Acha kugawa Watu , Tanzania ina amani, hivi Kwa Ulinzi alionao Amir Jeshi Mkuu nani anaweza msogelea,acha upotofu tafuta jambo la kuandika ili tuweze Kujenga Nchi pamoja
Kikwete ni rais pekee aliejenga mtandao mkubwa wa barabara za lami tanzania kilometa 17700 amejenga madaraja makubwa la kigamboni na Malagarasy kigoma na madogo 22 ameleta mwendokasi na umeme vijijini rea amejenga chuo kikuu dodoma amejenga ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa nyerere dsm amejenga hospitali ya mloganzila Hata urais wa magufuli ni juhudi za kikwete wanaombeza kikwete na wale wasiofatilia masuala ya kisiasa na kiuchumi na ya taifa
Yani kikwete musilimu lakini cha ajabu una kubali shetani akutawale hiv hiv, na kusahau kesho yako kwa muumba wako, na ili hali wajuwa shetani kalaaniwa na mwenyezi mungu ila cha ajabu umemkadhi maisha yako loh, kweli upo usemi usemao kosa mail upate akili,
Kikwti احسن رءيس في أفريقيا كلها
Duh mzee bhna
Dah huyu mzee 🙌🏽
Kwa maono yake, mwacheni aende akazindue MV Victoria, Huyu ni mzee wa kuenzi.
innalilah wainna ilayh-rajuun
Ndio ukweli..Unaowaomba kuwaongoza wakikuamini unapata nguvu
AWE ANA AKILI NZURI KAMA HANA!!!??? Sasa malizia unachotaka sema Mzee wetu J.K
Baada ya kumuua Magufuli siku hz wanafuraha kweli..wameanza kunenepa siku hizi..Rais tuliyenae amerudisha majizî..Mungu atatulipia
Acha kugawa Watu , Tanzania ina amani, hivi Kwa Ulinzi alionao Amir Jeshi Mkuu nani anaweza msogelea,acha upotofu tafuta jambo la kuandika ili tuweze Kujenga Nchi pamoja
Mtaendelea kuuwa wenzenu mpaka lini?
Umekosea sana.katubu hiyo dhambi,
Kwahyo hauamini kwenye mungu SI wote ni wa mwenyezi mungu na kwake lazima turejee
Kikwete hajielewi ila magu alikuwa bora kuliko aliyofanya yanaonekana
Akili ndogo
Kikwete ni rais pekee aliejenga mtandao mkubwa wa barabara za lami tanzania kilometa 17700 amejenga madaraja makubwa la kigamboni na Malagarasy kigoma na madogo 22 ameleta mwendokasi na umeme vijijini rea amejenga chuo kikuu dodoma amejenga ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa nyerere dsm amejenga hospitali ya mloganzila
Hata urais wa magufuli ni juhudi za kikwete wanaombeza kikwete na wale wasiofatilia masuala ya kisiasa na kiuchumi na ya taifa
Nyie ndie wahabifu mnaona alichokifanya sasa mpaka leo watu wanamsema japo marehemu
Yani kikwete musilimu lakini cha ajabu una kubali shetani akutawale hiv hiv, na kusahau kesho yako kwa muumba wako, na ili hali wajuwa shetani kalaaniwa na mwenyezi mungu ila cha ajabu umemkadhi maisha yako loh, kweli upo usemi usemao kosa mail upate akili,
machakochekezuimteteyaa
Wee kikwete ata kidogo usijaribu kujidai mjanja umekwishiwa baba...Rais magufuli amekamalika tangu zamani kwa tarifa yako.lol
we ndo wasema kumbuka kulikua na Lowassa
Ingekuwa inawezekana, tungewapambanisha kwenye siasa magufuli akae huku na JK akae kule, wapambane jukwaani kisiasa halafu uone!!!
@@jumakapilima5674 acha dharau, kikwete sio wa mchezo
Tumia app hii ya kumspay mpenzi wako bila yeye kujua th-cam.com/video/kUBJuCessSI/w-d-xo.html
Magu pumzk baba
Kama kawaida yake kuzuga zuga
Hazugi kwani ni yeye ndie aliempigania mpaka magu akawa rais