ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Mpo vizuri sana mnafundisha jamii
Duuu kama walimchulia maana hii ni miezi sita iliyopita saaa kafariki R.I.P MZEE MATATA
Yaani mko sawa. Safi kabisa. Tunawashukuru sana.
Oh umependeza leo dada mashallah
"Acha kupiga makelele tafuta plan b" safina always my favourite...
Kutoweka jamani mnatunyima uhondo sanaaa
Usijali, tutafanya hivyo. Asante kwa kutuunga mkono.
R. I. P. Mzee matata
Wakwanza😗😗😗😗🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲😘😘😘
Hongera na asante kwa kutuunga mkono. uwe na siku njema.
Shukrani
Mariam, sasa naona unaziona zote, wafahamishe na wadau wengine nini cha kufanya, Asante kwa kutuunga mkono.
@@lusese1 nimeziona mbili mpya ni matarajio yangu nitaendelea kuziona, haya asante na uwe na cku njema.
Naenda kutengeneza nae mkataba mbavu zang duu
R.I.P mzee matata ....mwendo umeumaliza
Mkongo mbona umechoka ivo shida nini Mzee baba
Kwa niaba ya mkongo, yupo vizuri ni mapito tu ya maisha. lakini yupo vizuri.
Sema Muwe Mnatuwekea Kila Jumapili Wakuu Ikishaonyeshwa ITV
Tutafanya hivyo, tulisimama sababu tulisimamisha production, lakini sasa kama kawaida. Asante kwa kutuunga mkomo
R.I.P Matata
Wapo vizuri saaaaana...😁😁
Sio burudani tu, bali kuna mazingatio. Mola akuweke pema penye wema mzee matata.
😭😭😭😭😭😭tutakukumbka sana
"Uhai wa Mzee siku hizi no kama mshumaa" 🤣🤣🤣 Dhaaa
Mnachelewa sana kupandisha you tube tatizo nini aisee ?
Asante kwa kutuunga mkono Fredirick, usijali tutaziweka mfululizo kuna tatizo kidogo lakini mambo yatakuwa mazuri.
Hahahaaaa mzee hajakata moto huku watu wanagombania maali
1
Kwakweli tunajifunza na kuburudika pia
Asante kwa kutuunga mkono, James.
😂 karibu sana 🤝
Pamoja sana, na hatutawaangusha.
Kanunuwen nvyakwenu acha kutegemeya nvya babaenu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Nikuzur sn vipind vyenu vina mafunzo na vyakuchekesha
Nazi nzuri lakini muwe mnawahi kuweka.
Kula bure kulala bure
Chamtu mavii😂😂😂😂😂😂😂😂👌
Eti umekuja kusalimia au kufumania..
Mafunzo mazuri kwa wenye akili mjifunze
Mpo vizuri sana mnafundisha jamii
Duuu kama walimchulia maana hii ni miezi sita iliyopita saaa kafariki R.I.P MZEE MATATA
Yaani mko sawa. Safi kabisa. Tunawashukuru sana.
Oh umependeza leo dada mashallah
"Acha kupiga makelele tafuta plan b" safina always my favourite...
Kutoweka jamani mnatunyima uhondo sanaaa
Usijali, tutafanya hivyo. Asante kwa kutuunga mkono.
R. I. P. Mzee matata
Wakwanza😗😗😗😗🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲😘😘😘
Hongera na asante kwa kutuunga mkono. uwe na siku njema.
Shukrani
Mariam, sasa naona unaziona zote, wafahamishe na wadau wengine nini cha kufanya, Asante kwa kutuunga mkono.
@@lusese1 nimeziona mbili mpya ni matarajio yangu nitaendelea kuziona, haya asante na uwe na cku njema.
Naenda kutengeneza nae mkataba mbavu zang duu
R.I.P mzee matata ....mwendo umeumaliza
Mkongo mbona umechoka ivo shida nini Mzee baba
Kwa niaba ya mkongo, yupo vizuri ni mapito tu ya maisha. lakini yupo vizuri.
Sema Muwe Mnatuwekea Kila Jumapili Wakuu Ikishaonyeshwa ITV
Tutafanya hivyo, tulisimama sababu tulisimamisha production, lakini sasa kama kawaida. Asante kwa kutuunga mkomo
R.I.P Matata
Wapo vizuri saaaaana...😁😁
Sio burudani tu, bali kuna mazingatio. Mola akuweke pema penye wema mzee matata.
😭😭😭😭😭😭tutakukumbka sana
"Uhai wa Mzee siku hizi no kama mshumaa" 🤣🤣🤣 Dhaaa
Mnachelewa sana kupandisha you tube tatizo nini aisee ?
Asante kwa kutuunga mkono Fredirick, usijali tutaziweka mfululizo kuna tatizo kidogo lakini mambo yatakuwa mazuri.
Hahahaaaa mzee hajakata moto huku watu wanagombania maali
1
Kwakweli tunajifunza na kuburudika pia
Asante kwa kutuunga mkono, James.
😂 karibu sana 🤝
Pamoja sana, na hatutawaangusha.
Kanunuwen nvyakwenu acha kutegemeya nvya babaenu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Nikuzur sn vipind vyenu vina mafunzo na vyakuchekesha
Nazi nzuri lakini muwe mnawahi kuweka.
Kula bure kulala bure
Chamtu mavii😂😂😂😂😂😂😂😂👌
Eti umekuja kusalimia au kufumania..
Mafunzo mazuri kwa wenye akili mjifunze