Ata kama niuwigizaji nanimafunzo naumia naona huruma sana jamani msinikumbushe mbali maana tumepita sana siitaji kukumbuka nawalinifanya nitafute pesa kwanguvu zote nakljituma kwahali Mali Ila Apo aje aniingilie mtu nakufanae
Hama kwel iyi movie imenifuza kitu nawaomben wadungu zagu musiwai zarau mutu ati kwanjili ni maskin mungu niyeye umpanga maisha ya watu nawapenda sana kaka yangu wew na munjomba wako muko na roho ya subrah mungu awabariki 🙏🙏
Jifunze kuiona dhahabu hata ikiwa kwenye matope, sio lazima ikaoshwee ndipo ujue Dhamanj yake, Duh yani mie na Monika tuko hapa kwa hapa,, kiswahili nachoo😂😂🙌🙌
Kweny hii dunia ukiwa masikin huna haki kabisa watu kam hwa tunaishi nao kweny jamii yetu wamejaa sna c kila mfungwa jela anamakosa megine ndo kam hiv😒😒😒hongereni sna mlocheza hum ndani
Daah tiktok imenileta hapa kama na wewe ni hivyo gonna like 👍 twende sawa bonge moja la movie
Tuko pamoja tiktok imenileta hapa pia
Pia mie
Mi pia
Hata mm
Mie pia
Bravoo💪💪 mko vizuri sana, mko na mafunzo sana usimdharau maskini mungu ndo hupanga .
kaka adamu umetisha na huyo mluguru hongere sana kaka adamu kazi nzuri
Moja kati ya sinema bora sana kati nilizowahi kuzitizama, bravoo💪 kwa muandaaji keep it up. 🥇🥇🔜
Shukrani sana..
Nomaa sana wapi likes za suzie na mjomba ake
Ata kama niuwigizaji nanimafunzo naumia naona huruma sana jamani msinikumbushe mbali maana tumepita sana siitaji kukumbuka nawalinifanya nitafute pesa kwanguvu zote nakljituma kwahali Mali Ila Apo aje aniingilie mtu nakufanae
Watu wanaacha kutafuta maisha yao Ila wapo kwajili yakuzulumu Mali zawatu
Namali zamtu azijawahi liwa iviivi
Mungu akupiganie kakaangu Mungu ajawahi mtupa mjawake
Kweli pesa siokitu utu ndio utu ubarikiwe sana
Kazi nzuri sana jaman nimependa
What goes around comes around ❤❤😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪watching from kenya💞💞💞💞🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Zuri sana twataka igine zaindi ya Io da lakini Io Iko sawa sana
Hii movie hakika ipo good sana congra kwa walioshilik kuitengeneza mungu awajalie hekima na maarifa zaid na zaid mtultee muv zaid ya hii ahsant sana.🙏
Kumbe tulio toka Tiktok tupo wengi 🤣🤣🤣🤣🤣 Hongereni sana mnafaa sana kuigwa nyie
Yaani nimefurahi ee mungu nipe mtoto mwenyewe akili izi atanitetea Sana kwa Dunia hii😅😅😅😅😀😀😀😀😀yaani Monica na mamake wanakodoa macho, sio kwa raha izi
Daaa bongera fundisho hongera Sana kwenu nikweli pesa sii Kira kitu katika hii dunia🥰🥰🥰🥰
Wooooow hii ni movie 🎥 Kali Sana,Leo hii ndio nimeiona,tamu sana 🇧🇭🇧🇭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kazi nzuri sana kwa mtu na mjombake hilo nifundisho hata kwawengine nawapenda sana kutoka Kenya ❤❤❤❤❤❤
Aiseeeeee uncle Na mpwa wake majiniazzzzzz sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mashaa Allah tabaraka Allah kaka umetunza funzo hongereni sana wewe n mjombako
Dah mko sawa my sister's god blessed
Hongera sana kaka endelea kutuelimisha
Adamu wa maneno ya kuambiwa...leo umeniweza...😄😆
Daah kweli nimeipend inafundisha san
Kazi nzuri jamAa
Baada ya kuiona kule tiktok nimeifata hongereni sana kwa kazi nzuri
Hongera kwake mwandish na Ectors ujumbe umefika na nimejifunza vitu vingi San 🙏🙏 mtu na mjomba ake bravo🥰
Hizi ndo movie zinafaa kwa mafundisho kwa jamii.
