Usimdhihaki Mungu maana imeabdikwa usilitaje bure jina la Mungu maana Bwana hatawahesabia kuwa hana hatia mtu alitajae bure jina lake. Heshimu unapotumia jina la Mungu
😂😂😂😅😅😅 kweli hii ni #cheka #tu najuta kwa kuikosa hii show daah. Next time tuko pamoja #Mr #Coy #Mzungu. Naamin huko tunakoendelea mbele hawa "giant comedian" watakutafuta waje wafanye show kwako.🔥💥🔥💥🔥
Umefanya vizuri tumecheka hakika, ila kuwa tu makini wakati unafanya watu wacheke usimguse Mungu hii ni Zabur 1:1-3 kucheka ni mdhaha na mdhaha ndio unaofrahisha ndio maana utani, sasa elewa kuwa Mungu hayupo kwenye midhaha
Ushauri wangu msimzihaki Mungu kwa maneno yasio faaa kisa kuchekesha pia usione ni rahisi kufanya kisa watu wamefanya huwezi kusema YESU kama angekuwa mwanamke sijapenda hio ameharibu na kukosea sana weka limit ya maneno usiseme vilivyo vitakatifu kwa joke bali kwa hekma na adabu na kufunza watu.
Mashaaall huyu Kaka uchekeshaji wake wa tofauti yaani hakatishi mada yupo tofauti sn mungu akusimamie kipaji chako.Deo
Usimdhihaki Mungu maana imeabdikwa usilitaje bure jina la Mungu maana Bwana hatawahesabia kuwa hana hatia mtu alitajae bure jina lake. Heshimu unapotumia jina la Mungu
Hajalitaja kwa ubaya ndugu, kwa mawazo yangu alitaka tujifunze kitu na kitu chenyewe ni kujua kumuomba Mungu ipaswavyo.
Usi complicate maisha kiasi hicho!!
Very complicator
Msimtetee, alikosea kutaja ayo majina aisee (Mungu/ Yesu)
Deogratius wewe ni comedian mzuri sana . Mungu amekupa kipaji hicho lakini hebu angalia katika kipaji alichokupa usije ukamdhihaki.
KABISA... MUNGU HATAKIWI KUTAJWA BALAZANI PENYE MIZAHA...
hahahaha,gonga like kwa deo, nakukubari mzee upo fresh sana, I wish kama nikija dar nikaribie kwenye show zenu
Tokea nianze kuangalia cheka tu aise we jamaaa ni nouma nimecheka mpaka basi nakuona international level 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
daah!! bro nakubaliii ofkoz unaweza,,comedian mwenzio nakusapoti...keep it up!!!!!!
Huwa napata raha nkiwa na hii kitu coz inanifanya naxahau matatizo much love for #cheka tu
Naipenda sana show nawaona mbali maana kila siku mnapiga hatua kwenda mbele. Pokeeni ushauri mzuri na kuufanyia kazi tuko pamoja.
we jamaa huwa unamalza MB ZANGU SANA HTR
Huyu mjinga anafanya Mm sifany kaz deo ni mwisho best Africa comedian agiza soda kwa kimaro nitakuja kulipa
Lakini Deo nampenda sanaaa yn anachekeshaaaa sana kuna siku nimeangalia show yake usiku nimecheka hatarii mpk asubuhi nnaamka nnachekaaa tuu😂😂😂😂😂😂
aise leo na mm ndo kanilaza alfajiri nacheka tu kifala
🤣🤣🤣🤣🤣
Nakukubali miaka yotee munguu akubariki kilaa hatua duwaa broo
Deo legend in the making....cheka tu ndio Habari ya mjini every month
Watching 18/September but nimecheka had mbavu zangu znaumaaaaa apa ur the best comedian real
Jmn huyu jamaa akisimama jukwani pesa zamuhusu mashaallah
Thank u for this show I am glad tanzania os moving to a next level with comedy
Africa kuna best stand up comedian, your one among them
Nimekupenda bure. Mungu hakujalie Baba
Big up Bro aki uko pow best comedian
unaniongezea cku zangu za kuishi nakuombea long life
Ucmuweke MUNGU/ YESU kweny jokes
Duh aiseeee nimecheka sanaaaaa....weee c mzimaa
😂😂😂😅😅😅 kweli hii ni #cheka #tu najuta kwa kuikosa hii show daah. Next time tuko pamoja #Mr #Coy #Mzungu. Naamin huko tunakoendelea mbele hawa "giant comedian" watakutafuta waje wafanye show kwako.🔥💥🔥💥🔥
Kwan huwa wanaungia kwa shngap
Aiseeee Deo C unatsha mzee Baba
Deo, Umemaliza Bro. Tupe Show inaonyesha watu wa Chugha. najua utamaliza, tena Mix na wachagaa utamaliza . Big up Sana Brother.
