#MEDANIZASIASA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
Naomba like zangu za kuwa Namba 1 juu kabisa
Hongera sana Star TV na Kipindi hiki cha Medani za Siasa kwa Kumuhoji Baba Raila,
Hongereni StarTV for daring
Nakubali ulimshinda kibaki ila hukumshinda Ruto
Laila odinga is not politician is the popular Kuna tafouti kt ya mwana siasa na maarufu lakini sio mtawala
Ubaya ni kwamba unaleta Ukabila sana kwenye siasa. Ungeachana na Ukabila naamini utashinda
Raila yuapoteza nguvu zake bure,nusu mkate katika serikali ya ruto haipo maana deputy president rigathi gachagua na wandani wake hawatakubali,alafu chengine,swala la wewe(raila)kuwa rais,halitofanyika kamwe.
Akili kichwani inamia mama
Raila siyo kiongozi bora.Wakati akiwa waziri mkuu aliwapendelea zaidi watu wa kabila lake la wajaluo.Hata hivyo,naamini alimshinda Ruto mwaka jana.
Gombea.naww.usiwe.
Unabagua