FULL VIDEO: Baraka The Prince FIESTA 2016 Dar es salaam performance
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Ni mwimbaji miongoni mwa Waimbaji ambao hawana muda mrefu toka watambulike kwenye bongofleva lakini ukubwa wake umezidi kuongezeka siku hadi siku, tazama alichokifanya kwenye FIESTA ya Dar es salaam 2016.
aiseee baracka na kiba kitu ki 1 duuh sauti zao ni shidaaaaaaaa balaka upo juuu sana mungu akubaliki katika kazi yako hii ya muziki
nice vocal music.
u ar rl a fantastic musician Barack, kp t up bro!
Baracka nyimbo zako nzur aisee hazichuji
Safi sana Prince Baraka umekonga nyoyo za watu hiki ndy kitu Watanzania tunataka ongeza juhudi na matokeo utayapata. Ahsante Millard
napenda sana kazi zako,napenda colour yako you are real african,jivunie rangi yako
anajua sana mpaka shidaaaa
Aisee barakha naipenda sana sauti yako we fund mzuli sana nakuona mbali sana miaka tano ijayo kama Allah akiendelea kukup uzima!!!!! tunakupenda sana barakha
Love
huyu jamaa na alikiba kitu moja. hawa watu wakiacha utani level zao hata hazipimiki. kuimba live na kufariji watu sio sport sport bhana.
TANZANIA MMEBARIKIWA
Shallzbaro Wachagga
Xxx
umeona eeeh
nice song baraka keep it up
Nice no 3 yangu
Hii kweli Imoooooo
umeua baraka
one day i will date Baraka de prince my dream man i love you
tutupie ya means millardayo
unaikonga mioyo ya watu kwa huo wimbo (siwezi)
baraka nilikuwa shabiki yako mkubwa sana tena nilivyokuwa nakupenda ni mungu ndo ajuae, lakini uliniboa siku nimekuona karibu na ulininiuliza swali nikakujibu cha kushangaza ukawapondea sana toka hapo niliona wew unadharau sana au kwa vile uliowapondea bado hawajawa juu lkn ujue hata wew ulitoka huko uliniboa sana na nilipunguza % kwako
Grace Richard
tunahtaj ya msami
iko PW san
ovyo tuuu barak
unajua ila tatzo unasahau shoo na kumuimbia mpenz wako style ulioimba haitakiw kwenye show kama fiesta hii style ni ya club ama ukumbin maana iko tofaut na watu walichotaka naiman ulijifunza coz hata shangwe hukuziona kama show zako za zaman
Malley Athumanjr tulia tu hujui unasema nini
brook kituuu umeuwaa
hatari
mimi nitofauti nawaliopita
kiukweli skupendi hata kidogo
Saimon Taganya Mgeta aliimba kama anamuimbia bibi harus ukumbin alijisahau kushituka kumekucha fiesta c ya style hzo
Yaani imeboa kweli
Sio kila kitu tukusifie
Hata kama umefanya vibaya
Lazima tukukosoe ili another day urekebishe
huyu demu alieimba nae ni nani
anaitwa Nandy
Crxt Syliver asante crxt
anaitwa nandy
Aisee barakha naipenda sana sauti yako we fund mzuli sana nakuona mbali sana miaka tano ijayo kama Allah akiendelea kukup uzima!!!!! tunakupenda sana barakha
iko PW san