Somo zuri sana Mwalimu...Labda ungeongeza tu kwamba umeziunga in paraller na baadaye in series kwa kuwa Betri ni ya 24V ama ni Betri za 12V ambazo na zenyewe zimeungwa in series
mm naomba elimu ya umeme jua nikiwa na battery ya AH ngapi nitahitaji solar panel ya watt ngapi, pia nikiwa na vifaa labda taa 5w zipo 3 ziwake masaa 6, simu yangu inatumia 20w kw masaa 2, tv inatumia 50w kw masaa 5 nitahitaji battery na solar panel ya ukubwa gani ?
Mwalimu mbn sikupati Kwa simu
Mbona napatikana 0789-365357
Mwalimu nataka kufahamu hybrid mppt inverter
Somo zuri sana Mwalimu...Labda ungeongeza tu kwamba umeziunga in paraller na baadaye in series kwa kuwa Betri ni ya 24V ama ni Betri za 12V ambazo na zenyewe zimeungwa in series
Tumia MC4 connectors
Mwalim Naomba utoe Somo la Malt mita
mm naomba elimu ya umeme jua nikiwa na battery ya AH ngapi nitahitaji solar panel ya watt ngapi, pia nikiwa na vifaa labda taa 5w zipo 3 ziwake masaa 6, simu yangu inatumia 20w kw masaa 2, tv inatumia 50w kw masaa 5 nitahitaji battery na solar panel ya ukubwa gani ?
Ok