FULL VIDEO: ALIKIBA PERFOMANCE FIESTA 2016 DAR ES SALAAM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba ni miongoni mwa mastaa wa bongo waliomiliki stage ya Tamasha la FIESTA 2016 Dar es salaam na kutumbuiza, kwenye hii video ame-perform 'aje' , 'mwana' na hits nyingine
watu mnapenda kuwapambanisha Kiba na Diamond Kiba ni kibaa atabaki kuwa Kibaaaa
akuna zaidi ya king kiba
Kiba anaimba live utadhani playback! Hii ya mwisho na Bella ndo iliua kabisa hakka 👑👑Kiba fundi
Waandaaji wa Fiesta Mwaka huu wamejipanga sanaa,.. Big Up sana kwaooo#IMOOOOOOOOOOOOOO
Bonge moja la show la dunia .King Kiba umedhihirisha wewe ni Mfalme .
Daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah!!! yani hata sijui niseme nini, we jamaaa hakuna tena mwingine katika show za live anayekusogelea japo kidogo, ni balaaa, you are an international artist, unastahili tuzo za best african act zote, wengine huwa wanapiga kelele tu lakini wewe unapiga show ya kweli na classic.. KingKiba Hataree..
Hawa ma dancer wa Nisamehe wa Baraka de Prince wame dance poa sana Big up to them
💖💖💖👌👌👌
King kiba hiyo group ya dancers usiiache coz is the best in Tanzania and Eat Africa as well
kiba we n moja kati ya wasanii wachache hapa tz ambao naweza nkalpa ili nione shoo yako coz hunibii jukwaani unafanya kile kinachostahili sio wale ambao wanarukaruka na kunilazimisha kupiga kelele mpaka shoo inaisha you're real king of bongo flava
proud of you king Kiba,,you killed it!!!!
love alikiba voice so much and be she never give up for what he doing all the best keep up 👑👑👑👑👑👑👑👑👑
i am a big fun of Diamond but i always appreciate Kiba well done. Mtv Mama u did Good and now Dar fiesta again... i love my Tanzania artists keep it up guys
Ali kiba ure de best of Tanzania melody's
Uwezo unajionyesha ahsante sana kwa show kali your the best King yaan ww ni zaidi ya msanii respect kwako brother. Ahsante sana brother @Millard kwa kutusogezea show ya kijanja penda sana ww uishi miaka mingi kaka ake Imooooooooo
👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻🙏🏽with much appreciation for your music here Luanda, Angola....🇦🇴🇦🇴🇦🇴🇦🇴🇦🇴🇦🇴💯💯💯💯👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿
that's what we call show 👍👍👍👍👍big up king
joss dangote umefika huku sasa
what a show team kiba all day everrrrryday don't mess wiv him
dah! nmemuelewaa king kibah
we call it show live performance, ur performer king Kiva for life...
DAAH KIBA HATAREE ATATUHARIBIA NDOA ZETU MKEWANGU AKISIKIA YOOOOOO ANAACHA KUPIKA
khaaaa umeuwaaa ati yoooh
Aisha Thazaneya Huyu Kiba ni Hatariiiiiii anajua saaanaaaa
Jamary Ahmady waaaaaa
😅😅😅😅
Hahaha daah?
,shikamoo kiba ww ndio mkaliwaooo ilove you
Kiba Juu sana. What a great show with all lovely brothers joining on the stage!!! Always keep high!!!
Bella next level
ali kiba I luv u hadi naumwa
king kiba I really love your show ....more love
Show ilibidi iitwe Fiesta for Kiba.....
alikiba oyoo ume Tisha sana hii show kweli niya kibabe ..ime enda kwa mpangilio kabisa
Mjomba nakubali vile mambo unafanyaga.....uko makin... unajua kutupa kile mashabiki tunapendaga.. Big up
no one like kiba,,wow wow wow
Powerful show i like support from local artists too
Ndo maana nakupendaga, hufanyi show bla bla unapiga show ya kibabe aisee. Kifupi ww cyo mtu wa sport sport, much lv 4 u.
le vrai des vrais depuis Montréal
yaani hii ndoo show sasa Bonge la show na nyingine show ya kibabe ya Roma na sitamina duh wametisha kiujumla mzee
All we know ali kiba is a God of bongo flava hakuna ubishi hutaki basiiiii
ALLY HAMISI God?????😩😩😩😩
ALLY HAMISI God??????
