Zuchu - Tanzania Ya Sasa (Official Audio)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 มิ.ย. 2020
- Wimbo Maalum Wa Kukipongeza Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Unaweza Kuupata Kwa Kugusa 👇🏼
audiomack.com/zuchu/song/tanz...
Get IamZuchu EP Now 👇🏼
zuchu.lnk.to/iamzuchu
Audio Produced By Lizer Classic
For Bookings:
Contacts -- bookzuchu@gmail.com
Connect With Zuchu On:
Instagram: / officialzuchu
Facebook: / officialzuchu
Twitter: / officialzuchu
#Zuchu #Tanzania #CCM
Copyright ©2020 WCB Wasafi. All rights reserved. - เพลง
Yaaan kat watu wote waliowah kuimbia Tanzania hii ni hatariiiiii nataman kukoment kila saa anakwambia TANZANIA HAIIIIIIIII💥💥💥💥💥
NakubaL
We senge kwel na Komba tusemeje
Wanaosema zuchu anaimba tarabu wapo wapi.. zuchu ametupa kitu Cha rege .. I love you ZUCHU
Wameinama macho kodo
hhh
Anajua sana
Nani kaja baada ya baba yetu kutuacha...rip...jpm...milele utakumbukwa...we loved you ila mungu kakupenda zaidi
Napendekeza wimbo huu upitishwe na kamati kuu kama wimbo wa kampeni. Unafurahisha kwa lika zote. Hongera sana Zuchu.
Huu wimbo utanikumbusha daima kuhusu Magufuli wetu.
Wallah Zuchu Dada wew unajua Me sikwambii kwa Jicho la Daimond tu Hakika wewe ni zaidya Genious Zuchu nakupenda sana Dada Mungu akutunze Zuchu wetu Uzid kufikisha Ujumbe Mbali Ndan ya nchi na Nje ya Nchi Mung akupe maisha mema Zuchu wetuuuuu😍😍😍😍😍😍😍😍🤩🤩🤩🤩😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Who is here after our dad's death... 😭😭😭😭😭😭😭 R.I.P baba you'll forever be in our hearts 😢😢😞😞😔😔😭😭😭😭😭
Me
Am here too it’s too hurt.. RIP baba you’ll always be in our hearts 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😑😑😑😑😑
Me lala salama Shujaa wetu Rais wa wanyonge rip JPM
Niko hapa baada ya kifo cha raisi wetu magufuli 😭😭😭
haijawai tokea Kenya!!! Jamani Magufuli kiboko.... kenyans lets give H.E Magufuli hizo likes zake...
hey mambo VP
And
from 254🇰🇪 namkubali huyu mtoto,,katisha kweli kama 🦁 baba yao💪❤️
The Iron Man John Pombe Magafuli was a great leader. I know some hated him. He caused a lot of problems for a lot of corrupt people....but I’ve got nothing but admiration for him as a PM. Strong, determined and fearless. World knows Tanzania because of him. There will never be a Man like him for Tanzania 🇹🇿
Magufuli will always stay in our hearts..safiri salama baba😭💔
Wa kwanza comments zenu from Kenya me wcb fan 50 likes only
@@kunguruflix_ utakua unanlipa kiasi gani
Reggae ya Zuchu. Napenda Tanzania na rais Magufuli kutoka Martinique, Ufaransa !
@@kunguruflix_ tuungane bro we grow together on TH-cam
WCB 4 LIFE
@@kunguruflix_ hkk
Magufuli duniani
Ningependa jina la samia lifutwe kwenye huu wimbo sababu anaenda kinyume na alivyokuwa magufuli ye zake kutembea kila taifa badala ya kuzunguka Tanzania kujua shida zao
Aky magufuli alikua kiboko y Africa twakukumbka bdo BABA Insha'AllAH Mungu aike roho yko mahali penye wema peponi
Nyimbo hii italeta wabunge wote wa ccm bungeni baada ya uchaguzi mkuu mark this word.Zuchu umevuruga upande wa pili sasa Mh Makonda ipeleke clouds pia ipigwe hii nyimbo ni 🔥🔥🔥
Tulio repeat hii ngoma tujuane hapa 👍😄
Nmerudia kama mara kumi na nusu
Tanzania haijawahi kutokea nyimbo bora ya Chama kuzidi hiiii ..... Haichoshi
Daaaaaaaaa naurudia kila ukiurudia ndio unapo zaidi kuwa taaaaaaamuuuuuu
Mungu muongoze rais wetu
Pamoja sana
Waooooooh hatimae imewekwa, leo nipo top ten, kwenye comments like zenu please
I am Kenyan, I came here once again after JPM's death because I have Tanzanian tendencies. I am so sad😭😭. May He RIP.