Dah hongereni sana kuna kitu nimesoma kwenye hii picha
Safi sana kazi nzuri sana sana sana yaani cjalala mchana kuhqkikisha naimaliza tafadhl tupe ya 3 please uctukatishie utamu
Vizur ujmbe mzur nimependa
Mashallah kazi nzuri❤🥰🇰🇪🇰🇪
Mwaaaaaaah
Yuko vizuri huuu mdogo wangu
Uyo suzan mungu amjarie asome ad chuo kikuu
Daaa!! filamu nzuri sana iliyojaa nasaha yenye taswira katika jamii🇰🇪🇰🇪
Aiseeee congratulations 👏👏👏
🙏🙏🙏😍pesa sio kira kitu kabisa
Maishallah asante sana🥰🥰😍😍😍🤭
Mashallah nimevutiwa sana na pichai nikupenda ata ihishe 😂😂😂😂
Ongereni kwa muvi nzuri
Hama kwel iyi movie imenifuza kitu nawaomben wadungu zagu musiwai zarau mutu ati kwanjili ni maskin mungu niyeye umpanga maisha ya watu nawapenda sana kaka yangu wew na munjomba wako muko na roho ya subrah mungu awabariki 🙏🙏
Asante.. mpendwa
Nimependa hii kazi nataman kuona tunapiga hatua
Hakika mko vizuri sana
Movie mmoja pambe sana na inafundisha sana 👌
Mashalaaah video mxuri kweli,ina mafunzo maxuri xana
Watching from Tanzania much love ❤❤ thank you TikTok
Mashallah nzuri Sana nimeipenda
🤝👌👋🤲🤲👍
Ongereni sana wapenz kwakazi yenu zuri sana mubarikiwe wote ❤️❤️ yani ina mafuzo mazuri sana
Tunawapenda 😍😍😍😍😍😍😍
Kiswaili chamjomba nimekipenda wallah❤
Hongereni Hongereni Sana,,, movie yenye mafunzo
Jmn nimeipenda hii move Ina mafundisho mazur San🥰🥰🥰🥰
Inafaa kwa jamiii😘😘
Ahhahahaqhq amsugue gaga😃😃😃😃uncle kiboko
Nimependa Sana KAZI mzuri❤❤❤❤❤ndo adabu zao hizo umewapata lazima muwatumishe😂😂😂😂❤❤❤
Assalamu aleikum warmatulla taala wabarakatu. Mashaallah mwenye Enzi mungu akuzidishie kipaji zaidi ya hicho
mashaallah ama kwli nimejifuza 🔥🔥🔥👏👏
Movie nzur sana yaan sana 🌝
Dah!!!!!!! Inauzunishaa ila inafundisha
Kuna hekima sana katika hii video shukran kwa susana mtoto mwenye busara
Kazi Safi mungu awabariki Sanaa🙏🙏🙏🙏✍️
Big up suzii I love you from Kenya ❤❤❤ you have alot of confidence girl ❤❤
Dah bonge la massage nimelipatapo wallah Kuna mahali imefka karbu chozi linidodoke.......tz mafunzo yenu mazuri sana
Jifunze kuiona dhahabu hata ikiwa kwenye matope, sio lazima ikaoshwee ndipo ujue Dhamanj yake,
Duh yani mie na Monika tuko hapa kwa hapa,, kiswahili nachoo😂😂🙌🙌
Big up kwa wot mliofanikish sinem imetish
Kaka mungu awabaliki sana kwahushahuli we nu
Masantula nimekupenda bure kwahino movie
Asanteni Sana Kwa Kutupa fuzo la maisha twashukuru. Mungu awajalie muendelee vyivyo hivyo kujenga ulimwengu.
Nime penda sana pili nime pata fundisho na pia hamchoshi
Hakika Elimu yenu imefika vizur San mbarikiwe Sana🙏🙏🙏
Indeed the best Swahili sinema u child suzzy ur🥰😘
Wow nimeipenda sanaaa!!!!!Aisha from Kenya 😘😘😘
Wow movie nzur nmejifunza kweli🥰🥰 kila kitu kina umuhim hapa dunian
Jambo la busara Sana🙏🙏
Wa movie zuli sana mugu awanjalie maisha meme mzindi Ivo Ivo 👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🤙🤙🤙🤙🤙
Thanks so much yani mko vzr sana
🤣🤣🤣🤣mtoto mzuri uyu
Apo sawa iko poa sana hii movie❤
Pambe sana nimeipnda sanaaaaaaaa nawapnda wote walio shirk kutung mov hiii❤❤❤❤❤
Daa sina lakusem ongeleni
Wow kweli umenipa ujasiri mdogo wangu
Best movie 2021 yaan imenitoa tiktok mpka huku❤
Muvi ni nnzur sana na ina mafunzo mazur ndani yake vp tuishi kwa upendo na aman nimeipenda kwakwel.
Kazi nzur sana
Kazi nzuri sana ❤🥰🥰
Wow MashaaAllah, mjomba umecheza kma ww hongereni , rasta nakkubali
Moja ya bongo move bora saan huyu jama cjw kapotelea wap
Kwel kwa hii dunia pesa sio kila kitu
Noma sana, nime jifunza kitu hapa, mungu awabariki.
Kweny hii dunia ukiwa masikin huna haki kabisa watu kam hwa tunaishi nao kweny jamii yetu wamejaa sna c kila mfungwa jela anamakosa megine ndo kam hiv😒😒😒hongereni sna mlocheza hum ndani
Asant nimejifunza sana nilisikia sana kwamba pesa sikila kitu leo ndonimeona pia nimejifunza san endelea kutuelimisha zaidi balikiwaaaaaa sanaaaa
Move nzur na inamafunzo kama kuna matajir wa hivi kwa kweli mungu anawaona
Hii movie inafaa iletwe kenya uku ata watoe. Zora...inamafundisho sana
wapo tena wengi sana
Afande wa nyumban kabisa yaan namaanisha msambaa wa kwetu
Kali sna
Nzuri sana
Imeniliza San
Good movie full of lessons thanks from Uganda 🇺🇬🇺🇬
Very talented young kid 💞💞💞
Ooooh my God!! Aki unapo fuatilia hii movie kuna mengi utajifunza aki❤❤
Nzuriiii😘😘😘😘
Hawa mabinti ❤watakuwa watata sana badae mbele ya haji nakubli sana❤❤❤
Akh ina mafunzo sana Asante nime jifunza mengi sana
Mashallah kz Zur san
Mashallah kweli pesa sikitu
Mashallh kweli kabisa bro
nime jifunza mengi sana salute🎉🎉
kweli😂
Kusugua gaga tena jmn 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duuh wamenyooka kwakwel 😂😂😂😂