Nabarikiwa Sana namasomo yako naomba uwaombee wazazi wangu baba nimgojwa anaitwa ISRAEL MKUMBO namama nimgojwa anaitwa WINJUKU MKUMBO wapo mkoa washinyanga wilaya yakahama MUNGU huwaponya hata waliombali
Pastor umekuwa ukinifurahisha mtumishi wa Mungu wangu, unasimulia kana kwamba ulikuwepo hiyo Roho naiomba Mungu anipe nimjue yeye na uwepo wake maishani mwangu. Najifunza mengi kutoka kwako.
Joseph Majura NIMSAIDIE PASTA MTU NI ALIYEUMWA NA MUNGU NA MWANADAM NI KIUMBE ALIYEZALIWA NA KIUMBE KILICHOUMBWA NA MUNGU LEJEA MWANZO 1:26-27.... TUMFANYE MTU KWA SURA YETU (SIO TUMFANYE MWANADAM) MWANADAM NI KIUMBE ALIYEZALIWA NA KIUMBE ALIYEUMWA NA MUNGU MTU MWANADAM ... MWANA WA ADAM
Hahaha! Pastor nimeimba sana "Hapa duniani sio kwetu,kwetu ni Mbinguni" lakini Leo kauli yako imenishtua naona kama ina logic ila sasa tatizo Dunia yetu nayo imebadilika mno! Utafikiri sio yetu sisi tulio mfano Wa Mungu ndiyo maana tunaisubiri mpya.Sasa kuhusianisha ile nzuri ya kwanza,hii mbaya ya sasa na hiyo mpya ijayo kuwa ni ileile ya kwetu ndo pananipa shida.Au ndo kusema kama jamaa fAulani waliosema "kwenu ni kwenu/ nyumbani ni nyumbani!!! Aise!! Sayari Dunia!
Very powerful message from PR David mmbaga,,,,we love you from KIABUSURA SDA Church in bomakombi suneka kisii county south Kenya conference!!!!
Amen
Mahubiri yako inaingia mpaka mifupa ..very powerful and clear
Mungu atukuzwe
Amina kwa kweli mchungaji Unafanya natamani kusoma neno kila wakati ubarikiwe sana na Mungu atukuzwe
Nabarikiwa Sana namasomo yako naomba uwaombee wazazi wangu baba nimgojwa anaitwa ISRAEL MKUMBO namama nimgojwa anaitwa WINJUKU MKUMBO wapo mkoa washinyanga wilaya yakahama MUNGU huwaponya hata waliombali
Amen. Thank you for the message, i have been blessed. God bless you too Pastor abundantly.
Mungu azidi kukubariki PR, unatubariki wengi na unatuponya nafsi zetu
Amen
Barikiwa
Amen powerful Man God bless you❤❤
Pastor mahubiri yako yanagusa sana
Pastor umekuwa ukinifurahisha mtumishi wa Mungu wangu, unasimulia kana kwamba ulikuwepo hiyo Roho naiomba Mungu anipe nimjue yeye na uwepo wake maishani mwangu. Najifunza mengi kutoka kwako.
Mungu atukuzwe
pastor huwa unanichekesha sana
kwani tofauti ya watu na binadamu ni nini
Tofauti ipo😆😆
Joseph Majura NIMSAIDIE PASTA
MTU NI ALIYEUMWA NA MUNGU NA MWANADAM NI KIUMBE ALIYEZALIWA NA KIUMBE KILICHOUMBWA NA MUNGU
LEJEA MWANZO 1:26-27.... TUMFANYE MTU KWA SURA YETU (SIO TUMFANYE MWANADAM) MWANADAM NI KIUMBE ALIYEZALIWA NA KIUMBE ALIYEUMWA NA MUNGU MTU
MWANADAM ... MWANA WA ADAM
@@nenolakristomaisha.5611 ninavyoelewa mimi mtu ni yule wa ndani na mwanadam ni mwili, yaani pale anapukuwa mtu kafariki huyo mtu ndio kaondoka
PASTOR hapo nimekuelewa sana
ubarikiwe
Hivi pastor, uliwahi kuhubiri alafu watu wakakaa bila kucheka kweli??? Ujue sipati picha juu ya kipaji chako??
Pastor sory naomba uni fafanulie juu ya baraka za wazazi katika mafanikio
Bonyeza hapa th-cam.com/video/DnCQbXgs2BI/w-d-xo.html
Mchungaji thembi lipi iliwe ukuu kuliko sote
17:52 huyu analala na amekaa madhahuni
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Amen amen
Amen
Mchungaji mungu azidi kukuonekania
Hahaha! Pastor nimeimba sana "Hapa duniani sio kwetu,kwetu ni Mbinguni" lakini Leo kauli yako imenishtua naona kama ina logic ila sasa tatizo Dunia yetu nayo imebadilika mno! Utafikiri sio yetu sisi tulio mfano Wa Mungu ndiyo maana tunaisubiri mpya.Sasa kuhusianisha ile nzuri ya kwanza,hii mbaya ya sasa na hiyo mpya ijayo kuwa ni ileile ya kwetu ndo pananipa shida.Au ndo kusema kama jamaa fAulani waliosema "kwenu ni kwenu/ nyumbani ni nyumbani!!!
Aise!! Sayari Dunia!
Ivan Vespa Ya sasa itachomwa moto kabisa
Hapo kwenye kuokoka na kuongoka nimepapenda pastor,,,Mimi ni mufuasi wako mkuu
Kitabu ngani inaongelea tutarudi tena i want to know plz
Nabalikiwa sana na mahubiri yako
amina
Ule mchuganji amearibu ibada ; yani analala kanisani tena mbele ya waumini utazani roho mtakatifu yahupo hapo.kwa mahubiri hayo mazuri siwezi kulala
Pastor mwanangu Amekufa kwa kukosa Elfu 30 kweli
joshua choma jamani imeniuma pole ndug lakin mung hawez kukunyima
pole sana
Pole Sana!
Pole saaaana
joshua choma . Pole sana tatizo nini?
***kuongoka na kuongoka panachanganya hapo watu hadi sio vizur***
amina
Ubarikiwe
WCB wasafi classicguunatiu baby