Kwa mwezi ni vizuri kuanza kusave 10% ya mshahara wako, kwahiyo kama unapokea 24,000 basi save 2400. Matumizi ya lazima itakuwa 50% ambayo itakuwa 12,000. Matumizi ya ziada 30% ambayo itakuwa 7200. KWA MAELEZO ZAIDI JINSI YA KUANDAA BAJETI check hii video yangu th-cam.com/video/HoGwBDthzsY/w-d-xo.html
samahani kuuliza sasa kama utakuwa unaweka akiba kwanza alafu siku ikitokea tatizo kubwa si itakulazimu kutumia kiasi chote na akiba yako itakuwa imekwisha?
+Josephat John huo ndio umuhimu wa kuweka Akiba, tatizo likitokea hauadhiriki kwani umeshajipanga kukabiliana na hilo tatizo. Alafu unaanza kusave tena kwa matatizo ya mbeleni.
mi namajukum home family yote inaniangalia mm mshahara wangu kwa mwezi laki 3 na nipo oman nifanyeje ili nipate kumalizia nyumba yangu hatua niliyofikia nipo kwenye kench lakini hizo kench hata kununua bado cjui napunguza vipi hiyo bajet
Jitahidi kupitia Matumizi yako na kuacha Matumizi yasio ya lazima. Angalia ni mambo gani ambao ni muhimu na yenye thamani kwenye maisha yako na familia yako. Mambo yasio yalizima acha ili uweze kusave. Kama umeshajibana vyakutosha basi tafuta kipato cha ziada au endelea na ujenzi taratibu kadiri ya uwezo wako.
David Phares weeeee laki 3! Huo mshahara laki 3 ulishazuiliwa na ubarozi. KM unakuja kwa mara ya kwanza OMAN mshahara ni laki 450, yaani unatakiwa upewe rial 80 ZIDISHA mara 5500 unapata Tsh .Km laki 470. Unaporudi mara ya pili km ni tajiri huyo huyo anatakiwa akupe riali 100. WAOMBE kwa upole waeleze una wazazi na watoto wote wanakutegemea ukiona hawataki waambie Mimi kazi basi narudi nyumbani walahi utaongezwa japo km alikuwa anakupa 60, atakuwa 75 au 70. Mimi niko Oman pia napata rial 150, tena kwa kazi za ndani ila Jumba ni kubwa sana. Wetu wangu ni 4, ijumaa ndio wanakuja watoto wake 5.
Hapo ndio unatakiwa kuangalia jambo ngani ni muhimu Kwanza, kwa mfano wako unaweza kusaidia familia Kwanza kadri ya uwezo wako, Kisha panga utaratibu wa kulipa madeni, halafu weka akiba.
Swali nzuri, Kama una deni basi panga utaratibu wa kulipa hilo deni kwa muda maalum wakati pia unasave kidogo. Kwani tharura hazikwepeki na ni vizuri kujiandaa kwa kuwa na akiba.
Nakupenda ndo kitu naweza kuambia kwa hii video nimekuwa nakufuatilia katika mapishi sikuwahi jua kama una video za hivi Mungu akubariki
Saving is all about Discpline towards your goals
Hii video imenisaidia sana nilikuwa nafulia Lakini sasa hivi nina uhuru wa kifedha nashukuru.
Video nzuri...points zinaeleweka kabisa...
Ahsante sana Dada kwa mafundisho haya mazuri
Nimejifunza kitu. Asante mpz
nakufatilia sana dada yang big up kwa hichi unachotupa
respect sister Niko pamoja na wewe by brainel Tz official music
Mungu akubariki
sikupingi dada asante kwa somo zuri
Naelewa kama nmemaliza shule jana ubarikiwe dada yangu
Safii
mungu abariki kazi ya mikono yako
ok.my dear nipo job.Kenya.napokea 24000.but nauliza.katika uwo mshahara nitumie ngapi nisave ngapi
Kwa mwezi ni vizuri kuanza kusave 10% ya mshahara wako, kwahiyo kama unapokea 24,000 basi save 2400. Matumizi ya lazima itakuwa 50% ambayo itakuwa 12,000. Matumizi ya ziada 30% ambayo itakuwa 7200.
