata uhuru, kulikuwapo na vyama vingi vya siasa. TANU ya Nyerere ilishinda uchaguzi, ikaunda serikali. Na serikali ya TANU, ikapiga marufuku vyama vingine. Upinzani ukaonekana ni sawa na upinga maendeleo. Sivyo. Leo hii, katika uchaguzi wa huru na haki, chama kingine, XYZ, kishinde uchaguzi na kiunde serikali , na serikali hiyo ipige marufuku vyama vingine vyote ikiwemo CCM, hapo ndipo Watanzania watatoka usingizini, ndipo akili za kisiasa zitafufuka. Utawala wa Nyerere wote, na wa juzi wa Magufuli, ulikuwa wa ki-imla. Hakuna neno mbadala kueleza tawala hizi.
      Ndiyo maana, wewe, waona upinzani ni nongwa, ni jinai.

    • @LuganoPondo-km8ub
      @LuganoPondo-km8ub 10 หลายเดือนก่อน +2

      Kuwa na akili kijana,kwani wapinzani ndiyo wanakusanya Kodi na kutawala

    • @csato9415
      @csato9415 10 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani tatizo ni nini ? Labda hajaona hoja ya kuwasema hao unaotaka wasemwe, pengine ungemsaidia kumpa hoja unayoona haiko sawa ili aseme.

    • @sammykateregga6238
      @sammykateregga6238 10 หลายเดือนก่อน +1

      Nadhani wewe so msomaji wa kila mara Ngurumo anakosoa na kushauri pande zote mara kwa mara

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  10 หลายเดือนก่อน

      Nadhani yapo yanayokupita

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 10 หลายเดือนก่อน

    UNABII WAKO, NI WA MASIRAHI. WANYONGE KUFUFULIWA MATUMAINI NI KOSA HATA KAMA NI KISIASA !!!!!

  • @leonardchoma3765
    @leonardchoma3765 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi ninyi akina Ngurumo mbona mnapenda kuleta taharuki sana hapa Tanzania?Hivi unafikiri Watanzania wana hulka sawa na Waganda?Sisi Watanzania tumelelewa tofauti na hao unaowasema.Yani Paul Makonda anawaogopesha kiasi hiki?

    • @sammykateregga6238
      @sammykateregga6238 10 หลายเดือนก่อน

      Waganda hawakupenda lakini liliwakuta baada ya kupuuza.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 10 หลายเดือนก่อน

      Hiyo sio taharuki

  • @simionsteven5618
    @simionsteven5618 10 หลายเดือนก่อน +1

    Watutabilie na huyu anakufa lini, au mabosi hawajawapa info za mipango yao,

  • @leonardkimaro1628
    @leonardkimaro1628 9 หลายเดือนก่อน

    Mapinduzi ni mipango inayo tengenezwa hiyo ni muhimu kuchukua tahadhari usimwamini mtu au kumdharau mtu mwanadam hatabiriki anaweza kufanya chochote

  • @bashirusalumubashirusalumu7140
    @bashirusalumubashirusalumu7140 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe muongo mapokezi ya makonda umeyaona acha unafiki wenu

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 10 หลายเดือนก่อน

      Hata idd amini alikuwa anapokelewa na watu wengi

  • @mussamisinzo4934
    @mussamisinzo4934 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hatujui kitakachotokea;

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  10 หลายเดือนก่อน

      Munhu yupo. Tutapita.

  • @DICKSONTimoth-xk7rj
    @DICKSONTimoth-xk7rj 5 หลายเดือนก่อน

    We mwenyewe ni jambazi tu

  • @davidmrindoko5044
    @davidmrindoko5044 10 หลายเดือนก่อน +3

    MAKONDA NI KIJANA SAFI ACHENI KUMCHAFIA ATALETA MABADILIKO TUNAYOYATAKA TULIUMIA SANA ALIPOKUWA NJE YA MFUMO, TUKAMWOMBEA MUNGU AKATUSIKIA ACHENI KUMCHAFUA ATEYEE WANYONGE

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 10 หลายเดือนก่อน +10

    Umeona mbali mkulu. Ipo shida na itakuja kweli kweli

  • @MohamedKitenge-o9j
    @MohamedKitenge-o9j 10 หลายเดือนก่อน +13

    Darasa lako ni 👍

  • @MachumuchikumbiloMachumu
    @MachumuchikumbiloMachumu 9 หลายเดือนก่อน +3

    Ushauri mzuri lakini siami hao watawala baadha watakuwelewa ila watawala walioshiba jeuri watachukulia poa Sana, lakini hiyo ni message send. umeleweka vizuri Sana mungu akubariki kwa maono ya mbali Kaka.