Please adopt me Kenyans. I love how your swahili sounds.
Great nationalism among Tanzanians. I was there when he won the elections 6 years back. Remember his punch line Hapa Kazi Tu. I came back to Tanzania after 6 years to see the changes this country has made. The new classy International airport, the flyovers, the buildings and the progress. I am impressed. RIP SIR.
You will always be remembered John Pombe Magafuli.
Sad for Tanzania, sad for Africa! but some people don't see it that way they always needs their corrupted leaders in the name of democracies. they call him a dictator
Anaemkubali Zuchu kua ni mwamba like twende Sawa👍
Good song Ingawa kuna basdhi ya watu hawatoisikiliza mwanzo mwishoooo #wcb the only one in Africaaaaaaa
It's painful to lose such a great leader. Rest in Power JPM. Sad
Absolute genius Zuchu!! " Saint Magufili" pray for us.
Woyo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 gonga like unajivunia kuwa mtanzania
Zuchu kashampoteza Nandy iko wazi kabsa..
Ota ukimaliza uamke
@@everrineanyango7410 kwanuongo
mbona kitambo tu we unajua leo
na sio nandy tu wasanii wa kike wote hapa East Africa
Yaan wasanii wa kike woote hata system znasoma ivo
We Kenyans are mourning with you our brothers and sisters in Tanzania
Nani amekuja huku after kifo Cha magufuli Aki 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Meee daah
@@sabrinalema9125 it's really sad dear.
😭😭😭😭😭
Mimi apa 😢😢😢
@@halimaabdul7380 😭😭😭
Wcb for life 🔥🔥🔥🔥🔥
Km mnamuona mzee small anatk kurud kundin alf tuxhamkataa gonga like 100
😂😂😂..... Mzee small....
Ila we jamaa mkolofi sana
Imenibidi kuludia ludia daaah ZUCHU# nimekunyoshea mikono juu Like zake apa jamn katisha👍✨✨✨
🎉😊👏😁👏😃🎉
Congratulations!
Hii Mara ya 6 leo nasikiliza hii nyimbo
May God bless Tanzania...From Kenya🇰🇪🇰🇪 with LOVE.💯❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎼🎼🎼💕💕💕
God bless u too kenyans ,,,we love u our neighbors
J
James Mbezi
James Mbezi
Alah kumbe ni wewe Kelly thanks so much ❤
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
Am glad to see it , we real loved our president😔
Dah huy zuchu ni noma na nusu iyo sauti sasa mungu azid kukupigania wewe ndie mwanamke pekee tunaekutegemea tutuwakilisha kimataifa kimuzic much love u zuchu😘😘
GOOOD SONG KWA TANZANIA 🇹🇿 ❤️❤️❤️✊🏿😍🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿😬✊🏿
"Legends dont die"...... your words will foreva live with us ..... your actions will foreva be remembered .... your name is gonna live for years and years to come .... am going to live this comment here n i ll be coming back each year to comment something that we miss from you Mr. President
I pray this comment also lives here for years as we mourn for you .....
Till we meet again rest easy in heaven Sir🕊
You’ve said it all 👏🏿
To God be the glory, Mungu amekupokea baba.
Waliorudi kuiangalia hii nyimbo baada ya leo taifa kupigwa wagonge like hapa r.i.p baba etu😭😭
Haya wa CCM wote like hapa..... mambo Yamesha anza kuwa moto 🔥🔥🔥
Ila wewe kwa kuimba upo vizuri sijui Mzee CHIBU ndio amekupa maskiliz hongera Sana wimbo mzuri Sana ingawaje no wakisiasa na sisi wengine sio wanasiasa WOTE TUSEME ZICHU NI MKALI SANA
Kabisa yaaaaaani
Uyu dada anaandika na kuimba mwenyewe yuko vizur Wallah
Umenena..ana sautu
@@zenamadhan2517 au wewe inasemaje,
Kama wewe umeipa hii nyimbo No.1 katika nyimbo zoote za siasa, zilizotoka, gonga like!! 👍
Ani hii Ndo no 1 kabisa
@@ikupalasts8353 p
qqq
🙌🙌🙌💗😋🌹🌹🌹
Big up Sana.
I like it
Ngoma tamu Sana dah!... Hii nyimbo tamu Sana hasa ukiwaa ndani ya daladala alafu umeweka headphones zako maskioni. ... Unapita pale daraja la mfugale au ubungo flyover... Dahhhhhh.... We jaribu Siku moja ..... Utajikuta una hisi damu ya uzalendo Ina ongezeka mwillini mwako....