Huwa nikion comed za Deo atakam n Dk 50 lazim niifungue maana cjutii mbs zangu, unajua Sana bro
There we Go.. I Think sasa tunaelekea angalau kuanza kuwachallenge Wakenya
Nakubali san
Braza we ni monsterr😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥more fire🔥 more shampain cheka tu😂😂😂😂
Umetisha kinoma
Daaaahhh😂😂nimecheka usiku Kucha nakuja kushtuka Saa 11 daahh This is more than Comedy
Deo. ur talented brother .a lot of appreciation
Jaman wachaga tutakoma🤣🤣🤣
Deo mboya nakupenda buree unavunya mbavu zangu 😂😂😂😂😂
Jamani hii cheka2 uwa inafanyikia wapi na siku gani ?
Nataka nije
I love uuuu Deo........ umeniua kwa vicheko
Cheka tu live comedy inaoneshwa kila lini na ni ukumbi gani,na bei ya ticket????
This guy has a great talent
Jaman nakupenda we kaka God bless you
Nimecheka sana #kipande cha ngoyi
Tanzania finest, salute mzee
Nakupenda bureee coy
Uko vizuri
Deo umeanza vizuri sana! Umemalizia vibaya! Yesu sio wamchezomchezo jamani!
akyamungu deo ww n mchaga so siri........... umeniuwaaa mbavu
Nakukubal Sana deo😄💪💪💪👏👏👏
he is amazing deogratius anajua na amejipangangaaaa
kumbe comedy nimuhimu usome sio kama zamani
Da upo vizur San broo
Deo and Opta..,,are the best
RVT TV hapa sawa
Deo na lamin nawapenda sanah mwaah
Yaaan we kaka nikichaaa
Nice
Nimecheka jamani uwiiii
Vani Tosha haunishindi mimi 😂😂😂😂😂😂
deo unaweza sana
Haaaaah nawakubali sn hawa jamaa hatariiii
powerful Coy
powerfully Coy
your last word so
powerful
MC MNYALU 7
love you sana kaka deo
Safi sana nimecheka..deo ni shida...
This is lit😂😂😂i got stomachache from laughing
You're the best Kaka deo💞💞💞💞💞💞👌
Hutu in muongo au mchekeshaji hahaha
My best comedian
Napenda sn cheka tu 🔥🔥🔥
bora wamekutunza broo
Gwe asingaaàaaaa.... yo de best man
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nakupenda bureee Kaka deo
Brother tisha aisee umewateka wachaga woto
No one like deo❤
Jamaa yupo vizur sanaaa aiseee but kuna jamaa sijamuona kitambo kichwa kimefanana na shangazi yake jina limentoka
♥️♥️♥️♥️ love you
Kaka deo umetisha haaaaaaaa haaa
😂😂😂😂,,seriously nimejiko😂😂😂😭
Uwiiiiiiiii@mange 😂😂😂😂
Deo the best... the bomb...
God given talent..#Genius
Now this one is a genius
Aaaah Deo unahatari Sana 😂😂😂😂
Umeanza Vizuri ila mwishoni sijapenda ungeendelea na kiatu cha wachagga hadi mwisho
This guy is reaaaaally goood
unajua kuchekesho sana deo 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
deo na nalimi nawakubal xan
Deo mmoja ni sawa na joti watatu na mpoki wanne.
ur the best brooo
Weeee jamaa fundiiii unajuaa
Deo kama hujui demu wangu akinistress nasikiliza hii kimaro na mnishi basi anajua nishapata GF mwengine ninavoburudika aisee
Sawa kaka umeamua kutuvunja mbavu
Wapi wachagaa😂😂😂😂😂
Umefanya vizuri tumecheka hakika, ila kuwa tu makini wakati unafanya watu wacheke usimguse Mungu hii ni Zabur 1:1-3 kucheka ni mdhaha na mdhaha ndio unaofrahisha ndio maana utani, sasa elewa kuwa Mungu hayupo kwenye midhaha
Mzeee sijaona levozakotanzania hii
I love CHEKA TU, so mwaaah
Deo is talented!!!
Ushauri wangu msimzihaki Mungu kwa maneno yasio faaa kisa kuchekesha pia usione ni rahisi kufanya kisa watu wamefanya huwezi kusema YESU kama angekuwa mwanamke sijapenda hio ameharibu na kukosea sana weka limit ya maneno usiseme vilivyo vitakatifu kwa joke bali kwa hekma na adabu na kufunza watu.
Haule Vincent respect
We we HAULE biblia IMESEMA usimzihaki MUNGU unaelewa ZIHAKA ni NN?
@@neymarmbilinyi9735 kasome biblia vizuri na uelewe misamiati..
Haule Vincent: Calm down for crying out loud. I bet even Jesus would have enjoyed this, had he been sitting in the audience. Damn!
Haule Vincent makubwa
Coy fanya ufanyavyo rudisha hii kichwa bro....na mc lukinga daah🤣🤣
Deo aaah
Deo anajua sana, huwa sichoki kuiangalia hii clip!!
Who's here today to watch the genius?😂
So good ase keep it up broo,, Mbeya lini?
Deo nomaaa😂😂😂
Kawakaaa jamaa ametishaa sanaa
hamuwez kutumia kiswahili
tuacheni iyo utumwa ya kisasa penda sana lugha yako
Kazi nzuri
Deo nakuelewa sana
😂😂😂😂deoo u ar good