SABABU TATU HUJAPOKEA ROHO MTAKATIFU | MTUME MESHAK
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2022
- KUCHANGIA MCHANGO WA JENGO DAR ES SALAAM, TANZANIA:
MPESA: 0766812911
PETRO RENE
HALOPESA : 0621627201
PETRO RENE
AIRTEL MONEY : 0682186898
PETRO RENE
WESTERN UNION:
JINA : KOBO BOLAKO
NAMBA/WHATSAPP: +1 (312) 599-3270
COUNTRY: USA
STATE: ILLINOIS
Karibu Ukweli Ministries. Sisi ni huduma iliyoitwa na Roho kuhubiri ukweli, na hatutapita wiki bila kuhubiri ukweli kwa roho zilizopotea huko nje. Hili si dhehebu na kamwe hatutajiona kuwa ni dhehebu, lakini Bwana ametuita kurekebisha madhehebu. Kwa neema ya Mungu, tumefundishwa na Yesu Kristo kwamba yeye ndiye Mungu wa pekee wa kweli, mkamilifu katika uumbaji wake. Hatuamini utatu, kwa sababu hautoki kwa Mungu, na tumefundishwa na Mungu kukaa imara kwa kichwa ambacho ni Kristo (Wakolosai 2:19.) Mafundisho yetu yote yamethibitishwa na Mungu aliye juu zaidi. , Kristo Yesu. Na tunahakikisha kwamba hatufundishi chochote ambacho hakitoki kwake. Bwana awape kila mtu ufahamu na subira katika kusoma haya. Amina.
Welcome to Ukweli Ministries. We are a ministry called by the Spirit to preach the truth, and we will not go a week without preaching truth to the lost souls out there. This is not a denomination and we will never consider ourselves to be a denomination, but the Lord has called us to fix denominations. By God's grace, we've been taught by Jesus Christ that he's the one and only true God, perfect in his creation. We do not believe in the trinity, because it does not come from God, and we've been taught by God to stay steadfast to the head which is Christ (Colossians 2:19.) All of our teachings are confirmed by the highest God, Christ Jesus. And we make sure that we do not teach anything that does not come from him. May the Lord give everyone understanding and patience in reading this. Amen.
Social Media:
/ ukweliministries
Karibu Ukweli Ministries. Sisi ni huduma iliyoitwa na Roho kuhubiri ukweli, na hatutapita wiki bila kuhubiri ukweli kwa roho zilizopotea huko nje. Hili si dhehebu na kamwe hatutajiona kuwa ni dhehebu, lakini Bwana ametuita kurekebisha madhehebu. Kwa neema ya Mungu, tumefundishwa na Yesu Kristo kwamba yeye ndiye Mungu wa pekee wa kweli, mkamilifu katika uumbaji wake. Hatuamini utatu, kwa sababu hautoki kwa Mungu, na tumefundishwa na Mungu kukaa imara kwa kichwa ambacho ni Kristo (Wakolosai 2:19.) Mafundisho yetu yote yamethibitishwa na Mungu aliye juu zaidi. , Kristo Yesu. Na tunahakikisha kwamba hatufundishi chochote ambacho hakitoki kwake. Bwana awape kila mtu ufahamu na subira katika kusoma haya. Amina.
Welcome to Ukweli Ministries. We are a ministry called by the Spirit to preach the truth, and we will not go a week without preaching truth to the lost souls out there. This is not a denomination and we will never consider ourselves to be a denomination, but the Lord has called us to fix denominations. By God's grace, we've been taught by Jesus Christ that he's the one and only true God, perfect in his creation. We do not believe in the trinity, because it does not come from God, and we've been taught by God to stay steadfast to the head which is Christ (Colossians 2:19.) All of our teachings are confirmed by the highest God, Christ Jesus. And we make sure that we do not teach anything that does not come from him. May the Lord give everyone understanding and patience in reading this. Amen.
Social Media:
/ ukweliministries
Eeh Bwana Yesu niwezeshe kuishi sawa na neno lako, unitakase kea damu YAKO niwe safi ili Roho wako Mtakatifu afanye makao ndani yangu.
Amen.
Aminaa MUNGU akubarki san mtumishi mali ya bwana
Amina mtumishi wacha mungu abariki huduma hii iendelee mbele kama mimi imenifunza mengi yenye ata sikukua najua mungu niwezeshe nifanye kazi yako🙏🙏🙏🙏
Asainte sana mtushi wa mungu mungu akubariki sana umenitia nguvu sana ubarikiwe sana mtushi wa mungu meshak hio ni true pastor asainte sana
AMINA AMINA Mtume Meshack. Wakumbuke Sana wachungaji wa Kenya sababu wengi wanahubir baraka tuu hawatuonyii watu .Mungu aturehemu Sana , barikiwa Sana.