  • @geofreymilinga2965
    @geofreymilinga2965 10 หลายเดือนก่อน +8

    Nimesoma comment naona Watanzania wengi wanauelewa mkubwa Sana Kwa Sasa wachache Sana Bado ambao wanampinga uyo Jamaa ila analosema ukweli mtupu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 10 หลายเดือนก่อน

      Wanaompinga Wala jasho la wtz

    • @mohammedimpeme
      @mohammedimpeme 10 หลายเดือนก่อน

      AMETOA HISTORY MZURI ILA BADO NI MPUMBAVU NA JUNIOR KTK SIASA ZA NCHI

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 10 หลายเดือนก่อน +11

    hakika joto la uchaguzi linamtesa mama amepanic

    • @VickyChaki
      @VickyChaki 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mama anapenda madaraka ila hajui kuyalinda 😢

  • @chiluwatv
    @chiluwatv 10 หลายเดือนก่อน +5

    Makonda piga kazi mshaiba cna mnatetea wezi

  • @BoazSigara
    @BoazSigara 10 หลายเดือนก่อน +6

    Achana namakonda

  • @mrimimarwa6485
    @mrimimarwa6485 10 หลายเดือนก่อน +20

    Kweli nchi tusipoangalia nchi inaenda pabaya mungu atusaidie

    • @mohammedimpeme
      @mohammedimpeme 10 หลายเดือนก่อน

      MKUU HUYO NI MUONGO NA MNAFKI, ACHANA NAYE

    • @emmanuelletema8385
      @emmanuelletema8385 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@mohammedimpemeuongo upi hapo unatuon sis mazombi kam ww

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 8 หลายเดือนก่อน

      Tafadhali chambua huko uongo wake tujue​@@mohammedimpeme

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 10 หลายเดือนก่อน +12

    Wapuuzi lazima watakupinga mzee

    • @simionsteven5618
      @simionsteven5618 10 หลายเดือนก่อน

      Mpuuzi wa kwanza Mimi, Hawa mawakala wa vigogo wanaoona kitumbua kinaenda kuanguka, wanatumia watu kumtisha rais, muuweni na huyo basi.

    • @Yangaone-h8j
      @Yangaone-h8j 10 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣sawa nimekubali mzee@@simionsteven5618

    • @willykomba8376
      @willykomba8376 10 หลายเดือนก่อน

      @@simionsteven5618 ACHA PUMBA ZAKO, PENDA NCHI YAKO

  • @allymkazi2775
    @allymkazi2775 10 หลายเดือนก่อน +5

    Wakianguka ndio vzr maana hua waambiliki tumedai katiba miaka Sasa tangu enzi za nyalali hakuna katiba mpya Ni danadana sizizoisha mara kikosi kazi mara mswada bungeni lakina katiba ya warioba imefungiwa makabatini yetu macho

  • @MgayaAdhumani
    @MgayaAdhumani 10 หลายเดือนก่อน +3

    Kila
    Mwanadamu ana mapungufu yake muacheni Makonda apige kazi

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  10 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa kama kila mmoja ana upungufu unawezaje kutoelewa wanaomkosoa kiongozi ambaye ana upungufu unaodhuru maisha ya watu? 😆 😂 😆
      Kwamba anao, ni sababu tosha ya sisi kusema haya. Ndiyo haki yake. Asingekuwa kiongozi, tusingesema. Simple!