HV kwa nn diamond asimuoe huyu dada... Wawe kama jayz na Beyonce... Couple Yao inaweza kuwa konki Sana...
😆
Nakubali mwanangu 😂😂😂
Nakubali
Umeongea kwahisia plus hii nyimbo najiis km npo dar tho npo moro
Umenipa msisimko😳😘
Zuchu u are the voice👌🔥🙌👏
Atakua amevuka mipaka
Waliosema zuchu muimba taarabu... wapi mpoo!
Mtt anvuruga mpk regge
👐👐👐
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 *Kama unajivunia kuwa MTANZANIA gonga like* 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Magu mbele kwa mbele
Yani natamani nikupe hata like mia nijivunia sana kuzaliwa Tanzania Mungu aibaliki Tanzania yetu
Tanzania yng nchi yangu nakupendaaaaaaaaaa
Umetisha miss ake
Najivunia kuwa Mtanzania rohoni.
Nice
Tanzania Hai! (hai! Hai!) Mimi ni Mkenya ila hii imeweza wezangu!!
Inauma sanaaa muda wote nasikiliza hii nyimbo hasa baaada yakumaliza kutibu wagonjwa hongera sana zuchu
Zuchu kipenzi changu nimechelewa jana nilikuwa sina bando siku zote hua huniangushi nakupenda sana mungu akuongozee
Kama umeikubali nipe like tukisonga
CCM aii 🔥
Much love from 254
A saint. A legend. JPM, you will always be in our hearts. Love from 🇰🇪 🇰🇪
😭😭😭😭😭magu unaishi moyon mwa Tz ..mungu aipokee roho yako!
Yan zuchu unanikosha kwel yan najihis rahaa mpk kama machozi yanatoka hivi🔥🔥🤲
First one lol Tanzania 🇹🇿 ❤️❤️💚💚💚🇹🇿🖤🖤
I had to listen to this song after the tragedy 😭😭rip magufuli
Mackiniiiii nmekumbuka wakat unacheza....R.I.P Baba yetu Magufuri😭😭😭😭😭😭
Ambao sio wanasiasa kama mimi lakin mmeielewa ngoma press 👍
Tunaokapenda haka kabinti tujuane
This girl.can sing anything huu wimbo jamani sijui nilie sijui nifurahi 😭😭😭😭😭😭
I come here after magufuli passed away his soul reast in peace Tanzania ya magufuli Nani atakaye shika nafasi yako Baba mbona mapema sana😢
Lp
I am in Abuja 11111111111111111111111111111111111111111
L
L
0mpmmmpmm8
Waah mungu tu 😂
wapi like za huyu binti mzuri kutoka kwa mama wetu wa mipasho hadija kopa👌
Ila mnajua kutuweza WCB for life
Buriani Baba💔😢😢😢😢tutakukumbuka sanaaa japo me mkenya nlikupenda kupitiliza😭😭😭😭😭
RIP Pumzika kwa amani...... Mr president chuma tutakukumbuka sanaaaa😭😭😭😭..... Cjui nchi yetu itakuaje bila ww 😭😭😭
Mungu atatufungulia njia
Aisee me machozi yananitoka naumia kweli😭😭😭
I love you Tanzania from Gambia 🇬🇲 ..Nakupenda Tanzania
How is Serekunda! I liked Banjul
Karibu sana tunakukaribisha nchi pekee yenye amani na upendo
Karbu Sana nchi yetu aina ukabila wa udini karbu Sana Tanzania ya amani
Ur wlcm
Wellcome tz
Wanoikubali ccm like hapa... Na wanaokumkubali huyu dada twende na likesa zakutosha
@ben Official yeah
Rnoma
💪....
Naipenda Tanzania,,mnavipaji kweli😍
Njoo uone maendeleo ya Tanzania ilivyo puuzwa na kudhoofika. Mama kweli hakupata mafunzo ya kutosha kwa baba!
