WADUDU WANA KIASI KIKUBWA CHA PROTINI KWA AJILI YA KUKU NA SAMAKI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 41

  • @salehmgide9538
    @salehmgide9538 5 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana kazi ni nzuri mmeiona fursa mkaitumia

  • @petronillajosephat2655
    @petronillajosephat2655 4 ปีที่แล้ว

    hongera sana kwa kazi nzur na elimu nzur

  • @eradolyamuya3929
    @eradolyamuya3929 5 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana.Mimi nahitaji hao wadudu wakiwa wazima

  • @MateiAtanasi
    @MateiAtanasi 13 วันที่ผ่านมา

    Safi mnapatikana wapi ninaitaji funza

  • @josiahkulwa34
    @josiahkulwa34 2 ปีที่แล้ว

    Hongera

  • @jbwisdom5690
    @jbwisdom5690 3 ปีที่แล้ว

    Mko vizuri mawasiliani nitapataje

  • @saidhamisi2795
    @saidhamisi2795 4 ปีที่แล้ว +1

    Hapo sawa

  • @benedictmhina4819
    @benedictmhina4819 6 หลายเดือนก่อน

    Mbegu ya hao wadudu inapatikana wapi?

  • @godfreymwambakatimo9000
    @godfreymwambakatimo9000 4 ปีที่แล้ว

    KAZI NZURI SANA,NAONBA KUJUA BEI ZAKE MAANA NAITAJI KUWATUMIA KULISHA SAMAKI

  • @kabyemelaibra3236
    @kabyemelaibra3236 ปีที่แล้ว

    Naomba kujua hao inzi wanakula nini ili waeze kutaga?

  • @majaliwamaingu2825
    @majaliwamaingu2825 4 ปีที่แล้ว +9

    Kwa Wabongo tulivyo hata siku moja hawezi kukuelezea kinagaubaga namna ya kuwatayarisha hao inzi zaidi ya kukuburashia tu na ndo maana hawawezi kujibu comments.
    Vile vile kama unataka kuanza kuwazalisha hao maggots ingia kwenye mitandao tu utajifunza kila kitu, tusichoke kujifunza ni kiasi tu cha kuandika Black Soldier Fly Larvae farming unaletewa kila kitu. Utaona how to feed the BSF, how to build the cages for maggots breeding. Tusichoke hawa inzi tunakaa nao pamoja na kuwa ni siyo house fly bali ni wild fly. Tugoogle tutajifunza mengi.
    Wataalamu wa kufuga hawa inzi hasa ni Waindonesia, waphilipino hata waganda tu.

    • @lameckmarco3964
      @lameckmarco3964 4 ปีที่แล้ว

      Majaliwa Maingu ushauri mzuri, me nilishateseka natafuta jinsi ya kufuga senene sijafanikiwa.

    • @muhammedwakif6216
      @muhammedwakif6216 4 ปีที่แล้ว

      Nimeamgalia wanaelezea vzr

    • @nicksonurassa4033
      @nicksonurassa4033 3 ปีที่แล้ว

      Umesema vuzuri broo

    • @kassimhatibu8659
      @kassimhatibu8659 2 ปีที่แล้ว

      Habar naomba kujifunza au mniuzie hao inzi

    • @afiamsangi3717
      @afiamsangi3717 ปีที่แล้ว

      napmba no

  • @erickemanuel1171
    @erickemanuel1171 2 ปีที่แล้ว

    Haina maana kurushia Crip bila mawasiliano ya wazalishaji

  • @petronillajosephat91
    @petronillajosephat91 ปีที่แล้ว

    Mbna hamuwek mawasiliano nnahitaji pia mnauzia wap

  • @eradolyamuya3929
    @eradolyamuya3929 5 ปีที่แล้ว +1

    Naomba kuwatembelea ili nijifunze

  • @tumainicompany4294
    @tumainicompany4294 2 ปีที่แล้ว

    Tunaona namba zenu

  • @gabrielurio6545
    @gabrielurio6545 ปีที่แล้ว

    Hao wadudu wanakula takataka kama mabaki ya chakula yaliyo changanyika kwa kusaga yawe kama tope