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 10 หลายเดือนก่อน +4

    Acha uchochezi wako haupo Tanzania

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 10 หลายเดือนก่อน

      Amekuchochea nini

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 10 หลายเดือนก่อน +4

    Uchambuzi wa kina wa siasa za African.

    • @mohammedimpeme
      @mohammedimpeme 10 หลายเดือนก่อน

      HAJAFANYA UCHAMBUZI NI MANENO YA CHUKI DHIDI YA CCM NA MAKONDA, HUYU KATUMWA

  • @ndetaulwapallangyo8408
    @ndetaulwapallangyo8408 10 หลายเดือนก่อน +9

    Mzee una upeo Mkubwa Sana!
    Utawala ukubali usikubali huo ndo Ukweli!

  • @YohanaNkwabi-z9q
    @YohanaNkwabi-z9q 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ni haki ya kikatiba kutoa maoni, "Hayo ni maoni yako" Mimi naunga mkono uteuzi wa Makonda, Charamila na wengine wenye misimamo isiyo ya kinafiki. Kumbuka Rais aliwahi kusema nanukuu" Mimi na Magufuli tofauti yetu ni Jinsia tu!

  • @levissanga8867
    @levissanga8867 10 หลายเดือนก่อน +21

    Hakika sijajua historia hii. Asante mchumbuzi wetu Ngurumo

  • @ntakilutandato
    @ntakilutandato 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ni mpiga domo kama wapiga domo wengine...alichokiamini hata hayati usikitie kasoro hata kama utaambiwa kina kasoro hadi uone mwenyewe.

  • @nuhubamanya3346
    @nuhubamanya3346 10 หลายเดือนก่อน +3

    We mchochezi

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 10 หลายเดือนก่อน +12

    Mungu akulinde na akubariki

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 10 หลายเดือนก่อน +11

    Ahsante kwa taarifa nzuri.

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 10 หลายเดือนก่อน +4

    WIVU TU

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 10 หลายเดือนก่อน +3

    Nyakati zimebadilika Sana Kuna Jambo Mungu analifanya ulimwenguni Mara baada yakuona ukatili na unyanyasaji vimeikumba dunia.Hivyo kila mwenye mamlaka ya uongozi ajiangalie sana,kwakuwa Mungu atalitenda Jambo ambalo kila mtu mwenye utimamu wa akili hata amini .Maonyo ,ushauri havilisaidii taifa viongozi wanafanya walio yapanga wao .Mungu hawezi kushindana na mwanadamu hata Mara moja.

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta 10 หลายเดือนก่อน +2

    Unakosea sana bro kumfananisha Makonda na Jambazi Nduli Iddi Amini.

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  10 หลายเดือนก่อน +1

      Kuna watu Uganda wanasema Amin alikuwa shujaa wao! THINK!!

  • @songombingo108
    @songombingo108 10 หลายเดือนก่อน +8

    Malyamungu alikuwa Mungu pale Uganda. Lakini Leo Dunia imemsahau. Kifo ni Njia ya haki

  • @barillalitibulali1565
    @barillalitibulali1565 10 หลายเดือนก่อน +8

    Naona hekima yako mchambuzi , asante sana kufumbua macho wananchi.

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 10 หลายเดือนก่อน +20

    Asante , wewe ni mtu muhimu sana kwenye nchi yetu

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 10 หลายเดือนก่อน +10

    Mungu akupe maono makubwa kama hayo

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 10 หลายเดือนก่อน +4

    Acha inyeshe tuone panapo vuja

  • @eucabethmageta-dd5xv
    @eucabethmageta-dd5xv 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wazidi kubariwa katika kuabudu

  • @africaonechannel1289
    @africaonechannel1289 10 หลายเดือนก่อน +6

    Mbona UNATUTISHA Sasa!?
    USIITABIRIE NCHI YAKO MAMBO MABAYA!???

