TUMEFURAHI AZAM NA COAST KUTOLEWA,AOHUA PALE BADO SANA WAPINZANI WATAJUTA .TAMBO ZA SEMAJI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 84

  • @SureJR-yd3zm
    @SureJR-yd3zm 18 วันที่ผ่านมา +11

    Hata mm nmeshangilia sana kutolewa Azam ibwe anajitpa sana kutwa kuiongelea simba tu

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 18 วันที่ผ่านมา +4

    KWELI AHMED ALIKERWA NA HAWA JAMAA..❤ Ni bora awasamehe tu❤

  • @AdolophinaShawa-pd8yo
    @AdolophinaShawa-pd8yo 18 วันที่ผ่านมา +7

    So kwa tabasamu ilo❤❤

  • @SamwelRashid
    @SamwelRashid 18 วันที่ผ่านมา +4

    Azam wamedindikiza safari Tu na costal😮😮😮😮

  • @user-bx1qo9fe3q
    @user-bx1qo9fe3q 18 วันที่ผ่านมา +3

    Leo umeongea ukweliii❤❤❤❤❤❤

  • @JamilaJuma-kl2em
    @JamilaJuma-kl2em 18 วันที่ผ่านมา +2

    Hsaaaahaaaah😂😂😂 Ahmed bhna eti weka RIP au innalillah

    • @NeemaJuma-t4g
      @NeemaJuma-t4g 16 วันที่ผ่านมา

      mmmmmmh pole sana 😢😢😢😢😢

  • @salustianchoma5011
    @salustianchoma5011 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hashim ibwe hajielewi anajitapa na kumaliza maneno yote ligi ya mabingwa siyo ndondo cup ajifunze.

  • @JbabyYonas
    @JbabyYonas 18 วันที่ผ่านมา +2

    Kwer shamed wachane

  • @sospeterkasawanga3770
    @sospeterkasawanga3770 12 วันที่ผ่านมา

    Wao waendelee kudhamini virabu waone Kama hiyo itawasaidia mechi za kimataifa.

  • @StevenTutuma
    @StevenTutuma 18 วันที่ผ่านมา +2

    We acha uongo we comedian

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ahmed Ally leo kasem kweli pongezi. Azam maneno mengi vitendo zero

  • @IsmailiMakuya-gy8co
    @IsmailiMakuya-gy8co 18 วันที่ผ่านมา +2

    Kweli semaji

  • @HusseinMohamed-t5o
    @HusseinMohamed-t5o 15 วันที่ผ่านมา

    Hiyo ndy furaha yetu hizi tim kutolowa zote

  • @user-uf6ni7wn4u
    @user-uf6ni7wn4u 18 วันที่ผ่านมา +1

    Daa leo jamaa kazugumuza poiti yani kasema ukwer kabx

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 18 วันที่ผ่านมา

    Ahamed tafuteni kikosi Cha Kwanza kwa mfano naina camara huseni kijili Abdul razak chameleon kagoma karabaka fenandes mashaka aohua na kibu Kama Wana ubora kidogo kiasi

  • @Frank_nzenga
    @Frank_nzenga 18 วันที่ผ่านมา

    Hii ndo tofauti ya semaji na ushabiki ibwe ally kamwe ni mashabiki tu 😅😅😅

  • @cesaryaudax6647
    @cesaryaudax6647 18 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli timu bado, ila baadhi ya wachezaji hawako vizuri kutoa pass kama akina Balua wana haribu mipira mingi

  • @CantiusBenedict
    @CantiusBenedict 18 วันที่ผ่านมา +3

    Uzalendo kwanza nyie wa tz

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 18 วันที่ผ่านมา +1

      UZALENDO KWA MZALENDO..

  • @thabitmgeni8775
    @thabitmgeni8775 17 วันที่ผ่านมา

    ULLO mie nimefurahi sana azama costal wana maneno mengi

  • @marialumbanga
    @marialumbanga 18 วันที่ผ่านมา

    Hahahaha kwa mara ya kwanza taaira kapona 😂😂😂😂😂leo umeanza kuongea ukweli endelea kuongea ujinga wako uone

  • @elickmaendeleo1141
    @elickmaendeleo1141 17 วันที่ผ่านมา

    😢

  • @user-bg6rs2rc5l
    @user-bg6rs2rc5l 18 วันที่ผ่านมา

    Kwanini msaliti akumbatie ni bora alivyoachwa tu huyo chama

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 18 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu1

  • @AlhajiJuma-s8j
    @AlhajiJuma-s8j 17 วันที่ผ่านมา

    Sasa mbn ateba hachiziiiiii

  • @nyamriakikube1077
    @nyamriakikube1077 18 วันที่ผ่านมา

    Hata mimi nimefurahi mnooo.. Walichonga sanaaaa...

