Anadhalilishwa LAKINI anajitajidi kujishisha KWA mkewe ni changamoto nahisi ANAISHI KTK MAUMIVU ya moyo KTK ndoa yake ..anapitia .WAKATI mgumu ni wakuombea
Bishop hii ilirushwa miaka 3 kabla hawajafika hapa walipofika. Mungu amjalie neema juu ya neema mtumishi wake Bishop Shusho. Duniani mnayo dhiki lakini jipeni moyo kwa kwa kuwa mimi nimeushinda ulimwengu. Yatakuja magumu kuliko hili lakini mtakatifu unatakiwa kusimama upande wa Bwana. Walikuwa upande wa Bwana lakini hawapo kwake kwa sababu hawakuwa wake. Si kila asemaye bwana bwana ni wa Bwana. Mungu atupe kuona kwa jicho lingine. Amen
Hallelujah
Mungu akutunze Baba ,una moyo mkuu
Mungu awatunze watumishi wake
Mungu mwema!
❤❤❤❤❤
Bwana yupo nasi
Mungu akutunze
Katika Wanaume wanna Akili, NI huyu Baba. Mungu amtunze
Wewe Nani unakosoa watumishi wamungu wakimsifu mungu ? Nakukubali mtumishi wa mungu
Mwenye tai nyekundu
Amen
My pasta,,, so hamble
Ndio muache kuzungumza vitu msivovijua..mumewe si huyo kajaa tele..watanzania muache kuombea couples za watumishi wa Mungu mabaya.
Maajabu gani yamefanyika?
Why are there rumours for this couples separation
I don't understand may be it's just rumors or its true
Watu waache kuongea wasioyajua
Anadhalilishwa LAKINI anajitajidi kujishisha KWA mkewe ni changamoto nahisi ANAISHI KTK MAUMIVU ya moyo KTK ndoa yake ..anapitia .WAKATI mgumu ni wakuombea
Bishop hii ilirushwa miaka 3 kabla hawajafika hapa walipofika. Mungu amjalie neema juu ya neema mtumishi wake Bishop Shusho. Duniani mnayo dhiki lakini jipeni moyo kwa kwa kuwa mimi nimeushinda ulimwengu.
Yatakuja magumu kuliko hili lakini mtakatifu unatakiwa kusimama upande wa Bwana.
Walikuwa upande wa Bwana lakini hawapo kwake kwa sababu hawakuwa wake.
Si kila asemaye bwana bwana ni wa Bwana.
Mungu atupe kuona kwa jicho lingine.
Amen
Nice worship but worship iko chini
Back up poor
Why is he crying now😳
mbunguni huingii 😂😂😂😂
Anaumiaa kwa uchungu maaan wakishaachana na mkewe hapo kaja tuu kumtia kanisa lake moyo so hata kam n ww ungepiga ukungaa atui inaumuaa 😊