walahi anko jay unasaut nzr napnd sn simuliz unazo simuliy saut t Ina mvuto nahisia zakupenda simuliz zako so unajikuta t una miss kufatiya daaah Mungu akupe afya na umri wenye Barak a anko jay wet🙏🙏🙏
Oh my. Anko Jay you remind me of my early good days in primary school. Our teacher told us this story and the song went like " pia ehh pia mama yako ni mbaya sana kanichimbia shimoni pia" the other was noah eh noah baba kaleta viatu noah moja yako moja yangu noah. These are old good moments of my memories
Mm nimekulia kijijini yani asubuhi sakumi na moja uamuke uende maji ukija fagia pika chai enda shule na hivyo kama unaenda shule beba mtungi wamaji ili lunch tym uende nayo lunch unapika kula kisha beba mtungi rudi shule jioni panda nayo .. hayo maji usifikiri niyakunwaa hapana niyakunyunyizia mboga mboga hayo ndomaisha nilikulia jumamosi shamba kama kawa mm na mdogo wangu mama pia. Mm nilikuja kuenda michezoni ashule nikiwa darasa lanane tena hivyoo nimeomba mama sana kuwa nimechukuliwa kukimbia ndoangekubali mana siku zote anakuambia chagua kuenda kwamichezo jioni ulale njaa nauamkie njaa😂😂mm mwenyewe njaa tena awee nakaa. Sasa nikawa nasema huyu mamangu VIP anatutesa lkn kumbe alikuwa akitutengezea maisha mana nguo kazi ndogo niliaza kufanya nikiwa std 5 hadi Leo huwa namshukuru mamangu RIP my mommy
Sina la kusema zaidi ya kuwashukuru sana kwa moyo wa dhati kutoka moyoni mwangu ubarikiwe sana na na wapenda sana anko Jay na timu yote anko Jay family simulizi be blessed all
Oy anko jay wetu oyeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
walahi anko jay unasaut nzr napnd sn simuliz unazo simuliy saut t Ina mvuto nahisia zakupenda simuliz zako so unajikuta t una miss kufatiya daaah Mungu akupe afya na umri wenye Barak a anko jay wet🙏🙏🙏
Hidaya nimefikiwa na Mimi sema anko jay unalitaja jina langu vizuri sana Yani 🥰🥰🥰🥰
Wangapi tumeboeka twasikiza simulizi za zamani😅🙌🙌
😂😂😂😂😂 nikajuwa mm 2
Waoooooooooooh nimejuwa kuwahi mashabiki tupo kama wote 💞💞💞💞💞
Mbona hiyo hadhithi tulisimuliwa na Bibi tukiwa wadogo... mashallah kumbe bado ipo❤
Jamani nyiee watu hamlali 🥰🥰🥰🥰🥰
Ankojay hii imejirudia jaman kwangu mimi nilishaisikilizaga kitambo sanna
Oh my. Anko Jay you remind me of my early good days in primary school. Our teacher told us this story and the song went like " pia ehh pia mama yako ni mbaya sana kanichimbia shimoni pia" the other was noah eh noah baba kaleta viatu noah moja yako moja yangu noah. These are old good moments of my memories
Dhoo hidaya good girl❤
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I say thenku Ankojay let me enjoy myself😅❤❤
From Canada ankojay wewe ni balsss
Mzigo mpya huu akojay tuletee miss Abby
❤❤ Asante Ankojay kwakutukosha na simulizi nzuri sana
Mm nimekulia kijijini yani asubuhi sakumi na moja uamuke uende maji ukija fagia pika chai enda shule na hivyo kama unaenda shule beba mtungi wamaji ili lunch tym uende nayo lunch unapika kula kisha beba mtungi rudi shule jioni panda nayo .. hayo maji usifikiri niyakunwaa hapana niyakunyunyizia mboga mboga hayo ndomaisha nilikulia jumamosi shamba kama kawa mm na mdogo wangu mama pia. Mm nilikuja kuenda michezoni ashule nikiwa darasa lanane tena hivyoo nimeomba mama sana kuwa nimechukuliwa kukimbia ndoangekubali mana siku zote anakuambia chagua kuenda kwamichezo jioni ulale njaa nauamkie njaa😂😂mm mwenyewe njaa tena awee nakaa. Sasa nikawa nasema huyu mamangu VIP anatutesa lkn kumbe alikuwa akitutengezea maisha mana nguo kazi ndogo niliaza kufanya nikiwa std 5 hadi Leo huwa namshukuru mamangu RIP my mommy
Cammie,Cammie,Cammie, haya twende nalo wana ankojay simulizi pamoja sanaaaa
Ni hadithi ndani ya hadithi asante sana mr anko jay❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante Anko jy akini nimechelewa mimi .ila nimeipenda sana
Hidaya mtoto mzuri ❤❤❤❤❤❤nilijelewa laki nimepata kitu dio namalisia❤❤❤❤❤
651🎉😂😂😂leooooo maua yangu 😊😊😊
Sina la kusema zaidi ya kuwashukuru sana kwa moyo wa dhati kutoka moyoni mwangu ubarikiwe sana na na wapenda sana anko Jay na timu yote anko Jay family simulizi be blessed all
Love mwaa🌹
Asante sana anko Jay kwa juhudi zako za kila siku kwa kweli bidii unayo tena sana good job congratulations 👏👏👏❤❤❤ love you 💕
Asante ankojay kwa simulizi zko nzuri na zinamfdisho
Nakuaminia anko jay asante sana
Tamu sana aunt Kelly na Abdul watakuwa Tu wapenzi ❤😂 ankol jay tafadhali part 2 nangoja ❤
❤mashallah anko Jay tupo tusikilize hidaya kitu kipya kitakuwa kitanu maana ujawai kufeli
Jamaninimecelewa ankojay 😊
No 1 wapi likes zangu😂😂
Hongera sana
Tz
Asante sana Ankojay
Hiy nko jay thanks❤❤❤❤❤❤❤
Asante ankp j❤❤❤❤
ASANTE ankojay ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Anko tunaisubiri sehemu ya pili kwa hamu ni taaaamu balaaa❤
Asante sana my brother from another mother
Thanks for watching
Yan kuogopa kulima Mie kabisaaaaahuyu nikatimkia mjini
Ni wa kwanzaa thanks Ankoj ❤❤❤😂😂🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Safi sana
Sijachelewa sana hâta mim😂😂thx sana Anko j❤❤
Inafundisha
1. mama wa kambo si mama.