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 18 วันที่ผ่านมา

    Semaji la CAF 🎉🎉🎉

  • @WistoniMtewele
    @WistoniMtewele 17 วันที่ผ่านมา

    Kiukweli Mimi ni mwanayanga lialia lakini umeongea ukweli kuhusu Azam , na sikubishi kwa shirikisho Azam Bado na club bingwa pia bado

  • @user-uf6ni7wn4u
    @user-uf6ni7wn4u 18 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂 leo jamaa kaogeya kimupila kabx siyo polojo

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 18 วันที่ผ่านมา

    Mm mwenyewe nimefurahia

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 18 วันที่ผ่านมา

    Ila Mimi bado sijaona uwezo wa aohua bado uwezo wake Ni mdogo na Kuna muda timu inashambuliwa badala ya kwenda kuisaidia timu anaenda mbele

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 18 วันที่ผ่านมา

    Mm pia nimefurai hizo timu zote kutolewa

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 18 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂timu ya sekondari kabisa hii

  • @drankskhally7019
    @drankskhally7019 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hata Mimi nimefurahi sana Azam kutolewa

    • @deogratiusGodfrey
      @deogratiusGodfrey 18 วันที่ผ่านมา

      Mmh hata wewe jaman dah mi naipenda azam lakn mie shabik wa simba

    • @mustaphawelder7022
      @mustaphawelder7022 18 วันที่ผ่านมา

      Azam wanatuaibisha, Bora wametoka warudi wakalambe ice cream tu

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 18 วันที่ผ่านมา +1

      Waache kuchonga. Waheshim wakubwa hata kama wamekosa nafaSi. Mkubwa hupewa heshima sio MATUSI...

  • @user-pi9us1vt8b
    @user-pi9us1vt8b 18 วันที่ผ่านมา

    Ubaya ubwela una Anza kuitika😅

  • @YahayaBakari-hf5yk
    @YahayaBakari-hf5yk 18 วันที่ผ่านมา

    Ahmed ww ni mtu sana hao wengine vichaa tu maana hawakuwezi

  • @JeniphaKipaji
    @JeniphaKipaji 18 วันที่ผ่านมา

    Waliyoihujumu Simba ili aende azamu mungu anawaona🤓🤓

  • @joharimussa-x3h
    @joharimussa-x3h 18 วันที่ผ่านมา +1

    😂mashine ya kuongea #ubaya ubwela _

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 18 วันที่ผ่านมา

    Kibu na barua waache ubinafsi wa kung'ang'ania kifunga wakitaka sifa,badala yake watoe pass kwa wenzao waliopo nafasi nzuri ya kifunga

  • @kisurangusa554
    @kisurangusa554 18 วันที่ผ่านมา

    Yani hapo umeongea jambo la maana sana,

  • @MstakimShaban
    @MstakimShaban 18 วันที่ผ่านมา

    Hata mm nimefurahi feitoto kuondolewa

  • @kulwaallen-ev9nz
    @kulwaallen-ev9nz 18 วันที่ผ่านมา

    Leo umeongea kweli semani ukweli ndiyo unatakiwa

  • @TheopistaGauza
    @TheopistaGauza 18 วันที่ผ่านมา

    We jamaa ndio maana nakukubal ninja unaongea ukwel co yule chura Ally kamwe kwny ukwel uwongo kwny uwongo uwongo kwel ww semaji la CAF

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 18 วันที่ผ่านมา

    Kocha abadili mfumo haeleweki

  • @ShukuruMathias-dx9xz
    @ShukuruMathias-dx9xz 18 วันที่ผ่านมา

    😅😅😅 kabisaaaaa

    • @razaqdumba
      @razaqdumba 16 วันที่ผ่านมา

      Aone nini?

  • @JbabyYonas
    @JbabyYonas 18 วันที่ผ่านมา

    Tena sana

  • @BoniphasLukas-c3c
    @BoniphasLukas-c3c 18 วันที่ผ่านมา

    Hahahaaaaa shule yasecondary ila Ahamed ally ngoja to uchukue ubingwa wahame nchi washamba franiiii

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k 18 วันที่ผ่านมา

    Reo umesema ukweri

  • @RajabZombie
    @RajabZombie 18 วันที่ผ่านมา +1

    borawarivyotorewa

  • @user-sf5dw3jr3g
    @user-sf5dw3jr3g 18 วันที่ผ่านมา

    Jings

  • @silvestersamson8503
    @silvestersamson8503 18 วันที่ผ่านมา

    uzalendo kwen

  • @HashimPepea
    @HashimPepea 18 วันที่ผ่านมา

    Jayant gani wewe unaeishia robo kila mwaka?