    • @LuganoPondo-km8ub
      @LuganoPondo-km8ub 10 หลายเดือนก่อน +1

      Kaka watu wanancho ya kuona,wewe ambaye huoni hatari jifunze kitu

  • @upendonelson3941
    @upendonelson3941 10 หลายเดือนก่อน +6

    Jinugutie mwenyewe makonda piga kazi

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kipindi kile ilikuwa ni vyepesi kufanya mapinduzi kwa Uganda na hivyo kwa Tanzania hiyo sahau kwamba wanaoteuliwa wanaweza fanya mapinduzi hata ndani ya JW hakuna uwezo huo,wateule wote wanafuatiliwa mpaka chooni

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 10 หลายเดือนก่อน +1

    Brth bora uende jifunza mambo ya dini uwe muhubiri wa dini kulikoni kua mfitina mkubwa ktk Taifa aisee muogope mungu wako dogo kulikoni kuwa fatani mkubwa ktk taifa

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 10 หลายเดือนก่อน +3

    Unaelalamika ni wewe na mbowe Watanzania tunafuraha sana ndo maana anapokelewa kwa shangwe

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hapana hiyo dhana ya kufikiria tuwapinzani mnahofia nini Kwa makonda kua kiongozi.mama ameamua kufanya kazi na kundi zote ndani ya ccm.hasa nyinyi wapinzani kutomheshimu pamoja na kuonyesha njia zote za maridhiano

  • @AKWILINEKAWISHE
    @AKWILINEKAWISHE 9 หลายเดือนก่อน +1

    Comment za wasio na mwelekeo zinaonekana wazi.Ni matusi tu na kashifa.
    Mungu azidi kutuangaza tuujue ukweli.
    Ubarikiwe kaka.

  • @nashonikibuna9327
    @nashonikibuna9327 10 หลายเดือนก่อน +5

    Njoo ukayasemee huku tanzania kweli wewe hlie mbali unamjua makonda kuliko sisi tunaeishi nae huku tanzania?

  • @boneventuremweya3673
    @boneventuremweya3673 5 หลายเดือนก่อน +1

    Gurumo wewe ni mzalendo halisi kaa huko ughaibuni ufanye utume muhimu kwa taifa letu Tz lisivurugike kisembe,Wavivu wa kufikiri hawatakuelewa,Wanye mamlaka watapuuza yakitokea utaitwa mchawi kumbe akiri KUBWA.

  • @allyramadhani5320
    @allyramadhani5320 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ulitaka ateuliwe nani?

  • @bongo39
    @bongo39 10 หลายเดือนก่อน +5

    Sasa sii urudi basi mbona uko mbali mjinga kabisa wewe

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hii channel ni kwaajili ya watu walio pevuka kiakili 😁 Hongera Ndg. Ansbert kazi nzuri ✅

  • @evancemosha7862
    @evancemosha7862 10 หลายเดือนก่อน +6

    Wewe ni mtu muhimu sana, ulipaswa kuwa mshauri wa serikali , au raisi.

  • @AW-vt9pw
    @AW-vt9pw 10 หลายเดือนก่อน +2

    Tumbo joto!!!!! Makonda anakutoeni jasho. Kwa hiyo kuchaguliwa kwa Makonda kumeleta utulivu mkubwa kwa wale waliokua wakivuma mitandaoni sasa wameufyata tumepumzika na kelele zao. Mheshimiwa Paul Makonda Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

    • @SaidRamadhani-r9x
      @SaidRamadhani-r9x 10 หลายเดือนก่อน

      MMEZOEA KUIBA BILA KUSEMWA AKITOKEA MTU MSEMAJI ANAKUA MBAYA NENDAZAKO UMEISHIWA MZEE

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 10 หลายเดือนก่อน +5

    Acha makonda awanyooshe waki mwigulu na January wezi sana

  • @Msakati-b1z
    @Msakati-b1z 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo wasomi weng tunasoma kwa kublashiwa kwahy tunakua na elimu za kukaririshwa ambazo zinasababisha tunakosa maarifa.Ww huenda n msomi ila hujielew inchi imekuwa na hali ngumu lakin hamkumkutoka kusema chochote sahv amakuja mtu wa kutetea wanyonge ndo mnajifanya kukosoa kwa maslah yenu binafsi wasenge nyny .Mnatuchukulia wote na darasa saba acha makonda apige kaz, jembe la kaz hatutak viongoz wadhaifu ....hay mamb ya idd amin yenyew nd historia za mchongo tu hazina facts zozote tunakaririshwa tu madarasan.choko ww

