Tukiachilia mbali huo mziki ila kitendo cha kukusanyika pamoja na wanawake na kucheza pamoja ni kuvunja heshima ya dini yetu. Allah atunusuru na atupe mwisho mwema.
Mfuateni mzee yusuf awajir kwenye labo ya taarab , WALLAH UWO NIUJINGA MTUPU WANAUME WAZIMA MNALEGEXA SAUT, , MNATUDHALILISHA KWA KWEL ALAF MNANASBISHA NA DINI , MBORA MNGALISEMA TU MNAEND KUPIGA TAARAB
Inna Lillahi Wa Inna Ilayhi Rajiun huku tunapoelekea waislamu sasa sipo kabisa halafu mtu anakoment Maa Shaa Allah kwamba hili wanalofanya hawa ni jambo zuri
Inna Lilah waina ilah rajioun wazaz tunaelekea wap hatujui kwa Allah tutakua mas uul Leo watt wetu wa kike tunawaacha namna km hio tunabeba jukumu kwa Allah Wazaz wa leo tunaogopa wtt wetuu
Mashallah qaswida zinu tamu Allah bless you all
Tukiachilia mbali huo mziki ila kitendo cha kukusanyika pamoja na wanawake na kucheza pamoja ni kuvunja heshima ya dini yetu.
Allah atunusuru na atupe mwisho mwema.
vingapi mnafanya kila mtu na maisha yake
YANI mtu anaimbanyimbo kisha mnamuambia Mashaallah!! INALILAH WAINA ILAHI RAJIUN
Mfuateni mzee yusuf awajir kwenye labo ya taarab , WALLAH UWO NIUJINGA MTUPU WANAUME WAZIMA MNALEGEXA SAUT, , MNATUDHALILISHA KWA KWEL ALAF MNANASBISHA NA DINI , MBORA MNGALISEMA TU MNAEND KUPIGA TAARAB
Upuuzi mtupu utatupeleka katika maangamizi na mwisho wake motoni Mwenyezi Mungu atunusuru
Amiin dear
Amiyn
Kweli kafara mnayo !!! Msiba !!! Innalilaahi wainnaa ilahi rajiuun Allah akuongoeni
Allah awabariki katika zenu
Masha Alwaah Ali Ismail Qasda Tam Sana alwah akuzudishie kheri na barakah inshaa Alwah
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah akuzidishie kipaji chako liwe cha kheri na chenye faida ndani yake🤲
Inna Lillahi Wa Inna Ilayhi Rajiun huku tunapoelekea waislamu sasa sipo kabisa halafu mtu anakoment Maa Shaa Allah kwamba hili wanalofanya hawa ni jambo zuri
Hasaa we Nasra unapingana na Allah alivoelekeza kusoma kasda au kaulizie iyo ndokasda
Mungu tuongoze kaswida zasku izi nikama mziki Wana tafautiana wakaswida kazu wamziki modo ila mstari nimmoja dunia ime isha jamani mungu tunusuru sisi
Inna Lilah waina ilah rajioun wazaz tunaelekea wap hatujui kwa Allah tutakua mas uul
Leo watt wetu wa kike tunawaacha namna km hio tunabeba jukumu kwa Allah
Wazaz wa leo tunaogopa wtt wetuu
Zote tatizo.letu.wazabari.ubaguzi mwing tunashindwa.kunyanyuana.tatizo.roho zetu
Safi San Ali Ismail nimeipenda sana kafara yangu
Hzi kasida ck hz c kasida Bali n nyimbo hazina tofaut
Jamani tumcheni Allah tunakoelekea siko
du mtihani mtupu tarabu hii Allah atupe mwisho mwema
Duh....noma Sana mziki kabisàaa ilo bit Na mashair mmmmm
Jamani tumuogopeni allah hiyi Dunia tunapita tu
Ali ismail wewe ni noma yani 🔥🔥🔥🔥
Mashallah mashallah aly wangu peke yangu😍😍😍😍😍😍
Kudadadeki zenu😂😂😂😂😂
Mnaboaaaa c museme tu kam mnatamani kuw wanamziki....ptuuuuu na makanzu mnaburuzaa hoovyo kbx
Ila Allah atunusulu
Innalillah wainnaillaih rajiun
Mashaallah
Naomba namba zake
Uwoni utopolo kwakweli
Mhh jmn hayrat msomaji ama mshindikizaji
asa hii kasida au nyimbo
Mashaallah mashaallah sheikh nakukubal upo vzr
Mucngeweka saut bn tukackia live
Hiyo tarabu msitudanganye
Itabidii hizi kasida wakajiunge na nad ikhwan swafaa mana kasida nyengine mtihanii subuhanallah
Mashaallah
Mashallaha
😋😋😋
Mashallah mtafika mbali sana
WANAZALILISHA DINI SANA HAWA HAWANA TOFAUTI YOYOTE NA WAIMBA KWAYA MAKANISANI TENA HAWA NDO WANA DHAMBIZAI KULIKO MAKAFIRI WANAFANYA MAKOSA KWA KUJUA.
Wow wow wow wow cjui niseme nn pambe balaaaa jmn
♥️
Mashaallah nimeipend qaswaida
Hiyo sio dini nilaaana,ktk dini yakiislam hakuna ujinga km huo
Acha Pumba waombee hatakama ww nimkiristo dunia ime kwisha imekwisha ndugu zangu mungu tuongoze
UJINGA MTUPU HAPO
Wanaume wazima watu wzma wanaadhirika
Wacheni usenge wanaume wazima
Kasida haina zaman wala sasa kasida ukiitia ayo mananda ni haramu tu
Tafuteni biashara nyingigine wanafki wakubwa nyie
Mashallah somo
Ndo kasda gani ovyoo
Iyo yako mbona hujasoma ilokuwa nzur
@@nasaraoman5489 usitetee upuuzi
Maashaallah rahil na hashir mmenichekesha mko juu
Ally ismali kaharib tamasha
Kazi nzuriii sana Ila ushaurii wangu tuacheni ubaguzi wazanzibarii ktk kaz muwashirikishe na madrasa za.chini chipkiz.wa.sehem.to