Great message to the church...Let those who have 👂 ears hear what the Spirit of God is saying
Mtumishi wa mungu ubarikiwe saana uinuliwe naomba niombee maguu inanisumbua saaana
Mungu akuongeze sana tu akulinde tena na Tena opotre de
Dieu
Amen ubarikiwe mtume wamungu nashukuru tangu nijue mungu sijwae Nena kwaluga maubiri yakonashukuru yamenijaza karama yakunena naomba mungu aniongeze zaidi naombea wenzangu wenye hawajapokea mungu awajaze mungu akubariki 🙏🇶🇦
🙏🙏huduma hii ibarikiwe,a
Bwana yesu asifiwe mtume wa mungu, Asante kwa ujumbe wa mungu ,mungu akulinde na akutumikie kwa viwango via juu sana katika roho wa mungu
Jamani tuwe tunajataidi kuandika Mungu kwa erufi kumbuka kuandika ndogo unamaanisha wa kuzimu Mungu atujalie neema.
Thank you for Good observation, noted may the Lord God almighty bless 🙌 the entire ministry .shallom
Gloria watching from Kenya ubarikiwe sana mtumishi wa mungu. Natamani sana kuwa na huduma kama yako inatia moyo inabadilisha mtu, napia inafundisha sana wengi kupitia manabiiwa uongo amina sana mungu akulinde pia
Jambo ndugu, naitaji kitabu cha utawa, nimwemedi nikiwa Congo uvira
Amen barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Naomba msaada wa maombi niombee nifanikiwe biashara yangu na mgonjwa wangu CHRiSTA apone nabiii wangu amina 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana kwa kunipa kweli
Mngu akuzidishie mtumishi
Barikiwa sanaa Kwa.. hiyo elimu..Asante..Kwa..kunijulisha..nisiyo..yajua..mungu akuinue..Kwa..Kila..kiwango
Amina mtumishi asante kwa somo zuri nimejifunza kitu
Amen and Amen
Naongoja jibu mtumishi wa mungu
Hii ndo injili ya kweli inayotakiwa
Amina kwa neno .Samahani mtu akitaka kuwasiliana na wewe atakupata vipi Mt Meshak
Ubarikiwe Mtumishi wa Bwana wa Majeshi,hayo yote ni Amina n'a kweli na nime ya pokea Amina.Mungu anikumbuke n'a mimi katika huduma yake.
Na yote Mungu aliyo ni ahidi niya fikie kwa uweza wake ........
Asante Kwa ibada hii
Umenisaidia na nimebarikiwa katika somo zako mbambali ila naomba roho ya munguu ikae nami daima
Asante mtumishi,ubarikiwe
Amen mtumishi wa mungu awe pamoja nawe katika huduma yako
Napenda sana mafundisho yako nabii naweza aje kumiliki ufalme wa mbingu nkiwa na tattoo kwa mwili na dhambi nyingi mbaya mchungaji kwa kuwa nahisi siyuko sahihi kabisa mchungaji tafadhali
Tubu toka moyoni Mungu atakusamehe
Amen
Amen amen 🙏 EEEMUNGU wangu uninjaze Roho wako mtakatifu
mungu azidi kukutumia,,,, Asante kwa ujumbe huu bwana atusaidie sana
Mwenyezi mungu akujarie kwa kalama yako uliopewa amen
Amen.
Amen Amen
amen mtumishi Mungu akubariki saaana
Powerful mgs be blessed my brother 🙏
Mungu atubadilishe nimeamua kufuata Mungu Kwa maana mambo ya duni yametupotosha
Asante ubarikiwe
Mungu akupe nguvu na baraka tele, tumepotoswa sana
ubarukiwe mtumishi wa MUNGU.natamaani unibatize na mimi nipate uokovu kutoka kwa MUNGU niokoke katika jina la yesu ila nikombali sanaaaaaa uko Congo 👍👍👍🤗🤗🙋🙋🙋🙋💜💞🌼🌻💕💛🧡💗💓💙💚👏👏🌺💖🙏🙏🙏👍🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mungu nisameye na unisaidiye
Asante kwa Mungu kunielekeza kwako Mungu ukubariki Mtumishi
Najifunza Mengi yale sikua najua
Mimmi Nancy kutoka kenya ,mungu adumishe huduma hii, kwa kweli mungu amenena nami
Amen Amen Amen Mtumishi Niombee Sana Na Watoto Wangu Mungu Tumpokee Roho Mtakafu.NaFamilia Wote.
