PATANISHO:Nataka kualikwa harusi sio kupatanishwa! Lucy amwambia Wanjala
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#PATANISHO #GIDInaGHOST #RADIOJAMBO
Subscribe TH-cam - bit.ly/2MeQ4ki
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Wenye tunacheka kichekeko ya Ghost😂😂😂😂 .....chapa like hapa🖒
Kaluva Promise mmmh true
Uyu mjamaa unibamba tu sana leave long Mzee wa meru
Kekekekeke🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😂😂😂
My favourite Patanisho of all Patanishos.I have listened to this Patanisho so many times, it never gets old.
Me too
@@faithmwende9608 Me too kama drama climax wakati inamalizia
Mimi mtu majaribu kunipeleka patanisho Natalia saana 😌😌😌😌
Me too
Best patanisho ever.. Sisi wapwani hatupendi upuzi kabisa. Kongole Lucy Mapenzi mamaeeee ❤️❤️
Lucy nimekupenda sana dadangu, una musimamo dhabiti 👊👊👊
Tumerudi kwa Lucy 2023😂😂😂
Nami vile vile niko hapa Leo hii 😂😂😂😂
Kkkkk 😅😢
Hehee
Tuko hapa 2024
😂😂😂😂😅
Team Saudi Arabia nipe like
Nimekupa kutoka Dubai
Team Saudi nayo nayo
Chukuwa diyo hiyo
pokea yangu
Pokea yangu kutoka Qatar
The best patanisho I have ever listened to......Nani ako hapa 2020 November
Tuko hapa 2022 😂 😂
Lucy namjua sana she is my close friend,..anakuanga ivo msimamo wake huwezi ukaubandua
Lucy ,so mature lady n straight forward lady
Kweli
Lucy ni 🔥🔥🔥 kwakweli , msimamo wake nimeupenda
Eeh Giddy.It's a year now, but this one rocks I tell you
😂😂You made my night
Lucy ukiamua ni basi life will go on
Hakuna kulazimishws
U if u understand God every thing become waaa
Lucy sweee keep it up....kwani wakenya ndio walinipenda🤣😂🤣😂🤣😂🤣😍🤣😍😂😍😂😆😘😘
Lucy mapenzi nimekupenda Bure! 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
2020 ni mwaka wa kuambiana ukweli
Oooo that Lady called Lucy she's matured in relationship.At such age. Serious lady. Men's take care.Thanks Lucy Mapenzi. Pls avail ur fone number.
Patanisho ya leo ni 🔥🔥na lucy hataki ujinga kha 😂😂
😂😂😂😅🤣🙆♀️Wooi ameinvitiwa harusi after kufika patanisho, life is unfair 😢girlshaod apewe gangster points.... Hii ni 2020 we won't entertain nonsense
😆😆😆😆
Yes hatutainamia mtu,, wajipange
Gangstar points💪💪💪
I tell you makasiriko kando
Mhh
Aki Gidi Leo umecheka Sana Lucy Asante kwa kuwakilisha Coast acha huyo mluya aende na uluya wake
Lucy you've just made my day 😆😆majibu Sawa na maswali
Wanjala una roho ya ndoa ndugu yangu. Jikusanye, ujitambue udhaifu wako usonge mbele. Yote ni maisha na yataisha.
Usijali lucy Mm pia mume wangu yuafanya kazi bamburi cement yaani nimalaya Sana hao wafanyikazi wa bamburi cement ata venye naongea sai nmemwacha last month na pia nasonga Mbele na maisha yangu,,,
MIND YOUR language PLEASE!!!!!!
This was the greatest ever patanisho
Gidi ni wa Arsenal...❤
Mimi na ghost leo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Giddie kaeni mkichua sisi huku na kwa nyarafu tunaondolea stress hapa radio jambo 👆
Hauko pekee alafu download tunein uweze kuenjoy mi hisikiza hadi milele fm
@@sumyahkalama nko nayo app bt time ya kina jalaz nakua nmeingia job nakuja kuonea youtube
Kumbe tuko wengi
@@kennedykibet4673 kabisaa
@@ruthchepleting8488 Wow
My favourite patanisho Dec 2023
This has made my day😂😂😂lucy is a no nonentity girl with firm descion
Its over a year now but Gidi ma Ghost manze hii imenijaz.bigup men,wasichana wamechanuka
Naona Gidi your my best friend coz you’re Arsenal fan
I like this Gidi being a good monitor to Ghost mulei
gidi God bless you
#patanisho 2020 ni noma sana zote zinaenda hivi 👈👉 eti anataka kualikwa harusi😂😂😂 ahk lucy🙆🙆🙆
Siku hizi hazipatani kabisa ni 👈👉 😁😂
@@roselineawinja6604 Kapiza so far hakuna patanisho nimesikia imeenda through this year
Emily Muthoni imagine hakuna
The first patanisho ya kukua na comments mob... ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wee huyu Lucy hakulala conference😂😂😂😂😂😂
Lazima alijua atapigiwa akaenda conference
Amen 🙏 amen Jesus love you good job love 🇹🇿
Hapo sioni ndoa .team saudi niaje
I admire Lucy she’s a gal you don’t mess about with!!
That us ,we don't give a damn
Sure
Sure
jamani Lucy hakupendana na wakenya😂😂😂😂😂😂😂😂😂hadi ghost katolewa jasho
Gidi na ghost u make my day
😂😂😂😂😂waaaah lucy umefanya Ghost ameswet kweli...