Zuchu pamoja na Wcb wapo juu nipe like za Diamond
Zuchuu she is 🔥🔥🔥🔥
😭😭😭nyimbo bora kwa JPM nakumbuka alikuwa anaicheza sana hii mzee wetu
Hii wimbo ni ya siasa lakini it is really danceable😂.. Much love from kenya🇰🇪
This girl shes a great singer she can sing any can of style wauuuu this root african regae keep the fire burning zuchu God bless Diamond for helping you one love wasafi for life
11 junho de 2020
Lindas zuchu 👏👏👏👏👏👏
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Feliz Tanzania Ya Sasa 🇹🇿🇹🇿 feliz moc Sasa🇲🇿🇲🇿🇲🇿
God bless Tanzania. Zimbabwean love to all
Vip John pombe magufuli forever in our hearts 😢😢😢😢
Zuchu kama wapenda kazi yake. Gonga like hapa
Walisema muimba taarabu haezi imba kibongo fleva, haya sasa kaimba ki-Reggae kabisa mtaelewa tu 😁😁😁....Like nyingi kwa Zuchu ❤👑🙌
Yani nakwambia wenye taarabu zao watalamba lolo🤣🤣🤣🤣uko sijataja mtu 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Nabad watasema tu icho nd chuo cha mzik bongo WCB
Hahahah unafikiri Mond anaweza kukusaini ukiwa wa vistyle vya ajabu ajabu? Hahah la hasha
😂😂😂😂😂😂😂😂
Waambie Simba hakurupuki.
Kawimbo haka kananikumbusha sana jiwe. May he Rest In Peace
2024 still🔥🔥🔥 we Remember you Anco Magu😢😢😢😢😢
Wapi likes za wakenya kwa kazi nzuri ya Rais Magufuli kwa Watanazania
One luv tanzania from ur neighbors somalia 🇸🇴🇹🇿
safi magufuli anafanya kazi bhana tumuombee kwa mungu anafanya vizuri tanzania mpya inakuja
Huu wimbo naona kabisa mdee na mbowe wanavouchezaaa....hai hai haiii haiiii
Ooh How i miss my country Tanzania...I am so proud of our President Dr John Magufuli...May the Almighty God continue to use him in leading us in a right way....🙏Zuchu you a simply the best😘so much love from Austria❤❤❤
😍😍😍😍😍❤
What are doing there?
Waooo
@@princemwaifunga8151 naishi huku but i love my country
Where are you by now?
Zuchu 😭😭 ww ni mwanamuziki,, na sio msanii pekeyake
Zuchu una sauti ya kipekee sana, Napenda sauti mashairi ya nyimbo zako na hadi beat!!! Pasua miamba mamaa
One of the reasons why we Kenyans love you Tanzanians is due to your high sense of nationalism and how your government also seems to be working for you. And Zuchu you are such a gem... we love you! Dar es Salaam is my next holiday spot inshallah
Karibuuu we are brothers
We love you guys too
Much welcome TZ
we are relatives,,good neighbors,,much welcome in TZ,,we love u kenyans
Sana mzee babah
Nahamia CCM kwasababu ya huu wimbo🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿
Aaaaah... Sio kweli bwana.... Ila mtoto kaimba sana.....
Tupo pamoja
@@johnstonsobed9873 kweli mzee😁😁
@@uncleelly4543 😂.... Utulivu mwingi sana bro.... Karibu kundini....🙏
Hamna kitu kigumu kama ku skip hili song.. Hata kama umpinzani... Zuchu 💯
Haiwezakani kabisa hiyo kitu mwamba 👌😂💥
Sanaaa haiwezekani
😢😢😢😢😢😢😢😢pumnzika kwa amani baba yetuuuu weweweeeh tunakukumbukaaa
I love you so much Mr magufuli Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇼🇲🇼
Simba hajawahi kusajili garasa WCB...Congrats Zuchu...BEST FEMALE ARTIST IN EAST AFRICA🔥🔥🔥
😂😂😂...... Anajua kuona....
Ni yule Yule dada Wa #wana 🔥 Kazi kwao wapinzani chiiiiiiiiiiiiii
Nimeipenda sana 😍leo 2021 Haupo J P M tutakukumbuka sana
Ssa tunaona tofauti kati ya Tz ya magufuli na hii ya sasa!!
Ila wasafi Mungu anawaona mnavyo muonea mtoto wa watu. Sasa ile nyimboyake ya kisingeli ataipeleka wap
Remix zake asikilize yeye na h baba wake😂😂😂😂
Hahahaha
Qwa h baba
😂😂😂 harmonize kuma ya mama ake hajui
@@samirmaulid1742 wachaaaaa weeee😂😂😂😂😂
Hongera sana zuchu m,mungu akusimamie ufike mbali inshallah
Dogo anajua kuimba sanaaaaa
#nyimbo kariii
I miss you my Magufuli 😭😭😭R.I.P missed you much
Nampenda Magufuli japo hayupo ataishi ndan yangu milele 😥😭😭rip Magufuli