Vitu 10 Vinavyoharibu Blenda Kirahisi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ย. 2024
- Kwa nini Blenda nyingi zinaharibika? Unaweza kusingizia Quality ya blenda ila tunaharibu blenda zetu kwa matumizi mabaya bila kufahamu na pengine kwa mazoea yake.
Hakikisha unaangalia video hii mpaka mwisho ili kuepuka matumizi mabaya ya blenda yako ili idumu kwa muda mrefu.
Pia kama una "ushauri" au swali yoyote, andika kwenye comment ili wengine pia wafaidike!
kama umefurahishwa na video hii, hakikisha una like, share na kusubscribe kwenye channel yetu.
Asanteni sana na karibuni wote
Instagram link: / fundi_dsm
Facebook page link: / bombaywallla
Nataka brenda yakusagia karanga brother
Asantee yangu nimeuwsa kweli
Asante sana izi blander zenye uwezo wa kusaga kila kitu mnauza bei gani na mnapatikana wapi
Asante duuu nilkuwa sjui
Asante sana kwa somo zuri, ila mimi natumia hiyo commercial brenda, lakini nilijaribu kusaga bitruits brenda ikazima
Hizo quality zinatofautiana boss wangu, nyingine matunda tu inazima
Asante sana,nimejifunza
Karibu sana boss 🙏
Ahsante fundi kumbe hiyo blender kubwa inasaga kila kitu yani ni pamoja na nyama?
Ahsante kuanzia leo ntafata maelezo yako
Ahsante sana sheh
Nahitaji kununua brenda heavy duty naomba muongoxo wako tafadhali ni kwa ajili ya biashara
Asante
karibu sana
Kitunguu maji jee
Ko hilo komesho hadi hilo tangawizi na kitunguu swaum linasaga bila shida
Kaka Brenda yangu imeua meno please
Kennywood ni blenda ndogo au kubwa
Una patika wap
Mim natumia commercial Brenda Ila nikichomika kwa switch umeme unakata shida Ni nin
Nahitaji na jagi ya heavy duty commercial bl
fundi mimi brenda yangu jag linavujisha tuu sjui ni nn yana inavuja mpk juyce inaenda ad kwa mota
Samahn naomba jinsi ya kujua kua hii ni blnd ynye motor nzr isiyokua frki
Jagi langu lime pasuka kama unalo naomba niuzie please
Fundi Mimi ninataka jagi la Brenda ya monelex
Unapatikana wapi
Thanks kwa somo
Sorry commercial blenda inauzwaje
Inaweza kusaga hata karanga(Peanut butter)
karibu sana, ila bei za blender sijajua boss, maana sisi tunarekebisha tu..kuna mashine special zinauzwa kwa ajili ya kutengeneza peanut butter kwa ajili ya biashara zinapatikana maduka ya vyombo
Mnapatikana wapi nina blenda ina tatizo
Kama na mwendokasi, Bombaywalla appliance repair and service, mtaa wa mwisho, Njoo kituo cha mwendo kasi ya kisutu, au soko la zamani la kisutu, usoni na ATM ya CRDB posta ya libya, zamani standi ya mabasi ya arusha yalipokuwepo, kuna choo cha kulipia, niko hapo nyuma, duka la njano utaliona..au google tu..simu 0684-017-700, karibu sana
Mimi rice cooker yangu inaunguza waya kila mara je tatizo ni nini
usichomoke kwenye extension cable au multiplug boss, waya uwe na plug ya pin tatu ili uweze kuchomeka kwenye socket moja kwa moja
Manatengeneza brenda?
Ndio tunarekebisha pia boss wangu
@@cities-flavors mnapatikana wap
@@cities-flavors mnapatikana wapi
Kwa Nini River za blender yangu inalika?(zinasagika)
Ni River nimekosea herufi
inawezekana jagi yako ya blenda inavujisha chini ndo maana inasaga meno za motor
@@cities-flavorskwahiyo inawezekana kupata meno mengine ya motor?
Unapatkan wap fund
Blenda ya kusaga nafaka inapatikana sh ngapi na zinapatika duka duka kwa Dar?
Maduka ya mtaa wa aggrey unaweza kupata boss wangu
Nataka ni pesa ngapi
@@cities-flavors ya bei ndogo ni sh.ngapi
Sorry mm brenda yng ni hyo km yko yenye injin nyekundu lkn kila nikiiwash kusaga kitu inatoa moshi shd nn..?
Je karanga inafaa kusaga Brenda ipi Kati ya hizo
Unatumia Brenda ya vitu vikavu apo naona haipo