  • @DuniaAmbrose
    @DuniaAmbrose 10 หลายเดือนก่อน +4

    Nakuelewa

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hii makala naitazama mara ya 10 Sasa, Hongera sana mzee wangu kwa uchambuzi mzuri. 🏆

  • @jacksonmathayo3859
    @jacksonmathayo3859 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ni uchambuzi wa kina na kweli umetukumbusha mbali ni Watu wazima wanaoweza kukuelewa

  • @BarakaElnest-ox7pb
    @BarakaElnest-ox7pb 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugu acha ngonjera na chuki, chuki hazijengi unayoyazungumza uganda na tz ni tofaut kabsa

  • @uwezotv
    @uwezotv 10 หลายเดือนก่อน +1

    Chakushangaza wapinzani wa nchi hii kweli mazwazwa hivi kweli unaweza poteza mudawako kumshauri adui yako ajirekebishe afanye vizuri? Ninachojua mimi adui yako anapozidi kukosea wewe ndio furaha kwako haumwambii ili akiingia kwenyetalo wewr ndio unawezakupita vizuri kwa kutumia fursa hioo sasa wanasiasa wa tanzania njaa njaa wanajikomba kwa kujidai wanawasaidia ishauri ccm hawajijui kuwa akilizao hazijijui kama hawana akili

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 10 หลายเดือนก่อน +4

    Nifunzo umewapa sawh

  • @uwezotv
    @uwezotv 10 หลายเดือนก่อน +1

    Katika watu niliona wanaweza kuwa na akili nilihisi ni wewe mtoa mjadala kumbe ni wa hovyo sana hujui chochote ni porojo tuu za istoloa?

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenye akili timamu ashaelewa umemaanisha nn yanaweza kutokea tz tuombe uhai tuone tunaelekea wp

  • @ashaalali1221
    @ashaalali1221 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kiongozi wa africa ukweli alikua sankara..qadafi.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 10 หลายเดือนก่อน +1

    Poles sana ndo maana ulikimbilia ughaibuni kumbe ni fatani mkubwa wee aisee poles sana fatani mkubwa wee

  • @zuberymwenge6780
    @zuberymwenge6780 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe jamaa leo nakuchana kila utawala unatoa kasoro wewe njaa inakusumbua kuwa. Rais wewe basi

  • @mohammedimpeme
    @mohammedimpeme 10 หลายเดือนก่อน +1

    WATU WENYE MAWAZO FINYU UTAWAJUA TU, UTEUZI WA MAKONDA UNA SHIDA GANI? UNASUKUMWA NA SIASA ZA CHUKI.

  • @saidabdus9014
    @saidabdus9014 9 หลายเดือนก่อน +1

    Shida yenu mnataka nchi bila kutumia akili udini na uchadema umewatawala katka fikra zenu

  • @SimonMaregge
    @SimonMaregge 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mm binafsi nampa pongezi mheshimiwa rais kumridisha makonda maana sisi wapenzi wa magufuri tumefurahi ,acha awanyooshee,mama hongera malizia kujenga miferejii daraja la mwinyi mburahati magomeni

  • @yaronaWilliam
    @yaronaWilliam 10 หลายเดือนก่อน +4

    Nguromo, big up!, wewe ni mchambuzi mahiri, ccm Ina makada wazuri tu wa kushika nafazi ya mwenezi ambao ni wabobevu ktk sayansi ya siasa inakuwaje wanamweka mwenezi anayefanya Sanaa ya siasa?. Hivi ni lini tumebadilika ya kuwa chama Sasa kimeshika hatamu ya uongozi kama kweli siyo tunafanya Sanaa ya siasa!, eti mwenezi wa chama naye amekuwa ana nguvu ya kuwaagiza watendaji wa serikali.