KWA MAELEZO ZAIDI JINSI YA KUANDAA BAJETI check hii video yangu
th-cam.com/video/HoGwBDthzsY/w-d-xo.html
Nimeipenda hii...
viti vinacheza au vinaitikia? sijaelewa
Umenisaidia madam!
vizuri sana
Asante mamaa
ubarkiwe. mungu akupe umri. nme gain hpo
Raysal Salym
Safi
Good Good Godbless you
good job my ccter nakupendaga bure
Ongera Dadangu nimependa elimu yako keep doing it
checkhizipia
namba yako ya WhatsApp ni ipi dada yangu? Kuna kitu nataka tuongee
Asante,somo zuri
Barikiwa mom
ww mdio mwanamke bora
Nc one
samahani kuuliza sasa kama utakuwa unaweka akiba kwanza alafu siku ikitokea tatizo kubwa si itakulazimu kutumia kiasi chote na akiba yako itakuwa imekwisha?
+Josephat John huo ndio umuhimu wa kuweka Akiba, tatizo likitokea hauadhiriki kwani umeshajipanga kukabiliana na hilo tatizo. Alafu unaanza kusave tena kwa matatizo ya mbeleni.
ndugu jitahidi uku unaweka akiba uku unafanya kitu maana ata mie nilikuwa naweka ila likaja tatizo yote ikaishaa yaan nusu weka nusu tumia
mi namajukum home family yote inaniangalia mm mshahara wangu kwa mwezi laki 3 na nipo oman nifanyeje ili nipate kumalizia nyumba yangu hatua niliyofikia nipo kwenye kench lakini hizo kench hata kununua bado cjui napunguza vipi hiyo bajet
Jitahidi kupitia Matumizi yako na kuacha Matumizi yasio ya lazima. Angalia ni mambo gani ambao ni muhimu na yenye thamani kwenye maisha yako na familia yako. Mambo yasio yalizima acha ili uweze kusave. Kama umeshajibana vyakutosha basi tafuta kipato cha ziada au endelea na ujenzi taratibu kadiri ya uwezo wako.
David Phares weeeee laki 3! Huo mshahara laki 3 ulishazuiliwa na ubarozi. KM unakuja kwa mara ya kwanza OMAN mshahara ni laki 450, yaani unatakiwa upewe rial 80 ZIDISHA mara 5500 unapata Tsh .Km laki 470. Unaporudi mara ya pili km ni tajiri huyo huyo anatakiwa akupe riali 100. WAOMBE kwa upole waeleze una wazazi na watoto wote wanakutegemea ukiona hawataki waambie Mimi kazi basi narudi nyumbani walahi utaongezwa japo km alikuwa anakupa 60, atakuwa 75 au 70. Mimi niko Oman pia napata rial 150, tena kwa kazi za ndani ila Jumba ni kubwa sana. Wetu wangu ni 4, ijumaa ndio wanakuja watoto wake 5.
Huko oman unafanya nn usirud kama unapokea laki 3'bora urudi
David Phares Mimi pia tupo sawa kwenye majukumu
MmmmTz hakuna kazi za mshahara laki 3? Mbona unatuma aibu ndg yangu.
mashaallah
Je unawezaje kulipa madeni na wakati huohuo ukaweka akiba, na bado familia inakutegema wewe?
Hapo ndio unatakiwa kuangalia jambo ngani ni muhimu Kwanza, kwa mfano wako unaweza kusaidia familia Kwanza kadri ya uwezo wako, Kisha panga utaratibu wa kulipa madeni, halafu weka akiba.
Naomba NAMBA zako mwaya
We ni noumaaa😂😂😂
Mchanganuo nimeupenda
Asante sana dada
je ukiwa na madeni unaweza kusave kweli
Swali nzuri, Kama una deni basi panga utaratibu wa kulipa hilo deni kwa muda maalum wakati pia unasave kidogo. Kwani tharura hazikwepeki na ni vizuri kujiandaa kwa kuwa na akiba.
bless
Safisana
Asant dd
SAFI SANA NIME KUELEWA SANA.
Ccta hiyo njia ya tano inanihusu na ya pili
Sylvanus Sebastian bigup sis asante kwa elimu bora
nice
thank u
Sijapoteza muda kukusikiliza
+Jastin Nyatano Nafurahi kusikia hivyo 😊
namba yako ya WhatsApp ni ipi dada yangu? Kuna kitu nataka tuongee