  • @nikuzejoselyne7834
    @nikuzejoselyne7834 4 ปีที่แล้ว

    How much price for 25kgs or per kg

  • @KukuVillage
    @KukuVillage 5 ปีที่แล้ว +1

    Mbona hamjibu comments?
    Ni vizuri mngeweka na mawasiliano ya namna ya kuwapata hao wazalishaji ili kupata bidhaa hizo.

    • @majaliwamaingu2825
      @majaliwamaingu2825 4 ปีที่แล้ว

      Hawawezi kukujibu andika tu BSF farming utaletewa kila kitu ndugu yangu pamoja na kuwa lugha inayotumiwa siyo lugha yetu lakini utaelewa kwa vitendo.

  • @bahusasylva8097
    @bahusasylva8097 3 ปีที่แล้ว

    Naitaji mayayi ya Black solder fly, ninayapataje?

    • @evancetemba3336
      @evancetemba3336 3 ปีที่แล้ว +1

      Ni rahis kuwapata

    • @bahusasylva8097
      @bahusasylva8097 3 ปีที่แล้ว

      @@evancetemba3336 Nafurai kusikia kama niraisi kuyapata,

    • @evancetemba3336
      @evancetemba3336 3 ปีที่แล้ว

      Chukua kinyesi cha kuku kama kilo moja na pumba kama kilo moja changanya na maji kisha weka kwenye ndoo ndogo mbili.tafuta papi mbili ndogo za mbao kata vipande vipande kisha unganisha vipande viwili viwili hakikisha unaisha nafasi kiasi kati ya hizo mbao ili atagie humo.weke hizo papi ndani ya ndoo kwa kupishanisha kama msalaba. huo mchanganyiko ukishaanza kuvunda peleke kwenye vichaka acha huko kama week nzima ila uwe unaenda tembelea kuona maendelea...utawakuta tu wametaga.

    • @evancetemba3336
      @evancetemba3336 3 ปีที่แล้ว

      Ili kuzuia mchanganyo kugaribiwa na wanyama unaweza hata ning'iniza ndoo zako huyo inzi atafika tu maana atavutiwa na uvundo....yan kifupi huyu inzi hupenda uvundo so penye uvundo ataku atataga wewe weka mazingira tu kama nilivyokuelezea...baada ya hapo endelea na masomo yapo you tube mengi tu kuhusu jinsi ya kulea mpaka anakua inzi.

    • @bahusasylva8097
      @bahusasylva8097 3 ปีที่แล้ว

      @@evancetemba3336 Ninashukuru sana nitajaribu

  • @abdalasaidngozi554
    @abdalasaidngozi554 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa KAZI nzuri.Mimi NI mfugaji nahitaji hao funza waliokaushwa.pia wazima.Tafadhali nijuze bei zenu,Mimi 0758111802.

  • @ezekielsangari9675
    @ezekielsangari9675 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi kbisa naitaji mbegu namba zangu 0743539874 namba ya wsp 0762658727

  • @mjimtakatifu4300
    @mjimtakatifu4300 4 ปีที่แล้ว

    Kwa anayetaka kujua namna kujua namna ya kuwatengea hao nzi wasiliana mimi kwa namba 0714510795

  • @richardmarisa1600
    @richardmarisa1600 4 ปีที่แล้ว

    Naomba kujua namna ya kuandaa 0785 021 993

  • @MateiAtanasi
    @MateiAtanasi 13 วันที่ผ่านมา

    Safi mnapatikana wapi ninaitaji funza

  • @MateiAtanasi
    @MateiAtanasi 13 วันที่ผ่านมา

    Safi mnapatikana wapi ninaitaji funza