Asante kwa ujumbe mzur
Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu, naomba unisaidie na maombi nkianza kusikiliza mahubiri yako huwa nasinzia
Amina mtumish kweli kabisa neno la wakati hilii ubalikiwe
Barikiwa sana mutumishi nayafuatia sana mafundisho yako na yananibariki sana
Asante BWANA YESU kwa kunikutanisha na mtumishi wako, kupitia chanel hii.
Amen mungu azidi kukutumikia ili nawe utunehemishe ss bado wachanga kwa kupokea roho mtakatifu
Bwana Yesu aniongezee shauku katika kumpenda zaidi
HalleluYah Amen Amen. More blessings unto you apostle.
Amen namshukuru Mungu kwa mafundisho haya
Nasisi tuna kupeda mtume wa mungu tutakuobaya nguvu zaroho mtakatifu na shetani atashidwa kwa jina la yesu kristo Amina
Asantii balikiweni mtumishi waja nami mungu anifundishe niaje tabia zangu mbaya nifuate yesu
AMEEN MUNGU akuinue na MUNGU azidi kukutia nguvu ili huduma iendelee 🙏🙏🙏
Shalom mtumecwa Bwana ubarikiwe mie kutoka Tanzania
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
MUNGU akuhifadhi mteule wa MUNGU🚶🏃🏃
Neema ya Bwana Yesu ikuzidie mtumishi.....naomba muniadd Kwa group ya ukweli ministry
Naomba msaada wako mtumish nisaidie niweze
Ubarikiwe Sana Mutumishi wa mungu kwa ujumbe muzuri AMEN 🙏 be blessed from Kenya
Mimi Nashukuru sana Kwa huduma hii maana nazidi kujifunza mengi kupitia huu huduma kutoka Kenya
Ubarikiwe saana kaka
Amen mtumishi kwa neno ya ukweli.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu More grace 🙏
Kazi yako ni njema hakika Bwana atakulipa taji ya uzima
God bless you man of God let us all uplift the Mighty Name of Jesus Christ 🙏🙏
Yesu a sante kwa neno umbarikiwe mtume wa bwana mungu
So powerful 🙌🏾🙌🏾
Amen, nisaidie Bwana Yesu mwenyewe siwezi. Amina
Heri MWISHO wa NENO kuliko MWANZO......Mungu Akubariki Mtumishi..Mwanzo walikupiga lakini leo wanakukubali.....MUNGU NI MWEMA🙏🙏
Aminaaa Mungu turehemu
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana MUNGU
Amen Amen barikiwa sana Mtume wa BWANA
Amen, go ahead mtumishi wa Mungu
Barikiwa sana sana mtume wa Mungu.
Mariam musa Amen Ame
Mungu aturehemu🙏🙏
SAS ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Amen kubarikiwa sana 🙏 🙌 ❤️
Sifa utukufu heshima ni kwa Bwana Yesu.
Amen halleluya
Ubarikiwe sana mutumishi Kwa ujumbe huu mzuri AMEEN amen be blessed
Amen Mungu akubariki sanaa.
AMEN AMEN AMEN ubarikiwe sana mtumishi
Mungu ni ongoze
Mungu akubariki kwa huduma yako.
Thanks a lot my spiritual father you really teach the true gospel of Christ My the oil on your head never dry up .
Mm kama mm nakuelewa Sana nakubal kuwa unatumiwa na MUNGU wa mbngun alye hai nabarkiwa nasonga mbele
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu
Kweli kabisa mtumishi waMUNGU
Roho wa Bwana yupo kazini
Mungu akubariki sana
Barikiwe
Uniombee mtumishi wa mungu
Mungu akubariki
Amen and amen
Kubuka kenya sana hakuna mafunzo kabisa ni baraka tu hakuna kuonya kenya tuna hitaji kutubu
Thank you for teaching this have been asking myself :God you showed me this: but when I try doing it's not working and have been wondering why? thanks know i know hapo kwa machafuko ya moyo,na maombi mafupi!
Praise God, mutumishi niombee na umwa sana nipone.
Roho mtakatifu nijaze ,,mtumishi mungu akuzidishie maarifa ya juu zaidi uzidi jutufunua kupitia mafuzo yananilea vizuri