  • @amp1952
    @amp1952 18 วันที่ผ่านมา

    Kuondoka kwa Chama Simba kumeacha pengo kubwa. Alikuwa nguzo ya Simba kufanya vizuri kwenye michezo ya kimataifa.

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 18 วันที่ผ่านมา +1

      CHAMA SIO MWISHO WA SAFARI...
      ALISHA ANZA KUOTA PEMBE BORA AENDE TU

    • @sonmjofficialtv9090
      @sonmjofficialtv9090 18 วันที่ผ่านมา +1

      Hujui ball Kanye west huko ulale ivi ww kwa akili zako hizohizo ndogo kama mdomo wako umengoa jino na umeotesha jingine pengo linatoka wapi,

    • @IsackNzilu
      @IsackNzilu 18 วันที่ผ่านมา

      Jina tu lilikuwa linambeba

    • @marthamsacky6973
      @marthamsacky6973 18 วันที่ผ่านมา

      Simba ndio ilimfanya awe bora sio yeye kwamba akikosekana hatutafanya vixr
      Naimani tutafanya vzr

    • @edwardkwale4854
      @edwardkwale4854 17 วันที่ผ่านมา

      Badilika Chama unayemjua Taasisi ya Simba ndio iliyo mtengenezea jina...wapo wakina Chama wengine wanakuja...muda tu

  • @hamzarumela1784
    @hamzarumela1784 18 วันที่ผ่านมา

    Uzuri wako huwa unaongea ukweli

  • @OluloBoy
    @OluloBoy 16 วันที่ผ่านมา

    Hawana ubavu

  • @GraceMhoja-bu3ce
    @GraceMhoja-bu3ce 18 วันที่ผ่านมา

    hata me nmefutah sana Azam kutolewa

  • @Holiallen
    @Holiallen 18 วันที่ผ่านมา

    Ahmed Ali kichaa kimepona 😂😂

    • @JbabyYonas
      @JbabyYonas 18 วันที่ผ่านมา

      Utajuw kama kichaa au vp

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 18 วันที่ผ่านมา +1

      AHMED AMEWAAMBIA UKWELI. HUWEZI KUFUZU KTK MASHINDANO YA AFRIKA KISHA UKAIDHARAU SIMBA AMBAYO NDIO MOJA YA TIMU BORA AFRIKA.
      UKILETA DHARAU HUFIKI MBALI.

  • @InnocentPetermasonyi
    @InnocentPetermasonyi 18 วันที่ผ่านมา

    Naungana na were semaji nikweli

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx 18 วันที่ผ่านมา

    Kama yanga wanavofanya

  • @JbabyYonas
    @JbabyYonas 18 วันที่ผ่านมา

    Azam chali

  • @SalmaHamidu-t5z
    @SalmaHamidu-t5z 18 วันที่ผ่านมา

    Ww mwehu

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 18 วันที่ผ่านมา +1

      Umenyoosha lakini vingine vimekuelekea mwenyewe yaani ww ni zaidi ya mwehu

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 18 วันที่ผ่านมา +1

    Wachezaji wa Azam ni mayai mayai tu hawajitumi

    • @MsPapise
      @MsPapise 18 วันที่ผ่านมา

      True said kabisa ndugu wanaboa sana laiiiini sana.

  • @GodfreyMwendawila-ff7on
    @GodfreyMwendawila-ff7on 18 วันที่ผ่านมา

    Sijajua ni nini Leo ndo nimekufuatolia kumbe wew ni bonge la kumedian uko sawa sawa

  • @HusseinMohamed-t5o
    @HusseinMohamed-t5o 15 วันที่ผ่านมา

    Hiyo ndy furaha yetu hizi tim kutolowa zote

  • @user-uf6ni7wn4u
    @user-uf6ni7wn4u 18 วันที่ผ่านมา

    Daa leo jamaa kazugumuza poiti yani kasema ukwer kabx

  • @OluloBoy
    @OluloBoy 16 วันที่ผ่านมา

    Hawana ubavu

  • @OluloBoy
    @OluloBoy 16 วันที่ผ่านมา

    Hawana ubavu

  • @OluloBoy
    @OluloBoy 16 วันที่ผ่านมา

    Hawana ubavu

  • @OluloBoy
    @OluloBoy 16 วันที่ผ่านมา

    Hawana ubavu