PATANISHO : MKE WANGU ALIKULA FARE MARA MBILI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 มี.ค. 2023
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghost
Subscribe to RadioJambo TH-cam - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - บันเทิง
Huyu mwanaume ni kisirani the lady is depressed juu hana mtu wakusimama naye jipe muda dada ndio uone kama atarekebisha anajifanya mzuri kwa wazazi lakini ni ubwa muitu amavalia ngozi la kondoo kama anakutaka akuje kwenu, kwao utaweza ongea aje na ako na back up ya watu wao
I hate a man mwenye anajipendekeza kwa mzazi wangu
Wacha huyu mwanaume akae single ndio ajue umuhimu wa mwanamke
This guy will never change
Sikio ya kufa halisikii dawa move on achana na huyu jambazi
Wow i hope her parents will hear her now so sad i feel her pain
Number 1 hupewa glocuse ama pesa gapi ?swali tu
Glucose funga macho nikupatie.
5bob ya kubuy pk
David ni control freak; anaficha ubaya wake
I love her reasoning she's a good wife lakini mumwume ni kisrani
Waaaaaaaa huyu jamaa ni wivu ina msumbua
Nguvu ya kupembereza mwanamke watu hutoa wapi, atajileta Tu na itakua too late
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hii relationship ni toxic na mwanaume ni nassicist
Huyu mwanaume wacha akae na kiburi yake kwanza, I can't advice the lady to get back
🌿🌹
This is a narcissist 😢 kuachana na ng'ombe kama hii inakuwanga kama kumaliza kulipa loan
Huyu jamaa ana umama sana tuchange tumnunulie skirt na high heels na lipstick pia.
Hii wiki ya my ppl chameni,unajuako mambo kani hii.
Mwanaume aende kwao waongee
Mbele ya gidi 😂 😂 😂....
I suggest that lady should not go back.She needs a person to stand with her, help her heal and get a job far away so that she can be stable and avoid being abused.Domestic violence is happening because she is fighting back alone.That man is a narcist.He does not deserve any woman.Young lady, you deserve better.
True this is a narcissist man... A typical one indeed. And he won't stop beating her
Next time atamuua
😏
Mami rudi ujipange na hio pesa yake utoke ukarent km wazazi hawakuskizi
Marriage ya Vikao Akii n mbaya Mzee mzima akii heshimu bibi yako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
That's a NARC man
Me nipate kaa huyo ananipembeleza hivyo ntafirahi..wangu ni don't care
Anakubembeleza lkn hana heshima kwako mtaishi mkiachana hadi lini acha akae pekeake kwanza
Very manipulative and a control freak this cycle will still continue
Wacha kutumia jina ya Hon. Gidi vibaya😂😂😂