Safi sana nakukubali Ile mbaya
💃💃💃
ALI KIBA hii ndo show sasa
nalipe nije nione wewe msanini unavyo imba uniimbie
siyo nije tusikilize ulivyokuwa unaimba studio
NO MORE PLAY BACK
we rock......
am proud of you king
Tz tunaweza live kuliko studio
amazing King of bongo fleva kiba
we run east afrc, big up king k
wow, what a concert!! Never done like this so nice! &✌✌
sina maneno..king wa watu
umtisha king kiiiiiba
hvi ndivyo inafanyagwa na king kiba. SHIKAMOOO!
Asnte Kiba nakukubali kila kukichaaa
HII NI SHOO KUBWA SAANA JAMAA KAIFANYA...
TUSEME TUUU UKWELI
tatizo wa BONGO TUNASHINDWA KUWA BAYANA NA HATUJUI KUTOFAUTISHA KATI YA USHABIKI NA UPENZI
na kuamini kiba oyeeeeeeee
nakukubali sanaa king kibaaa safii sana mungu akubariki katika kazi xako uko vizuri mwaaaaaah
kwa hiyo show kweli alikiba hapendagi ujinga!
big up sana...
he's the king of bongo
King kiba mfalme wa wafalme
much love king kiba❤👌
tisha sana king
Solute kwa king
love kingi forever
wishes yah Long life Kingkiba, with full of amazing funny, and Kaaaaaaaziiii
unatisha king kiba lv u
King him self ! Love him a lot
Wow
poa
luv uuuu so much king kiiiiba,
Ninachompendea Alikiba ni kuimba LIVE hatuibii
King king king hataree
Hii ni live????, jamani muogopeni Mungu!!!, Kama ni live basi alikiba ni moto
king ni noumaaaaaaaa sana
good things that done by man
wewe ndio mgeni @ahmed swaleh
Kiba uyo baba wa music sio wengne kaz kukop tu nakupest kipaji utakiwi kuunga unga bn
nimeipenda nice show king
umetisha sana kakangu....
safi sana bro king kiba.
Kibaaa juu!👍
juu wapi nancy?
fire
more fire🔥🔥🔥🔥👍👍👍
yaani u don't recognize the good music? whatswrong with u?
Lovely
Bro, m sio shabiki ako lakn nyimbo ya MY EVERYTHING bonge la nyimbo
Omg Ali Kiba In the house
kiba unajua bigap
King Kiba huko juu
Baaaaaadoooooo hii kawaidaa saanaa hata Lord Eyez tu amemfunika jipangeee
we mtu umebarikiwa sana c kwa sauti hiyo
Much respect king kiba
jamani kama hii show ni live kweli, naomba wasafi na mashabiki zake wapige saluti hapa jamani, sio kwa ujuzi hui wa kiba bi shiiidah hadi malaika wanaweweseka hawaamini kama live
Pamoja Sana kingkiba
2019 kiba🔥🔥🔥🔥🔥
Jamary ahmad Anza practice ya yoooooooo
Kibaaaaaaaaaaa
tisha sana mkl.waooo kiba
#KingKiba
king ♔ Ali Kiba
hakuna kama king kiba tunakupenda sana kenya hatumutambu mond
hongera sana kwa show nzur
live inafaa Akina Bella napenda wakiimba back stage huwa ina sound Original ma Band huwa I find ina kelele mob
kwa sasa nime ishiwa kabisa.
Hii ni hatarii
love love kiba
king kiba hakunaga kama ww
king katisha jamani pig up Ally kiba.
Ukweli utabaki pale pale mchele huwa mwingi ila jiwe uwa moja tu king kiba
Kingkiba
Thanks king kb
my king kiba juuuu
sanaaaaa washaaaaaa
ali Kiba ni hatari sana jamani
Ali king I I've u so much
vizuri sema dances kawaacha muda sana mpaka inaboa
kiba I lop u
Duuh! hatari sana
respect bysea bluuuuuueeeeeeee