Tend wema nenda zoko.
3.majuto ni mjukuu
❤❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kama kawa ankol j❤❤
This the second time for me listening to this story.
❤🎉🎉🎉🎉
Jamani nafikiri nimesahau kumbe kuna watu wamelala huku haswaa😂😂😂😂 asante anko jay ❤❤
Daha mmenioumbusha mbali
21/12/25 ❤❤❤🎉🙏
Asante ankojay ❤❤❤❤
Enjoy
Congratulations anko jay
Asante sana Anck jy
Waooo❤
Sehemu ya pili ipo kwel
Akina suu hatuna Bamba Bamba👍
Thanks alot
@@SummyStories 👍
Chiara 4
Nakusikiliza
nitarudi baadae wacha nisikilize kwanza ❤
Nilikua naota nasikiliza simulizi 😂😂😂😂 kushtuka tu nikaingia TH-cam nakutana na kigongo kipya cha HIDAYA😅😅😅😅Ahsante Anko jay 😊wacha nisikilize sasa
Thanks jay for keeping us busy..pray for us,Kenyans tunaomboleza...
Tuko pamoja dear am a Kenyan citizen tuomboleze uku tukienyoy
@@ashamenza2212 ndio
Hi Anko Jay thanks alot 😊
Thank you too
Niko ndaaani kaa mimba..waiting to learn something new...thanks Anko❤❤❤❤❤❤
Any time
Naomba sehem yapili
@@ankojay_ nataria 😢
Kunani huku. Let here from hidaya
4
🥰🥰🥰🥰
JAMANIII HIDAYA ankojay kafanini tena 😮 nasikiliza ili nijuwe anabara gani ili tujifunze kitu kupitia HIDAYA❤
Anko jay u have sweet stories and educative ones
Anko ❤ jamani tuna enjoy aswaa😂i ❤you
Sina la kusema 😂😂😂😂😂anko jay nimefurahi sana nimecheka sana eti mpira umepinga kisilani 😢😢
Nimechoka hapo anapobana miguu
👏
Kawia ufike😂😂
Tupe sehmu ya pili
R5f
Mbona Leo sijaketewa notification 😢😢😢
Shani we shani yaan nime cheka Ii simulizi
Atari sana hidaya kafanya nn
Jamn muna lala muki waza simulizi za ankojay jmn😅😅🎉
❤❤❤❤
J unaniwezea kweli nimechekae sana😂😂😂😂😂
Mmmmmmmm❤❤❤❤ 10
Mambo.
❤❤❤❤❤🎉
Aisee mumerauka leo pia😅😊😊
Next please ankol☺
asate anko umetuletea kitukipya ashatusikilize Asante anko wetu 😂😂
Enjoy
Hidaya sehemu ya pili ipo
Sehemu ya pili please anko j
Hello guys mumepoa tuko pamoja anko jay simulizi
😂😂😂😂ahaa yaani nilitamani iendelee tu anko kwasasa sibanduki kwenye simu lizi zako walahi naenjoeee
Inabidi tuwe tunasikiliza kwanza kisha comments baadae au sio jamani
R 4
4R⁴
Leo tarehe 07 JAN 2025 saa mbili nasikiliza simulizi ya hidaya
Ank jay naomba namba zako ninashida na ww samahani lakini kwa usumbumbufu, natamani na mmi niwafunze watu jambo
Hivi ankojay mbona Natalia ya mwisho hatupati au mpaka ulipie
Anko mambo vp jmn
ANKO HIDAYA PART 2 TAFADHARI😭😭😭😭😭
Oi hidaya part 2 lini mana daah bonge la simuliz yan
❤❤❤❤😂
Natalia jamn maan 2naixubil ati.
Eti ht mm naisubr Natalia
Huyu kisirani kama asubuhi mbona naona kama ni baba wa hidaya nasijui kwann anamwita mjomba kuna kitu hapo
Jmn ivi Lisa mwalla Yuko Wap jmn
Idaya sehem yapili
Hidaya ana nini tena tumsikiee
Simulizi zako nitamu ako j
Nilienda likizo kidog ndo naludi ss😂😂
R
Rr
Naixumbil xan abby
Da ximulz n nzur