"RC NIACHIE HUYU NAMMUDU" - UJENZI WA SHULE WAZUA MTAFARUKU SINGIDA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 พ.ค. 2023
  • "RC NIACHIE HUYU NAMMUDU" - UJENZI WA SHULE WAZUA MTAFARUKU SINGIDA
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 15

  • @zuberiismail2972
    @zuberiismail2972 ปีที่แล้ว

    Ferdinad irunde uko poa sana kureport, big up mnyampaa,

  • @salummsabaha7429
    @salummsabaha7429 ปีที่แล้ว

    Uhusiano wako na Mungu, ndio msingi
    imara wa mahusiano yako na watu wengine.

  • @regnaldymambaly9880
    @regnaldymambaly9880 4 วันที่ผ่านมา

    mweshimiwa hapo tumia rungu kama makonda ukiwaambia naombeni hawatakuelewa

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 ปีที่แล้ว

    Watanzania ni watu wa ajabu sana!

  • @EdwardMghuna-rg8rx
    @EdwardMghuna-rg8rx ปีที่แล้ว

    Kwa vitu kama hivi inapaswa uchunguzi wa kina busara hekima na hofu ya MUNGU

  • @saidsalum423
    @saidsalum423 ปีที่แล้ว

    Usisiemu ndio shida hapo msichanguee chama hapo

  • @felikpetro1943
    @felikpetro1943 ปีที่แล้ว

    Jamani chonde chonde kwa viongozi wetu wa ngazi za juu chunguzeni haya mambo kujiridhisha kabla ya kufanya maamuzi ivi hadi ujenzi unafikia hivo vitongoji viwili tuu ndo vimefanya kazi peke yao! sio kweli; angalieni kwa makini kuna genge la wahuni kijijini kwetu linalosababisha haya yote

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 ปีที่แล้ว

    Nyinyi maccm ni majizi tu hata Mimi siwezi kuchanga hiyo fedha

  • @saidybhokey5744
    @saidybhokey5744 ปีที่แล้ว

    kwann lazima kuchangia shule sio lazima niwajibu wa serekali

  • @reubenkissinga5802
    @reubenkissinga5802 ปีที่แล้ว

    Sasa ingekuwa kujitolea kwenye ujenzi wa nyumba za ibada!!!kungefurika watu na chakula kingekuwa kinapikwa saiti!!

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 ปีที่แล้ว

    Huo u Ccm ndo unao watafuna hamuwezi fanya kazi bila kutaja hilo jina??????????

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw ปีที่แล้ว

    Majitu ni mezi lakini wananchi tuwe kama mbogo lazima kumshughulukia ipasavyo sasa watu wanachukulia poa miladi ya wananchi haya hauwezi yaona dunia kokote lakini unakuta vitu vya kijinga bado watu hawajitambui sio blabla.

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 ปีที่แล้ว

    Nyie nchi imeshakwisha yamebaki maneno tu stupid