Wooii khai lucy nakupeda sna. 2020 hatutaki machezo. makasiriko ya ukwelii. nmekwama apo Ati mnapatanisha nlikua nafikiria ni harusi nmaniarika. weweeee. kwa mwarabu sitoki. pewa kwa bill yangu lucy cograte kbs. kuja majuuu lucy weee utatoboa huku.
Gidi team coast ni noma sana🤣🤣🤣🤣🤣eti unaomba msamaha kosa ni nn huyu shemeji naye hasemi kosa lake 22yrs huyo 🤦♀️ Gidi hiyo kutemewa mate huenda mamake au baba aliongea maneno ya kumlaani, sasa anayakanusha huko coast inaitwa (mfundo) yaani maneno yaliyo nenywa na mzazi kwa chuki
The best patanisho ever
No 10 leo npewe likes
Chukuwa yangu
@@agneswanjihia1383 Shukran sana dear
Pokea yangu
@@fatumaqatar6185 Thanks dear
Pokea na hiyo!!!
Wanjala just come down "be confidence",Lucy aja move on, bado anakupenda ila ujicunguze na ujirekebishe wapi unapo kosea.
Lucy Lucy nimekupenda bure harusi tunayo Hahahaha
Watoto wa msa 🔥🔥🔥🔥👊👊👊👊
Mhh
Lucy ana maneno akh na pia msimamo wake n dhabiti vizuri.
Where can I get the wanjala guy he seems like a calm and mature guy I'm still single
Nimekufa pale ambapo Gidi anainua mikono juu eti Lucy poleeeee hahaaaaaa
kazi njema sana Gidi na Ghost nawapongeza sana
Wanawake tukiwa hivi hizi ndume haxitatuteza hakuna kupembeleza MTU as if ni uhai..wako
Lucy u hv made my day
Hii patanisho ilinimaliza
Who is watching 2022. Hii ni MOTTO
wah!, hawa watu was 18-30 years wanasumbua hii kenya
Kabisaaa
Waa we thanks u also to understand us
😂😂😂😂.. Kenya sihami
Lucy nimekupenda 😂😂😂
Lucy Plzz utaniulia wapatanishe wangu Gidi na Ghost please Kicheko imezidi ukupendana na wa kenya..Aki hii moto moto ndoa nawakenya
Leo niko late sana
Gidi na ghost penda nyinyi saaaaaaaaaaaaana😘😘
Hii patanisho inaendelea kuwa mpya kila nikiisikiza, aki Lucy nakupenda, hukuenda wakenya ulipendana na Wanjala pekee 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Thanks alot, kwa kileta watu pamoja giddy
I was here 2021, again 2022, nimerudi tena 2023. Waiting 2024 courtesy of Lucy 😅
Im here 2024 ahead of you 😅😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
Lucy nah be fire
Ukweli radio jambo MNA kazi kweli
The best Patanisho ever my favourite 😂😂😂
Lucy akomweeee😂😂😂msimamo dhabiti
sijawai wahona aki,am happy kuwaona ahaahahaha GIDI
wallahy hio kicheko ya ghost siwezi tumia radio jambo daah akikuona live si atakucheka zaidi kama anakujua huyu jamaa
😂😂😂😂😂😂😂Lucy u hv nailed it..keep it up gal...
Mrembo wa kimwambao hyo😂😂😂😂😂😂😂😂patanisho muanze kualika watu weddings za rivals😃😃ghost leo nimekusaidia kicheko leo😅😅😅😅
When a lady has healed, everything sounds soo funny
This is un insult wallai umekam patanisho unarundi na wedding card
Hii ya Leo ni kali sanaaaa
Anaitwa Lucy mapenzi wah mwanadada 🔥🔥
Woiye gidi mna kazi .
Lucy Mapenzi is hilarious 😆 😂🤣😂
Niko hapa kwa kusoma comments after kusikia sikupendana na wakenya 😁😁😁😁
Ata mm
Lakini Wanjala afaa ukue mwanaumme
Patanisho leo iko hme Ground hongera kwake Lucy huyu jamaa hayuko serious imgne hawezi kujieleza anaomba msamaha wa nn #Burekabisa!
Lucy kudos.... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sikupendana na wa kenya hawakua tukipendana😂😂😂😂😂😂kenya🇰🇪🇰🇪 I shall not leave😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣wah Lucy I like your personality,so cool when talking
🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏katoto ka msa umesema wajala kula jeuri lako fanyani harusi lucy atakuja
Waa Lucy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣mad gal Gidi na ghost leo imepiga kumi bila....chezea wacoast 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hio jacket ya arsenal Gidi ni tamu sana
Waah....
Lucy you win😂😂😂😂
The funniest patanishow show ever
Tamu sana!!!!
Good giddi and ghost
hawa wasichana wagiriama wajeuri. I have worked with them in Mombasa
Woooow woooow gidi la usubui ilo 🤣🤣🤣🤣😃😃😃
Interesting
😂😂😂😂😂c Lucy akam aolewe na bro angu😂😂😂😂😂
Gdmrng gidi na Gost I support the program
Lucy aendee churchill aki.................
Majibu yako tayari tayari
Huyu Lucy ni fire😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Gidi
Gidi
Riyadh niko in 2 xana Lucy haha fire napenda dats. Umenimake
"Hakupendana na wakenya"😂😂😂😂😂😂😂
Wanaume mjaribu kuonyesha msimamo.kama kunakosa hd mwanamke aamuwe kuondoka.jrb kuangalia wapi umekosa lkn sio kumletea mwanamke mwingine kwa kuona wamkomoa kumbe mwajikomowa wengewe.baadae ndio mnaanza kujutà.
I would really like to know how it went with this two,one year down the line
😂😂😂😂Lucy uko poa sana 👊😘