Ubarikiwe sana mtumishi. Nimejifunza kitu hapa. Kweli kabisa siku hizi Roho Mtakatifu hapewi nafasi makanisani kwa kufuata taratibu na katiba. Mungu atusaidie.
Umesema kweli mtumishi, watu wengi tunaokoka ili kuepa uovu. Ila swala la kumiliki hatulifikilii ndio maana hata majukwaa makubwa yanamilikiwa na watawala wasiomini.
Yesu tusaidie kuelewa haya Mtumishi wako ameyanena,ni kweli Bwana Yesu maneno haya ni amina na kweli.Chukizo la uharibifu liondolewe mioyoni,limekamata nafsi Kristo usituchoke endelea kutusaidia
Naam. Haya ndio mafundisho yenyewe hasa ambayo tunapaswa kuyafundisha ili tuwapate watu watakaoamini na kisha tutawale pamoja na Kristo hapa hapa duniani.
Mtumishi wa Mungu umeuliza swali la msingi sana! Mungu anamwambia Karebu, Hesabu 14:24 "kwa kuwa Karebu alikuwa na Roho nyingine ndani yake, naye ameniandama kwa moyo wake wote; Yeye nitamleta katika nchi hii.. Mungu akisha kuwaokoa watu kutoka Misri, aliwaangamiza tena jangwani wale wasioamini. Hii inamaana kwamba; watu wengi wameokoka kwa nje, yaani kujiunga na madhehebu; lakini si kujikana nafsi zao na kumwandama BWANA kwa mioyo yao yote...
Namshukuru sana mtumishi wa MUNGU kwa majibu aliyokujibu hapo juu. Kwa hali ilivyo sasa na namna MIFUMO ya joka ilivyoenea kila mahali ulimwenguni kote ni HUDUMA YA UAMSHO NA MATENGENEZO YA KIROHO pekee ndiyo yenye dhamana ya kubomoa hiyo MIFUMO ya joka,ndiyo maana haya mambo yanafunuliwa.
Sasa tufanyeje binafsi napenda hii injili imenifungua akili sana sas nifanyej niache kusali kwenye madhehebu eeh Mungu nisadie maana tumepoteza mwelekeo😢
Injili kama aliyohubiri Dr.Myles Munroe. Huyu walimuua maana walihofia utawala wao unaenda kupinduliwa. Kwa hio hii onjili ina vita kali mno. Maana shetani mwenyewe ndio mnapambana nae. Jemedari wetu wa vita halali wala hasinzii, safari hii tunauteka na kumiliki nchi hii na kuitawala Kristo akiwa ndio Mfalme wetu wa amani. Tuko paok tujipe moyo hakika tutashinda si muda mrefu tangu sasa.
Maana ya hilo joka ni mfumo wa mpinga Kristo na yule joka wa zamani na Mnyama na Ibirisi.. Sasa huu mfumo wa Joka unafanya kazi ya kuwatalawa watu katika namna ya ibada au kuabudu. Kwa hiyo hizo rangi za joka kufanana na nguo ulizokuwa umevaa, ni kwamba vazi lako, yaani mwenendo wako wa kuabudu umehaririwa na joka. Sasa nini ufanye? Njoo inbox nipigie kwa namba +255(752 001 840
@@tengwatv Sasa Mtumishi nisaidie Kitu kimoja Kwa vile nikivyoona silazima niingie kujitoa Huko au unanusaidiaje Huu ujumbe unapiga kelele mno masikioni kwangu Niko Hapa namwambia Mungu skusaidie kutoka kwenye hii mifumo
In box ya nn siuseme mtumishi na wengine tujue nn cha kufanya? Maana ni wengi. Au NI SIRI? Maana kuna manabii hutumia mtindo huu kuwapiga watu!😭.kama ni ukombozi kwa njia ya damu ya YESU ni BURE, ushauri ni BURE pia.@@tengwatv
Ubarikiwe sana mtumishi. Nimejifunza kitu hapa. Kweli kabisa siku hizi Roho Mtakatifu hapewi nafasi makanisani kwa kufuata taratibu na katiba. Mungu atusaidie.
Asante yesu kwa mtumishi huyu
Aminaa ninawapata kutoka dar salam🧎🧎🧎🙏🙏🙏
Mbarikiwe
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Ubarikiwee Mtumishi wa Bwana Alpha nakuelewa mno,napata kitu kipya kabisaa
MUNGU wa MBINGUNI akubariki sana:: Unaongea kitu kikubwa na kizito mno:: Mwenye sikio la asikie kwa maana BWANA YESU KRISTO analiambia KANISA::
Ninakuelewa sana mtumishi! Ubarikiwe sana!
Ameeen Ameeen MUNGU akubariki sana mtumishi Alfa nmekuelewa.