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 10 หลายเดือนก่อน +9

    Kila aliekuwa hampendi Magu kamwe hatompenda Makonda,, dunia iko hivi, Hautawafurahisha wote wala kuwachukiza wote

    • @progensia9852
      @progensia9852 10 หลายเดือนก่อน

      Tell him

    • @EmmanuelJobu
      @EmmanuelJobu 8 หลายเดือนก่อน +1

      Sehemu ya kumbe wa sauti ni wapi

  • @patriciamuganda4498
    @patriciamuganda4498 10 หลายเดือนก่อน +3

    Bahati mbaya watu hawana upeo wa kutumia vipaji vya watu kama huyu

  • @hassanisaimon1531
    @hassanisaimon1531 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwahiyo ww unatakaje uwe ww au????

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  10 หลายเดือนก่อน

      Sikiliza tena. Jibu la swali lako limejibiwa kwenye clip.

  • @NzunguRenatusi
    @NzunguRenatusi 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna lolote ww mzee unaongea nn, basi ungepewa ww mwenyewe basi

  • @frimatuslupimo2031
    @frimatuslupimo2031 10 หลายเดือนก่อน +1

    Acha ujinga wewe . Unalalamika wewe na chama chako

  • @ngelelanangale6798
    @ngelelanangale6798 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hizo ni chuki binafsi kuwachukia Makonda & Sabaya. Kwa sababu wanapigana na mafsadi

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  10 หลายเดือนก่อน

      Ubarikiwe! Karibu!

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@AnsbertNgurumo:- unateseka ukiwa wapi kibaraka? Tulia sindano ikuingie vizuri.

  • @abdalafundi9047
    @abdalafundi9047 10 หลายเดือนก่อน +3

    acha wivu

  • @adammalima3408
    @adammalima3408 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe unachuki zako tu ambazo hazitusaudiu

  • @BundalaIlagila
    @BundalaIlagila 10 หลายเดือนก่อน +3

    Ni maneno kuntu sana kutoka kwa musomi wetu huyu yaani aisee hizo ndizo njia za ovyo zinazotumiwa na hawa viongozi wetu haw wasakatonge bravo man umetoa somo muhimu sana kwa hawa akina zilongwa mbali na zitendwa mbali!!

  • @lucaskashimwita6386
    @lucaskashimwita6386 9 หลายเดือนก่อน +1

    Upinzani nchini Tanzania wote ni vbaraka

  • @ndakimanyakenda1519
    @ndakimanyakenda1519 10 หลายเดือนก่อน +1

    Yan wewe ndo krus cha taifa letu unatumia karam yako vibaya kuchonganisha viongiz wetu

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  10 หลายเดือนก่อน

      Ndugu, tusigimbane. Tunatofautiana upeo. Tujifunze. Tutafakari.

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenye macho haambiwi tizama, wenye akili wote wameliona hilo huenda ikawa limechangia kujiuzulu kwa chongolo. Tumeona makonda alipoteuliwa tu kaenda kaburini kwa Magu maana yake ni kuwa bado ana mawazo yale yale ya kidikteta lakini subiri tuone ila kwa mtizamo mama amekosea

  • @frimatuslupimo2031
    @frimatuslupimo2031 10 หลายเดือนก่อน +1

    Eti wewe unaipa ushauri CCM?

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hiyo background sound inakera ungewaza namna nyingine

  • @rastheunique
    @rastheunique 10 หลายเดือนก่อน +3

    Ni kweli

  • @willygwaikana
    @willygwaikana 10 หลายเดือนก่อน +1

    Naona mama baada ya kuona mambo ya kutenda haki yanamlemea, sasa ameanza siasa za mabavu. Iweje mtu kama Makonda arejeshwe kwenye madaraka? Yeye atajificha nyuma ya ubabe wa Makonda

  • @BenPeter-n5w
    @BenPeter-n5w 9 หลายเดือนก่อน +2

    Asante. Sana kwa maono

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  9 หลายเดือนก่อน +1

      Ubarikiwe!

    • @EmmanuelJobu
      @EmmanuelJobu 8 หลายเดือนก่อน +1

      Wimbi rakimbizi ni kwerii wewe unahonaje Kuna kwerii Dani yake uteuzi wamuku wa uhamiyaji nikwerii au ni Maboo ya siyasa