Mungu muumba mbingu na nchi akubariki
Amen
Haleluya haleluya Haleluya
Mungu aliyehai akutie nguvu mtumishi wake
Nakuelewa sana Mtumishi wa Mungu
Sema
Ulicho funulia na mimi piya nimefunuliwa ayoayo asante
Umesema kweli mtumishi, watu wengi tunaokoka ili kuepa uovu. Ila swala la kumiliki hatulifikilii ndio maana hata majukwaa makubwa yanamilikiwa na watawala wasiomini.
Yesu tusaidie kuelewa haya Mtumishi wako ameyanena,ni kweli Bwana Yesu maneno haya ni amina na kweli.Chukizo la uharibifu liondolewe mioyoni,limekamata nafsi Kristo usituchoke endelea kutusaidia
Naam. Haya ndio mafundisho yenyewe hasa ambayo tunapaswa kuyafundisha ili tuwapate watu watakaoamini na kisha tutawale pamoja na Kristo hapa hapa duniani.
Nikajuwa nyakati bado kumbe ndizo hizi,,,dhiki kuu na Chapa ya mnyama,,,,😭mifumo ya dunia yotee NI ushetani , elimu na sheria zikiwa ndiyo namba moja
Nikweli ulisho Sema mtumishi lazima tuokowe Dunia dawa nimoja tu nikushukuwa utawala uwe katika mikono ya watu wa mungu
Shalom Mtumishi wa Mungu. Sasa mtu akitaka kuishi nje wa mfumo wa Joka anatakiwa afanyeje, au awe mtu wa tabia gani.mbali ta kuokoka ?
Mtumishi wa Mungu umeuliza swali la msingi sana!
Mungu anamwambia Karebu, Hesabu 14:24 "kwa kuwa Karebu alikuwa na Roho nyingine ndani yake, naye ameniandama kwa moyo wake wote; Yeye nitamleta katika nchi hii..
Mungu akisha kuwaokoa watu kutoka Misri, aliwaangamiza tena jangwani wale wasioamini.
Hii inamaana kwamba; watu wengi wameokoka kwa nje, yaani kujiunga na madhehebu; lakini si kujikana nafsi zao na kumwandama BWANA kwa mioyo yao yote...
Namshukuru sana mtumishi wa MUNGU kwa majibu aliyokujibu hapo juu.
Kwa hali ilivyo sasa na namna MIFUMO ya joka ilivyoenea kila mahali ulimwenguni kote ni HUDUMA YA UAMSHO NA MATENGENEZO YA KIROHO pekee ndiyo yenye dhamana ya kubomoa hiyo MIFUMO ya joka,ndiyo maana haya mambo yanafunuliwa.
Sasa tufanyeje binafsi napenda hii injili imenifungua akili sana sas nifanyej niache kusali kwenye madhehebu eeh Mungu nisadie maana tumepoteza mwelekeo😢
Injili kama aliyohubiri Dr.Myles Munroe. Huyu walimuua maana walihofia utawala wao unaenda kupinduliwa. Kwa hio hii onjili ina vita kali mno. Maana shetani mwenyewe ndio mnapambana nae. Jemedari wetu wa vita halali wala hasinzii, safari hii tunauteka na kumiliki nchi hii na kuitawala Kristo akiwa ndio Mfalme wetu wa amani. Tuko paok tujipe moyo hakika tutashinda si muda mrefu tangu sasa.
K
Yaan naogopa niliota joka linavichwa vingi yaani nguo niliokuwa nimevaa eti rangi ikawa inafanana na lile joka We Mungu nisaidie
Maana ya hilo joka ni mfumo wa mpinga Kristo na yule joka wa zamani na Mnyama na Ibirisi..
Sasa huu mfumo wa Joka unafanya kazi ya kuwatalawa watu katika namna ya ibada au kuabudu.
Kwa hiyo hizo rangi za joka kufanana na nguo ulizokuwa umevaa, ni kwamba vazi lako, yaani mwenendo wako wa kuabudu umehaririwa na joka.
Sasa nini ufanye? Njoo inbox nipigie kwa namba +255(752 001 840
@@tengwatv Sasa Mtumishi nisaidie Kitu kimoja Kwa vile nikivyoona silazima niingie kujitoa Huko au unanusaidiaje Huu ujumbe unapiga kelele mno masikioni kwangu Niko Hapa namwambia Mungu skusaidie kutoka kwenye hii mifumo
In box ya nn siuseme mtumishi na wengine tujue nn cha kufanya? Maana ni wengi. Au NI SIRI? Maana kuna manabii hutumia mtindo huu kuwapiga watu!😭.kama ni ukombozi kwa njia ya damu ya YESU ni BURE, ushauri ni BURE pia.@@tengwatv